Тёмный

Njia rahisi ya kuingia marekani 

Dnyota usa
Подписаться 15 тыс.
Просмотров 19 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 июл 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 92   
@allycheyo-wz7hf
@allycheyo-wz7hf Год назад
Kwakweli mimi nakubali sana ndugu yangu sasa utanisaidiaje mimi nataka kujaa huko ughaibuni mpaka mwezi wa tisa nisaidiwe process
@raheemahamees6410
@raheemahamees6410 Год назад
Bs nifanyiye ivo kaka yangu🙏🙏
@LumajiJr-MD
@LumajiJr-MD 2 месяца назад
Process za visa nyie mnatoaje maana visa Ni ubalozi wa marekan Tu ndo hebu kuweni wakweli msije dhulumu watu Bure,,jaman hasa watanzania hebu muwe mnasoma na kufatilia mambo mjilizishe,,kupata visa hasa ya marekan sio simple hivyoo lazima uende mwenyewe pale kufanya interview na viambatanisho vyote ubalozin,,unless otherwise unatoa elimu ya visa na kuwaelekeza viambatanisho ✍️✍️
@alfredaloyce6835
@alfredaloyce6835 Год назад
Nakubari alakati Mzee baba mi najichanga ndakutafuta bro ila elimu yangu ni dalasa la Saba Kuna ubaya hapo
@ivankadaudi8161
@ivankadaudi8161 Год назад
Naomba nifafanulie vizur mm nahitaji hiyo nafasi kaka TZ Mambo magumu sana kwass tuliokosa elimu tumeishia 4 tunavyeti lakini hata vyuo vya hapa nchin havitupokei labda corege ila pia ada shida labda udongo wahuko unaweza badili maisha yetu tuokoe mama zetu sasa tunawasilianaje kwenye hili unielekeze zaidi nn nifanye
@ivankadaudi8161
@ivankadaudi8161 Год назад
Please nakuomba sana Sana Yani nitafagia nitaosha vyombo lakin sio kujiuza kwenye makasini au mabaa Hilo apana nahitaji kazi Hali yenye utukufu Kwa Mungu please WhatsApp no Yako naomba hii ni ndoto Yangu baada ya kufer sana apa bongo
@salamaoman8133
@salamaoman8133 Год назад
naomba namba yako kaka
@ntumbankinga2496
@ntumbankinga2496 Год назад
Yeah
@juliuslukumay2619
@juliuslukumay2619 Месяц назад
nakukubali mwanangu.
@prospermbwambo2265
@prospermbwambo2265 Год назад
Ok Broo mi nataka mawasiliano
@ChoroTesla
@ChoroTesla Год назад
we jamaa nakumbuka miaka 2002-2007 au 2008 ulikua unadance au shakers enzi za akina msami na papaa masai jina mekusahau kidgo sijui ndo ww manake sa hv una dread.
@ChoroTesla
@ChoroTesla Год назад
@@uniqtraveller2162 mie hilo cfahamu
@user-dy4pw8ts9p
@user-dy4pw8ts9p 6 месяцев назад
Nakubali man
@diegomontenego5158
@diegomontenego5158 Год назад
Wejamaaa ivi unakumbuka nilikuwa nakushevu hapa Arusha huku njiro. Aseee kumbe upo majuu mwambaa ulikuwa unavimbaa mkuuu. Kama unapakumbuka Nane nane hapa. Duh nomaaa
@sukivlog885
@sukivlog885 Год назад
😂😂sasa ndo usimame jamani
@user-ge7xf4pm9j
@user-ge7xf4pm9j 27 дней назад
nipenamba zasimu kaka
@raheemahamees6410
@raheemahamees6410 Год назад
Kaka mimi mimi nataka ht kesho Siumesema inakata viza ww I
@kipedomodric3411
@kipedomodric3411 Год назад
Kaka tatizo kupata hiyo pesa
@HadijaSudi
@HadijaSudi 2 месяца назад
Kaka dulaa utanijulisha
@HadijaSudi
@HadijaSudi 2 месяца назад
Habari kaka Mimi ni dereva wa bus na malori ni hela kapi kuja huko Mimi niko Kenya kaka nimefanya kazi Dubai Niko na leseni zangu
@jacklinebayyo9491
@jacklinebayyo9491 5 месяцев назад
Jmani nahijtj na mim
@richardhosea8827
@richardhosea8827 Год назад
Tanzania mambo magumu hufanyikazi
@millermlowe8156
@millermlowe8156 Год назад
Mamaeee tma mil on 9 ujute hakna maisha mepesi kiivo Nisha kuja amerca na nimesoma uko wapigaji wakutosha
@awadhally1052
@awadhally1052 Год назад
Kwel 😂🤣🤣
@mutabazihamza102
@mutabazihamza102 Год назад
Jama mwenyewe inaonekana mpigajiiii, wajinga njooo wali wao Mimi kiukweli sijasoma kitu 😅
@MAISHAYACROATIA
@MAISHAYACROATIA Год назад
We broiler uwez elewa maisha
@SaimonKabhoneke-oj8tg
@SaimonKabhoneke-oj8tg Год назад
Apa shughur ni million 9 Wanangu
@shukrimusa528
@shukrimusa528 Год назад
Nikiwa na passport ya kenya vip?
