Тёмный

UKWELI WA HISTORIA YA ZANZIBAR NA MWANDISHI WA MZEE KARUME 

AL FATAH TV ONLINE
Подписаться 100 тыс.
Просмотров 11 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 33   
@nailamohd7693
@nailamohd7693 Год назад
Basi km wamewadhalilisha masheikh wetu wakubwa na wakuheshimika tusimtafute mchawi ni laana hio wameicha hakukai sawa mpk wakubali km walikosea na kudhulumu.
@nassorkhalfan-cl6pm
@nassorkhalfan-cl6pm Год назад
Muungan ndo ulotuharubu wa zanzibr naomb dua uvunjike
@johnkiimbila6799
@johnkiimbila6799 Год назад
Muungano ulivunjika waarabu watarudi.
@saidabdala4980
@saidabdala4980 Год назад
​@@johnkiimbila6799 Mwarabu akirudi nchi itakuwa na heshma. . Kwasababu LUKUVI na wenzake watakufanya uwe mtumwa wao
@athanaskipeto572
@athanaskipeto572 9 месяцев назад
Hizi taarifa zingekuwa zina rushwa mara kwa mara zina jenga uzalendo Hongera sana mzee wewe ni hazina kubwa
@nailamohd-wn6sb
@nailamohd-wn6sb Год назад
Hata skuli pia zilikua za wanaume mbali na wanawake mbali ccm wamejua kutuharibia nchi yetu daah wanataka kuongoza wala hawawezi kuongoza labda kuiharibu tuu
@MakameAbdallah-wn3hc
@MakameAbdallah-wn3hc Год назад
Skuli Wanawake na wanaume kuchanganyishwa si CCM .1969 ndio skuli za wanawake na wanaume tulichanganyishwa.
@nailamohd-wn6sb
@nailamohd-wn6sb Год назад
@@MakameAbdallah-wn3hc ndio ccm hio kwann kulichanganyishwa na zishatengwa huo mwaka uloutaja kwann wachanganye ndio ccm
@MakameAbdallah-wn3hc
@MakameAbdallah-wn3hc Год назад
@@nailamohd-wn6sb dada naila sio CCM ni ASP
@saidabdala4980
@saidabdala4980 Год назад
Kweli kabisa kusoma wanawake mbali na wanaume mbali. Ni vizuri kabisa. KWASABABU mwanaume akisha balehe inakuwa tabu kujizuiya. .tena balehe changa ni hatari kabisa.
@philipjoseph5931
@philipjoseph5931 Месяц назад
Muwe mnasimulia na Watumwa walivyokuwa wakiuzwa kama embe sokoni. Zilizo teke hutupwa, ndiyo Mababu zetu walivyotemdewa wakitupwa Baharini na Waarabu na kutendewa Kila ufedhuli.
@alijuma8009
@alijuma8009 Год назад
Perfect mzee
@BandaNchasi
@BandaNchasi Год назад
Very good, l want to learn much from this channel
@muddaththirhamoud1240
@muddaththirhamoud1240 Год назад
Saivi visiwa vinatolewa bure bure watu wafanye maasi yao
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 Год назад
Zanzibar imekosa viongozi waadilifu .haiweI kubadilika tena km uongozi tulionao hauna khofu ya mungu. Innalillagi wainnailayhi raajiuun
@h77-f8m
@h77-f8m Год назад
Vipi kuhusu mauaji ya waarabu
@juma2979
@juma2979 Год назад
Kweli tupu mzee hii taasisi ya wakfu hawafai wanakula dhulma sana ukiwaona vikanzu kumbe washenzi
@nailamohd7693
@nailamohd7693 Год назад
Nakubaliana na ww wizi sanaa wakfu 😮
@111dudi
@111dudi 6 месяцев назад
Sultan alitoka na maadili yake, nchi ikaharibika kama alivosema
@111dudi
@111dudi Год назад
Hakusema kuhusu mauaji ya 1964, na yenyewe yameleta laana
@fatmasaid9765
@fatmasaid9765 Год назад
Mmeiharibu mwenyewe zanzibar
@aliyabdullah1633
@aliyabdullah1633 Год назад
Waswahili wanasema historia hua haijirudii abadan ss ivi imekua zanzibar njema atakae aje ni laana ndio ilobakia na iyo yote ni nyerere aloiyuwa zanzibar
@saidyussuf2291
@saidyussuf2291 Год назад
Haijirudii au inajirudiaa
@mwatumsaidi5104
@mwatumsaidi5104 Год назад
Zanzibar ina laana ya zulma tena zaidi ni mahakamani maloya na majaji wametoka bara kujakuchuma mali za wazanzibari wanaokwenda mahakamani hawa watu si wema kwa wazanzibari tuamke
@ahmedbaamironlinetv4753
@ahmedbaamironlinetv4753 Год назад
Hakika
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 Год назад
Mzee unatosha, sasa kama hali ni hiyo mapinduzi ni ya nini na nani alieyafanya, nimependa masimulizi yako yanafanana na ukweli yamepungua chuki na uongo, si kuwepo lakini ya naweza kukaa akilini tofauti na masimulizi ya shante, unaonekana umekinai, na una maumivu ya hali iliopo sasa lakini neno lako zito ni (ni kazi kubwa kujipapatua)
@fatmasaid9765
@fatmasaid9765 Год назад
Sasa alaumiwe nani
@ibugharib389
@ibugharib389 Год назад
Zanzibar imehusudika na mengi Babu Mauaji ya 1964--DHULMA wananchi kupokonywa mali zao hususani Mashamba yako mengi babu
@ghalibelghanim1151
@ghalibelghanim1151 Год назад
Sasa hivi hakuna. Maadili wala tamaduni Zanzibari imevamiwa hata waburundi wapi hatujui wametokea wapi.
@johnkiimbila6799
@johnkiimbila6799 Год назад
Wazanzibari wengi walitokea kigoma na burundi , walichukuliwa na waarabu kuja kuwalimia karafuu.
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Год назад
Sasa haya mambo yaliharibika wakati gani na kwa sababu gani?
@nailamohd7693
@nailamohd7693 Год назад
Mapinduzi ndio walofanya hivo kuwafukuza masheikh na baadhi ya viongozi hapo tena kukawa shaghala baghala mpk leo hakuko sawa 😅 na wala hakui madhali viongozi wanaendelea kudhulumu na kuua
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Год назад
@@nailamohd7693 Naona mzee anajaribu kusema mengi lakini kama ana khofu fulani hivi inayomfanya arukie another subject bila kumaliza fikra zake.
Далее
MWANDISHI WA HABARI WA MZEE KARUME AILILIA ZANZIBAR
36:02
Купил КЛОУНА на DEEP WEB !
35:51
Просмотров 2,9 млн
HAYA NDIO MAJIVUNO YA WAPEMBA
9:05
Просмотров 84 тыс.
KUSIMAMA NA KUDONDOKA KWA DOLA YA ZANZIBAR #2
23:37
Просмотров 30 тыс.