Тёмный
No video :(

DAKIKA 52 ZA JERRY SILAA ATUMA SALAMU KWA JAJI WA MAHAKAMA ANAYETAJWA KUSAIDIA MATAPELI WA ARDHI 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 10 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 59   
@user-oo1vz3zi1t
@user-oo1vz3zi1t 2 месяца назад
Jelly Silaa na Makonda pia na Mbunge Mpina Utendaji kazi wao nimzur Mungu awaongoze
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 2 месяца назад
Mpina mchumia tumbo
@shabanikitula645
@shabanikitula645 Месяц назад
Mpina hamna kitu
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im Месяц назад
@@msafirimaulidi5054Mpina ni Mbunge safi. Ni mbunge yuko upande wa watanzania. Mpina si muchumia tumbo. Wachumia tumbo wanajulikana. Katika wabunge Mpina ni namba one,
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im Месяц назад
@@shabanikitula645Mpaka uwe na elimu ya kutosha, kuelewa Mpina anazungumuza nini.
@user-pw9ir4fg7x
@user-pw9ir4fg7x 2 месяца назад
Makonda na Slaaa majembe asantee mama kwakutuletea wanaich zawad yenye hof ya mungu
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 2 месяца назад
WAZIRI pekee mwenye uzalendo na utu kwakweli mungu akuweke mh JERRY slaa huna baya kakangu
@user-tm5ls1ml6d
@user-tm5ls1ml6d 2 месяца назад
Nawapongeza sana viongozi wetu p makonda jery sillah kwakazi mnayo fanya nimakubwa ssna hafu nzinto mno hongereni
@AbelMpuya
@AbelMpuya 26 дней назад
Kaka Jerry namimi nimewiwa kukomenti kwa niaba ya wananchi na Taifa letu kwa ujumla kuitangaza kazi nzuri unayoifanya Mheshimiwa Waziri Jerry, sina maneno mengi wala sina maneno yanyongeza Mungu wetu wa mbinguni ameamua kusimama pamoja nasi watanzania wenzagu tulieni yajayo yanafurahisha kwani Mungu wetu wabinguni hawezi kutuacha kwani mbegu ya haki aloipanda Mwenyazi Mungu hakika hustawai milele
@ElizabethPeter-cu8bg
@ElizabethPeter-cu8bg 24 дня назад
Mungu mwema sana tuomba uwalinde kwa kila jambo!🙏🏽🙏🏽
@lucykristensen7145
@lucykristensen7145 2 месяца назад
Jelly Silaa ni baraka ilishushwa na Mwenyezi Mungu aliye hai. Asante sana Watanzania hatuna maneo ya kutosha ya kutoa shukrani zako kwako. Tunakuombea baraka tele kwa Mwenyezi Mungu wewe pamoja na familia yako.
@feruzyjuma
@feruzyjuma 2 месяца назад
Wewe ni rais wetu WA future....Tanzania needs you more than you need us.
@endwardntandu3736
@endwardntandu3736 2 месяца назад
Mh,Silaa mungu wetu wambunguni akulinde akusimamie uendelee kutenda haki ya kuwatetea wanyonge
@mohamedimuhinga9064
@mohamedimuhinga9064 Месяц назад
Haya mazao ya magufuli niliyatarajia na Bado wanakuja mungu awabariki sana jury slaa na p makonda nawengine tunao watarajia
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 Месяц назад
Muheshimiwa mwenyez mungu akuhifadhi inshallah 🙏 mtetezi wa wanyonge
@ombeninnko1800
@ombeninnko1800 2 месяца назад
Big up MH .Slaaa
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 2 месяца назад
HIZI NDIO INJIN ZA MHE RAIS DKT SAMIA (AK) MAMA KIZIMKAZI # TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA MAMA NANI KAMA MAMA🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤❤❤ ?...
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 2 месяца назад
Slaha Rais 2030.apewe ulinzi. Mkali. Rais.msomi.mtukivu.ana heshima mpole.
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 2 месяца назад
Makonda and salaa mungu awalinde ❤
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri 2 месяца назад
Hongera sana Mhe Waziri wa Ardhi kwa Hotuba hiyo nzuri na Mungu akubariki sana.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 месяца назад
jmi mwenzenu huyu mtu daah Mungu wetu amtunze jmni
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 месяца назад
huyu mtu amepania kufanya kazi..tumuombeeni jmni
@uzimameditv8148
@uzimameditv8148 Месяц назад
Hiyo sauti yako waziri inanguvu ya Mungu ya kuiponya Tanzania
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 2 месяца назад
I love this man my god bless him
@shabanikitula645
@shabanikitula645 Месяц назад
Hiii kichwa Mungu ailinde
@HashimYahaya-hd3zm
@HashimYahaya-hd3zm Месяц назад
Mungu akurinde waziri wetu
@rajatially8628
@rajatially8628 Месяц назад
Mungu akulinde
@rajatially8628
@rajatially8628 Месяц назад
Mungu akutangulie
@EliasJohn-lc8nu
@EliasJohn-lc8nu 2 месяца назад
Kiongozi wangu Bora kabisa slaaa and makonda
@user-my5yp6xx5s
@user-my5yp6xx5s 2 месяца назад
Mungu wenu Samia mnamsahau ata muumba wa vitu vyote mnamsujudia mtu duuuuuu
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 2 месяца назад
Yuko wapi wasila hatuja wahi kusikia kazi yake laisi anazidi kupewa kazi anadawa sana
@CizaDangote
@CizaDangote 2 месяца назад
Huyu Waziri Slaa iwapo atapewa urais uwenda viato vyamagufuli vikamtosha au akawa zaidi ya Magufuli.
