Тёмный
No video :(

HARUSI YA MTOTO WA MCH ELIONA KIMARO WA KIJITONYAMA DAR 

Mc Kaka Mtumishi
Подписаться 4,2 тыс.
Просмотров 235 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 101   
@mariagabba8401
@mariagabba8401 2 года назад
Hongera Sana Dr na Mchungaji Kimaro kwa Kuozesha
@rosemsele8012
@rosemsele8012 2 года назад
Honger san mmenikee kushika shela anashindw kujiachia
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 2 года назад
Mtumishi kimaro ana watoto wengi sana Hongera mchungaji kidago
@honorathapaschal1523
@honorathapaschal1523 2 года назад
Hongera sana mch kimaro Umekuza mchungaji
@phoebemmanga6047
@phoebemmanga6047 2 года назад
Hongera sana Mch. Emmanuel Kidago kwa kuoa! Kweli Baba wa Kiroho hajazaa mapooza. Mmependeza mno mno MUNGU AIBARIKI NDOA YENU.👌👌👌👌🙏🙏🙏🙏🙏😍😍😍😍😍
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 года назад
Hata hajazaa mapooza🤣🤣🤣🤣huendi mbinguni
@SporahEmmanuel-gc7lw
@SporahEmmanuel-gc7lw Год назад
Waoo!! mungu awatangulie katika ndoa yen pia mkavumiliane na ndoa yen iwe mbingu ndog
@beatricepallangyo2821
@beatricepallangyo2821 2 года назад
Bwana Yesu Awabariki sana Mchungaji Kindago na Bibi Harusi . Mchungaji Dr. Kimaro na Mama Mbarikiwe sana
@aidashukuru5335
@aidashukuru5335 2 года назад
Wooooh Hongera kwao pia HONGERA kwa baba mchungaji KIMARO kwa kuozesha Mungu ampe baraka zote binti yako katika maish yake ya ndoa hakika ilipendez sna MBARIKIWE
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 2 года назад
Hongera sana binti wa Mchungaji kwa kuonesha mabinti mfano wa kuigwa
@joshuagole8528
@joshuagole8528 2 года назад
Wahoooo jaman umetoa fundisho binti mzur
@andrewmwaliyenga7706
@andrewmwaliyenga7706 2 года назад
Juice ximepamba meza tu
@priscerjohn5788
@priscerjohn5788 2 года назад
Mbona wachaga tu,ndio wanaolewa jmn☺️☺️
@sophiamogitu558
@sophiamogitu558 2 года назад
Hongereni sana, watumishi wa Mungu, Mungu awabariki sana mzae sana pia tuishi maisha marefu,na mpendeze sana
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 2 года назад
Mtumish umejua kuchagua jaman hongra naamin yupo vizur adi rohoni Mungu awatunze
@neemamwekwa7384
@neemamwekwa7384 Год назад
my class mate kd😍😍 mchungaji kidagoo
@eutropiangido9684
@eutropiangido9684 2 года назад
Hongera mtumishi Mungu awabariki.
@hilgathjoshua8804
@hilgathjoshua8804 2 года назад
Hongera sana rev Emmanuel kidago❤💐🌷🌷
@sweetluc2660
@sweetluc2660 2 года назад
Hongera Mchungaji kidago Hakika Mungu amekupa Mke mzuli
@gracealexander1450
@gracealexander1450 2 года назад
Hongera sana MUNGU AWABARIKI SANA katika ndoa yenu
@phoebemmanga6047
@phoebemmanga6047 2 года назад
Hongera sana Mch. Dr. Eliona kwa Harusi ya mtoto wako wa Kiroho Mch. Emmanuel Kidago. Mmependeza mno mno. MUNGU NI MWEMA awalinde. 👌👌👌👌👌🙏🙏🙏🙏🙏😍😍😍😍😍
@amenaameeena3317
@amenaameeena3317 2 года назад
Ukweli kapata jiko la umeme mzuri sana binti
@mercykimuto9882
@mercykimuto9882 2 года назад
Hongera sana Mchungaji Kimaro
@p2p700
@p2p700 2 года назад
Hongera Sana Mchungaji na Mama Mchungaji Kidago.Na iwe ndoa yenye Baraka zote za Mungu Katika Jina la Yesu. Looks Gucci👏👏
@devothaignatus5911
@devothaignatus5911 2 года назад
Ahsante mchungaji Kimaro mungu aktunze
@MsAggie5
@MsAggie5 2 года назад
Hongera sana mchungaji Kindago kwa kuoa, mkeo mzuri unajua kuchagua 😂 Mungu awabariki muishi maisha mema yenye baraka zote. Hongera baba mtumishi mchungaji Kimaro kwa kuozesha
@sarahwawuda5164
@sarahwawuda5164 2 года назад
Hongera sana mchungaji kidago Mungu aibariki ndoa yenu
@pulikisia7963
@pulikisia7963 2 года назад
Wote wazuri sana,watafanana muda sio mrefu.
