Тёмный

FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA 

Joel Nanauka
Подписаться 289 тыс.
Просмотров 182 тыс.
50% 1

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Опубликовано:

 

25 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 260   
@songweairport7602
@songweairport7602 2 года назад
Hii kichwa kama ingekuwa tanaiyelewa kwa urahisi kama mimi ilivyonisaidi kuingia katika biashara,Nahisi Tanzania tusingekuwa na vijana wavivu wavivu, tatizo vijana wengi hasa tanzania hatuko aggresive katika kutafuta yale yanayosaidia kutengeneza maisha yetu,kufanikiwa katika maisha,SIKU INZI AKIACHA UJINGA ATATENGENEZA ASALI. ....By POSITIVE THINKER MASTER💪💪💪💪 MR MONEY MONEY.... YESU MOYONI AKILI KICHWANI PESA MFUKONI
@magejay4715
@magejay4715 2 года назад
Asante Kwa hili somo nilitaka nikafungue biashara sehemu nyingine Asante Yesu ngoja nipambane na hapa nilipoanzisha Adi nifanikiwe in Jesus mighty name Ameeen
@mr.clemencetafiti5848
@mr.clemencetafiti5848 2 года назад
Kaka Joel ishi Sana umekuwa tiba katika maisha yangu. You are such a smart man. Umeletwa kuwasaidia wengi.
@StanslausTesha
@StanslausTesha 2 года назад
Mimi apo kwenye kuweka akiba ndio changamoto yangu kuu
@justinebaada9079
@justinebaada9079 2 года назад
Nimeamua kuwajenga wanafunzi kuyajua masomo ya sayansi kwa vitendo zaidi. Maana hii ndio ngao inayowapa ujasiri wa kibunifu ktk kuanzisha ajira zao wenyewe. Nashukuru sana bro niko najifunza hapa
@mr.kaporo2479
@mr.kaporo2479 10 месяцев назад
Bro Joel mungu aendelee kukuweka duniani ili tuendelee kupata dhahabu ya maneno yako mimi ni muislam lakini kwenye kupata elimu sibagui dini wala kabila!!
@juliusndimbo4006
@juliusndimbo4006 6 месяцев назад
Mungu akubariki
@dishonmahigi2218
@dishonmahigi2218 2 года назад
Kila naposikia kile unachofundisha hua najengeka sana natamani siku nikutane na wewe ili unishauri kwa kile nachokitaka kufanya nacho kupenda, je! utaratibu wa kukuona ukoje
@AfiSoul103
@AfiSoul103 2 года назад
Shindana nawewe mwenyewe wa JANA usishindane na wengine 😌
@richardsaidi2448
@richardsaidi2448 2 года назад
Ni somo zuri lakn nikiwekezaa seem Moja tuu Kwa mfano dukaa jeep likiunguua Kwa moto au kuibiwaa
@wilxtutoringnetwork7333
@wilxtutoringnetwork7333 2 года назад
Ukifungua maduka mengi bado hujakosea kwa sababu bado upo kwwnye eneo la ujasirimiali. Kaka Joel anazungumzia unakuta mtu ni mfanya biashara badala ya kuwekez nguvu zake huko, unakuta tena anafanya kilimo wakati huo huo anataka kufuga kuku. Mtu huyo akichagua kimoja lazima atafike mbali
@piuskarega3476
@piuskarega3476 2 года назад
Waza mawazo chanya Acha mambo mengine
@MarklevisLobore
@MarklevisLobore Год назад
Tangu nianse kutasama vidio yako kwaushauri wako umenikosowa makoza mengi sana, MUNGU akubariki sana kazi yako
@sharonyclement9457
@sharonyclement9457 2 года назад
Hakika Africa Ina walimu nitapaa hakika iposiku
@J4UPro
@J4UPro 2 года назад
upo sawa kabisa
@innocentbugobola2234
@innocentbugobola2234 2 года назад
Mi nmechagua YANGA 💚💛 TAMU 💚.........
@MtazameKristoTv
@MtazameKristoTv 4 месяца назад
Ninafanya na nitafanya jambo moja kwa muda mrefu ❤
@harsonkagoma687
@harsonkagoma687 2 года назад
Tangu nikuone mtandaoni ukifundisha nimebarikiwa sana na naendelea kujifunza. MUNGU AKUBARIKI SANA MWANA WA MUNGU.
