Тёмный

Historia, Asili Na Maana Ya DAR ES SALAAM, TANGA / ZANZIBAR 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 140 тыс.
50% 1

Historia, Asili Na Maana Ya DAR ES SALAAM, TANGA / ZANZIBAR
Jiji la Dar es Salaam lilianza kama kijiji kidogo cha Wavuvi kilichojulikana kama Mzizima, kijiji hiki kilianzishwa na Wabalawa ambao walichanganyika na Wazaramo.
Ujenzi wa makao ya Sultan pamoja na Bandari ulianza rasmi mwaka 1865 katika eneo la kijiji cha Mzizima, ujenzi huo ulikamilika mwaka 1866.
#ASILIYATANGA #DARESALAAM#ZANZIBAR
www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Опубликовано:

 

16 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 167   
@anuaryally6177
@anuaryally6177 5 лет назад
Leo hii dar es salaam imevamiwa na wenye mikono ya koti ata kuchimba vyoo vya mashimo walikuwa awaelewi kula chapati waanze vipi basi leo hii kumekuwa shagala bagala sisi tuliokuwa na miliki ya viwanja pembezoni mwa pwani tunazulumiwa viwanja kwa kufoji sitakabazi hewa masikini na akina mwakipasile,akina masawe akina wambula akina sumaye akina ndungulu sisi tuliowakalibisha wazaramo tunaonekana mazwazwa wakati walikuja wanakunya na kuondoka bila kutumia maji na mikono yao ya koti masikini ya mungu wengine ndio hao wanaopiga kelele ughaibuni uko
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 5 лет назад
Anuary Ally, wewe wala SIO Mdar es salaam hata kidogo. Kwanza LAFIDH yako si ya ki- Dar es salaam na hata huna sifa hiyo M-dar es salaam ni m karim, anapenda wageni na hatoi LUGHA ya matusi na KASHFA. Ni mchamungu na ana Utamaduni wake. Ana Subra,Ghaiba,Staha, na Aibu. Ana jistiri kwa MAVAZI, na hatamki maneno machafu na kusema kwa Sauti kubwa mbele ya Hadhara,na ni msafi kwa mazingira yake na MAVAZI. Huyo ndie m- DARUSSALAM
@anuaryally6177
@anuaryally6177 5 лет назад
@@minskbelarus7255 kuwa na mkono wa koti ni matusi sasa mzaramo utampereka bukoba kwanza iyo dar es salaam ni pwani imekuja tu hivi karibuni wenyewe tunaielewa east coast kuanzia pwani somalia mpaka mtwara au pwani ya waswahili wazungu wanaita swahili coast
@joycejohn102
@joycejohn102 5 лет назад
Duh poleni watani zangu wazaramo
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 лет назад
Joyce John kwa.?
@ramazubery2641
@ramazubery2641 4 года назад
Wazaramo wezangu mpowapi?
@elishamaimu4602
@elishamaimu4602 5 лет назад
Unafanya jambo muhimu sana...Usaidia kutunza na kutambua historia yetu zaidi na kuongeza (awareness) ya historia ya Tanzania na Mtanzania..Historia tuliyoanza ipoteza..Hongera sana kiongozi
@danielmndeme3740
@danielmndeme3740 5 лет назад
Global tv mtabaki kuwa juuuuuuuuu mawinguniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@turkeyphone9629
@turkeyphone9629 5 лет назад
Mmmmm ki persian zanzibar maanake wanawake wazur or kisiwa kizuri
@yascomdoe5686
@yascomdoe5686 5 лет назад
Turkey Phone uongo
@josephatkashendwa1177
@josephatkashendwa1177 4 года назад
Bro from another mother Kazi nzuri sana, Gonga cheers kama unakubali kazi ya huyu bro, binafsi nakukubali sana edgars. Toa historia ya Mkoa Wa Kagera, kwa usaidizi kujua historia ya Mkoa Wa Kagera kwa karibu na kwa kina karibu Bukoba ili ujue historia yenyewe ili ukisimulia uwe analyzed critically zaidi.
