Тёмный
No video :(

Silaa afunguka Wabunge zaidi ya 30, Manaibu Waziri 6, na Waziri kupigwa ardhi Dodoma 

Mwananchi Digital
Подписаться 992 тыс.
Просмотров 27 тыс.
50% 1

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amesema Wabunge zaidi ya 30, Manaibu Waziri 6, Waziri mmoja na Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ni miongoni mwa waathirika wa migogoro ya ardhi iliyosababishwa na baadhi ya watumishi wa ardhi kwenye jiji la Dodoma.
Silaa ameyasema hayo wakati akihitimisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2024/25 leo Jumatatu, Mei 27, 2024 jijini Dodoma.

Опубликовано:

 

26 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 98   
@ministeribramore3694
@ministeribramore3694 2 месяца назад
Huyu brother amenyooka. Sana🙏
@bonaventuremwambaja6278
@bonaventuremwambaja6278 2 месяца назад
Hongera sana kazi nzuri Mhe. Waziri.
@user-qx5tf8xn2d
@user-qx5tf8xn2d 2 месяца назад
Hongera sana waziri Jerry Slaa. Shida bado iko huku chini (Mawilayani) yale maneno ya kitabu cha kutoka 28:3 hayamo mioyoni mwao. Bado unayo kazi ngumu huku chini. Nakuombea neema tele toka kwa baba wa Mbinguni.
@user-hs7vq1jo2q
@user-hs7vq1jo2q 2 месяца назад
Wewe ni nguzo kuu ya Tanzania umetenda miujiza sana na bado unatenda . Nakukubali sana kaka. Mungu akulinde sana
@josephmasenga3517
@josephmasenga3517 2 месяца назад
Amina. Mungu atukuzwe.
@wanguwangu34
@wanguwangu34 2 месяца назад
Ningeulizwa kuwa Tanganyika kuna mawaziri wangapi ningesema mmoja tu naye ni Jelly Silaa, na iko na mkuu wa mkoa mmoja tu ngugu Albert Bashite maarufu MAKONDA,big up yenu.
@micahallen5612
@micahallen5612 2 месяца назад
Waziri namkubali sana,,,,Toka atoke Lukuvi naona huyu ndiye aliyevaa viatu vyake vizuri
@nyiqatonyiqa7114
@nyiqatonyiqa7114 29 дней назад
Ridhiwani kikwete alifanya vizuri pia ila muda wake ulikatizwa gafra 😢
@frolencejovenary667
@frolencejovenary667 2 месяца назад
Kulingana na uelewa wangu, kuna watu au viongozi wa nchii ni waadirifu sana, to mention few among many, kuna Huyu Jerry Silaa, Kuna Makonda na Kuna Bashungwa. Hawa watu wanapiga kazi sanaa kuliko maelezo sanaa. MUNGU AWATANGULIE KATIKA KILA JAMBO
@sirajkiondo50
@sirajkiondo50 2 месяца назад
Unamuonaje waziri wa maji (Aweso)
@josephmatiko4805
@josephmatiko4805 2 месяца назад
Nafuraha saana,nikiona vijana kama hawa wanaotaka kubadilisha nchi hii kutoka mikononi,mwa majizi,hongereni sana wavijana wa Magufuli wetu
@selinalawala2270
@selinalawala2270 2 месяца назад
Mungu akutunze mh waziri wa ardhi. Haki huinua taifa.
@wilfredmaimu1958
@wilfredmaimu1958 2 месяца назад
Hongera sana kaka jer mungu akulinde utokapo na uingiapo🎉🎉🎉
@aloycemwakatala2796
@aloycemwakatala2796 2 месяца назад
Hakika mutu huyu kashushwa na Mwenyezi Mungu, nakuombea uishi siku nyingi watu waweze kupata unafuu
@AhmedAli-by4qr
@AhmedAli-by4qr 2 месяца назад
Hadi raha Mola azidi kumpa afya njema amkinge na maadui
@kingarushamsi-gi6yr
@kingarushamsi-gi6yr 2 месяца назад
Mhe. Bwana mdogo tuko nyuma yako tunakuombea munyezi mungu akulinde na akutangulie ktk kazi yako
@mmwaupete6265
@mmwaupete6265 2 месяца назад
Kazi nzuri mheshimiwa Silaa. Tatizo la utapeli wa Ardhi linahusishwa na watumishi wa ardhi wasio waaminifu. Bila kujenga mfumo imara, itakuwa ngumu kumfikia kila aliyedhurumiwa.