@rabanphotostudionyakanazi_4115
@rabanphotostudionyakanazi_4115 11 месяцев назад
Somo zuri .. barikiwa sana
@judithjulius5993
@judithjulius5993 Год назад
Yani mpaka naona haibu mwenyewe Kwa hili somo,nimefungua bihashara mda wa miaka 5 sasa ,lakini nimeshindwa kufanikiwa sababu ya kuchagua njia mbili mara naenda kuajiriwa bihashara naweka mtu Anaya narudi Tena kukaa nilisikia ajira nzuri naenda da Hila mwaka huu nilisema imetosha nikaamua kusimamia katika bihashara naamini mungu atanisaidia
@waterforlife9356
@waterforlife9356 2 года назад
Nashukuru sana mola akuzidishie Abdallah Awadh kutoka lamu 🇰🇪
@mchattachattanoga7795
@mchattachattanoga7795 11 месяцев назад
28/10/2023 mimi ni miongoni mwa watu ambao bado sijaweza kuchagua kimoja na siku naona zinaenda tu mpaka naisi kupagawa sijui nitafanyaje nisahidie mwalimu
@hezronmangulamangula9718
@hezronmangulamangula9718 2 года назад
wapo wengi Sana hasa matajili waliofanikiwa vijana tuwe makini anakuta unapambana anakuja anakwambia njoo tufanye hiki ili wakufelisho shukurani brooo daaa harafu swala la maamuzi ishu Kama kujenga naogopa kujenga kunauwa mtaji broo lengo ni kuteneza maisha Bora na kubaki na mtaji broo
@nikasmartin3713
@nikasmartin3713 11 месяцев назад
Mungu akubariki baba, nakuita baba sababu unachunga akili zetu vijana🙏
@africanboy9139
@africanboy9139 2 года назад
Thanks so much this is gift for me
@EspéranceBuchekabiri
@EspéranceBuchekabiri 9 месяцев назад
Neno kubwa ni maamuzi baba yangu inasubua sna ila kupitiya wewe nimejifuza san
@magejay4715
@magejay4715 2 года назад
Ntasimamia biashara yangu hapa hapa nilipo
@hezronmangulamangula9718
@hezronmangulamangula9718 2 года назад
Asante brother kweli kaka nimekuelewa nitakuishi Sana
@deogratiusmatata7418
@deogratiusmatata7418 2 года назад
Asante sana kaka Joel nanauka kwa kupitia mafundisho yako nilianza kujiajiri niko kazini na sasa nimeacha kazi na nimejiajiri mwenyewe
@frankkihinga3703
@frankkihinga3703 Год назад
Daaa, kichwa Cha Joel Ni Zaid ya vichwa 100
@TV-se1lf
@TV-se1lf 5 месяцев назад
Vichwa vya Malaki ya watu # sio 100 tu
@masterkeymwakalanje6039
@masterkeymwakalanje6039 2 года назад
Barikiwa sana
@MarieAntoinetteBasizi
@MarieAntoinetteBasizi Месяц назад
Mimi napendaga sana mashauri yako na yana ni jengaka sana ubarikiwe kwa jumla!! Pokeya ujumbe huu toka Malawi!!!
@ashaally5883
@ashaally5883 2 года назад
Kuanzia leo nashindana na jana yangu
@reginamkuti7615
@reginamkuti7615 2 года назад
Hakika mafundisho yako yanaponya God bless you 🙏
@evastesheni8024
@evastesheni8024 2 года назад
Hongera saana nilikuwa nafanyia mafundisho yako ya nyuma, sasa naanza kupata dozi mpya.
