Kwa idadi hiyo boss mwaka ungekuwa unaisha dunia pia wameisha hapo hujaweka ajari ,magonjwa ,+ hao wanyama dunia nzima mwanaka ukiisha na binadam wanaisha punguza idadi kaka
Shida mnashindwa kuelewa kinachozungumzwa dah! Mnakulupuka tu, hapa hajasema sababu zinazouwa binadamu kwa wingi ila ametaja sababu za wanyama wanaouwa binadamu kwa wingi.
Fanyen takwemu yenu iyo vizuri kwasisi tunaokaa sana maporin akuna mnyama hatari sana kuliko wote kama nyati na nyoka hao ndowanyama hatari sana nakuja huku nashanga kusikia nyati hawapo hata kwenye top 10
Kwenye mbu jombaa umechemka, mbu sio mnyama na hayupo kwenye kundi la wanyama kwa aina zote, nyoka anaweza kuwa kwenye jamii ya mnyama sababu wapo nyoka hawatagi ila wanazaa, mbu ni mdudu. Hivyo hausiki kwenye hii orodha.
Ww ndio umechemka ndugu mbu ni mnyama sema yuko kwenye kundi la wadudu,kiufupi tu kuna aina mbili za viumbe hai yaan mimea na wanyama sas swal kwako mbu ni mmea au manyama
Mnatudanganya, kiboko ndo mnyama anayeongoza kwakuua binadamu kuliko mnyama yeyote mbugani, sasa tembo na mamba wanakujaje? Tabia ya kiboko anaua usiku na anaua akikuta mtu anapita kwenye njia yake, na tabia yake hua akianza kukimbiza hawezi kukuacha lazima akukamate, huyo ndo kiboko, did you know?