@EmanueliMichael-sf3ur
@EmanueliMichael-sf3ur 2 месяца назад
Vijana wa magu Makonda&Silaa
@sheikhaswalehsalim3392
@sheikhaswalehsalim3392 2 месяца назад
Kweli kabisa mwenyezi mungu amhifadhi Samia na wewe waziri wetu kazi ngumu sana .mwenyezi awahidhi Ameen Ameen Ameen you 🙏
@wilfredmaimu1958
@wilfredmaimu1958 2 месяца назад
Hongera sana kaka jer mungu akulinde utokapo na uingiapo
@PartySekemi
@PartySekemi Месяц назад
Mungu akulinde mtetezi wa wanyonge shikamoo mpina
@VictorNdeoya
@VictorNdeoya 2 месяца назад
Yesu asante nenolako latajwa katikati yamatifa pokea utukufu mungu ulie hai
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 месяца назад
Wabunge na viongozi wafuate mfano wa viongozi wetu wanamapinduzi Slaa na Makonda❤❤🎉Tutaendelea.🎉
@UwesuMatimbwa
@UwesuMatimbwa 2 месяца назад
❤mimi nina kuombea dua kubwa sana kwa mwenyezi mungu akupe uhai mrefu mjomba silaa kwa kutetea haki za wanainchi tanzania naitwa ally uwesu Matimbwa may god be with you all the time uncle silaa
@HusnaSakala
@HusnaSakala Месяц назад
Kwakweli waziri huyu mungu amtumze nakupongeza sana
@eliasmedutieki7578
@eliasmedutieki7578 2 месяца назад
Bora mmejua hilo hao majaji ni wala rushwa pia
@user-zq7gw4ik7g
@user-zq7gw4ik7g 2 месяца назад
Sawa kabisa mh waziri jery uko juu si tunakuombea tulio kwisha tapeliwa ardhi .
@elizabethtenge152
@elizabethtenge152 2 месяца назад
Hongera kaka jer kwa kazi nzuri Mungu akulinde na kukutunza
@BernadoMwalongo
@BernadoMwalongo 2 месяца назад
Waziri upo vizuri wote wangekuwa hivyo nchi ingepaa
@justinekigomboa
@justinekigomboa 2 месяца назад
Kabisa
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 2 месяца назад
Sanaaa
@josephmatiko4805
@josephmatiko4805 2 месяца назад
Vijana wa Magufuli kazi nzuri,hatutaki,katika nchi hii
@CharlesMasanja
@CharlesMasanja 2 месяца назад
Tunahitaji utumishi wa namna hiyo. Mh. Waziri wa Ardhi hafanyi siasa bali anafanya kazi ya utumishi wa umma. Hakuna sababu ya kuwa na maneno laini wakati wananchi wengi wanaumia.
@tumainisangaonline6536
@tumainisangaonline6536 2 месяца назад
Mungu akubariki sana na akutunze na uendelee kuwa msaada mkubwa kwa Watanzania wote na hasa wanyonge
@ZeldaMariki-jd1gy
@ZeldaMariki-jd1gy 2 месяца назад
Unaeleweka vizuri asna mkuu
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 2 месяца назад
Na mungu atakupigania yupo na wananchi wa gongolamboto ukonga tuko pamoja usile lushwa ni laana kua kama magufuli na Mzee mpinda kibuli ni laana wakubwa na wadogo
@user-uy5nx1bj5r
@user-uy5nx1bj5r 2 месяца назад
Wewe ndiyo Feature ya rais wangu wa 2030
@annakapolondo7771
@annakapolondo7771 2 месяца назад
Definition of a true leader🎉
@sokastreet
@sokastreet 2 месяца назад
Upo sahihi kiongozi, watu wananyanyaswa sana na kudhulumiwa mali zao
@abdulsaidnaumanga2692
@abdulsaidnaumanga2692 2 месяца назад
Huyu brother ni Raisi ajae, mark my words ✍️
@piusmaduka
@piusmaduka 2 месяца назад
Je makonda
@valenakomba7686
@valenakomba7686 2 месяца назад
AMIINA SANAA. MUNGU AKUBARIKI.
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 2 месяца назад
WANYOSHE AO WALIKUA WEWE NA TAMAAA KUMBE MESHUSHWA NA MUNGU
@user-sj1rf8ij7f
@user-sj1rf8ij7f 2 месяца назад
Hiki ni kifaa cha kazi, Hii wizara imesimama imara. Jerry Slaa talipwa na Mungu
@user-kt4on5xu6y
@user-kt4on5xu6y 2 месяца назад
Kesi ya arithi kilosa wafugaji na wakulima,hili haliwezekani kwani mkulima ni masikini.