@AlexanderIsaya-e9b
@AlexanderIsaya-e9b 6 месяцев назад
For sure you are saving my life
@AfiSoul103
@AfiSoul103 2 года назад
HII video naipenda sana..yaani imenifumbua macho
@ezrakiduko6135
@ezrakiduko6135 Месяц назад
Asante sana mwamba God bless you
@masterkey536
@masterkey536 Год назад
Good 👍👍
@scholasticaanthony
@scholasticaanthony Год назад
Mwenyez Mungu akupe afya njema Mr @Joelnanauka
@zakhiamsuya4922
@zakhiamsuya4922 2 года назад
Na jee kama unabiasharaa na niyamuda mrefu unatakaa kuanzisha biashara nyingne kaka joel iyo inakuwaje
@sudaisathman3831
@sudaisathman3831 Год назад
Upo sahii.mm ni mmoja wao katika wanaojutia kuipoteza mda wao
@trillionthamani
@trillionthamani Год назад
Nimekupitisha kuwa mwl wangu
@DaudiPasinai-ux4df
@DaudiPasinai-ux4df Год назад
Amen amen amen amen unanibariki sana sana sana sana
@niriacatering172
@niriacatering172 2 года назад
Asante Sana
@comfortelisha4494
@comfortelisha4494 2 года назад
Powerful
@abelruhulo6924
@abelruhulo6924 2 года назад
Asant kaka 🙏
@charlesoputi7101
@charlesoputi7101 Год назад
I subscribed tukiwa 200k nafurahi Sana sai tuko 206. God bless you brother 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@saraphinandale3256
@saraphinandale3256 Год назад
Kaka Sina lakusema Ila mungu azidi kukupa maisha marefu kupitia wewe mimi nimekuwa Bora zaidi
@ngubwene
@ngubwene 2 года назад
Nitazingatia haya yote ... Na Mwaka 2022 Mungu nisaidie. Asante Mentor of all times
@pendomussasechambo3263
@pendomussasechambo3263 2 года назад
Naanza kuanzia sasa kutulia
@mariamyoyote8172
@mariamyoyote8172 2 года назад
Mentor inamaanagan tafadhali
@barakapaulo4069
@barakapaulo4069 Год назад
​@@mariamyoyote8172 mwalimu
@adalbertsimon4103
@adalbertsimon4103 2 года назад
Umenipa hatua kubwa kuliko..........
@AppearMkalawa
@AppearMkalawa 11 месяцев назад
Je nipo kwenye AJIRA natamani nilime huku nimeajiriwa je nitakuwa nimekosea
@IbrahimIddy-z4y
@IbrahimIddy-z4y 5 месяцев назад
Upo sawa lakn je usimamizi unao
@antiatibanyendera52
@antiatibanyendera52 2 года назад
Bro nimekuelewa kabisa najilaum nilichelewa kukufatilia ktk mtandao
@hadijaelias135
@hadijaelias135 6 месяцев назад
Asante,naelimika
@winfridaadam7951
@winfridaadam7951 Год назад
Ahsante sana Mwenyenzi Mungu akubariki sanaaaa akupee maishaa malfu sanaaa 🙏🙏🙏
@youdambwilo9411
@youdambwilo9411 2 года назад
SoMo lako nimelikuli sana ninauri wa miaka62 mpa Sasa japo nimesomesha ningekuwa mbali sana kwa SoMo lako ubalikiwe sana kijana.
@hezronmangulamangula9718
@hezronmangulamangula9718 2 года назад
kweli brooo nilikusikiliza Sana bro nilivumilia na nimefika mbali bro
@carolynesimiyu3460
@carolynesimiyu3460 Год назад
Asante mtumishi wa Mungu kwa uponyaji wa moyo kwa kutumia neno ili kunielewa kuhusu kufocus,,, namshukuru mwenyezi MUNGU kwa neno lake
@khateeb-361
@khateeb-361 8 месяцев назад
Bravo
@tinolutonja8932
@tinolutonja8932 2 года назад
Hongeraa sana joel kwa maono yako nazani nimtu uliyejikita sana na mambo yanayo wa felisha watu wengi dunia lakn ukitaka kufanikiwa lazima uwe na uwenani zamu na malengo yako nakumbuka nilipo kuwa darasan la nne 2005 niliwahi mwambie mwlimu wang wa darasan na taka nije kua mwalim bora nitakaye kua na shule ya medium school itakayokua unafanya vizur kitaifa ilipo fika mwaka 2018 nilifungua kitu cha masoma ya ziada marufu kama tuition ni na mwanafunzi mmoja ndani ya miez mitatu baadaye nikapata wawil leo hii nimefungua shule ya medium nursery na najitayarisha kufungua midium na shule yang sas inatotoa wanafunzi bora sana kiwilaya kimukoa nami ya tatimia yale niliyo kusundia namini sana katika mtazamo chanya. Na kushukuru sana joel nanauka kwa kunoa ubongo wang unamakal sana napenda kujifunza kusoma vitabu na kutenda na sina mzaza na maandui wa ndoto zang
@MusaFanuel-v4j
@MusaFanuel-v4j Год назад
Pongexi jamaa
@thomasardoph
@thomasardoph 10 месяцев назад
Habari ?
