Sheikh alhamdu linlah nashukuru kwa maelekezo yako ya dua zako za kinga Mimi kila siku nafuatilia vipindi vyako sheikh, Mimi kwetu Moçambique mocimboa da praia.
Assalaam alaykm warahmatullah wabarakaatuh Shekh ...nauliza je kisomo iko unaweza kusomea nyumba ya biashara pengine uliijenga na haingii watu ( wapangaji ) ...je inafaa...??
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh naomba kuuliza je wasoma kila siku kwa siku saba au wasoma kisha watia Maji mahali watumia hayo kidogo kidogo kwa siku saba
Kuoga kunakokusudiwa hata jagi Moja linatosha kwa siku na huogei chooni yaani MFANO wa kujipaka MAJI hadi yakuchuruzike yaenee mwili wote hiyo ndoo ni NYINGI sana
Kumbuka hana chochote wanataka kumdhurumu vyote wahindi walokuwa ombaomba wakapewa misaada ili wakae kwenye majengo yake akirudi wamlipe especially Tilapia hotel na viwanda vya Samak na hotel na appartments zote zilizojulikana kama Islamic hotel za dar na mwanza
Sheikh yule mtoto alokupa minyaa mwanza kwenye machafuko ya Askari kuua danguro la watoto wadogo shinyanga guest au city link unamkumbuka???mlikuwa pembeni ya fensi ya sanyenge ni mwana wa ALLAH MANAT SALAMA ALLAH RASURI akiluomba msaada wa ukweli utamkumbuka na utamsaidia ki halali???