Тёмный

ISMAIL JUSSA ATOWA HOTUBA YA NGUVU LEO KATIKA KIKAO CHA VIONGOZI WA ACT UNGUJA 

Weyani Tv
Подписаться 81 тыс.
Просмотров 21 тыс.
50% 1

ISMAIL JUSSA akihutubia katika Kikao cha Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo wa ngazi ya Mkoa, Majimbo, Matawi na Ngome zake wa Kisiwa cha Unguja, kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Zanzibar na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, katika Ukumbi wa Majid Hall Kiembe Samaki Mkoa wa Mjini-Magharib Unguja leo Septemba 03, 2023.

Опубликовано:

 

2 сен 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 38   
@hamadbakar7091
@hamadbakar7091 10 месяцев назад
Hongera ndugu Ismaili jussa ladu Kwa maneno Yako na inshaallah tuko pamoja bega kwa bega inshaallah hadi Zanzibar yenye mamlaka kamili inshaallah ipatikane na inshaallah itapatikana
@salyali7807
@salyali7807 10 месяцев назад
Mhe Jussa unanikuna ndipo... May Allah akuhifadhi Allahumma ameen Allahumma ameen
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 10 месяцев назад
Mr JUSSA KIUKWELI TUNAWAPENDA SANA SANA SANA NA KUOMBENI SANA TUWE NA MISIMAMO IYO IYO YA KUTETEA NCHI YETU ❤❤❤❤❤
@hafidhkhamis731
@hafidhkhamis731 10 месяцев назад
Sema jussa bdo unaeleweka sana wewe in hzna kwetu Allah akulinde tuko pamoja
@shaabanmakame2690
@shaabanmakame2690 10 месяцев назад
Mimi na zaznibar ,Zanzibar na mimi❤❤
@abubakarmuhammadsaid3244
@abubakarmuhammadsaid3244 10 месяцев назад
Insha Allah Biidhillaahil Kariym Yaa Rabb Al'Aalamiyn
@mumuomar5541
@mumuomar5541 10 месяцев назад
Zanzibar mojA lnshallah
@addamschamwande7734
@addamschamwande7734 10 месяцев назад
Nakuerewaga sana jussa
@solomonadams6337
@solomonadams6337 10 месяцев назад
Allah amlinde huyu Mzee Othman Masoud kaacha Mwanasheria mkuu amepata umakamo wa Rais hakuna kitu kizuri kama ukweli...
@ashaali7506
@ashaali7506 10 месяцев назад
😅😅😅😅Ahsante Alhabiby jussa hongera unafanya kazi nzuri endelea juhudi hyo hyo inshaallah tupo nyuma yako tuna kuunga mkono mpaka zanzibar yenye mamlaka kamili inshaallah na itapakina zanzibar kwanza leo na kesho zanzibar mpya zanzibar moja I❤ZNZ
@user-rn7xc2ke2w
@user-rn7xc2ke2w 10 месяцев назад
Pamoja san kak ismail zanzibar kwanza
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp 19 дней назад
Fact jamaa wanajua matumbo yao tu hawana huruma na masikini
@stonefacestoneface2976
@stonefacestoneface2976 10 месяцев назад
Pmj Mr Jussa
@nassorseif7907
@nassorseif7907 10 месяцев назад
Kweli mheshimiwa Othman Massoud ni kidume
@hasbunakhamis487
@hasbunakhamis487 10 месяцев назад
Tuk pmja sanaaa
@muhammednassor3569
@muhammednassor3569 4 месяца назад
Hio ndio nguzo ya ACT Allah akuhifadhi wewe na wenzako من كل سوء والمكروه
@ahmadseif7241
@ahmadseif7241 10 месяцев назад
Kaz kaz mh.jussa, tumechoka tumechoka na utawala huu wa kijingajinga
@fadhilakhamis967
@fadhilakhamis967 10 месяцев назад
