Тёмный
No video :(

FULL BAJETI YA RAMANI YA ROOMS 4 SIKILIZA UPATE KUJUA GHARAMA ZAKE  

Sanuka Media
Подписаться 46 тыс.
Просмотров 87 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 153   
@omaryjommo5591
@omaryjommo5591 2 дня назад
Hey bosi nimeipenda hii dizini ya nyumba ningependa kama nahitaji kila chumba kiwe na choo chake na choo cha pabliki harama zake inakuwaje
@user-mr5yf1hp7t
@user-mr5yf1hp7t 3 месяца назад
Mashaallah nimefrah sana maana ukijua kinachaendelea ni vizuri sana asante kwakutuekawazi.
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 7 месяцев назад
Kazi ni nzuri sana tatizo ni maelezo, kibiashara hujielezi vizuri kuna sehemu unavyoziweka zinatia shaka kwa wachambuzi wa lugha otherwise Big Ups
@MatildaMakawia
@MatildaMakawia 7 месяцев назад
Asante sana bro nimepata picha halisi ya ujenzi na imeniondolea wasiwasi
@user-pg7rd1xp2r
@user-pg7rd1xp2r 7 месяцев назад
Bro hongera sana kufananua vzr ujenzi
@harounkiyungi7288
@harounkiyungi7288 11 месяцев назад
Nimefarijika sana kuona taarifa za ujenzi wa hidden roof na gharama zake in sha allah nitaweza kutimiza ndoto zangu na mie atleast nimepata relie, kaka tuombe uzima nitakutafuta mkuu
@user-kt9ot3vm5d
@user-kt9ot3vm5d 10 месяцев назад
Million kumi na nne unajenga nyumba yavyumba vingapi
@harounkiyungi7288
@harounkiyungi7288 10 месяцев назад
@@user-kt9ot3vm5d hahahah kaka inabidi tuone mambo yanawezekana maana kimtazamo sio rahisi kaka ila at least uki twist ubingo namna unavyoona jambo gumu na kuwa jepesi unaweza kufanikiaha ila to be honest hiyo bajet utaaishi kujenga pagala na kuweka bati kama eneo sio complected otherwise utatakiwa kuidouble ili ukamilishe
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 7 месяцев назад
Nimefurahia Sana Kupata Maelezo Ya Ujenzi Wa Hiyi Nyumba Nawashukuru Sana Ila Pendekezo Ingelekuwa Kama Hivi Kisha Tuaona Mkato Wandani Na Pande Zilizo Baikia
@pauljoseph4022
@pauljoseph4022 7 месяцев назад
Hapa umenichanganya mwamba Tofari tu umesema sh 2,500,000 nondo 40 @sh 20,000 sawa na 800,000 Kuna Cement 85 @sh 17,000 Kuna Mchanga na Kokoto Jumlisha vizuri total
@Neighborsjiran
@Neighborsjiran 7 месяцев назад
Shukran
@suleymanpongwa4588
@suleymanpongwa4588 6 месяцев назад
Nimeipenda sana na itasaidia sana kwa wale wanaotaka kujenga
@brunongelangela2709
@brunongelangela2709 7 месяцев назад
Hongera sana wewe ni mzalendo wa mafanikio hakika
@user-oy3pp1lb4d
@user-oy3pp1lb4d 5 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤ ngoja nijipange jomba
@witnessmallya5114
@witnessmallya5114 7 месяцев назад
Asante kwa ufafanuzi, umetuhamasisha pakubwa
@user-ge8qx5wd3o
@user-ge8qx5wd3o 9 месяцев назад
❤❤ je nikiamua baada ya muda niipige bat inawezekana
@benjaminjoseph1747
@benjaminjoseph1747 9 месяцев назад
Saaafi sana. Tuwekee mjengo wa apartments zenye kibalaza. Chumba kimoja na vyumba 2. Choo ndani. Kibalaza kwa ajili ya privacy kama mtu anapika nje na mkaaa. Thanks
@didacianapeyton5798
@didacianapeyton5798 11 месяцев назад
Nahamia Dar hivi karibuni nitakutafuta .Hongera kwa kazi nzuri
@didacianapeyton5798
@didacianapeyton5798 11 месяцев назад
Hivi karibuni
@didacianapeyton5798
@didacianapeyton5798 11 месяцев назад
Je inawezekana ikawa vyumba 3 badala ya 4? Kwa ukubwa huohuo ?Ili nyumba hii iwe na balcon mbele kubwa na pembezoni mwa chumba cha master??
@MrMachume
@MrMachume 6 месяцев назад
Safi kabisa, umetufungua ufahamu. Napenda kujua kuhusu msingi maana hujaongelea, au bajeti yake iko humohumo?
