😭😭😭😭😭Kaka Kaka nimekuita mara zote Asante Sana Kwa somo zuri nilikua nalazimisha Sana mpaka ikafik Mahal najiona Mimi sio chochote,, mwanaume kubadilika kunipigia cm kunitukana 😭na mtu wake daaah ninaumia Sana ni mwezi sasa Ila nashukuru Mungu nakutana na masomo kama haya najipa nguvu ya kuendelea 🙏🙏
Toka nilipo achana na rafiki yangu nilie mpa nafasi ya kwanza katika mambo yangu, kutengana kwetu kumebeba faida nyingi sana kwangu Kaka. Na naisi Mungu amenitenga naye kwa nguvu ,maana mwenyewe nilimbembeleza sana Mara ya kwanza mausiano yetu yalipo yumba,bila kujua kuwa alikuwa ukuta mkubwa wa kuzuia baraka zangu.
Mungu akubariki kaka yangu , yaani Mungu amekutumia kama malaika kwa hiki kizazi. Mimi nilikua na dada ambaye alinikosanisha na familia yangu, mama yangu aka nichukia, na ndugu zangu zote, kwa ajili ya ulimi wake wa kutunga uongo, niliangaika nikawa homeless nikiwa na miaka 12 nilipo fika 24 Mungu wa rehema aka nisafirisha nchi za kigeni nilipo fikia miaka 26 wamilele akanibariki na mume ivi ninayo family kwa huruma za Mungu ; na yule dada alifariki mwaka wa 2021 Mungu amulaze mahali pema peponi
Ubarikiwe kaka joel umeongea point kweli kweli,,mungu aliniondolea baadhi ya watu,,ndio hii leo nimepiga hatua kubwa katika ndoto nilionazo nashkuru sana
NA comment tena yaan hijakosea ni kweli niliolewa na wanaume wenye uwezo lkn hawakuweza kufanikisha ndiyo zangu na hii ilinipa changamoto sana ktk maisha yangu.. Lkn nilipoamua kusimama mwenyewe n kumuomba mungu nimeweza kufanikisha ndiyo zangu mm mwenyewe bila ya msaada wa mwanaume yoyote.... Tena mungu alivyo n majaribu kwetu alinipa sehemu ambayo ya kazi. Ambayo sikuitarajia ktk maisha yangu kuifanya.. Nimesomea kingine nimeenda kupata mafanikio kwa kazi nyingine yenye dharau ktk jamii lkn nilisema hiki mungu ndiyo slivhonikafiroa ngoja nifanye na kweli nimefanikisha na vingine zaidi Kwa NEEMA tu🙏🏾
Real coach kunabaadhi ya watu wanakuja kwetu ili tu kutupa lessons then wanatoweka ivyo hatuna sababu yoyote ya kuwang'ang'ania, kikubwa n kujifunza kwann wamekuja upande wetu.. Thank you coach
Nashukulu sana joeli,,maana nimewai kumng'ang'ania mtu mpaka bas,,ilibidi tu nimuache ila kwamaumivu😢,,sasa unajua kilichotokea baada ya muda kumuacha, ndo nakuja kuskia akisema ilibakia kidogo tu hiki kilichomo kwenye mwili wangu kiamie kwako,😭😭😭,DAh.aisee siku iyo Nilimshukulu mungu🙏🙏 Wiki nzima ,,,,,,ndo tujifunze kutokuwang'ang'a🦷
Kaka Mungu akubariki umenitoa gerezani nikuwa mfugwa niliachika bila sababu yeyote niliteseka sana kukubaliana namatokeo ila kupitia somo hili nimekuwa mshindi
Uko sahihi broo Yan me pia yalishanikuta mzaz mwezang Yan alikua Hana mda na mm anachit sana ila nlikua nampenda sana ivyo nlikua sitak aniache Yan mwisho wa siku nkachok nkaamua nimuache ila daah Kwa alivyo saiv namshukuru Mungu nliachana
Nimejifunza kitu kipya leo.... mungu akubariki sana.kupitia masomo yako naendelea kuwa mtu mpya na mwenye maono mengi na mazuri kwangu na wanangu... Asanteeee 🙏🙏🙏🙏
Nilikwenda safari Nikarudi kukuta muke amesha Ondoka navitu vyote Huko alipokwenda Aka olewa Huyo alie muowa akafariki Iyo ni mfano mmoja asante kwa mafundisho🙏
Asante kwa SoMo zuri, Kuna kitu nimejifunza japo huwa sio kinganganizi, mwepesi kulipokea baada ya siku chache tuu nakaa vizuri naendelea na maisha gangu
Kaka Leo umenigusa yaani ni kweli kabisa baadae unasema ningekua na huyu nisingefika hapa mungu anasababu yake na mtu akikusikiliza fundisho lako hata maumivu yote yanapotea Tena unaishi kwa fulaha zote
HELLO sir Joel ! Kassim kutoka BURUNDI, sina mengi zaidi ya kumuomba Mungu azidi ku kuongoza kwenye haki, pia akuzidishie malengo makubwa zaidi katika jamii... Kila lenye heri katika kazi zako !
Nilikua na mahusiano na mtu ambae nilidumu nae Hana Kaz nimemvumilia kwa jinc alipopata kazi tuu!akabadilika cm mpaka nipige mm message nitume mm Yuko kimyaaa!!co yule wa zamani tenaaa!! nimeumia sana lakin umenipa faraja kaka hasante nimekuelewa sanaa na nitawezaa!
Jaman cjui niseme nn mie,Joel Asante Sana kwa ujumbe wako maana nmeng'ang' ania Sana nilidhan sifa cjui,dah Asante kwa kweli acha waende watakuja wengine kwakweli,asante
Umenisaidia sana kaka Joel. Jambo ili limenitokea jana jioni sikulala vizuri kabisa lakini asubui nikapata msukumo wa kusikiliza vidio zako bahati Nzuri nikakutana na hii akika nimejifunza asante