Shukran kwa maoni yako lakini kimantiki kitu kinapofanana na kingine hakiwi kitu hicho. kwa hiyo UISLAMU HAUFANANI NA UKWELI BALI UISLAMU NDIO UKWELI WENYEWE
Izi Imani ukizifatilia kisayansi au kwa ufahamu wa mwanadamu hupati majibu ila katika dini kabisa ambayo inaelekeana na uchunguzi wa kisayansi Quran pekeake ndio Ina majibu
Ni kweli. Wanadamu wajibu wetu kutii kama mfano wa jua , lenyewe kila siku linatoka mashariki linaenda magharibi, lenyewe halihitaji chakula wala maji wala petroli wala dizeli lakinii linamtii MOLA wake, iwaje wewe unaye hitaji chakula ili upate uhai barafu unakisa kumtii Mola wako. Binadamu tubadilike.
Somo lako ni zuri ila kitu unakosea unaposema kuwa uislam ndo dini ya kweli..tambua kuna wa kristo pia tunaangalia kama mm binsfi uwa nakufuatiliaga sana kwaiyo mm pia nina iman yangu ya kikristo na ndo naamini dini yangu ya kweli..