@ismailgumbo289
@ismailgumbo289 7 месяцев назад
Safi sana mungu akulipe kheir
@Mazoea
@Mazoea 4 месяца назад
Nimeipenda hii Ramani
@Salumchiwili2023
@Salumchiwili2023 7 месяцев назад
Hongera kaka nitakutafuta aisee na vp changamoto ya kuvuja kwenye nyumba za hidden roof
@JackiePaul-sd1jt
@JackiePaul-sd1jt 7 месяцев назад
Swari zuri pia kuhusu rangi
@godfreymatthew9023
@godfreymatthew9023 7 месяцев назад
Hujasema msingi,
@kazikazini1042
@kazikazini1042 10 месяцев назад
Uko vizuri ila hidden ni hi kama katika neno himaya na si hai
@sofrinasway1808
@sofrinasway1808 Год назад
Ee mungu nisaidie ninaamini katika kupambana namimi nitamiliki mjengo
@zindujuniorzindu3246
@zindujuniorzindu3246 Год назад
Allah akufanyie wepesi uweze kumiliki....Aamen.
@noelafrank2447
@noelafrank2447 11 месяцев назад
Ameeen
@keciarowland2558
@keciarowland2558 6 месяцев назад
Nice
@djbegge_tz
@djbegge_tz 7 месяцев назад
Asante kaka
@user-dl1gy9pe1g
@user-dl1gy9pe1g 9 месяцев назад
Asante
@ezrajailo1032
@ezrajailo1032 7 месяцев назад
Uko vzr sana
@davidmtoi4704
@davidmtoi4704 7 месяцев назад
Nionyeshe ndani
@user-vf8mw6eu9w
@user-vf8mw6eu9w 5 месяцев назад
Vizuri sana
@user-jc8ij8ss6z
@user-jc8ij8ss6z 10 месяцев назад
Wow hii nyumba ni nzuri sana nimeipenda
@st.alvincollege6184
@st.alvincollege6184 Год назад
mpaka hapo kwenye Kozi 4 za juu inakua 5,695,000
@user-gr3ke8ys3w
@user-gr3ke8ys3w 7 месяцев назад
Nkajua ni mimi tu yani hio hesabu inashida
@vincentmlekwa9255
@vincentmlekwa9255 11 месяцев назад
Ni vema kuonyesha muonekano wa ndani, kutambulisha kazi zenu. Tunapo ona ukamilifu wa ndani waweza kutupatia uhondo pia
@user-di7nm8fz1x
@user-di7nm8fz1x 7 месяцев назад
Hy Hesabu umekosea ya hapo Chini mpaka Juu Sio 3.1
@valentinemtei3588
@valentinemtei3588 7 месяцев назад
Hideni roof ni mahususi kwenye eneo lenye upepo mkali na vimbunga, hapa Bongo kama fashion, huyo msimuliaji haujui garama za majenzi kwa asimilia hata hamsini, kwa mfano garama za mchanga na kokoto inatajwa volume, sio idadi ya magari
@user-ki1qn5ns3h
@user-ki1qn5ns3h 9 месяцев назад
Ingekuwa vizuri utuonyeshe kwa ndani
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 Год назад
Umenipa ujasiri natumai ndoto zangu zitatimia ipo siku nitakutafuta fundi
@dickkieishebabi1264
@dickkieishebabi1264 7 месяцев назад
Hello..!Upo Sahihi Mr House..!
@user-fq7me9sf2q
@user-fq7me9sf2q 10 месяцев назад
Hongera sana
@user-wp8yk6ow8h
@user-wp8yk6ow8h 5 месяцев назад
Asalaam aleykum mr house ni mm nilie kupigia simu nikakuambia nipo nje ya nchi kwa matibabu nasema hii ndio ramani nilio kuambia naitaka lkn iwe na vyuma 4 tafadhali niandalie na site plan yake na elevation zake na uniambie kiasi gani nikutumie pia usiache kufanya bill of quantity
@user-cj7lx5ze4d
@user-cj7lx5ze4d 6 месяцев назад
Kaka Mbona hii lahisi sana na ni nyumba kubwa Ina vyumba 4 na ni nyumba nzur
@Coachsamwel
@Coachsamwel 7 месяцев назад
Hongera sana mkuu .. nimefurahi kuwa exposed na channel yako
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 7 месяцев назад
Achaweeee!😢
@rehemaedward9494
@rehemaedward9494 7 месяцев назад
upo vzr mno aisee
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 Год назад
Aiseee mbona unenishtua sana
@batihubadiy3106
@batihubadiy3106 7 месяцев назад
Naomba Namba zako
@brightonmwita2858
@brightonmwita2858 11 месяцев назад
Weka mawasiliano bro .Ila hapo bado vitu kama.mfumo WA maji na umeme,makabati,taa na masinki,ujenzi wa jiko.