@Ontuzu
@Ontuzu 2 года назад
Wasukuma tunasema onyanda alebalabala amiso gete Ng,wibi nangenabonaga neneguke bagosha
@crytonsijaona6164
@crytonsijaona6164 2 года назад
Mbarikiwe wapendewa, mtangulizeni Bwana daima katika maisha yenu. 🙏🙏🙏
@invocavitmbise5296
@invocavitmbise5296 2 года назад
Very interesting..ikawe heri kwenu
@stanleymhozi7590
@stanleymhozi7590 Год назад
Barikiwa
@mahewalekwasa210
@mahewalekwasa210 2 года назад
Hongera sana watumishi wa Mungu, mmependeza sana, Baba Mchungaji ni mnyenyekevu sana.
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 2 года назад
Saaaaaaf saaana ,kumbukumbu nzuri maishani . HALELUYAAA AAAAH hongera saaaaaana BWANA NA BIBI , MCHJ KINDAGHO. NIMEFURAHI PIA KUMWONA MCHJ DR ELIONA KIMARO KKKT KIJITONYAMA AKIONGOZA KWA MADAHA NA BASHASHA, WANAYE HAO WALIOOANA. IMEPENDEZA HIYO KWELIKWELI. BARIKIWA SAAAAAANA
@prisca2774
@prisca2774 2 года назад
Bibi harusi mzuri jamani! Hongera zao, matunda ya Roho Mtakatifu yakaonekane katika ndoa yao katika jina la Yesu!
@rogersodero7042
@rogersodero7042 2 года назад
Congrats Emmanuel kindago .
@annamulungu2876
@annamulungu2876 2 года назад
imependeza sana ! ila nashangaa sana wanaoenda na watoto ukumbini tena usiku 😒
@lilomondi6697
@lilomondi6697 2 года назад
Honger sn MC KAKA MTUMISHI uko vzr
@mariamnimbo8394
@mariamnimbo8394 2 года назад
Hongera sana Dr Mchungaji Kimaro. Mungu awabariki maharusi, ndoa yao izidi kubarikiwa.
@daughterofgod9185
@daughterofgod9185 2 года назад
Hongera sana Mchungaji Kidago kwa kupata msaidizi Mungu awabariki na kuwalinda ndoa yenu iwe ya amani na mafanikio🙏🏽
@zawadimeiyan677
@zawadimeiyan677 2 года назад
Hongera sana classmate, Julieth ngowi.....Adi humu umo.....umetishaaa
@perrywanjiru2754
@perrywanjiru2754 2 года назад
Hongera mtumishi kindago
@user-hl4rw9xe3u
@user-hl4rw9xe3u 2 года назад
Hongera mchg kidago mungu akutangulie katika maisha mapya
@neemajulius1256
@neemajulius1256 2 года назад
Hongera sana
@vemchannel2018
@vemchannel2018 2 года назад
Hongera
@happygibson6592
@happygibson6592 2 года назад
Wooow namuona mtumishi Goodluck ktk ubora wake 😀😀
@anicyaedward5605
@anicyaedward5605 2 года назад
Wooooh congratulations my best pastor ever ..
@heavenlight5084
@heavenlight5084 2 года назад
Waooo! Hongera sana ma lovely dady
@magdalenatuseko5394
@magdalenatuseko5394 2 года назад
Hongera Sana jamani mmependeza
@haikaelmamuya931
@haikaelmamuya931 2 года назад
Hongera Sana Rev huyu ndiyo Mungu mtoto wa kike na Baba Ila wakati umefika nampongeza sanaaa mdogo wangu naendelea kukuombea
@mariamundomba6870
@mariamundomba6870 Год назад
Mungu aidumishe ndoa yenu
@happiefrancis8824
@happiefrancis8824 2 года назад
Hadi raha hongera baba binti hajakuaibjsha now wengi wanajipeleka sogea tuishi Mungu ni mwema
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 2 года назад
Mchungaji mgogo upooooooooo!!!
@bridgetmbawala1029
@bridgetmbawala1029 2 года назад
God bless this couple.
@chiomanonso274
@chiomanonso274 2 года назад
Nimefurahi
@jannyneto5261
@jannyneto5261 2 года назад
MUNGU awatangulie.
