Тёмный
No video :(

HII NDIYO HOTEL YA KIFAHARI ALIYOJENGA BILIONEA WA MAGARI MUSOMA, ANA BEACH NA BOTI LA KISASA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 101 тыс.
50% 1

Ni mwendelezo wa Episod kuhusu mfanya biashara bilionea Rama Msumi mwenye asili ya Musoma, Mara na kufanya uwekezaji wa hotel ya kifahari na yutch bot iliyopo kwenye eneo lake la beach, amewekeza kwenye mengi ikiwemo mpaka nje ya nchi, na kwa Musoma Tumezungunza na Meneja wa Legrand Victoria Hotel, Magembe Daniel aliyeelezea zaidi uwekezaji wa hoteli hiyo.
Legrand Victoria Hotel Musoma
Email: legrandvictoriahotel@gmail.com
Contact: +255 658 059 867 +255 762 198 409

Опубликовано:

 

14 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 82   
@user-bz2bg5bf3y
@user-bz2bg5bf3y 4 месяца назад
Mashallah mabrouk tabarakhaallah good job SOMO inshaallah khilla RAMA MSOMI
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 Год назад
Huyo manager director hajui kujielezea vizuri hana motivation
@koposehamisi6317
@koposehamisi6317 10 месяцев назад
Njoo ukielezee wewe
@simonmwaliru8590
@simonmwaliru8590 Год назад
Hongera sana kwa kukumbuka kuwekeza nyumbani. Ni vizuri kumsupport katika biashara zake,ndiyo ubinadamu huo.
@MursalMursal-op3ly
@MursalMursal-op3ly Год назад
Champion ndani ya nyumba🎉🎉🎉 shukurani sana kwa ayotv kwa kuchagua usafiri bora kanda ya ziwa mwanza to msm #champion express... Karibu usafiri nasi kila siku kwa safari za mwanza to msm nyakati zote kuanzia saa mbili asbh mpka saa mbili usiku... Tunakujali tunakupenda abiria wetu tunakufikisha kwa wakati ni champion pekeeeeeeeeee
@glorydaniel8624
@glorydaniel8624 Месяц назад
Naomba mumtagg manager ,nataka kuomba kazi hapa
@mohamedshaaban9740
@mohamedshaaban9740 Год назад
This man Rama Musomi Allah give you more and more. You are our mentor always.
@kingkendrickk
@kingkendrickk Год назад
Manager smart Sana
@denicegaspar9479
@denicegaspar9479 Год назад
Hapa ni shalala Wana huduma nzuri kweli🙏
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 Год назад
Muendelee kutuma nazakutolea mafanikio mtayaskio studio 🎙️🎙️🎙️
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Год назад
🤣🤣🤣🤣
@halimahalima1488
@halimahalima1488 Год назад
MashaaAllah tabaraka Allah 👏❤️
@andreamathew4585
@andreamathew4585 3 месяца назад
Naomba kazi
@rastapeace9616
@rastapeace9616 10 месяцев назад
Mungu akupe umri mrefu na afya njema kwa kuweza kuja kuekeza kwenu na kuwasaidia watanzania wenzako
@user-gd6qi3ot8y
@user-gd6qi3ot8y Год назад
Chama la wapigaji tanzania😂😂😂huyu ndo atakuwa mwenyekiti sababu yeye ndo katoboa kuliko wote, Hawa ndo matapeli wakubwa tanzania wanaoperate nairobi/mombasa tu.. enzi zao maokoto kama mchanga.. Wapi mtemi zumbe😂😂😂team moja
@saimontipaa6887
@saimontipaa6887 Год назад
Very beautiful hotel
@hafidhclassic5862
@hafidhclassic5862 Год назад
Congratulations Boss Allah akuzidishiee Una baya na mtu tajiri 🤲🤲
@RizikiRiziki-bp6dx
@RizikiRiziki-bp6dx 11 месяцев назад
Hongera Kaka yangu.
@kingkendrickk
@kingkendrickk Год назад
Inabidi aongeze nyingine vyumba 20 very few
@eramboya8724
@eramboya8724 Год назад
Ikopoa sna hyo boss rama msomi na Kenya weka kitu kma hyo
@seneu.2128
@seneu.2128 Год назад
Anayo Kenya ipo Mombasa
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 Год назад
Inspiration
@ramadhanhewass8023
@ramadhanhewass8023 Год назад
Legrand hotel rama aje babat manyara kuna maeneo mengi ya milima na ziwa babat japo ni dogo aweke pia hotel hata hadhi yake ikiwa nyota 4 location ya mkoa wa manyara ni amaizing sana na na ni mji wa kitalii na jiran na musoma pia kwa kuoitia goma serenget ila kwa babat ndo sana location kama mjengo ukiwa mliman kwenye miteremko ya milima ndo inashukia ziwa babat na pia kuna kama hekar 12 katikati ya maji ambayo ni ardhi anaishi mtu na analima anafuga pia ingekua vp kama legrand babat hotel ikiwa kwenye mji wa aman na utuliv kama babat afu ni ktk pia mwa nchi yetu
@ramahzedon6688
@ramahzedon6688 Год назад
Peninsula ndo ilikuwa bora kabisa, ila Mativila ndo top kwa sasa huwezi sema Le grand ulinganishe na Mativila
@nahiriali1405
@nahiriali1405 Год назад
Jamaa kafanana sana na sheikhe othman Michael au ndugu nini?
@mtoimohamed6594
@mtoimohamed6594 Год назад
Masha Allah
@jamesmasunyiro8733
@jamesmasunyiro8733 5 месяцев назад
Manager unatakiw kubland zaid ubora wa huduma ya hapa, semea tofaut nying zaid ktk hii hotel ili kuwashawish watu
@twalebleboss9687
@twalebleboss9687 10 месяцев назад
#BLESSINGS......💥💥❤🙌🙌
@user-cu5oc9hg5u
@user-cu5oc9hg5u 11 месяцев назад
Nice
@tabynas4485
@tabynas4485 Год назад