@HanafiRamadhani-vf4de
@HanafiRamadhani-vf4de 2 месяца назад
Ndugu yangu hataapewe ulais viatu vyamagufuli nivikubwa mno
@user-mp4yt7ps5q
@user-mp4yt7ps5q 2 месяца назад
Piga kazi silahaa Mungu akulinde
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 2 месяца назад
Kungekuwa na ugombeaji wa urais 2025 ukaweka majina haya Mh. Mpina, Jerry slaa , H. Bashe na akaja P. Makonda ingekuwa ngoma ngumu. LAKINI kwa mizengwe ya CCM wamebana nafasi kwa makusudi. 2025 wanamwachia xxxx
@user-er5to1ko1y
@user-er5to1ko1y 2 месяца назад
Ameen kubwa Sana,hakuna mkamilifu
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im Месяц назад
Je huyu Jaji ataendelea kuwa jaji? Nchi za kiafrica tutabakia masikini ikiwa matapeli na wezi wa mabilioni wanainunuwa sheria
@AlistidiusKagyabukama
@AlistidiusKagyabukama 2 месяца назад
Ubarkiwe sana mtumishi wa Mungu
@AlistidiusKagyabukama
@AlistidiusKagyabukama 2 месяца назад
Wewe na makonda na mpinq ndee mbarkiwa
@user-mp4yt7ps5q
@user-mp4yt7ps5q 2 месяца назад
Kunambi anakupiga vita silahaa piga kazi
@EsterEdward-eo6ds
@EsterEdward-eo6ds 2 месяца назад
SAFI SANA NIMEIPENDA HIYO NI KWELI KABISA WANAFANYA UDHAMINI KISHA WANAPOTEA WAKIRUDI WANARUDI NA MBINU NYINGINE YA KUWAPA WANACNHI NOTSI HII SIYO HAKI KABISA NI KUWAONEA WANYONGE
@Don_Saleh_
@Don_Saleh_ 2 месяца назад
Kila tukija kwako unatupiga miezi mpaka watu tunaamua kumtafuta milady ayo labda tutasikika .
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 2 месяца назад
Kwahy usaidiweje huku mtandaoni
@jacksonpriva7664
@jacksonpriva7664 2 месяца назад
Usichoke vumilia ipo siku yatakwisha
@syliviakente9460
@syliviakente9460 2 месяца назад
Nenda chuma No 303 ghorofa ya 3 iliyokuwa Wizara ya Ardhi kwa Bwana Jacob Ngowi atakusikiliza suala lako litafanyiwa kazi !
@Don_Saleh_
@Don_Saleh_ 2 месяца назад
@@syliviakente9460 sio kwenda kwake tuu nishaonananae mara nyingi na mpaka namba yake ninayo mpaka kukutana na waziri mwenyewe tayari lakini kilichobaki ni ninapewa kalenda tuu swala lishafikia mwisho lakini bado nazungushwa tuu .
@ZaycargoMovers-vx6lf
@ZaycargoMovers-vx6lf 2 месяца назад
Bado hakuna haki
@marthaswai1185
@marthaswai1185 2 месяца назад
Kuna mtu humo ndani huwa ana vita na mawaziri wa ardhi kila wakiingia.Ilikuwa aliyepita.Na sasa huyu.Piga Kazi Mheshimiwa Slaa. Mungu yuko upande wako.
@user-vf5gs7ik7w
@user-vf5gs7ik7w 2 месяца назад
Wizara imepata mwenyewe kafiti Kila kona
@michaelmwaiteleke9488
@michaelmwaiteleke9488 2 месяца назад
Brother jer piga kazi achana na akina kanyasu hao wanataka kukuondoa kwenye mstar
@EsterEdward-eo6ds
@EsterEdward-eo6ds 2 месяца назад
DAWA YA DENI NI KULIPA .
@user-er5to1ko1y
@user-er5to1ko1y 2 месяца назад
Mahakamani ni wengi waovu
@user-qg1tr8ub5p
@user-qg1tr8ub5p 2 месяца назад
Gip
@SuleAmber-lw2tx
@SuleAmber-lw2tx 2 месяца назад
Kuna Makonda na Slaa hawa watu ni wachapakazi
@mpefu_4936
@mpefu_4936 2 месяца назад
Nyoosha wale wanapora aridhi za wanyonge
@mpefu_4936
@mpefu_4936 2 месяца назад
Hawa vijana Wana busara na akili sana wapeni vijana kazi mm
@dr.sendeuonlinetv2916
@dr.sendeuonlinetv2916 2 месяца назад
Rais wetu wabadae mashaallah 🙏🙏🙏
@rajatially8628
@rajatially8628 Месяц назад
Mungu akulinde
Далее
NOOOO 😂😂😂
00:14
Просмотров 13 млн