@mutalemwagabriel2277
@mutalemwagabriel2277 5 лет назад
Thanks reporter, I love u more
@ally1702
@ally1702 4 года назад
Asante kwa kutujuza Ila niulize kidogo tu tulisikia Zanzibar ilipata Uhuru mwaka 1963 na wakaoneshwa mpaka watu ambao wako umoja wa mataifa na bendera ya Zanzibar na mpaka kiti Cha zainzibar Cha umoja wa mataifa kilikuwepo Ila baada ya Uhuru mwengine wa karume au mapinduzi pamoja na muungano kila kitu kikapotea swali langu hivi ni wepi waliopinduliwa mwaka 1963
@ramadhanlitei9377
@ramadhanlitei9377 4 года назад
Zanzibar walipata uhuru th 10/12/1963
@asallymbwego5906
@asallymbwego5906 5 лет назад
Unajua sn bro Ahsante
@laylisaid9563
@laylisaid9563 5 лет назад
Shukuruni kwa isitoliya yako
@fredkutiri5393
@fredkutiri5393 5 лет назад
umesaidia sana kuelezea yale sikuwa nimewahi kuyaskia Endelea na kazi saifi ya Historia, HASANTE SANA
@khamisally5788
@khamisally5788 5 лет назад
fred kutiri anapindisha history nyingi sana
@fredkutiri5393
@fredkutiri5393 5 лет назад
@@khamisally5788 kama gani kaka au ile tumefunzwa shuleni?
@fahadjuma5150
@fahadjuma5150 5 лет назад
Asanteni kwa Historia hiyo
@abdulosman7866
@abdulosman7866 5 лет назад
unaeleweka vizuri bro
@wahidashabaz5982
@wahidashabaz5982 5 лет назад
warabu mlikuja tz zamani sana kweli sis na nyie ni ndugu
@rasheedmuslih3142
@rasheedmuslih3142 5 лет назад
Iyo background soundtrack inankmbsha mbali sana someone I wished for but will never be! It hurts really
@Nesphore1
@Nesphore1 5 лет назад
Name ya sound track?
@Wolfstudioo__
@Wolfstudioo__ 4 года назад
Me also ilanitakuwaa cz nasom ili niwee
@nusurati5810
@nusurati5810 4 года назад
Daah kaz nzur nimejua vingi leo ahsante broo 🙏
@kebo2155
@kebo2155 4 года назад
Anakudanganya tu anawasifu Waarabu ambao wameleta biashara ya watumwa... Vipi wewe nenda kawasome Wangozi Bantu tribe ambao wenye lugha ya kiswahili.....
@emjay1016
@emjay1016 5 лет назад
brother upo vizuri sana asee naomba histora ya jiji la MWANZA
@vincentoulo1262
@vincentoulo1262 4 года назад
Nikiwa kisumu kenya napendezwa na kazi yako kaka.
@ramazubery2641
@ramazubery2641 4 года назад
Asante sichokagi kukusikiliza auchosho Kaka.😃😃🙏
@saidmduchu8100
@saidmduchu8100 5 лет назад
Asante kaka kuna kitu bado tunahitaji kujuwa ni kweli dar es salam ilikuwa ni miongoni mwa zanzibar maana wanasema katika zanzibr empire inaonekana imo ndani ya zanzibar
@dkmasenga6918
@dkmasenga6918 5 лет назад
Hili halizi pingika ilikuwa
@mahaowenaltoubi529
@mahaowenaltoubi529 5 лет назад
Hii history ya Zanzibar sio ya kweli kwa ninavyo hamu mimi
@saidsanzunkoba3995
@saidsanzunkoba3995 5 лет назад
Mahaowen Al Toubi kwan ikoje historia
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 лет назад
mtoe bhsi maelezo, co kuishia kupinga tu!
@yascomdoe5686
@yascomdoe5686 5 лет назад
history ya zanzibar ipo sahihi kabisa yni amn alipokosea
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 лет назад
yasini mdoe mznz weye?
