Тёмный
No video :(

Hotuba ya Othman Masoud, asisitiza Zanzibar haiwezi kuendelea ikiwa chini ya Mkoloni Tanganyika 

Weyani Tv
Подписаться 81 тыс.
Просмотров 14 тыс.
50% 1

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Zanzibar na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, akizungumza katika Kikao cha Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo wa ngazi ya Mkoa, Majimbo, Matawi na Ngome zake wa Kisiwa cha Unguja, katika Ukumbi wa Majid Hall Kiembe Samaki Mkoa wa Mjini-Magharib Unguja leo Septemba 03, 2023.
#MiminaZanzibar
#ZanzibarnaMimi
#ZanzibarMpya
#ZanzibarMoja
#MamlakaKamili

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 50   
@salyali7807
@salyali7807 11 месяцев назад
OMO 🔥🔥🔥🔥🔥 May Allah akuhifadhi utuvushe kwa salama ... Allahumma ameen
@omarsaid7153
@omarsaid7153 11 месяцев назад
Elimu kubwa hii. Asante Mh.Raisi tumaini la Wazanzibari
@shekhansaid9543
@shekhansaid9543 11 месяцев назад
Chama bora kwa sasa
@user-nv9pz6pr1z
@user-nv9pz6pr1z 11 месяцев назад
Mungu atupe mwisho mema
@fadhilahaji7929
@fadhilahaji7929 11 месяцев назад
Furaha yko itakuwa kubwa zaidi Ishallah 2025utapokamilisha kzi aliowach Maalim Seif😊
@w4058
@w4058 11 месяцев назад
Allahumma Aamiin Fadhila dua yako iwe Maqboul Yaarabiy
@harounramadhan9771
@harounramadhan9771 11 месяцев назад
Inshallah Allah atufanyie wepesi
@nailamohd-wn6sb
@nailamohd-wn6sb 11 месяцев назад
❤❤❤
@harithmohd6318
@harithmohd6318 11 месяцев назад
Hakika allah akimuondosh mt hueka mt allah akupe ulinz mzur kwenye kupambania haki zete wanzanzibar naamin 20_ 25 wataondk t haoo mafisadi nakuomb raisi wet utakare kuja ongoz nch yet tukiipata dola kamili basi paspt iwe yenye hazi mzur pambo lake lamnje iwe chapa yakarafuu nandn yke kenye kurasa iwe waekwe wale waloipigania nch so wanyama km passport ya mungano Amn inshaallah tutashinda
@hajihassan5433
@hajihassan5433 11 месяцев назад
Ili tuwe na mamlaka kamili ni LAZIMA Muungano usiwepo. Napenda sana Muungano uvunjike lakini nina maswali magumu kichwani kwangu:- 1. Tutaweza kuushi bila Uunguja na Upemba? 2. Kuna kasoro nyingi zetu wenyewe na uzembe nje ya Muungano tutaweza kujirekebisha? 3. Nini hatma ya wenzetu na mali zao waliopo Tanganyika? 4. Vipi hatma ya Wastaafu wa Muungano na pension zao atalipa nani, vipi. Nakumbuka EAfrica Community ilipovunjika Wafanyakazi hawakulipwa na hakuna wa kuwalipa.
@shaabanmakame2690
@shaabanmakame2690 11 месяцев назад
Mi nahisi kuwepo kw uunguj na upemba unasababishw na muungano, hii ni kisudi la kuwagawa wazanzibari ili kuwatawala
@w4058
@w4058 11 месяцев назад
Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil we need to stand with this dua and many others to defeat the dhalimum
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 11 месяцев назад
ACT-WAZALENDO!!! AMKENI Kura za 2025, zinaweza kupigwa kwa SIRI Tanganyika, na kuletwa kwa SIRI Zanzibar.
@w4058
@w4058 11 месяцев назад
Hao wanata kupigiwa dua za kweli kweli
@IbnuAlly-cg2gn
@IbnuAlly-cg2gn 11 месяцев назад
Kweli kabisa tonga si tu km wanavyodhani watanganyika
@thuwenmbarouk2694
@thuwenmbarouk2694 11 месяцев назад
Tumekuelewa asiejua mwache apite
@jumarajab2754
@jumarajab2754 11 месяцев назад
Hamuheshimu hata Rais aliemuweka hapo panapompa kibri cha kusema
@kinkybanjukome217
@kinkybanjukome217 11 месяцев назад
Kwa sababu si raisi ndio maana haheshimiwi nani alimchagua mnajitia upofu mijizi ya kura nyinyi pumbavu kweli nyinyi watanzania
@jumarajab2754
@jumarajab2754 11 месяцев назад
Umemshinda uwana sheria ataiweza Zaanzibar
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 11 месяцев назад
MUUNGANO WA KIKOLONI @jumarajab2754.Hakushindwa Uwana Sharia, lakini alipinga Sharia za kuifanya Zanzibar kuwa Koloni ya Tanganyika. Ndio sababu ya Wakala wa Ukoloni wa Tanganyika Rais Sheni alimvua Uwana Sharia. Kabla ya yeye Mwana Sharia Mkuu wa Zanzibar Wolfgang Dourado alisema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar si Halali. Ndio sababu Rais Nyerere alimfunga siku 104 Tanganyika.
