Kwa hawa watoto wa 2000 hawawezi wakaelewa ukubwa wako wataishia kukutukana tu,,yan zamani ili upate show kali ni kwa Mr Nice tu na H Baba,wengine walikuwa maarufu na wakubwa ila kwenye show hawa jamaa walikuwa 🔥
Humjui wew huyu jamaa 2003 hadi na 004 show kali na wasanii wa gharama walikuwa wawil tu Mr nice na h baba...achana na miziki ya leo ya social media hii yan msanii ana hits Mia lakini show zao mbovu zamani hits 3 tu ila show ni 🔥
Kama burna boy alikuwa anamjua dully syks mbonaa asimtumie hiyo bit dully badala yake akamtumia harmo? Sema hawa watangazaji wa wasafi wako hapo kuona harmonize anachafuli maubwa nyie
Kwanin burna Boy asifanye mawasiliano direct kwa dully? Nae dully kama alijua hilo kwanin asimtafute burnaboy. Watanzania msidanganyike na huyu mpumbavu.... Amekua mtu wa interview za ukuda Yaani mziki umemtupa kinoma Yaani...😂😂
Watanzania ni wajinga sana, yaan kuna watu wana sapoti huu upumbavu? Burna boy angemjua vp msanii kama huyu? yaan burna boy aliomba kolabo na dully sykes😂😂😂😂
Kuna taila mmoja anasema mmakonde anamchafua platinum je na hiki kinacho fanyika apa kwa media ya usafini nini? 😂😂 Mashabiki wa mondi jiongezeni hawa wote wafocus maokoto na Kiki tu we media kabisa kama wasafi ina ruhusu interview ya kumsema konde af et sisi wasafi hatuna bifu na mmakonde mhhhh nguo zao safi moyoni wachafu