@ashangarawa6292
@ashangarawa6292 5 лет назад
umejitaidi
@magessamagessa5502
@magessamagessa5502 5 лет назад
Gonga like
@ahmadkafashe7427
@ahmadkafashe7427 5 лет назад
Ahsanteeee bro. P1 saaana
@focusmagesa7964
@focusmagesa7964 5 лет назад
_kaka nakukubali sana_
@tamatiabduly3865
@tamatiabduly3865 4 года назад
Waooo
@baltazarierro1575
@baltazarierro1575 3 года назад
Tatizo mji haujapangwa vizuri
@amosiaswile830
@amosiaswile830 4 года назад
One Ananias Edigar aminia
@alibintwahamagola9696
@alibintwahamagola9696 5 лет назад
🙏♥️✊🏿
@sylvesterkeya6820
@sylvesterkeya6820 4 года назад
Eko
@michaelgeorge7051
@michaelgeorge7051 5 лет назад
More thinks
@suleiboy5230
@suleiboy5230 5 лет назад
hapana sio kweliiiii
@legezalegeza9362
@legezalegeza9362 5 лет назад
Naaam
@mwandumazaoidrossa1702
@mwandumazaoidrossa1702 5 лет назад
kabisa
@mimaakenirram1405
@mimaakenirram1405 5 лет назад
pamoja kaka
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 2 года назад
HUJUI LOLOTE KUHUSU DAR SALAAM, AU NI WALE WALE WANAPOTOSHA HISTORIA KWA CHUKI ZA UISILAM KOMEN KUPOTOSHA HISTORIA?,
@clevisgeorge9507
@clevisgeorge9507 5 лет назад
Nyimbo mpy za wcb
@jp1780
@jp1780 5 лет назад
Nivizuri kujifunza history yetu ya colonization ili tendo hili lisiweze kurudia tena wazungu wanatudanganya eti yesu alitukufia wakati ma babu zetu ndo waliotupigania naku huwawa kwajili yetu washenzi sana hawa watu
@benjaminmalima397
@benjaminmalima397 2 года назад
acha kuingiza hisia za udini
@naimasaid7763
@naimasaid7763 5 лет назад
Wale wazaramo wenzangu wa Dar mpoo
@jembagerald5813
@jembagerald5813 4 года назад
Neema12 Neema12 mm nataka moja wakuoa kama upo tuyapange
@khadijarajab8383
@khadijarajab8383 2 года назад
Asili yenu Morogoro Dar mlikaribishwa tu kulikuwa na wenyeji hapa.
@robert79160
@robert79160 5 лет назад
C kweli maana ya jina c hizo ulizotajja
@johngabrielz5904
@johngabrielz5904 5 лет назад
Fanya historia ya mahakama kuu ya Tanganyika..
@mikidadibonifacsiwa4666
@mikidadibonifacsiwa4666 5 лет назад
Hapana mie nakataa kwa dare es salam
@mwandumazaoidrossa1702
@mwandumazaoidrossa1702 5 лет назад
kbsa uongo mtupu
@dulakess8928
@dulakess8928 5 лет назад
dar slam nieneo LA Zanzibar pammoja na mombasa
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 лет назад
ivo!
@amosfrankmasaka
@amosfrankmasaka 11 месяцев назад
chuo cha ilala daressmu
@habibnjowele7751
@habibnjowele7751 Год назад
DAR = NYUMBA SALAAM= AMANI KWA HIYO KWA KIARABU DAR NI NYUMBA NA SIO BANDARI SALAAM KWA KIARABU NI AMANI SO DAR EL SALAAM NI NYUMBA YA AMANI NA SIO BANDARI YA SALAMA! SAWA ANANIAS DO MORE RESEARCH! OTHERWISE IT'S GOOD DOCUMENTARY!
@HadijaRajabu-pr9di
@HadijaRajabu-pr9di 9 месяцев назад
Hao wabalawa n wakina nani na wanatokea wapi?.
@bensonthobias8401
@bensonthobias8401 5 лет назад
Jamaa unajuaaaaa
@ashminhaabdullah4963
@ashminhaabdullah4963 5 лет назад
Sauti tamu sana mpaka naunguza ☕️🤣🤣🤣🤣🤣
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 лет назад
@@ashminhaabdullah4963 hmm
@clovetv_pba
@clovetv_pba 5 лет назад
Historia ya Zanzibar hasa hujaeleza inavostahiki, yan umefikia sunni katika historia ya Zanzibar
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 лет назад
hmm
@erickmachua8829
@erickmachua8829 5 лет назад
Hapo kwenye Mji wa Nne umetuhongopea kabisaaa...Naanza kushuku usahihi wa Taarifa zako
@barnabasmakilika1721
@barnabasmakilika1721 5 лет назад
ERICK MACHUA sema mjii wangapi mwenye taarifa sahii
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 5 лет назад
Mimi napata taabu sana na PICHA ya Baba wa Taifa akichanganya Udongo kutoka TANGANYIKA na ZANZIBAR. Nilitamani kuona hivi Me. NYERERE angeshika udongo kutoka Zanzibar, na Mzee KARUME angeshika Udongo kutoka TANGANYIKA na wote kwa pamoja wangemwaga kwa ishara ya kUCHANGANYA. 🤔🤔🤔🤔🤔
@bwegelanyakhaido3088
@bwegelanyakhaido3088 5 лет назад
Minsk Belarus iyo clip ipo itafute tuu
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 5 лет назад
@@bwegelanyakhaido3088 iko wapi, nilioiona ni Ile ambayo Mzee KARUME kasimama karibu na huku akimuangalia MWALIM akimimina vyote viwili.