@user-hs7vq1jo2q
@user-hs7vq1jo2q 2 месяца назад
Hotoba nzuri yenyemipango sahii na yakuiponya miyoyo ya wananchi. Kweli jerry Mungu akulinde sana
@aminitu3766
@aminitu3766 2 месяца назад
Hotuba yako iliyotukuka inanitoa machozi safi sana mkuu
@wanguwangu34
@wanguwangu34 2 месяца назад
Silaa uko vizuri sana Mungu akuinue zaidi zaidi, wewe ni waziri wa serikali ya tanganyika siyo wa jamhuri ya muungano maana huna mamlaka Zanzibar na kuna waziri mwingine,lkn mawaziri tumwogope na Mungu kuwa Zanzibar inaye Rais na Muungano wa tanzania lkn serikali ya Tanganyika iko wapi?
@MuhungaMasengo-og3vk
@MuhungaMasengo-og3vk 2 месяца назад
Majembe ya marehemu j p m mungu awenanyi
@saidbakar-qo6ri
@saidbakar-qo6ri 2 месяца назад
Huyu hakuwahi kuwa waziri wa magufuli ili ni jembe la mama samia
@onelovetz7935
@onelovetz7935 2 месяца назад
​@@saidbakar-qo6ri huyu ni mwanafunzi wa Magufuli aliyefuzu masomo kweli kweli Magufuli alifuzu masomo ya nyerere akiwa mtoto wa miaka 6 sembuse jerr sraa makonda humuoni wengine ni vibaraka tu
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 2 месяца назад
Nakukubali sana muheshimiwa
@MakameAbdallah-wn3hc
@MakameAbdallah-wn3hc 2 месяца назад
Jerry Slaa Hapa watanzania tumelamba dume
@user-bp2cc9eo6g
@user-bp2cc9eo6g 2 месяца назад
Dah!,lulu iliyokuwa imefichika,tunamshukuru Rais wetu kumuamini ili awatumikie wa TZ
@toshindugwa1085
@toshindugwa1085 2 месяца назад
Ahsante MUNGU
@oliverwhite1676
@oliverwhite1676 2 месяца назад
Hila Hawa dumu majizi usaidiana na majasusi kutoka roho za wachapakazi ongera Sana Dr Jery
@MuhungaMasengo-og3vk
@MuhungaMasengo-og3vk 2 месяца назад
Dada yangu 2005 Amina chifupa kusema ukweli2 mkampoteza mungu awBariki yanga bingwa
@KenMolloimet-fl6rd
@KenMolloimet-fl6rd 2 месяца назад
Maigizo
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 2 месяца назад
Huyu Jaji kwa kuchunga haki za watanzania, inatakiwa ajiuzuru na ikiwezekana achukuliwe hatua. Kumuacha kwenye position yake ni kukubaliana na maovu aliyoyafanya.
@RamadhanKatala
@RamadhanKatala 2 месяца назад
Ukongo oyeee
@mishiabdu7478
@mishiabdu7478 2 месяца назад
Mungu azidi kukupa nguvu
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri 2 месяца назад
Tunataka wanaume kama ww Mhe Waziri wa Ardhi. Na tunasikia kuwa hata kesi ya bilionea Msuya ikisemekana shahidi muhimu kama yule Dada wa kazi hakutoa ushahidi, pengine kwa kusahau kwa makusudi au kwa bahati mbaya lkn nani wa kusubutu kuwagusa?
@TopTour-rp5jd
@TopTour-rp5jd 2 месяца назад
Double allocation ni janga na inafanywa na maafisa ardhi kwa makusudi kwa nia ya kujipatia fedha na kukidhi njaa zao
@sheikhaswalehsalim3392
@sheikhaswalehsalim3392 2 месяца назад
Ameen Ameen Ameen 🙏
@user-qg5yd9ki4v
@user-qg5yd9ki4v 2 месяца назад
Mambo ya mkeo ss ya nn ufala amfanyi jaz yyte mnauza nchi2
@basleymrema8675
@basleymrema8675 2 месяца назад
Bado wale wamiliki wa ardhi wanaoziba barabara
@goshenieagleWOG
@goshenieagleWOG 2 месяца назад
UBAKI HAPO HAPO WASIKUTOE WEWE HII WIZARA UNAWEZA KABISA
@EdenAChoir
@EdenAChoir 2 месяца назад
tunaomba uwasaidie watu wa tondoloni kujua hatima yao ili kumaliza mgogoro wa eneo hilo la kisarawe
@NassoroSipemba
@NassoroSipemba 2 месяца назад
Hapo mh umeteleza ama umesahau Diamond huyu sio mtu mkubwa huyu ni mtu mashuhuri.