@rehemahramadhani3428
@rehemahramadhani3428 Год назад
mimi natamaji kuja huko lkn sijui kingereza
@AbdulAzizKika-fe6co
@AbdulAzizKika-fe6co 4 месяца назад
Kaka vp mambo
@FatimaFatima-wk1jk
@FatimaFatima-wk1jk Год назад
M10 ni nunue kazi?
@Baraka52Shukuran-qj1qt
@Baraka52Shukuran-qj1qt Год назад
Bro tufanyiye mupango sis tunatafuta nafasi bro
@mssamwasote4690
@mssamwasote4690 3 месяца назад
💪
@mssamwasote4690
@mssamwasote4690 3 месяца назад
Nimekupata kaka
@mamalamama7010
@mamalamama7010 Год назад
Passport ninayo nigaramie pesa yako uje uchukue nikija kufanya kazi
@kulindwazakaria9741
@kulindwazakaria9741 Год назад
Hapa hatokujibu milele
@JumaNdevu
@JumaNdevu 9 месяцев назад
Shida n moja nyinyi watu wa mitandaon n wiz ama zaid uongo mumezidisha
@AwadhiAbood-ix3rc
@AwadhiAbood-ix3rc 10 месяцев назад
Mie milion 9 ninayo kaka
@upendotv6267
@upendotv6267 Год назад
Tuko pamoja
@MuddyOmary-ni5nf
@MuddyOmary-ni5nf 2 месяца назад
Million 9 .yakitanzania?
@michaelmwendwa446
@michaelmwendwa446 Год назад
Nko kenya 🇰🇪 gapi hadi uko
@RachelRachel-zx6dx
@RachelRachel-zx6dx 10 месяцев назад
Kwagarama ndogo kama ngapi
@ibrackibrahim6909
@ibrackibrahim6909 Год назад
Bro nahitaji tuwasiliane private kama itawezekana.
@annangosso6680
@annangosso6680 Год назад
Sorry,nifahamishe mtu akija anafikia wp?
@yahyasuleiman8806
@yahyasuleiman8806 Год назад
Wapi iyo connection naweza kufanya maelekezo pls
@mdmahammad3278
@mdmahammad3278 Год назад
Asante kk kwakutupendelea zaidi
@user-xm8ts3xg5c
@user-xm8ts3xg5c 9 месяцев назад
natamani ila kipato changamoto
@akbaslismh9874
@akbaslismh9874 10 месяцев назад
9M 😮
@nailaty
@nailaty Год назад
Million 9 mbona nyingi hivyo
@user-di9tm7el2r
@user-di9tm7el2r 10 месяцев назад
Sasa kngereza ikiwa haujui cha ndani ndani inakuaje?