@bwegelanyakhaido3088
@bwegelanyakhaido3088 5 лет назад
Minsk Belarus haaa kumbe ulikuwa unataka yani wote wawili wa changanye Kwa pamoja...nilikuwa sijakupata fresh iyo hamna
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 5 лет назад
@@bwegelanyakhaido3088 umeelewa seen. Kwa mtazamo wangu Mimi,hiyo ingenipa maana na picha halisi ya MUUNGANO.
@solomonadams6337
@solomonadams6337 5 лет назад
kama raia hawataki ni hawataki tuu hata viongozi wangefanya nini sawa?nilimsikia baba yangu anasema K alipokuja na mambo yake haya ya kijinga watu walichukia lakini walikuwa hawana la kumuambia kwa sababu yeye ni mtu mzima sawa?
@okonkoochola1451
@okonkoochola1451 5 лет назад
mmeweka na picha za jiji la kigali
@aliaboud3059
@aliaboud3059 3 года назад
Kuna makosa mengi ya tarehe za matukio na asili ya majina. Ukoloni wa waingereza ulianza baada ya Vita ya mwanza ya dunia mwaka1918 chini ya League of Nations. Neno Zinjibar ni la Kiajemi sio Kiarabu na neno Daresalaam tafsiri yake ni Nyumba ya Amani. Jina hilo lilitokana na jengo ambalo sasa ni sehemu ya kituo cha tiba za kansa "ocean road". Awali jengo hilo lilitumika kama madrasa ya kiislamu.
@samasob8233
@samasob8233 4 года назад
wrong information, the pictures are polish refugees in Tengeru Arusha after world war 2. Vita ya kwanza ya dunia ilikwisha mwaka 1918, siyo 16, anyway asante kwa information
@shukurukoll7269
@shukurukoll7269 4 года назад
Hiyo picha " Black & White" inanikumbusha mbali, hiyo ni Hospitali ya Mnazi mmoja na hapo mbele kwenye duara palijengwa Chem chem wakati huo.
@mhthesamemh7303
@mhthesamemh7303 5 лет назад
Leo hii tanga imechoka sana yaani haiendani na history ya tanga
@user-us9gl8jg4l
@user-us9gl8jg4l 5 лет назад
Yani mnatetereka wenzetu wazanzibar punguzeni kukiuza hizo ardhi maana sasa hivi maneno yemekuwa mengi sana maana mshawauzia waarabu na wazungu sasa zanji kiwanja bila nimilioni 5 au 6 upati vya mjini mpaka milioni 20 ni shida aisee
@jumaamashaka7844
@jumaamashaka7844 4 года назад
Jina La tanga unedanganyq
@millowamilonga
@millowamilonga Год назад
Mbona hii ni simulizi tu na sio historia ya kweli ya neno na uzaliwaji wa DUR AL SALAAM. Ovyo kabisa
@rashidseif6103
@rashidseif6103 4 года назад
Kwa tanganyika na tanga sijui, ila kwa zanzibar mpaka leo hii historia yake bado kila mmoja anasema vyake, kwa sababu mpaka hv sasa bado hamujaijua zanzibar ni ipi na unguja ni ipi, kwa hapo sijaipenda hiyo historia yako.
@elishasolomon9742
@elishasolomon9742 3 года назад
Nani yupo na uku?.
@gospeltotheworld
@gospeltotheworld 5 лет назад
Tangu lini Tanga iwe juu ya Arusha? Mji mkuu wa Tanganyika wakt wa utawala wa kijerumn ulikuwa ni Tabora sio DSm
@azizihamisi420
@azizihamisi420 5 лет назад
Tanga ni zaidi ya arusha,,sema wao hawakuekeza kwenye elimu....tanga hawana ubinafsi kama huko kwenu moshi.....walistaarabika kitambo ila wao hawakwenda shule
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 лет назад
@@azizihamisi420 ivo!
