Kazi njema. Ningeshauri kwa kuwa kila chumba ni master, hicho choo ya public kiwe ni choo tu pasiwe na bafu. Sitegemei mgeni aje kusalimia kwa muda mfupi atake kuoga.
Hapo hapana nyumba haiko sawa IPO chini sana utafikili nyumba ya kijijini japokua kijijini Napo wamestuka unavojenga nyumba ya mtu boss tafakali kua baadae kutakua na ongezeko la nyumba ktk hayo maeneo