@gangmore9091
@gangmore9091 11 месяцев назад
Watu km wewe ndio muloupokea ukoloni mukawauza watu yaan mtu anatetea vitu ambavo vipo wazi kbc
@RashidiHassani-in9rb
@RashidiHassani-in9rb 11 месяцев назад
Si wasusie hata uchaguzi watupishe tuchukue urais iliwaje watukosoe
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 11 месяцев назад
Naona mnisaidie sijui hili, Rais wa zanzibar, na makamo wake wote 2 wakinda bara katika serekali hii ya mungano wanakua ni kama nani wao Tanganyika ? Yoyote anae jua
@IbnuAlly-cg2gn
@IbnuAlly-cg2gn 11 месяцев назад
Rais anakuwa mkuu wa mkoa na makamo wanakuwa manaibu zake
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 11 месяцев назад
@@IbnuAlly-cg2gn 🙄🙄😁 Mungano oyeee
@SalehRashid-zz7dc
@SalehRashid-zz7dc 3 месяца назад
unasemaje ww Ccm dude gani?
@jumarajab2754
@jumarajab2754 11 месяцев назад
Mungu apishe mbali popo mtawale Zanzibar kwa uwezo wake Allah na nia zenu mbaya kwa wazanzibar CCCm iitaendelea kuongoza mpaka Mungu apende
@kinkybanjukome217
@kinkybanjukome217 11 месяцев назад
Pumbavu nyinyi wachumia tumbo popo wewe usojielewa
@hajiameir8688
@hajiameir8688 11 месяцев назад
Omo upo kwelini? maalim sefu alikuwa anatufanya kama mizukule Sisi wengine tulimjuwa mapema je wewe je sio CCM no 2?
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 11 месяцев назад
Kura za vitambulisho vya maerehemu na za wizi ndio zinazo kutieni ujeuri nyie wazanzibara😂😂
@labanigalusi874
@labanigalusi874 11 месяцев назад
muungano wann
@jumarajab2754
@jumarajab2754 11 месяцев назад
Mwambieni na huyo Masoud hana uwezo wa kuongeza watu labda kondo na mbuzi
@w4058
@w4058 11 месяцев назад
Hasbiyallah Waneemal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah ndio atakaedeal na wewe hasidi mmoja juma
@w4058
@w4058 11 месяцев назад
Angalau yeye ataongeza kondo na mbuzi wanyama halali nyie mmeharamushwa kama nguruewe maana hamjashindapo ila kuiba kura kubadilisha matokeo Alaysa llahu biahkamulihakimin inatosha
@w4058
@w4058 11 месяцев назад
Fasayakfika humu llah wahuwa samiul aleem na ubaya wako
@w4058
@w4058 11 месяцев назад
Dhalim asomuogopa Allaah ndio kama wewe mkosefu wa imani
@w4058
@w4058 11 месяцев назад
Mijitu mshenzi kama wewe ndio sababu ya kujaa matatizo yasiokwisha kwa ajili ya roho zenu mbovu zilojaa chuki Subhanallah Allaah awageuzie maana munatusemesha maneno tusiyoyataka laysa laha mindulahi kashifat
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 11 месяцев назад
Huna lolote maridhiano tumbo tele ccm no 2
@salyali7807
@salyali7807 11 месяцев назад
Akili zenu zimo kwenye matumbo tu.. typically CCM
@salyali7807
@salyali7807 11 месяцев назад
Kama huna la kusema usituletee utumbo
@mhogomchungu7168
@mhogomchungu7168 11 месяцев назад
Acha fitna mjinga wewe, huna hata mvuto wa kisiasa. Tumechoka siasa za chuki Tanzania ni moja
@WeyaniTvonline
@WeyaniTvonline 11 месяцев назад
Tanzania ipi moja? Hii ya bandari ambayo mnasema wazi Rais Mzanzibari anauza mali za Tanganyika?
@mhogomchungu7168
@mhogomchungu7168 11 месяцев назад
@@WeyaniTvonline mie pia mzanzibar lakini Tanzania ni moja tokea asili na asili na sio kwa muungano WA Nyerere na Karume
@IbnuAlly-cg2gn
@IbnuAlly-cg2gn 11 месяцев назад
​@@mhogomchungu7168acha upumbavu km Tanzania ni mmoja huu muungano ulikujaje na nani aliyeigawa hapo mwanzo kabla ya kila nchi kuwa na mamlaka yake kamili
@IbnuAlly-cg2gn
@IbnuAlly-cg2gn 11 месяцев назад
​@@mhogomchungu7168Mukishapata vitambulisho vya mkaazi munajifanya wazanzibar, mzanzibar gan anayejielewa anayekubali muungano huu wa kihuni
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 11 месяцев назад
​@@mhogomchungu7168Labda Mtanganyika unayeishi Zanzibar ila kwa Mzanzibari halisi hawezi kuongea utumbo huo
Далее
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Просмотров 1,1 млн
Simple Flower Syrup @SpicyMoustache
00:32
Просмотров 1,1 млн