Nimefarijika sana kuona taarifa za ujenzi wa hidden roof na gharama zake in sha allah nitaweza kutimiza ndoto zangu na mie atleast nimepata relie, kaka tuombe uzima nitakutafuta mkuu
@@user-kt9ot3vm5d hahahah kaka inabidi tuone mambo yanawezekana maana kimtazamo sio rahisi kaka ila at least uki twist ubingo namna unavyoona jambo gumu na kuwa jepesi unaweza kufanikiaha ila to be honest hiyo bajet utaaishi kujenga pagala na kuweka bati kama eneo sio complected otherwise utatakiwa kuidouble ili ukamilishe
Nimefurahia Sana Kupata Maelezo Ya Ujenzi Wa Hiyi Nyumba Nawashukuru Sana Ila Pendekezo Ingelekuwa Kama Hivi Kisha Tuaona Mkato Wandani Na Pande Zilizo Baikia
Hapa umenichanganya mwamba Tofari tu umesema sh 2,500,000 nondo 40 @sh 20,000 sawa na 800,000 Kuna Cement 85 @sh 17,000 Kuna Mchanga na Kokoto Jumlisha vizuri total
Saaafi sana. Tuwekee mjengo wa apartments zenye kibalaza. Chumba kimoja na vyumba 2. Choo ndani. Kibalaza kwa ajili ya privacy kama mtu anapika nje na mkaaa. Thanks
Hideni roof ni mahususi kwenye eneo lenye upepo mkali na vimbunga, hapa Bongo kama fashion, huyo msimuliaji haujui garama za majenzi kwa asimilia hata hamsini, kwa mfano garama za mchanga na kokoto inatajwa volume, sio idadi ya magari
Asalaam aleykum mr house ni mm nilie kupigia simu nikakuambia nipo nje ya nchi kwa matibabu nasema hii ndio ramani nilio kuambia naitaka lkn iwe na vyuma 4 tafadhali niandalie na site plan yake na elevation zake na uniambie kiasi gani nikutumie pia usiache kufanya bill of quantity
Hata mi sijamuelewa kasema tofari milioni mbili na nusu sumente milioni moja nondo laki nane fundi milioni mbili mchanga na kokoto afu anatudanganya eti milioni tano inaisha mmh acha tujipe moyo😂😂