@gloriajeremiagloriajeremia8158
@gloriajeremiagloriajeremia8158 2 года назад
Waooh Emmanuel kidago kaoa congratulation
@Linda-lr1lu
@Linda-lr1lu Год назад
Hao masai wamenoga👌
@EsterMichaelMkudukwa-lh1qz
@EsterMichaelMkudukwa-lh1qz 24 дня назад
Umependeza sana
@edwinnyangweso5360
@edwinnyangweso5360 2 года назад
HARUSI SAFI
@thabeamiage5376
@thabeamiage5376 2 года назад
All the best dear
@edwinnyangweso5360
@edwinnyangweso5360 2 года назад
Love the way she dance the gospel song
@soberkaleya5148
@soberkaleya5148 2 года назад
Marko 12: 13 Wakatuma kwake baadhi ya Mafarisayo na Maherodi, ili wamnase kwa maneno. *MANENO YOYOTE ADUI ANAYOTAKA KUTUNASA NAYO, TUNAYAFUTA, TUNAYAVUNJA, TUNAYAHARIBU, TUNAYATEKETEZA NA KUYAANGAMIZA KWA JINA KUU LA YESU!!! TUNATAMKA BARAKA, MAFANIKIO NA USHINDI MAISHANI MWETU DAIMA!!!*
@neemaneema9969
@neemaneema9969 2 года назад
Nawaona na Kina Mama wa Kimasai
@rosekimath2614
@rosekimath2614 Год назад
Huyu mc ni msengeremaaa😏😏😏
@priscadanny2623
@priscadanny2623 2 года назад
Wow! Mungu awe mtangulizi wenu kwa kila jambo🙏
@dadarehema
@dadarehema 2 года назад
Wooow 🔥🔥🔥
@juliethobedi5746
@juliethobedi5746 2 года назад
Jamani Huyo Dada anaitwa julieth ngowi
@marymashina7888
@marymashina7888 2 года назад
Mtoto wa Mchungaji ni kijana sio binti naye pia ni Mchungaji. Ni ktk wale watoto wake aliowalea
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 года назад
Jmn mm nimeuliza huyu Dr kimaro ni badri au mchungajii? Najuwa mapadri hawaoi kumbe ni mtt alie mlea?
@lynelee5846
@lynelee5846 2 года назад
Aiseee kupendwa rahaa💕🥰 hivi mmeona baba anavyomtazama mwanawe?? 😄😄😄
@rostalameck6640
@rostalameck6640 2 года назад
Ehe nimeona
@happykisota9445
@happykisota9445 2 года назад
Nimeona daah!!
@MCShedo
@MCShedo 2 года назад
Hii ilikuwa nzuri sana mtumishi
@floranceh5333
@floranceh5333 2 года назад
💋💋💞😘😘🇰🇪
@happynesskisamo2958
@happynesskisamo2958 Год назад
Naomba kujua kama hao maids wanakodishwa????
@estherwilliam3758
@estherwilliam3758 2 года назад
Very nice❤️❤️❤️
@ellyrwezaula886
@ellyrwezaula886 2 года назад
Huyo mchungaji mbona anakatika sana jamani
@miriamalute1540
@miriamalute1540 2 года назад
Kakatika wapi jamani
@reubenmuganyizi8537
@reubenmuganyizi8537 2 года назад
Ahaaaaaa
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 года назад
Kumbe mabadri wa makanisa mengine huwa wanaruhusiwa kuowa?
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 2 года назад
Mbona wadada weusi sioni kuolewa ?
@vj8313
@vj8313 2 года назад
Ni mtoto wake kabisa? Au wa kiroho
@miriamalute1540
@miriamalute1540 2 года назад
Mtoto wa kumlea
@andrewsam364
@andrewsam364 2 года назад
Nauliza tu.Dada zetu bint zetu mama zetu bila kuchonga nyusi namarangi meng machon hampendez?mch.wetu kimaro hii imekaaje?
@robimgendi6147
@robimgendi6147 2 года назад
Ni mazoea mabaya
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 года назад
Wambea nyie kaeni kimya kwa jina la YESU ,
@hafsahussein505
@hafsahussein505 2 года назад
Niljua tu ni baba yangu hapendi makeup💄, kwa sababu ameshika sana dini...... Kumbe hadi baadhi ya wakristo hampendi pia
@robimgendi6147
@robimgendi6147 2 года назад
@@joycehaule9717 we nawe sasa,,hivi jina la Yesu linatumika vile wewe unajiskia tu kulitumia. Kuwa na adabu basi,,mwenye harusi yake kajibu kistaarabu we unakurupuka tu 😏😏
@emmanuelbitulo3106
@emmanuelbitulo3106 2 года назад
@@joycehaule9717 we nae chef
@olivermushi9405
@olivermushi9405 2 года назад
Kiukweli harusi ni Baraka Ni Jambo jema ila kwa hii miondoko ya maharusi wa kizazi kipya ndg yangu!! Duuuh🤭 yani hata ile aibu hat ya unafk mbele ya wazazi na viongozi wa kiroho hakunaga,yni kama vile baadhi ya maharusi walishazoeana vile.
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 года назад
Aibu ya nini sasa km mmeamua kuliweka hadharani. Ulikuwaga ni unafki na ushambahata si aibu
@beatricepallangyo2821
@beatricepallangyo2821 2 года назад
Bwana Yesu Awabariki sana Mchungaji Kindago na Bibi Harusi . Mchungaji Dr. Kimaro na Mama Mbarikiwe sana
@lightnesstemba1719
@lightnesstemba1719 2 года назад
Hongera sana
Далее
REV. DR. ELIONA KIMARO: FULFILL YOUR CALLING (KIBIBI)
19:04
MCHUNGAJI HANANJA AMTAJA MASTAI WA KKKT KIMARA
3:39
Просмотров 21 тыс.
SISI NI WAFUPI LAKINI... +255 755 265 290
8:13
Просмотров 2,4 млн
Bibi harusi mtalajiwa amkosa mchumba wake ukumbini.
13:46
DADA WA KAZI MFANO WA KUIGWA
8:48
Просмотров 189 тыс.