Тёмный

HISTORIA YA MJI WA DARAJANI ZANZIBAR 

AL FATAH TV ONLINE
Подписаться 97 тыс.
Просмотров 42 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

17 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 19   
@fatmasaid5864
@fatmasaid5864 5 лет назад
Ahsante sana kwa kweli nimefaidika sana kujua historia ya nchi yetu
@salummkubwa
@salummkubwa 5 лет назад
Shukran kipindi kizuri nafikiri kingelipendeza zaidi wakati mahojiano yakiendelea kutupia historical photos za hilo daraja na palivyokua na yanayohusu hapo ili tupate picha ya uhalisia wake
@masoudrashid8381
@masoudrashid8381 5 лет назад
Maa sha Allah shukran maalim salmin pmj na babu yetu mzee sudi uwe unamtafuta sana Hugo mzee wetu ili atufahamishe zaidi wajukuu zake shukran maalim salmin. Shukran mzee sudi .shukran AL Fatah maa sha Allah
@masoudrashid8381
@masoudrashid8381 5 лет назад
Kama inakuumiza kweli Zanzibar usisahau kugonga like
@saydbarakismailiya1515
@saydbarakismailiya1515 5 лет назад
Asante sana kwa historia nzuri ya nchi yangu pendwa
@makamevuai6132
@makamevuai6132 5 лет назад
TUPENI NA HISTORIA YA KISIWA NDUWI
@ammarruwehy
@ammarruwehy Год назад
Hongereni sana kwa kipindi kizuri hiki, lkn ingependeza sana tungepata Picha au hata video za katukio hayo au hata watu wanaotajwa.
@ibrahimsheha215
@ibrahimsheha215 5 лет назад
Subkh nalaa
@badrujuma4368
@badrujuma4368 5 лет назад
Shekhe salmin kipindi kizuri sanaaaaa
@lipymuscat4779
@lipymuscat4779 5 лет назад
Kipindi kizur sana ..ukisikiliza unahis raha wallah...zanzibar njema atakae aje
@massoudsultan6149
@massoudsultan6149 2 года назад
Allwaahumma ghfirlahu warhamhu waskanahu fi Janna mzee also dhulumiwa na majahil
@mwajumaali4866
@mwajumaali4866 5 лет назад
masha allah
@lipymuscat4779
@lipymuscat4779 5 лет назад
Waarabu wamefanya na mambo mazuri😘 tuwashukuru...sio kuwasema kuhusu utumwa tuu
@rahmaawadh6744
@rahmaawadh6744 5 лет назад
walijifanyia wenyewe sio kwa ajili ya waafrika mbona ngambu hawakuijenga waliiwacha na vibanda vya makuti na udongo
@hammerQ954
@hammerQ954 5 лет назад
Kipindi kizur sana mtafute tena huyu mzee
@ludacrissrangiyabank3737
@ludacrissrangiyabank3737 5 лет назад
Uo mto ulikua una upana gani na ulijengewa pembeni ,na pembezoni mwake mlikuwa hamna miti na kuendea malindi uliishia wp na watu walikuwa wanaruhusika kuogolea na kima chake kwenda chini kina urefu gani?
@jumamohd5420
@jumamohd5420 5 лет назад
Je hilo daraja halina kumbukumbu zake za picha angalau tujue limejengwa vipi
@mwatumsaidi5104
@mwatumsaidi5104 5 лет назад
Leo tunaambiwa tulipe maji
@issaabdallaissa1473
@issaabdallaissa1473 4 года назад
Mbn tuliambia ni 1905 ndio sultan alifukia mto au siko na kufukiwa kwa mto kipi kilifuata kwanza
Далее
ДОМИК ДЛЯ БЕРЕМЕННОЙ БЕЛКИ #cat
00:38
HII NDIO SIRI YA UTUKUFU WA MPEMBA
14:30
Просмотров 8 тыс.
Usichokijua kuhusu mji wa Bagamoyo sehemu ya 1
41:11
Просмотров 11 тыс.
mnKL EPYUDE ONAMRUCHI WEB
27:13
Просмотров 22 тыс.
ДОМИК ДЛЯ БЕРЕМЕННОЙ БЕЛКИ #cat
00:38