@harrietajiambo229
@harrietajiambo229 9 месяцев назад
Mawasiliano no iko hapo
@rajabjuma277
@rajabjuma277 Год назад
Bara ujenzi rahisi njoo zenji
@Kalssambabo-gv6uh
@Kalssambabo-gv6uh 11 месяцев назад
Hata nyumba bara bei nafuu zanji ghari sana
@jescajaisonngonyani3107
@jescajaisonngonyani3107 3 месяца назад
Unaweza kujenga hizi nyumba kwa kutumia tofari za kuchoma
@emmanuelymganga5737
@emmanuelymganga5737 6 месяцев назад
👊👊
@PelagiaKawishe
@PelagiaKawishe 8 месяцев назад
Mzuri sana unatafutwa
@TeddyMustaphaMustapha
@TeddyMustaphaMustapha 8 месяцев назад
Safi sana
@suleymanpongwa4588
@suleymanpongwa4588 6 месяцев назад
😊
@JackiePaul-sd1jt
@JackiePaul-sd1jt 7 месяцев назад
Tuonyesheni na ramani kwa ndani
@user-li6oq3bu6j
@user-li6oq3bu6j 26 дней назад
kaka unatupa moyo tulokata tamaa hongereni muwe mnatupa option ya wa mikoani gharama zake mtu akikutaka uje upige kazi mtalam
@shadya4988
@shadya4988 11 месяцев назад
Mnakuja zanzibar
@batihubadiy3106
@batihubadiy3106 7 месяцев назад
Kaka nakupataje
@shidashida6060
@shidashida6060 7 месяцев назад
👌🏿👌🏿
@AmiraballahChicg
@AmiraballahChicg 5 месяцев назад
Ntumie ramani
@davisjavan2892
@davisjavan2892 2 месяца назад
Nimepiga hesabu lakini, sijaelewa hesabu zako
@user-rf3ve4kl5h
@user-rf3ve4kl5h 7 месяцев назад
Tuonyeshe na ndani
@salimabdul4424
@salimabdul4424 7 месяцев назад
Umesahau gharama ya cement kwenye mil3 na laki moja
@LailaLaila-kg2qd
@LailaLaila-kg2qd 11 месяцев назад
Mi naomba kuuliza msingi mzur naamanisha msingi imara kbs unachukua kiasi gani msingi tu peke yko
@FatumaOmary-gk8zy
@FatumaOmary-gk8zy 6 месяцев назад
Mbona mi sijaelewa
@user-is8om2nk8k
@user-is8om2nk8k 3 месяца назад
Hata mi sijamuelewa kasema tofari milioni mbili na nusu sumente milioni moja nondo laki nane fundi milioni mbili mchanga na kokoto afu anatudanganya eti milioni tano inaisha mmh acha tujipe moyo😂😂
@MudekereFrancine
@MudekereFrancine 4 месяца назад
💜💜💟💟🤝🤝
@user-wk9hi6se3t
@user-wk9hi6se3t Год назад
Ukubwa gani
@victorcephas3618
@victorcephas3618 Год назад
Ntakucheki unijengee hii ya hidden roof
@user-ts9lk8ld1h
@user-ts9lk8ld1h 11 месяцев назад
Upo vzr sn
@ppandenassoro6666
@ppandenassoro6666 11 месяцев назад
Tuonyeshe muonekano wa nje pande zote na muonekano wa ndani
@Stanbul.Y
@Stanbul.Y Год назад
Shukran umetoa faida
@manyasimukungu7288
@manyasimukungu7288 11 месяцев назад
Namba za simu sizioni Ziwe wazi tafadhali
@davidmtoi4704
@davidmtoi4704 7 месяцев назад
Please show me in
@valentinemtei3588
@valentinemtei3588 7 месяцев назад
Zege la lenta inatajwa kwa volume,nondo inatajwa kwa mita,.
