Process za visa nyie mnatoaje maana visa Ni ubalozi wa marekan Tu ndo hebu kuweni wakweli msije dhulumu watu Bure,,jaman hasa watanzania hebu muwe mnasoma na kufatilia mambo mjilizishe,,kupata visa hasa ya marekan sio simple hivyoo lazima uende mwenyewe pale kufanya interview na viambatanisho vyote ubalozin,,unless otherwise unatoa elimu ya visa na kuwaelekeza viambatanisho ✍️✍️
Naomba nifafanulie vizur mm nahitaji hiyo nafasi kaka TZ Mambo magumu sana kwass tuliokosa elimu tumeishia 4 tunavyeti lakini hata vyuo vya hapa nchin havitupokei labda corege ila pia ada shida labda udongo wahuko unaweza badili maisha yetu tuokoe mama zetu sasa tunawasilianaje kwenye hili unielekeze zaidi nn nifanye
Please nakuomba sana Sana Yani nitafagia nitaosha vyombo lakin sio kujiuza kwenye makasini au mabaa Hilo apana nahitaji kazi Hali yenye utukufu Kwa Mungu please WhatsApp no Yako naomba hii ni ndoto Yangu baada ya kufer sana apa bongo
we jamaa nakumbuka miaka 2002-2007 au 2008 ulikua unadance au shakers enzi za akina msami na papaa masai jina mekusahau kidgo sijui ndo ww manake sa hv una dread.
@@bakarimohammed2796 mwezi mmoja huku kwa wazungu ni mwezi wa kuhangaikia makaratasi tena ni zaidi ya mwezi mmoja yeye mwenyewe anawashsuri kama angekuwa anapata hela za kutosha angebadirika asingeonekana hivyo unawadanganya Greetings from Brisbane Queensland Australia 🇦🇺
Yeye mwenyewe hajawahi kuonyesha maisha ya kwake ya nyumbani. Anavyoongea ni rahisi kuliko uhalisia, huko Marekani kuna watu wameenda hawajaweza kurudi kusalimia kwa sababu karatasi sio rahisi kupata. Yeye mwenyewe ukimtizama na fedha anazozitaja anazipata hawafanani .