@AhmedSheiban
@AhmedSheiban 2 месяца назад
Mh slaa kibaha pwani tunamatatizo makubwa na utatuzi hakuna Kila siku tunaambiwa njoo kesho njoo kesho Sasa ni miaka inaenda tunakuomba uje kibaha pwani utusaidie wanainchi
@ChristmasMaheri
@ChristmasMaheri 2 месяца назад
Ardhi ya biashara ya carbon credit,Loliondo,na Kilimanjaro International Airport inafuata utaratibu,kanuni na sheria au Katiba ipi?
@TopTour-rp5jd
@TopTour-rp5jd 2 месяца назад
Double allocation ni janga kwa dodoma jiji mi mwenyewe nimepigwa kiwanja kwa namna hii
@jacklinelyimo7407
@jacklinelyimo7407 2 месяца назад
Tunashukuru kwa nafasi uliyopo
@maggiehiza5884
@maggiehiza5884 2 месяца назад
Hapo umekosea...kuhusu Mbeya kwamba mtafanya kwa ajili ya Speaker??? How about wasio na speaker? You are doing well..lakini hapo umeteleza.
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 2 месяца назад
Hiyo Kisi myaka yote kesi Iko japani au Tanzania au
@muhammednassor3569
@muhammednassor3569 2 месяца назад
Kichwa hicho cheza nacho ufungwe
@toshindugwa1085
@toshindugwa1085 2 месяца назад
MUNGU wetu wa mbinguni akukinge na kila baya hakika haki ya wanyonge isipokwe na wajuni
@MuhungaMasengo-og3vk
@MuhungaMasengo-og3vk 2 месяца назад
Nileteheni awa
@hajikadoma1652
@hajikadoma1652 2 месяца назад
Mh tunakuomba wilaya ya Kilosa kunamadudu mengisana karibu
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 2 месяца назад
MIE HALMASHAURI WAMEPITISHA BARABARA KWENYE ENEO LANGU.HAWAJANIPA FIDIA YA ENEO LINGINE
@user-oh6pc7zd4s
@user-oh6pc7zd4s 2 месяца назад
FIDDA HUSSEIN NI TAPELI PAPA NAMBA MOJA NCHI HII NI MNYAMA ASIE NA HURUMA WALA UTU HATA KIDOGO
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 2 месяца назад
Akitoka Bashe...alafu Jerry Slaa..na kuna Mavunde nimependa na nawapokeza kwa kunyookaa...Mama 2025 tunaenda naye.
@valenakomba7686
@valenakomba7686 2 месяца назад
KAMA KINA MAMA CHATANDA . KAZI KUKOSOWA TUU.
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 2 месяца назад
Huyu ni kiongozi
@toshindugwa1085
@toshindugwa1085 2 месяца назад
Hakika
@simonmwaliru8590
@simonmwaliru8590 2 месяца назад
Mheshimiwa unaongea maneno mazito sana,hivi tamaa itatufikisha wapi?
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 2 месяца назад
Hapana tulipe wote hata Mzee Kwa maendeleo yetu wote
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 2 месяца назад
Nikama kaka yake mpinda pambana na sela za aridhi ziwe za kisa
@KingKong-gu5qn
@KingKong-gu5qn 2 месяца назад
😂😂😂😂😂sasa muda wote anaumaliza kushukuru na kusifia bunge la ajabu dunia
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 2 месяца назад
Tudai huduma nasi tulipe Kodi halali
@aminitu3766
@aminitu3766 2 месяца назад
Duh!!mwamba salotte sana
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 2 месяца назад
Una stahili kabisa salimiya 98
@omarimsangi4075
@omarimsangi4075 2 месяца назад
KWA KUUPEPETA TU TZ HATUJAMBO
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 2 месяца назад
Mmh 😂😂😂
@husseinsalumsoud122
@husseinsalumsoud122 2 месяца назад
Tunakutakia Kila la kheri na tunaamini wewe ndio mkombozi wa walio onewa
@wilfredmaimu1958
@wilfredmaimu1958 2 месяца назад
Hongera sana kaka jer mungu akulinde utokapo na uingiapo🎉🎉🎉
@wilfredmaimu1958
@wilfredmaimu1958 2 месяца назад
Hongera sana kaka jer mungu akulinde utokapo na uingiapo
Далее
ТАЙНЫ И ЗАГАДКИ ИНТЕРНЕТА 2
41:37