@ibrackibrahim6909
@ibrackibrahim6909 Год назад
Natumia hii email yangu kila Siku kuna kitu muhimu nahitaji tuwasiliane kama utapata mda
@albertnyirongo9145
@albertnyirongo9145 Год назад
Naomba no zako please
@georgemmunji1189
@georgemmunji1189 Год назад
nisaidie hizo pesa nitakurudishia nikifanya kazi na hat ukitaka na nyongeza
@awadhally1052
@awadhally1052 Год назад
😂🤣🤣🤣
@kitaipaul1989
@kitaipaul1989 2 года назад
Mkuu nimekupata vizuri aminia
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 2 года назад
Sawa pamoja
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 2 года назад
Poa pamoja
@mwinjilistigodvoicemshanga
@mwinjilistigodvoicemshanga 2 года назад
Ahaaa brother unanitamanisha broo from Kilimanjaro moshi marangu hapa
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 2 года назад
Pamoja
@naomitemba9412
@naomitemba9412 Год назад
​@@dnyotausa6154 tuma mawasiliano yako
@ndayiragijejean-marie
@ndayiragijejean-marie Год назад
bro kama hujasoma inawezena kuja uko
@royalq1601
@royalq1601 5 месяцев назад
Nahitaji Sana Hyo Nafasi Ila Nna $2000
@lukasmsafiri-dc4vh
@lukasmsafiri-dc4vh Год назад
Mi nnayo nkupateje
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Год назад
+15167783253 WhatsApp
@benethbenson5594
@benethbenson5594 11 месяцев назад
Tuwasiliane Private Kaka Mimi Nahitaji
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 11 месяцев назад
+15167783253 WhatsApp
@jumachilumba6258
@jumachilumba6258 Год назад
Napataje namba yako kaka
@salome9399
@salome9399 Год назад
Namba yako br pleas
@thedonheritier3584
@thedonheritier3584 Год назад
Bro kuna mtu umesha wahi safirisha kweli kwasababu tuna woga wasije tutapeli kaka
@mdmahammad3278
@mdmahammad3278 Год назад
Napambana kuitafuta Ila kamwendo bdo
@bakarimohammed2796
@bakarimohammed2796 Год назад
Suali zuri kabisa, coz matapeli wengi sana saivi..
@rubenprince8990
@rubenprince8990 Год назад
@@bakarimohammed2796 mwezi mmoja huku kwa wazungu ni mwezi wa kuhangaikia makaratasi tena ni zaidi ya mwezi mmoja yeye mwenyewe anawashsuri kama angekuwa anapata hela za kutosha angebadirika asingeonekana hivyo unawadanganya Greetings from Brisbane Queensland Australia 🇦🇺
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
Yeye mwenyewe hajawahi kuonyesha maisha ya kwake ya nyumbani. Anavyoongea ni rahisi kuliko uhalisia, huko Marekani kuna watu wameenda hawajaweza kurudi kusalimia kwa sababu karatasi sio rahisi kupata. Yeye mwenyewe ukimtizama na fedha anazozitaja anazipata hawafanani .
@tekash6921
@tekash6921 Год назад
@@leokamil6284 usikalili maisha ndugu
@Libson10
@Libson10 Год назад
Sasa nipe utaratibu tunapataje hizo visa kaka
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Год назад
Njoo WhatsApp +15167783253
@mjmswahil6244
@mjmswahil6244 Год назад
M9 pamoja na ticketi ya Ndege Brow
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Год назад
Apana
@abuukhamis4412
@abuukhamis4412 Год назад
Biigani Visa ya amirika
@fabylyimo300
@fabylyimo300 Год назад
Ninayo hiyo pesa nitumie namba yako broo
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Год назад
+15167783253
@thedonheritier3584
@thedonheritier3584 Год назад
@@dnyotausa6154 dah ni mungu tu
@thomaspetro
@thomaspetro Год назад
@@dnyotausa6154 bro noma sana
@khadijaabdulkarim4567
@khadijaabdulkarim4567 Год назад
@@thedonheritier3584 umetuma😹😆
@Word_DJ.
@Word_DJ. Год назад
Tupe process
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Год назад
Nicheki kama hela kulipa garama ipo tayari +15167783253 WhatsApp
@thedonheritier3584
@thedonheritier3584 Год назад
Mimi Niko Congo DRC hiyo itakua ngapi kwa dollar 💵
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Год назад
$4500
@thedonheritier3584
@thedonheritier3584 Год назад
Nikuwa na 3000& huwezi nisahidiye zingine unabana vitambulisho za tick nahiyo nakuja malizia huko?
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 Год назад
@@thedonheritier3584 nicheki whatsapp +15167783253
Далее
КАК Я ЭТО СДЕЛАЛА?
00:13
Просмотров 145 тыс.
Чистка пляжа с золотом
00:49
Просмотров 302 тыс.
Sababu kwanini watu wananyimwa viza Ubalozini
13:24
Просмотров 20 тыс.
Jinsi ya kupata mzungu marekani
44:20
Просмотров 30 тыс.
Maisha ya Upweke Ughaibuni na kukabiriana nayo
16:10
Просмотров 14 тыс.