Vidooo nakupenda......
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Год назад
Mimi nipo tu jamani saa zi ngine natamani nisiingie yuoteb ndo mambo kama haya uñawaza mpaka unawazua
@mwana4599
@mwana4599 Год назад
Jamani. Work hard utafik mahali si lazima kufika level ya Rama.
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 Год назад
Mashaallah
@isihakaliyuma1848
@isihakaliyuma1848 Год назад
Pesa ni fumbo jamaani
@shadrackkassale2968
@shadrackkassale2968 10 месяцев назад
Jamaa pesa anazo mazee
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 Год назад
Aiseee
@SaldohMascotRapper
@SaldohMascotRapper Год назад
Millard ayo at least put the hotel name on the description
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Год назад
Asante kwa tangazo
@yahayaramadhani3653
@yahayaramadhani3653 Год назад
Hiii ndo kali musoma nzima
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Год назад
Pongezi Hotel iko poa sana
@kurumwagodfrey7052
@kurumwagodfrey7052 Год назад
Hongeraa
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Год назад
Kwa bahati mbaya musoma hawana timu ya ligi kuu jamaa angepiga pesa ndefu ila hapo amewekeza hela na atavuna tu, Mungu akuwezeshe broo mpambanaji
@gemwatz823
@gemwatz823 Год назад
Wonders
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh Год назад
Saahivi wanayo musoma
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 Год назад
Wekeni Gym please Gymnastics
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Год назад
Hakika mwenzetu kajaribu.
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 Год назад
Nimependa kuwa anapenda vitu vzr na anasema mi mwenyewe najipenda.Kama unacho tumia,hahahahah
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Год назад
Sio kujaribu tu bali kafanya na kafanya tena hii sio kujaribu ni kutenda
@mclee493
@mclee493 Год назад
Mmh kajarib kawez mm hata mgahawa wa mama ntilie cna ..
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Год назад
@@rehemakanyere4188 unapatikana wap rehema.
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 Год назад
Hajajaribu amefanya
@delsonandrea5223
@delsonandrea5223 Год назад
Kuna watu Wana pesa Zaid ya huyo Kama Mara 50 Zaid japo hawajionesh lakin so mbaya nae Yuko vzr sana
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 Год назад
Lakini hapa nahis anatangaza pia biashara sio kujionyesha kuwa ana pesa
@hassanmugire1497
@hassanmugire1497 Год назад
Acha wivu
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Год назад
Anatangz biashr yake sio pesa zake
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Год назад
Anatangz biashr yake sio pesa zake
@samsungtz9148
@samsungtz9148 Год назад
Ww una nini 😂?
@user-ij5ws7xy3b
@user-ij5ws7xy3b Год назад
Musoma ipo maeneogan hiyo
@erickrubanda
@erickrubanda Год назад
Mkoa wa mara
@wakunatahafai1969
@wakunatahafai1969 Год назад
@@erickrubanda hujamuelewa kaka alimaanisha hiyo hotel Iko maeneo gani hapo Musoma je ni mjini au pembezoni mwa mji
@user-lr5wc6kk7m
@user-lr5wc6kk7m Год назад
Musoma mjini,kata ya bweri,mtaa wa kariakoo
@shabanimusa873
@shabanimusa873 Год назад
Kata ya Iringo barabara ya Kenedy mtaa wa Iringo c
@shabiruponera4323
@shabiruponera4323 Год назад
Billionaire...?? In term of shiling or
@dannywillson5874
@dannywillson5874 Год назад
Usiseme billionea sema milionea
@hamzaswaibu9470
@hamzaswaibu9470 Год назад
Huyu ni bilionea so mchezo
@IsraelKisaila
@IsraelKisaila Год назад
Bei ni sh ngapi kulala kwa siku?
@Iamsasboy
@Iamsasboy Год назад
800,000 per night
@georgetanzania332
@georgetanzania332 Год назад
🤑🤑🤑
@IsraelKisaila
@IsraelKisaila Год назад
@@Iamsasboy napata HUDUMA zipi na zipi ?
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 Год назад
​@@Iamsasboywee lakin name au elfu 80
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Год назад
​@@mariamkibindo1741nilitak kujua pia
@Movies_headquarter
@Movies_headquarter Год назад
Tumpe bandari
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Год назад
😂
@souksoukeventsandmarketing653
Hiyo ndio hotel kubwa tulifanya utalii Musoma tulikosa vyumba vimejaa hii Hotel ,tukalala hotel nyingine ni chafuu tulizunguka kutafuta hotel zingine Mpaka saa 7 usiku hotel ni mbaya mashuka na vyoo hatari wa Huduma.Musoma wanahitaji uwekezaji tulizunguka sana kutafuta hotel ya ⭐️⭐️⭐️ hakuna I promised not to visit Musoma ever again
@selanyikatv
@selanyikatv Год назад
Namdaa sijamuon @dullah_tz
Далее
Out Of Focus Live | 03 August 2024
38:22
Просмотров 55 тыс.
Муж на час 😂
00:37
Просмотров 1 млн
Ujenzi  Wa Apartments wa Gharama Nafuu
2:51
Просмотров 18 тыс.