@suleshngwisa7516
@suleshngwisa7516 5 лет назад
Bisha hivyohivyo ila ukweli tanga ilikuwa juu
@wahidashabaz5982
@wahidashabaz5982 5 лет назад
Sulesh Ngwisa nikweli kabisa miaka ya nyuma tanga ilikuwa juu sana km vile ilivyo dar es salaam sasa ila watu hawajui tu ila tanga inahistoria na wageni walikuj wa makabila mbalimbali
@idiameir3958
@idiameir3958 5 лет назад
Kasome ten history ya Zanzibar isidanganye wat
@msodokithesantz1655
@msodokithesantz1655 5 лет назад
Ww muongo ww ukanda wa pwani wote una hesabika Zanzibar mpaka Kenya huko mambasa yote Zanzibar Inahesabiwa
@asmaafamau8307
@asmaafamau8307 5 лет назад
Swadakta
@ramseyhusseinkhamis8258
@ramseyhusseinkhamis8258 5 лет назад
We ndio haujui soma
@tareeqkhamis6203
@tareeqkhamis6203 5 лет назад
Sawa kabisa
@turkeyphone9629
@turkeyphone9629 5 лет назад
Zanzibar nilisikia kwa mwalimu wangu akiniambia zanzibar yote hadi dar es salaam ni zanzibar
@dvdbruno1266
@dvdbruno1266 5 лет назад
Leteni ushahid
@amanichanga3448
@amanichanga3448 5 лет назад
Zenji === Mtu mweusi, Bar === Bahari
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 лет назад
yaani bahari ya mtu mweusi???
@amanichanga3448
@amanichanga3448 5 лет назад
Mnzava Chris Mtu mweus anaeishi karibu na bahar
@kebo2155
@kebo2155 4 года назад
Wacha kuongea vitu usivyojua... Wabantu walijenga miji kabla mwarabu hajaja.. Mwarabu amejuaje kujenga kabla ya wabantu... Wabantu Wangozi ndiyo wenye lugha ya kiswahili na ndiyo walijenga kilwa, lamu kabla ya Waarabu na walitokea Ethiopia.. Fanya research kabla ya kutupa nusu story... Amka..
@Apeacfulguy
@Apeacfulguy 5 лет назад
Wabara wanajuwa historiya ya ulemwengu walikuwa watumwa tuu hawajui kitu wanafungwa manyiororo tu
@machetebogota4218
@machetebogota4218 Год назад
Labda km we mpemba ndo Stori ya utumwa haikuhusu lakini km sie hapa unguja lazima ukutane nayo na ndo maana wengi wetu ni wandereko wazaramo wanyamwez watanga na wamakonde hivyo ww mpemba Zanzibar umevamia Tu na wala hakukuwa katka history ya zanzbar kisiwa cha UNGUJA na pemba wameunganisha hao waarabu walouza wazee wetu nyie wapemba mrudi kwenu Somali na sudani hatuwatambui
@alalawiymuhammad446
@alalawiymuhammad446 Год назад
Wabarawa sio wabalawa na mchanganyiko baina wazaramo wamashomvi ambao ndio kabla kuitwa hivyo waliitwa wamwambao kwao uzaramo unapatikana kabila tatu ushomvi unabarawa na uzaramo
@bumbazladas4369
@bumbazladas4369 5 лет назад
Tanga imekufaaa
@kagarukifred7372
@kagarukifred7372 5 лет назад
huyu Jamaa mbona anaonyesha na mji wa kampala
@mohhamedygideoni2205
@mohhamedygideoni2205 5 лет назад
Kagaruki Fred unatakiwa uwe unaelewa hizo picha zimewekwa apo ili kujenga uhalisia
@hamiswilson2455
@hamiswilson2455 5 лет назад
Tuletee historia za madikiteta duniani hasa ya Adolf Hitler, Musolin, etc pía na historia ya Bismack aliesimamimia Beril conference
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 лет назад
Yaani natamani history ya Berlin conference kweli maana nasiikia walitugawa kama pipi😄😄😄
@hafidhmohd8696
@hafidhmohd8696 5 лет назад
Historia ya Zanzibar bado huijui unajua ni tarehe zake tu ila huijui
@suleshngwisa7516
@suleshngwisa7516 5 лет назад
Toa unayoijua ww
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 лет назад
@@sahimm4767 tatizo lingine wabongo wanapenda kukosoa wakati hawataki kutuambia ukweli. Hapo angetakia alivyo kataa, aandike kwa kifupi historia yake anayoijua ili tujifunze
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 5 лет назад
Wewe jamaa kwenu tanga ndio mana unasena ndio mji wanne kwaukubwa hujaitaja Arusha
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 лет назад
yaani mbeya yahesabiwa >>>>> kuliko arusha????
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 5 лет назад
MZEE baba kila sehemu upo du
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 лет назад
KACHERO SIMBA hahaha.,umeniona wapi tena mkuu.?
