Тёмный

HOTUBA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ALIPOWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA - IKULU DSM 

Ikulu Tanzania
Подписаться 286 тыс.
Просмотров 176 тыс.
50% 1

HOTUBA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ALIPOWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA - IKULU DSM

Опубликовано:

 

8 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 225   
@coastermahenge8910
@coastermahenge8910 5 лет назад
miaka 20 magufuli ngongeni like hapa,kuunga mkono
@raymondshilatu2495
@raymondshilatu2495 5 лет назад
Mungu akupe maisha marefu Rais wetu
@shilungumoshi3732
@shilungumoshi3732 5 лет назад
Kiukweli huu ndio uadilifu unaofaa zaidi kuigwa kwa viongozi wotee Wa madhehebu ya dini na Wa serikali kwa ujumla hapo ndipo tutapata jamii mpya na Tanzania mpya.Hongera sana mheshimiwa JPM.Barikiwa
@ramadhankambalame4681
@ramadhankambalame4681 5 лет назад
Alafu kuna baadhi ya watanzania wanasema Raisi hafai kwel? Allah katushushia neema ya huyu mzee Raisi magufuli
@imamuhemedi4387
@imamuhemedi4387 5 лет назад
Shilungu Moshi
@Teachercandle
@Teachercandle 5 лет назад
Hongera mheshimiwa raisi kwa kuwaeleza ukweli ili waweze kujifunza unaowateua..
@mohamedkikale7241
@mohamedkikale7241 5 лет назад
Allah mjalie Afya, wered, kheqma busara, na uchapa kazi Rais wetu, kwa niaba ya watanzania wote.
@user-my9hc6uf9l
@user-my9hc6uf9l 5 лет назад
Amiiin Rabbil Alamiiin
@godfreynjamasi7403
@godfreynjamasi7403 5 лет назад
Uyu president wengine wasubili
@upendonyava7574
@upendonyava7574 5 лет назад
UsikukuhusumagerezakutorewawFungwa
@yohanamhanzi6797
@yohanamhanzi6797 5 лет назад
Rais nakuelewa sana DPP tukusanyie hizo pesa zitusaidie kuboresha Nchi hapo DPP utakuwa umeacha alama ktk nafasi yako tena ya kihistoria na Mungu atakuona ktk hili.
@shamirik_
@shamirik_ 5 лет назад
itatumia muda sana kumuelewa mh raisi wetu jpm.sasa nimeshajua nn muheshimiwa anataka 1.kutofuja kodi za wananchi 2.kulinda na kutetea haki za wananchi 3.ukweli na uwazi 😎 kazi kazi kazi kazi jpm raisi ambaye hatosahaulika .(ukweli usemwe).sina chama
@SuperKibwana
@SuperKibwana 5 лет назад
4 kuchapa kazi
@SuperKibwana
@SuperKibwana 5 лет назад
6 Kuacha majungu
@SuperKibwana
@SuperKibwana 5 лет назад
5 Kila mmoja kujitambua na kuyajua majukumu yake
@imamuhemedi4387
@imamuhemedi4387 5 лет назад
Shamik Tv
@kombosaira7894
@kombosaira7894 5 лет назад
Mkuu wa mkoa wa tabora angeletwa Dar.
@hajisalum3494
@hajisalum3494 5 лет назад
Magufuli atabaki kuwa magufuli tu mjomba magu 2020 kula yangu utaipata panapo majaaliwa
@chumizola1847
@chumizola1847 5 лет назад
Ile nia yangu ya kumuandika Mheshimiwa Raisi Barua, sasa inatimia! Mungu Azidi Kukubariki JPM
@petermponzi411
@petermponzi411 5 лет назад
"Tanzania got amazing President"
@seifmalijan8775
@seifmalijan8775 5 лет назад
utakumbukwa mheshimiwa Rais kwamema unayoyafanya ktk nchi yetu.
@romeoromeo4125
