Jamani machoz Yamenimwagikaaa nikifikiria maugovi ya baba Na mama watoto tunakuwa Na Hali ngumu wapi tuegemee mungu awalinde Jamani Mtoto Ana kipaji cha kuimba
hongera sana kwa jambo la kheri ulilofanya. hongera kwa kuwa na binti mrembo so cute. kuhusu wimbo alioimba wwe n msanii unajua lugha ya usanii. tafuta cku tna usichelewe muulize kwa mapenzi na upendo. atakuambia ki2. Mungu awasimamie ktk ndoa yako. bi. harusi hongera umependeza. mapenzi uliyaonyesha cku hii yakawe cku zte ya maisha yako.
Vitu vyote ni sawa, panapo pendo, Kila sauti tamu, panapo pendo. Pana amani pale, na furaha nyumbani, Siku zote salama, panapo pendo. CHORUS: Panapo upendo, siku zote salama, panapo pendo. 2 Furaha i nyumbani, panapo pendo, Hapana machukizo, panapo pendo, Chakula ni kitamu, mashamba yasitawi, Maisha ni kamili, panapo pendo.
Very sad hakuna mtoto asiyependa mama yake aolewe..ila huyu Bibi arusi pia amefanya vizuri sana kumkumbatia huyu mtoto na kumwambia everything will be alright
Kuna mda anawaza je mama huyu atanipenda kma mama angu na kuna mda anatamani angekuwa mama ake ndiyo anaolewa dah nyumba hizi ndo mna zimewekwa madrisha
Bilashaka mama mpya atakua mama mzur kwa mtoto huyu sio hoja kuolewa mamakemzazi ilimradi aloolewa na babake ndio mamake namuombea kila la kheri na wazazi wake wote waishi kwa upendo na amani na asimsahau mamake.mzazi pia.mungu ibariki ndoa yao na uwape umri.mrefu amin
Joti Peleka mtoto Studio huyo. Tena nakuamuru mkimaliza Fungate tu Raia tunataka Single toka kwa Huyo mtoto. Nyambafu Kumbe unatuchekesha kila siku na Ndani umeficha Kipaji. Tena weweeee 👉👉👉
yani joti be a strong man. acha mtoto a ishi na bibi yake au mamake mzazi. usije uka amini mama wa kambo ata kutunzia mtoto kama ambavyo angetunzwa na mama wake mzazi. never. ni wachache sana.
fatma ali kweli maskini wenye roho nyepesi kama zetu tukitazama hii vdeo huyo mtto anavyoimba utajihisi kutoa machozi tu, jamani hadi mie nimetoka machozi na vdeo sjaimaliza. Pia.anatia huruma hukumbuki kawaza kitu gani hadi nae akawa anatoa machozi.
Ujumbe sahihi kwa wakati sahihi,Ujumbe unahitaji rehema ya Mungu kuuishi hasa ukiusiliza na kuuutafakari kwa Moyo,{ @.furaha i nyumbani panapo pendo b,Hakuna machukizo nyumbani panapo pendo, c,E Yesu niwe wako wako kabisa ndopo patakuepo pendo nyumba, b.macho yanapendezwa na viumbe vya Mungu. nae Mungu huona panapo upendo, D.Vitu vyote salama panapo upendo} haya ni baadhi ya maneno ktk wimbo huu,
Aiseeeh mtoto ameniliza sana jamani mpendeni kwa mapenzi ya dhati .machozi yake yanathamani kubwa kuliko chochote hapa duniani.joti hongera kwa kumpata mke mwema tunakutakia kila la kheri.bye dadako mkenya na chat nikiwa dubai.
😫😥😥😥😥 dah jamani vdeo hata sjamaliza kuiangalia nahisi machozi yanidondoka, mtto anatia huruma kweli, aah lkni mungu azidi kumpa moyo wa ujasiri, nae hapo kwa kutoa machozi alifkiria mengi zaidi kipindi cha nyuma babake na mamake walvokua pamoja, alitamani aone siku yao kama hio wakiwa wote wanafuraha.