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 лет назад
@@mnzavachris5423 😆😆😆
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 лет назад
@@ilovejesus9303 ?!
@lelarashid5243
@lelarashid5243 5 лет назад
Wrong history, umeficha mambo mengi
@makamehamisi1485
@makamehamisi1485 5 лет назад
Toa yako iliokamilika tukupongeze
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 лет назад
@@makamehamisi1485 wakera kwl hw
@alexmamti5022
@alexmamti5022 5 лет назад
Rp
@bazilbernard2499
@bazilbernard2499 5 лет назад
Safiii.
@lageettamim4415
@lageettamim4415 4 года назад
Doh Zenjibar ni neno la kiarabu maana yake land of black tena mpaka leo Yemen Hadhramout kuna mji unaitwa Zenjibar do your research
@kebo2155
@kebo2155 4 года назад
Miji hii yote ni ya wa mabantu.. Na waswahili wa kwanza wenye lugha waliitwa Wangozi ni Wabantu walitokea Ethiopia na ni waislamu wa kwanza kabla ya madina na makka.. Hawa walislimu wakati waislam walipokimbilia Ethiopia na baadaye waliupeleka uislam kusin lamu. Mombasa Zanzibar kilwa rufiji nk.. Mwarabu alileta biashara ya watumwa..
@abuyabally5086
@abuyabally5086 5 лет назад
hujaichambua umeipelekapeka unavotaka ww labda hujui au unaificha kwa makusudi
@zainbalmasrory8024
@zainbalmasrory8024 5 лет назад
Nani alieita dar es salaam?
@applestru_cape2219
@applestru_cape2219 5 лет назад
Mwarabu
@Wolfstudioo__
@Wolfstudioo__ 4 года назад
Nitakuwaaaa km napend xn alivyo
@abdulrahmansaliumalbry2615
@abdulrahmansaliumalbry2615 5 лет назад
Bustards mauwaji sio mapinduzi makafiri mola atakuonesheni bustards.
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 лет назад
hmm
@davydany9648
@davydany9648 4 года назад
Nani hao
@emmanuelqaday6949
@emmanuelqaday6949 5 лет назад
Natamani nipate no zako maana historia unazotupa inanisaidia no zangu ni +255763195750
@binotvtanzania5650
@binotvtanzania5650 5 лет назад
Historia ya zanzibar huijui kwakuwa hata kiswahili hujui kimetokana na wapi zanzibar hakuna wabantu
@chibumichael1862
@chibumichael1862 4 года назад
Bino tv Tanzania .....kuna waarabu sie?????
@boniphacemanuel8705
@boniphacemanuel8705 5 лет назад
nyie acheni upumbavu mnaolaumu msomaji akili ndogo laumuni muandaaji
@ibrahimcharlesswaleh
@ibrahimcharlesswaleh 5 лет назад
Distorted history.
@saudaasumani6729
@saudaasumani6729 4 года назад
Kama muongo toa wewe istolia
@tamatiabduly3865
@tamatiabduly3865 4 года назад
Umeona atowe yey
@solomonadams6337
@solomonadams6337 5 лет назад
wewe chogo acha kudanganya machogo wenzako kwa sababu alipokaa huyo Maliki Majid wenyewe wanajua historia yao na huyo majid sifikirii kama alikua maliki wa awali sawa?tafuteni historia yenu sawa?musiibe historia ya watu mukajifanya yenu sawa?wew Abidi unusu.
@laucrizant4981
@laucrizant4981 5 лет назад
Mbn kuna question mark, hapo unauliza swali au unafafanua!!!?
@daudvedasto9809
@daudvedasto9809 5 лет назад
Chogo babaa ako fala wew af kwnz mmezoea kufirana tu uko kwenu wehu nyie
Далее
HISTORIA: HUYU Ndiye Rais Bishoo Na Katili Duniani
14:24
The Story Book : Usiyoyajua Kuhusu Jua
26:54
Просмотров 948 тыс.
Historia ya Ujerumani Tanga
4:25
Просмотров 18 тыс.
HISTORIA YA IKULU YA MAGOGONI / HUYU NDIYE ALIYEJENGA!
7:13
Majengo Yenye Historia Ya Ajabu DUNIANI!
10:56
Просмотров 167 тыс.
KULA 'APPLE' BAADA YA NUSU SAA- PROF. JANABI
2:47
Просмотров 29 тыс.
HISTORIA YA SHEIKH MSLEM HADI KUINGIA GEREZANI
31:38
Просмотров 88 тыс.