@romeoromeo4125 5 лет назад
Kaka Makonda jipange vzr, juzi kakuripua Vingunguti leo Coco Beach. Fanya kazi mambo yasiwe mengi!!!
@ismailkhalid6186
@ismailkhalid6186 5 лет назад
Makonda taa ya njano imeanza kuwaka
@philemganga8411
@philemganga8411 5 лет назад
Huyu ndiye Raisi !
@lovebusness8777
@lovebusness8777 5 лет назад
Red inakarbia ustoshe makonda nae mambo meng
@mr.machange1377
@mr.machange1377 5 лет назад
Watumbue bhana Mi naona upo sawa tu JPM
@adenihalisi4218
@adenihalisi4218 5 лет назад
Sawa nimeelewa wewe ndio Rais Magufuli wengine walikuwa ni mfano wa marais!
@obbybenitho5803
@obbybenitho5803 5 лет назад
adeni Halisi nakubaliana ww
@user-my9hc6uf9l
@user-my9hc6uf9l 5 лет назад
Wengine walikuwa "symbols ", Hahahaaa!
@kimanzikato9678
@kimanzikato9678 5 лет назад
adeni Halisi
@ahmadateguro4886
@ahmadateguro4886 5 лет назад
Yani mpaka machoz yananitoka kwa haya maneno wanayoambiwa wateuliwa dahh mungu katuzawadia allah akbarrrrrrr mungu mlinde raisi wetu kwa kila shari za walimwengu
@ahmedsalimsaleh9726
@ahmedsalimsaleh9726 5 лет назад
Amin
@ronaldsariah8760
@ronaldsariah8760 5 лет назад
Mheshimiwa hebu tupia jicho pale BRELA. Kuna changamoto kadhaa. Wachache watanielewa
@kingndinyo9764
@kingndinyo9764 5 лет назад
Viva Magufuli 2020 kura ipo gombea mpk miaka 20 mbele hk wote 2naongea lugha moja xaa hizi 😂😂
@mswanawamswana3129
@mswanawamswana3129 5 лет назад
Asante sana kwa mabadiliko huko Morogoro. Mzee umemvumilia sana mh. Kebwe. Naomba umulike na Polisi mzee wetu ikibidi mabadiliko yafanyike. Kubadili leseni pale trafiki ni shida sanaaa. mazingira ya kupata leseni mpya ni magumu sana. Morogoro mulika polisi. Kuna alama tatu ambazo hazipo ktk barabara za Tanzania lkn utaulizwa tu maana wanataka kukwamisha ku renew leseni.
@yonamwakanyamale5023
@yonamwakanyamale5023 5 лет назад
Nakupenda sana tena sana Raisi wangu JPM, Ni ushauri mzuri kwa mahakama maana mahakama imelala. Tunapata faida gani mtuhumiwa ana Pesa zetu alafu amefungwa, alipe Hela zetu atoke gerezani.
@imamuhemedi4387
@imamuhemedi4387 5 лет назад
Yona Mwakanyamale
@TheCvm229
@TheCvm229 5 лет назад
Ukisikia Hapa ni Kazi... Ndo kama hivi zege halisubiri jumapil ipite
@romeoromeo4125
@romeoromeo4125 5 лет назад
Leo imekaa vzr ili kesho tu waanze kazi
@lovebusness8777
@lovebusness8777 5 лет назад
😀😁😂😂seven dayz kaz kaz
@niyonkurucanesius7773
@niyonkurucanesius7773 8 месяцев назад
REST in eternal peace. we miss from Burundi
@tozzaalexandar4905
@tozzaalexandar4905 5 лет назад
Magu anaongoza nchi na ana fundisha
@jacksommndellah7794
@jacksommndellah7794 5 лет назад
Safi Sana rais mangufuli
@antonykahwage2189
@antonykahwage2189 5 лет назад
hakika mheshimiwa ana upendo wa dhati saaaana na watanzania,
@amanichanga3448
@amanichanga3448 5 лет назад
Keep going Tanzania
@amirichaka355
@amirichaka355 5 лет назад
Muheshimiwa wewe ni mwalimu tosha ktk utawala wako tusipo jifunza jombo basi Tz imeangamia na maendeleo ni hadithi ya mbali