@user-mr1hk2ed2w
@user-mr1hk2ed2w 8 месяцев назад
Tofari zote mpaka msingi
@LailaLaila-kg2qd
@LailaLaila-kg2qd 11 месяцев назад
🔥🔥🔥🔥🔥
@godfreymatthew9023
@godfreymatthew9023 7 месяцев назад
Ukweli umesema ila bei umedanganya
@jimmysantana3987
@jimmysantana3987 7 месяцев назад
Umenitiaaa moyo sana ntakutafutaaa
@AalyahNassor
@AalyahNassor 8 месяцев назад
💕💕💕💕❤️❤️
@thewellministry9008
@thewellministry9008 6 месяцев назад
Nqkuitq moshi nitumie wimu
@hamzashaban9487
@hamzashaban9487 11 месяцев назад
Uko vzuri kamanda
@isayaambose219
@isayaambose219 7 месяцев назад
Msingi pia haupo kwenye hesabu Sio 😮
@elizag.edmond7637
@elizag.edmond7637 6 месяцев назад
Msingi haupo Bana ni kuhesabu mpka kufika juu kuanzia chini
@user-wz8ig9xl8i
@user-wz8ig9xl8i 7 месяцев назад
Usioneshe muonekano wa ndani watapeleka kwa mafundi wao labda walipie kama ulivyosema ila mm ntakucheki 2025 mana kupanga nimechoka
@ManHussein.
@ManHussein. 14 дней назад
wewe nawe kwa kujipendekeza
@eng.peteradam395
@eng.peteradam395 Год назад
Hujashare floor map
@davidmtoi4704
@davidmtoi4704 7 месяцев назад
Tunaomba utoe namba za simu tunataka kujenga nyumba kama hio
@user-mi9cx2ur9v
@user-mi9cx2ur9v 7 месяцев назад
ndugu naomba lamani ya nyumba hiyo kuanzia msingi wake
@user-xx6fj8ym8f
@user-xx6fj8ym8f Год назад
Nakutafuta soon..
@mengikiguruwe6750
@mengikiguruwe6750 7 месяцев назад
Hivi kwa nini nyumba hizi hazina 'vent' kwenye joto la Dar si hatari sana?
@SafiaSeif-gw4ut
@SafiaSeif-gw4ut 7 месяцев назад
Naomba no zko.mm niko znz jee unaweza kuja kunijengea?
@SM-fu1yv
@SM-fu1yv 7 месяцев назад
Duh pesa milion 27
@khaijakadija2082
@khaijakadija2082 7 месяцев назад
Hadi nyumba kukamilika?
@isayaambose219
@isayaambose219 7 месяцев назад
Hiyo nyumba haina plumbing Sio...
@user-gr3ke8ys3w
@user-gr3ke8ys3w 7 месяцев назад
😂
@raymondprosper7790
@raymondprosper7790 6 месяцев назад
Hapo kwenye ufundi wa kunyanyua ndo umesema Bei kubwa hivyo
@shaidanidecoration1007
@shaidanidecoration1007 7 месяцев назад
Hapo plumbing hujaweka
@habibamahiti7455
@habibamahiti7455 8 месяцев назад
Mbn huweki na. Ya simu
@InnocentLesilwa
@InnocentLesilwa 3 месяца назад
Mambo nambie hiilaman naipataje?
@FatumaOmary-gk8zy
@FatumaOmary-gk8zy 6 месяцев назад
Mbona mi nimepata hela nyingi
@onlinemateustv1925
@onlinemateustv1925 6 месяцев назад
Huku tunduma tofauti sana tofari moja inch 6 =2300
@franklinisaya4796
@franklinisaya4796 Месяц назад
Tunduma sio tanzania bro 😅😅😅
@user-xh5vl6eh6i
@user-xh5vl6eh6i Месяц назад
​@@franklinisaya4796😅😅😅😅kwanza tunduma wanatumia kwacha so 😅😅😅asijifananishe na sis 😂😂
@MarryMakalwe
@MarryMakalwe 7 месяцев назад
Mimi Niko Geita, unaweza kutumia muda gani Hadi nyumba kumalizika?
@user-zt8vu1mv3m
@user-zt8vu1mv3m 7 месяцев назад
Kaka floor hujatuonesha imekaeje
@MohdBashirMohdBashir-kr4iv
@MohdBashirMohdBashir-kr4iv Год назад
Mbona hujatuonesha ndani tukaona ilivyo
@user-vu7xm2uq4l
@user-vu7xm2uq4l 7 месяцев назад
Unaweza kutupa harama kama hizi kwa nyumba ya vyumba vitatu
@user-pc3et3je9k
@user-pc3et3je9k 9 месяцев назад
Hii naitaji
Далее
Friends
00:32
Просмотров 207 тыс.
Средневековый киборг
00:39
Просмотров 534 тыс.
3d printed demon core vs real
00:24
Просмотров 7 млн
Ujenzi  Wa Apartments wa Gharama Nafuu
2:51
Просмотров 20 тыс.
Friends
00:32
Просмотров 207 тыс.