Hii kichwa kama ingekuwa tanaiyelewa kwa urahisi kama mimi ilivyonisaidi kuingia katika biashara,Nahisi Tanzania tusingekuwa na vijana wavivu wavivu, tatizo vijana wengi hasa tanzania hatuko aggresive katika kutafuta yale yanayosaidia kutengeneza maisha yetu,kufanikiwa katika maisha,SIKU INZI AKIACHA UJINGA ATATENGENEZA ASALI. ....By POSITIVE THINKER MASTER💪💪💪💪 MR MONEY MONEY.... YESU MOYONI AKILI KICHWANI PESA MFUKONI
Asante Kwa hili somo nilitaka nikafungue biashara sehemu nyingine Asante Yesu ngoja nipambane na hapa nilipoanzisha Adi nifanikiwe in Jesus mighty name Ameeen
Nimeamua kuwajenga wanafunzi kuyajua masomo ya sayansi kwa vitendo zaidi. Maana hii ndio ngao inayowapa ujasiri wa kibunifu ktk kuanzisha ajira zao wenyewe. Nashukuru sana bro niko najifunza hapa
Bro Joel mungu aendelee kukuweka duniani ili tuendelee kupata dhahabu ya maneno yako mimi ni muislam lakini kwenye kupata elimu sibagui dini wala kabila!!
Kila naposikia kile unachofundisha hua najengeka sana natamani siku nikutane na wewe ili unishauri kwa kile nachokitaka kufanya nacho kupenda, je! utaratibu wa kukuona ukoje
Ukifungua maduka mengi bado hujakosea kwa sababu bado upo kwwnye eneo la ujasirimiali. Kaka Joel anazungumzia unakuta mtu ni mfanya biashara badala ya kuwekez nguvu zake huko, unakuta tena anafanya kilimo wakati huo huo anataka kufuga kuku. Mtu huyo akichagua kimoja lazima atafike mbali
Yani mpaka naona haibu mwenyewe Kwa hili somo,nimefungua bihashara mda wa miaka 5 sasa ,lakini nimeshindwa kufanikiwa sababu ya kuchagua njia mbili mara naenda kuajiriwa bihashara naweka mtu Anaya narudi Tena kukaa nilisikia ajira nzuri naenda da Hila mwaka huu nilisema imetosha nikaamua kusimamia katika bihashara naamini mungu atanisaidia
28/10/2023 mimi ni miongoni mwa watu ambao bado sijaweza kuchagua kimoja na siku naona zinaenda tu mpaka naisi kupagawa sijui nitafanyaje nisahidie mwalimu
wapo wengi Sana hasa matajili waliofanikiwa vijana tuwe makini anakuta unapambana anakuja anakwambia njoo tufanye hiki ili wakufelisho shukurani brooo daaa harafu swala la maamuzi ishu Kama kujenga naogopa kujenga kunauwa mtaji broo lengo ni kuteneza maisha Bora na kubaki na mtaji broo
Hongeraa sana joel kwa maono yako nazani nimtu uliyejikita sana na mambo yanayo wa felisha watu wengi dunia lakn ukitaka kufanikiwa lazima uwe na uwenani zamu na malengo yako nakumbuka nilipo kuwa darasan la nne 2005 niliwahi mwambie mwlimu wang wa darasan na taka nije kua mwalim bora nitakaye kua na shule ya medium school itakayokua unafanya vizur kitaifa ilipo fika mwaka 2018 nilifungua kitu cha masoma ya ziada marufu kama tuition ni na mwanafunzi mmoja ndani ya miez mitatu baadaye nikapata wawil leo hii nimefungua shule ya medium nursery na najitayarisha kufungua midium na shule yang sas inatotoa wanafunzi bora sana kiwilaya kimukoa nami ya tatimia yale niliyo kusundia namini sana katika mtazamo chanya. Na kushukuru sana joel nanauka kwa kunoa ubongo wang unamakal sana napenda kujifunza kusoma vitabu na kutenda na sina mzaza na maandui wa ndoto zang
Mungu akupe maisha maref kaka yan nimekufatilia sana na had saiz nipiga hatua sana yan daaah sina chakupa zaidi ya Asnteee nimeishia darasa la saba tuu lakin daaah huamini kama darasa la saba tuseme mungu ni mwema sana kila wakati🙏Alhamdulillah 🙏 mungu wetu sote 🙏kaka nakupenda sana😍😍😍
Yani hii kit imenisaidia sana leo trh 19 /3/2024 maana nilikuwa nataman kuwa na vt viwil vya kufanya ila kuanzia sasa shetan shidwa ntapambana na kimoja hadi kielewe ❤ Ahsant kaka
Mungu akubaliki baba umenifungua nimejifunza nanimekuelewa asante namuomba mungu nipate kuyaishi maneno yako katika kila atua ninayo ipitia katika maisha yangu asante🙏🙏🙏
Ni bora kaka uwekeze sehemu moja halafu usimamie mwenyewe hasa kwa Dunia ya sasa Mimi nimemuelewa mwalimu sana kwa sababu yalinifika sina hamu kabisa binaadamu wa sasa sio waamifu hasa kwenye pesa
Ni kweli unaweza kuwekeza sehemu zaidi ya moja ila iwe baada ya ile ya kwanza kusimama vizuri. Ni Kama mama akijifungua harakaharaka kabla mtoto wa kwanza Hajakua vizuri lazima itampa shida kwenye kuwalea na kuwakuza Ingawa wote wanaweza kuwa hai ila afya zao Zita prots na yeye Atachoka kwa majukumu