Тёмный
No video :(

Hali ya Siasa 2024 ni Ya Matumaini au Mashaka? Jenerali Ulimwengu Awapa Somo Vyama Vya Upinzani| S23 

The Chanzo
Подписаться 69 тыс.
Просмотров 10 тыс.
50% 1

Katika mazungumzo haya Jenerali Ulimwengu na mwandishi wa habari Sammy Awami wamechambua mwelekeo wa hali ya siasa kwa mwaka 2024, na kujadili kwa kina joto la kisiasa lilivyopanda mapema mwanzo wa mwaka baada ya chama cha upinzani CHADEMA kutangaza maandamano kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi.
Sambamba na hilo, Ulimwengu ametoa somo kwa vyama vya upinzani na wanamageuzi wengine nchini juu ya mambo ya kuzingatia katika mapambano yao kama kweli wanataka kuleta mageuzi yatakayolenga kujenga taifa linalozingatia siasa safi na utawala unaojali haki, utu na uhuru wa raia.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 30   
@kiishful
@kiishful 7 месяцев назад
Hongereni.Its always great listening in to such empowering views from some of the smartest analysts(Mr JU and Sammy) from different generations.
@Byondorujulika17
@Byondorujulika17 7 месяцев назад
Asante sana muzee wetu kwa kipindi hiki kinacho tuleteya watu mahiri na mashuhuri kwa kutuelimisha na kutuhabarisha, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
@ozld4864
@ozld4864 7 месяцев назад
Fikra komavu na mahiri tunazipata sasa bila lazima ya kusoma gazeti RAI/Raia Mwema. Hongera sana JU. Kwa miaka.mingi umekuwa ukielimisha jamii ya yetu ya Tanzania.
@Sangaadam
@Sangaadam 7 месяцев назад
Mazungumzo mazuri sana yamejaa contents za kutosha.... Naomba siku moja umuite Mzee Wasira ili uongee nae haswa kuhusu Mustakabali wa Katiba Mpya na Uteuzi waTume ya Uchaguzi ( kuteuliwa na Kiongozi (Rais) mmojawapo ambae anashiriki kwny Uchaguzi huo huo)
@richardhezron2588
@richardhezron2588 7 месяцев назад
Kiukweli tanzania tunajituma sana kufanya kazi ila umoja hatuna
@davidmwandiga3465
@davidmwandiga3465 7 месяцев назад
Vyombo vya ulinzi na usalama havitundei haki kwa kukilinda chama tawala wakati wa uchaguzi tuonane 2024/2025 Mungu atatenda haki.
@albertclement7847
@albertclement7847 7 месяцев назад
Asante mzee
@MdYeasin-xx1gm
@MdYeasin-xx1gm 6 месяцев назад
Sawa mchimba mitaro nakula pilau kuku lakini ikimpata ishu ya kufanyiwa upasuwaj hospital ndio utajua kama Kuna Amani au laa
@paulhintay6916
@paulhintay6916 7 месяцев назад
Good........
@albertkamala6843
@albertkamala6843 7 месяцев назад
Naam siasa zinatuhusu sisi sote..ndio maisha..yanaweza kuwa mabaya au mzr!!
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 7 месяцев назад
TZ inaongozwa nawatu washamba sana yaani nikituko kuwanaserikali yaainahii kwenye dunia yasasa,tunazalilikaduniani huko,tunawatu waajabu sana eemungu tusaidiye utujariye watu wenyeroho zamungu watuongoze
@peterkafipa6515
@peterkafipa6515 7 месяцев назад
Jenerali mungu akupe afya njema tuendere kuelimika
@jumasaleiman
@jumasaleiman 7 месяцев назад
Kipindi kuzur sana sana
@fatmajafar8275
@fatmajafar8275 7 месяцев назад
Jeneral ulimwengu nakuku balisana
@azizbashir
@azizbashir 7 месяцев назад
HAPANA SEHEMU KUBWA YA TZ NI MABANTU NA MABANTU WANA ASILI YA UOGA NA UNAFIKI WAKENYA WANAKULA VIZUR LKN UKICHUNGU RIFT VALLEY PROVINCE MASAI TURKANA BORA SOMAL IKIMHUZI ANAONA KABUR TZ SISI PIA NYERERE ALITUPA MARADHI OBOFOBIAN MARADHI YA UOGA
@fabby1181
@fabby1181 7 месяцев назад
🙏🙏🙏🙏
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 7 месяцев назад
Labda na wao ni mbwa sababu mbwa anazaa mbwa..
@rommelmauma8081
@rommelmauma8081 7 месяцев назад
Nchi za Kusini - Mashariki na Mashariki ya Mbali [Taiwan, Korea Kusini, Thailand, Malayasia, Indonesia ba Ufilipino ba hata Singapore] hazikujengeka kwa kupeperusha bendera ya demokrasia na heshima ya haki za binadamu au utawala bora. Nyingi zilikuwa ni kinyume kabisa na hayo tunayohubiriwa kuwa ni tunu za utawala bora!
@davidpallangyo114
@davidpallangyo114 7 месяцев назад
Je,zilijengeka katika misingi ya unafiki na wizi wa mali za umma!? Hizi Nchi ulizozitaja zimejengeka kwa kufuata Misingi dhabiti ya Haki. Hakuna Nchi hata moja ya Waafrika Weusi ambayo imesimama katika misingi dhabiti ya haki bin haki. Hila,unafiki,uongo,uvivu na wizi wa viwango tofauti..... !!!?
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 7 месяцев назад
Ebufafanua zaidi tukwelewe unazanikwamfumohuu usiyoajibisha mafisadi utawezajekupiga hatua,??je wewe nimwizi wamali zamma Au wewe nichawa waccm Au wewe nimupumbavu hunaakili yakufikilia nakutambuwa hayamambo,
@suleimansheikh
@suleimansheikh 7 месяцев назад
Ww ni hzina,lkn haituithamin.mawazo na mtazamo wako niwa dhahabu
@user-cg4dq8wy6r
@user-cg4dq8wy6r 7 месяцев назад
Tatizo kubwa zaidi ni kua imani ya wana nchi kua hivyo vyama vya siasa vya upinzani wakishinda wataleta hayo mageuzi wanayo ahidi? Mpaka sasa katika nchi nyingine za kiafrika hakuna killichofanyika. Wanabbadilika watawala tu halafu wizi na ulafi uko pale pale.
@Fred-Ma
@Fred-Ma 7 месяцев назад
Kwa mfano nchi gani?
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 7 месяцев назад
Unamaanisha ccm waendelee kuiba nakuiba mpakakiama,wewemshenzi
@frankminga9307
@frankminga9307 7 месяцев назад
Generali naona hali halisi ya mtanzania wa chini bado hujaijua vizuri
@paulhintay6916
@paulhintay6916 7 месяцев назад
Leo......sielewi huu mdahalo
@1961nungwi
@1961nungwi 7 месяцев назад
Huu sio mdahalo, ni maongezi. Yanatujadili sisi wa TZ na Hali zetu. Kama huelewi, Ina maana pia huelewi hali yetu kama Nchi na WanaNchi
@jumasaleiman
@jumasaleiman 7 месяцев назад
Kipindi kuzur sana sana
Далее
Mohammad bin Salman: Prince With Two Faces
54:00
Просмотров 4,9 млн