@thomasardoph
@thomasardoph 10 месяцев назад
Habari ?
@Lily-xw6hg
@Lily-xw6hg Год назад
Usishindane na matumizi ya mtu ujui anapataje pesaa,amina baba
@janviervenasi
@janviervenasi Год назад
Asante ubarikiwe
@elibarikishukya-lf3sk
@elibarikishukya-lf3sk Год назад
Kwa Nini nimechelewa kukusikiliza
@magejay4715
@magejay4715 2 года назад
Somo limekuja Kwa wakati mzur
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 Год назад
Mungu akupe maisha maref kaka yan nimekufatilia sana na had saiz nipiga hatua sana yan daaah sina chakupa zaidi ya Asnteee nimeishia darasa la saba tuu lakin daaah huamini kama darasa la saba tuseme mungu ni mwema sana kila wakati🙏Alhamdulillah 🙏 mungu wetu sote 🙏kaka nakupenda sana😍😍😍
@MusaFanuel-v4j
@MusaFanuel-v4j Год назад
Barikiwa kaka joe umekuwa changuo langu ninavyo ingia mtanaoni kujifunza mengi unayo tufunza mbona inanifanya najiona niko sawa sawa paletu nilivyo anguka uanifunza nixikumbuke yaliyo pita
@juliusjoseph4889
@juliusjoseph4889 2 года назад
Mkuuuu hili ni somo zuri Sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@elibarikishukya-lf3sk
@elibarikishukya-lf3sk Год назад
Umenigusa sana brother
@evelynmsoma764
@evelynmsoma764 Год назад
ASANTE baba
@mathiassenga4306
@mathiassenga4306 2 года назад
Ubarikiwe Sana broo
@fredyruzindana8586
@fredyruzindana8586 Год назад
Kaka mungu akubaliki sanaa kwa neno lako
@EsterMahenge-u2s
@EsterMahenge-u2s 6 дней назад
God bless you
@erastotembo-qw5gj
@erastotembo-qw5gj Год назад
Mungu akubariki sana mtumishi
@neemadaudisospeter8211
@neemadaudisospeter8211 Год назад
Ubarikiweeeee saaaana
@jumatawfiq6443
@jumatawfiq6443 2 года назад
Hakika nimekuelewa kaka Tena Sana.
@lameckgunze6376
@lameckgunze6376 2 года назад
Brand
@chipolopolodsm4767
@chipolopolodsm4767 2 года назад
Kaka unajua xana xomo lako limeingia
@gasperchonya8495
@gasperchonya8495 2 года назад
Be blessed brother
@hamisikimbatikwa6959
@hamisikimbatikwa6959 2 года назад
Kaka nakuelewa sana sana upo vizuri
@magejay4715
@magejay4715 2 года назад
Yaan mie nilikua naranda randa na kuwaza kuangaika Asante Yesu
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 года назад
Ni kweli ndugu Asante,nilmefaidika Sana na ushauli wako,nilikuwa nawaza kuanza biashara nyingine,
@magejay4715
@magejay4715 2 года назад
Hahaha uyu nimimi kabisa namie nilianza kuwaza kufungua biashara tena
@joejosca7594
@joejosca7594 2 года назад
Safi sana kaka, mimi ni shabiki wako sana
@husseinbhatia434
@husseinbhatia434 2 года назад
Mwanga Nuru
@emanuelmagesa740
@emanuelmagesa740 Год назад
UNATISHA
@razakmohammed1687
@razakmohammed1687 2 года назад
Kweli bro nakubali darasa rako God bless you 🙏🙏🙏🙏🤲👂👂👂👂👂
@elibarikishukya-lf3sk
@elibarikishukya-lf3sk Год назад
Umenigusa
@edisonjoseph4087
@edisonjoseph4087 Год назад
ahsante sana kaka
@isikesamike
@isikesamike 2 года назад
A genius mentor 👏👏
@restutamjuni4739
@restutamjuni4739 2 года назад
Hakika kunakitu umenisaidi kupitia somo hili mungu akubariki
@franckmwasege7885
@franckmwasege7885 2 года назад
Mungu akutunze sana mwalimu wangu ni maombi yangu kwako
@hajirarashidi1999
@hajirarashidi1999 6 месяцев назад
