Тёмный
No video :(

HISTORIA ya RASHID KAWAWA: KUZALIWA, MAISHA YAKE, HARAKATI ZA KUDAI UHURU, HADI KIFO... 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 45 тыс.
50% 1

HISTORIA ya RASHID KAWAWA: KUZALIWA, MAISHA YAKE, HARAKATI ZA KUDAI UHURU, HADI KIFO...
Dkt. Rashid Mfaume Kawawa alizaliwa Februari 27, 1926 katika Kijiji cha Matepwende, Tarafa ya Ligera, Mkoani Ruvuma na alianza shule ya msingi mwaka 1935 huko Tunduru akiwa na umri wa miaka tisa, aliandikishwa shule kwa jina la Baraka ambalo lilikuwa jina lake la utoto mpaka alipomaliza elimu yake ya msingi na baadaye alijiunga na shule ya sekondari ya Tabora na kumaliza darasa la 12 Novemba 1949 kisha Mwaka 1951 alianza kufanya kazi Idara ya Maendeleo ya Jamii
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 27   
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 3 года назад
Huyu alikuwa mpigania uhuru wa Tanzania na Africa inabidi familiya yake wapewe nyumba kama ma Raisi waliopewa sasa hivi mama Samia fikiria gili kawawa familey na karume Familey muwafikirie kwa kweli.
@Lega.Community
@Lega.Community 2 месяца назад
Vraiment poa sana
@zachariamungure6844
@zachariamungure6844 Год назад
Dah familia yake nimaskin ALLAH awafanyie wepes
@universitylink
@universitylink 2 года назад
Wanatakiwa kukumbukwa kwa kweli may God rest his souls in peace
@hamisimpiluka586
@hamisimpiluka586 3 года назад
Wako waliotumikia nchi hii takufikia kuahatarisha maisha yao walistaafu wakiwa maskini alikua was aminifu mno wameacha wajane wakihangaika lakini Leo hii wamesahaulika mmojawapo wapo ni mahamudu ISSA je selikali itamsaidiaje mjane aliedhumiwa nyumba yake
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 11 месяцев назад
Hapa mabibo tunaye mzee alikuwa bregegia kabisa aliwapa mafunzo akina Samora mashell na wengine kibao na yupo hai adi Leo ila uzee unamuanda sana napata kujifunza mengi sana kwake Nampa cocacola Moja story inatembea wanasubiri afe wakapige mizinga yao
@hamissahamissa105
@hamissahamissa105 3 года назад
Aise pazuri sana🤝🤝
@rapperdx1331
@rapperdx1331 3 года назад
Taa jamani technology ikuzwe upande wa Quality ili somo tulipate vyema
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 3 года назад
Kabati nimelipenda hilo tupigie picha vizuri.
@hamisimpiluka586
@hamisimpiluka586 3 года назад
Mbona tunawasau wenginie kola Mara tunawakumbuka wana siasi tu Mimi namkumbuka kachero marehemu mahamudu ISSA jewanao mfaham wa comment
@mwajumasaid9304
@mwajumasaid9304 Год назад
Naijua hiyo nyumba nimekaa pia hapo bombambili ninyumbani kwetu nyumba hio nikubwa sana mala yamwisho miaka 2004 au 2003 alikua aki ishi mwanae wakiume baadae palibaki bila mtu kwamiaka mingi
@sometimes5621
@sometimes5621 3 года назад
JPM alisema somo la Historia lianze kufundishwa katika shule zetu. Huo mpango naona haupo tena na umezikwa pamoja naye!
@isayakihongile4921
@isayakihongile4921 Год назад
Waziri mkuu wa kwanza wa Tanganyika alikuwa mwl.J.K.Nyerere 1961 hadi 1962 wapili ni Kawawa
@deusdeditswebe8930
@deusdeditswebe8930 3 года назад
Historia nzuri....lakini msimulizi na sauti yake
@user-xg9cs9xc3o
@user-xg9cs9xc3o 3 года назад
Mbona kuna giza
@rajabumwashambwa7417
@rajabumwashambwa7417 Год назад
Huyu jamaa namchukia Sana alimuua manaharakati Edward mornge sokoine namchukia huyo mshenzi😢😢😢😢😢😢
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 Год назад
Mchukie tu wala haibadilishi hali yake atabaki kuwa kawawa makamu wa rais na waziri mkuu..!
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Год назад
Una uhakika
@laurentbuhoy1832
@laurentbuhoy1832 Год назад
Wivu2 unakusumbua, chapa naw uache story
@tinershayo5397
@tinershayo5397 3 года назад
uvamivu au uvumilivu nyosha maneno
@migedowzer504
@migedowzer504 Год назад
Hiyo hxtolia yake au histolia ya jengo
@lugwetunje3896
@lugwetunje3896 Год назад
Hii inaeleza alivyo ishi maisha yake,na vile alivyo jenga nyumba yake kujilinda na mkoloni
@johnmkenda1172
@johnmkenda1172 3 года назад
Alikua waziri mkuu wapili wa Tanganyika
@tunumwakanyamale9042
@tunumwakanyamale9042 3 года назад
Simba wa Ruvuma
@hamidaala2832
@hamidaala2832 3 года назад
MleziWakijijiChetuKiluvyaNapajuwaLkwetu.alikuwaAnakujaNyumbani.kimtembeleaBabaAngu
@tinershayo5397
@tinershayo5397 3 года назад
giza wekeni taa
@alberttarimo
@alberttarimo Месяц назад
cameraman useless
Далее
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
Просмотров 2,8 млн
HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!
25:56
Просмотров 938 тыс.
LISSU AFUNGUKA SIMBA KUPEWA JINA LAKE  NA RAIS SAMIA
6:34
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
Просмотров 2,8 млн