Hatudanganyikiiiii, hakuna neema..njaaaa tupuuuu
@ngwalitcha1655
@ngwalitcha1655 10 месяцев назад
Tunakufahamuni viongozi kamwe hatutachoka bado tunarndeleza alipimalizia marehemu maalim seif Sharif hamadi kama kuuliwa tumeshauliwa Sana kupigwa tusapigwa sana hatutarudi nyuma kamwe
@fadhilakhamis967
@fadhilakhamis967 10 месяцев назад
Hawatuwezi CCM 2025....hawatokiiiiiii
@solomonadams6337
@solomonadams6337 10 месяцев назад
Kafiri Julia's Kambarage Nyerere ametuharibia nchi yeye ya Zanzibar laanatullah Nyerere.
@AnwarAli-vs9mp
@AnwarAli-vs9mp 8 месяцев назад
TANGA YA SHUSHAA JMANI .......DAH KWANI KAPIGA VINGpi
@fadhilahaji7929
@fadhilahaji7929 10 месяцев назад
Ndugu Jussa wasomeshe vijana wadogo cc tunayajua kuliko ya labia 1972 madhila yaliotukuta ktka nchi hii
@fadhilahaji7929
@fadhilahaji7929 10 месяцев назад
Wakumbushe hao hawakumuna Maalim alive Waziri Kiongozi nchi ilvyokuwa ikingara
@karimkassam571
@karimkassam571 10 месяцев назад
NDUGU YANGU ZITTO NAAMINI UNAAKILI TAFAKARI UJUMBE HUO....MLANGO UPO WAZI
@abdallamakamekhamis6692
@abdallamakamekhamis6692 10 месяцев назад
Walifukuzwa ccm kwa ubaguzi
@kinkybanjukome217
@kinkybanjukome217 10 месяцев назад
Poyopoyo wewe usojijua pumbavu
@kinkybanjukome217
@kinkybanjukome217 10 месяцев назад
Mjinga mmoja wewe kama wale walikuwa wabaguzi soon utawaona wabaguzi usojijua wewe nyinyi wazanzibar mlioko ccm wapumbavu sana badala ya kuungana na wenzenu mkagombowa nchi yenu unaleta ujinga pumbavu mkubwa
@MuhsinAli-xr9tm
@MuhsinAli-xr9tm 10 месяцев назад
Wewe naona ukapimwe akili
@fahmysaid-zw4np
@fahmysaid-zw4np 10 месяцев назад
inakuuma ukiwa wap😢😢
@ibniabdalla4817
@ibniabdalla4817 10 месяцев назад
Naona wewe ndio uliokuwa hauna akili
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 10 месяцев назад
Ukimuona mtu anamtukana mtu mwenye akilii huyu maana yake ni jaheli hata kioindi cha MTUME MUHAMMAD SALA NA SALAM ZIENDE KWAKE WALIKUWA WAPO WATU KAMA HAWA WENYE KUMTUSI MTUME HALAF MWISHO WAKAINGIA KWENYE LAAANA NA MAANGAMIZI TUNAKUPENDA SANA MR JUSA
@kinkybanjukome217
@kinkybanjukome217 10 месяцев назад
Ipimwe Yako kwanza mlo wa siku Moja unakushinda bado hujaamka poyopoyo mkubwa
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 10 месяцев назад
Toka hapa nyie ni ccm namba 2 wasaka tonge tu
@akaumbo9433
@akaumbo9433 10 месяцев назад
Ni kweli Chadomo wao ni CCM D
@salyali7807
@salyali7807 10 месяцев назад
Akili zenu ziko kwenye matumbo tu kama hao nyungu nyungu... ACT ndio chama chenye maslaha ya wazanzibari
@nailamohd-wn6sb
@nailamohd-wn6sb 10 месяцев назад
​@@salyali7807😅😅
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 10 месяцев назад
Margaret,wanaosaka tonge wajulikana,kama wewe huwajui,ni wale wanaolazimidha matokeo ya chaguzi,kwa kuuwa,kuwaibia,kuwanyanyasa na kuwapiga kama mbwa wananchi wasiona hatia.
Далее
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
34:06
Просмотров 56 тыс.