Yani hii kit imenisaidia sana leo trh 19 /3/2024 maana nilikuwa nataman kuwa na vt viwil vya kufanya ila kuanzia sasa shetan shidwa ntapambana na kimoja hadi kielewe ❤ Ahsant kaka
@pulcheriamayombo5780
@pulcheriamayombo5780 11 месяцев назад
We we Mungu kakupa taranta endelea kuizalisha
@asajilejoseph5882
@asajilejoseph5882 2 года назад
Asante kaka tashukulu kwa mwongozo
@Mbembela737
@Mbembela737 4 месяца назад
Asante kwa somo zuri barikiwa sana na Mungu azidi kukuongezea maarifa couch 🙏🙏
@twofivefive906
@twofivefive906 2 года назад
Kweli kamukubwa uko sawa kaka
@Lily-xw6hg
@Lily-xw6hg Год назад
Usiangalie juu ya wanao shindwa tayar umeshindwaa
@BenjaminNchimbi-vh4li
@BenjaminNchimbi-vh4li 11 месяцев назад
Mungu akubaliki baba umenifungua nimejifunza nanimekuelewa asante namuomba mungu nipate kuyaishi maneno yako katika kila atua ninayo ipitia katika maisha yangu asante🙏🙏🙏
@hadijajohn7434
@hadijajohn7434 2 года назад
Nitawekeza kutimiza malengo yangu asantee joely kwa somo nzuri nafuatia sana. Kila somo najifunza kitu
@الاسدالذهبي-ح5ذ
@الاسدالذهبي-ح5ذ 2 года назад
Amen 🙌🙌
@richardsaidi2448
@richardsaidi2448 2 года назад
Nafuuu kuwekezaa seem mbili pakigoma ukuu unaamia kwinginee mim natoa mawazo tuu ckupingiii wew ni mwalim mzurii sana
@frankmjange3267
@frankmjange3267 2 года назад
Nilitaka kushangaa unaanzaje kupingana na mwalimu 😂😂
@azizaabeid2055
@azizaabeid2055 2 года назад
Ni bora kaka uwekeze sehemu moja halafu usimamie mwenyewe hasa kwa Dunia ya sasa Mimi nimemuelewa mwalimu sana kwa sababu yalinifika sina hamu kabisa binaadamu wa sasa sio waamifu hasa kwenye pesa
@joelnanauka
@joelnanauka 2 года назад
Ni kweli unaweza kuwekeza sehemu zaidi ya moja ila iwe baada ya ile ya kwanza kusimama vizuri. Ni Kama mama akijifungua harakaharaka kabla mtoto wa kwanza Hajakua vizuri lazima itampa shida kwenye kuwalea na kuwakuza Ingawa wote wanaweza kuwa hai ila afya zao Zita prots na yeye Atachoka kwa majukumu
@khadijamohamed3043
@khadijamohamed3043 Месяц назад
@@joelnanauka Kabisa Mwalimu✔
@abasimahongole3256
@abasimahongole3256 2 года назад
Mafundisho mazuri san mungu akubariki uwezi kutupa tena maarifa mengine
@JenifridaZakayo
@JenifridaZakayo 9 месяцев назад
Kaka joeli mungu azidi kukupa afya njema ya mwilini na moyon
@legrandmsangi8405
@legrandmsangi8405 2 года назад
Hii Kwa sisi wachumi kufocus ktk kitu kimoja ni risk kubwa. Ss Ili tuipunguze risk tunaigawanya
@andrewthomas7819
@andrewthomas7819 2 года назад
Good bless u kaka Joel nmekuelewa vzr
@neemadaudisospeter8211
@neemadaudisospeter8211 Год назад
Hili somo limenijenga saaaaaaaaana
@ashaally5883
@ashaally5883 2 года назад
Mungu akubarik sana
Далее
UHURU WA KWELI WA KIFEDHA - JOEL NANAUKA
1:14:26
Просмотров 52 тыс.
4 YEAR SIBLING DIFFERENCE! 😭 #shorts
00:11
Просмотров 16 млн
Je,Wewe Una Maono Gani Kwenye Maisha Yako?
46:51
Просмотров 184 тыс.
Maximizing your season - Joel Nanauka
1:23:37
Просмотров 15 тыс.
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA
1:11:22
Aina 5 Za Watu Muhimu - Joel Nanauka
1:02:23
Просмотров 167 тыс.
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17