DODOMA; WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amesema halmashauri zenye uwezo haziwezi kuruhusiwa kuajiri walimu, kwani kufanya hivyo kutasababisha baadhi ya halmashauri ambazo hazina uwezo kukosa watumishi.
-
Ametoa kauli hiyo bungeni leo Juni 6, 2024, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Bahi, Kenneth Nollo, kwenye maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu, aliyehoji kama Serikali haioni busara halmashauri zenye uwezo kuajiri walimu ziruhusiwe kuajiri ili kukabiliana na upungufu wa walimu.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: ....
SpotiLeo: ....
TWITTER;
Twitter HabariLeo: Ha...
14 окт 2024