@evelynmon9423
@evelynmon9423 5 лет назад
Mungu akutunze Rais wetu Rais wa watanzania uwafundishe viongozi wa Tanzania 🇹🇿 kuongoza bila kula rushwa inawezekana
@kimanzikato9678
@kimanzikato9678 5 лет назад
Hawa Boko
@geminiflorian6237
@geminiflorian6237 5 лет назад
Hapa Kazi tu , Yani hii Tumbua Tumbua inasaidia kuondoa Mazoea ya kazi , Kiongozi yoyote anatakiwa awe Mwepesi wa Maamuzi yenye Manufaa kwa Taifa , Congratulations Mr President
@lovebusness8777
@lovebusness8777 5 лет назад
Fund mzr ni yule ajuae kujenga na kubomoa
@mumyhendry2919
@mumyhendry2919 Год назад
Baba ♥️♥️♥️bado ninakupenda mnoo na tunakuhutaji 😭😭😭plz kila sku nakuombea na naamini uko uwepon wa Mungu,tuombee wanao🙏🙏🙏♥️♥️♥️🙏🙏🙏
@stevenmeshack467
@stevenmeshack467 9 месяцев назад
Uyuuu mzeee kweliii ni mfano sanaaa wakuigwaaa" upumzike baba yetuu mpendwaa
@abuumussa2390
@abuumussa2390 5 лет назад
nakuerewa sana mzee wangu ila kwa sasa kunawatanzania wafanya niyashala bado wanaenderea kuhujum uchumi ukienda kununia kitu anakwabia kwa risit ni sh 12000/= bila risit sh 9500. /= ushauri wangu kwa watanzania tuwe wakweli kama mweshimiwa raisi anavotaka kuripeleka hili taifa mbere mungu ibariki tanzania mungu mbariki mr Rais wa jamuhuri ya muungano
@lovebusness8777
@lovebusness8777 5 лет назад
👏👏👏salout make awa jamaa wanasumbuwa kweli juz nimeenda kununua godoro la super banco futi 3/6 nikaambiwa bila rst 95elf akinipa rist 120,000/=. Nikakubali aniuzie bila rst ila aniperekee mpaka nyumban kwangu nae akakubali kuliweka kwenye gr lake tukaelekea nymbn kwaiyo wafanyabihashara bado hawajakubr kutendea nchi yao haki.
@msaphirimagallah5781
@msaphirimagallah5781 5 лет назад
Makonda fanya kazi kaka.... huyu mzee humtendei haki, achana na mambo yasiyokuwa na maana fanya kazi
@johnnkwabi8933
@johnnkwabi8933 5 лет назад
Makonda naomba umsikilize mzee anataka nini juu ya Tanzania mpya bila uchafu kazini inawekana
@msaphirimagallah5781
@msaphirimagallah5781 5 лет назад
Huyu ndio rais wa Tanzania... Mungu akulinde Baba... saluti mzee wangu! Wasio weza kasi yako wakupishe jembe letu upige kazi na wanaokuelewa tu
@beatusmichael4688
@beatusmichael4688 5 лет назад
Good 👍👍👍👍👍
@pangarasfuko2383
@pangarasfuko2383 5 лет назад
Yan nchi hii utazan viongozi wanaelekezwa kama ndio wanatoka chuo ,yan hawaelewi
@frankrevelian6919
@frankrevelian6919 5 лет назад
tuna mambo mengi ya kujifunza kwa mh rais, kwanza uvumilivu na hekima ya kuona nchi inapigwa na akaamua kunyenyekea akitafuta nafasi nzuri ya kuikomboa nchi kipindi chote alichokuwa kwenye uongozi, hii inatufundisha sana watanzania, hekima na busara ni muhimu sana
@imamuhemedi4387
@imamuhemedi4387 5 лет назад
FRANK REVELIAN
@janeypheremmanuel9844
@janeypheremmanuel9844 5 лет назад
nakupenda Rais wangu Mungu akubarik sana
@safari5774
@safari5774 Год назад
Rest in peace Magufuli we shall remember you mungu ailaze mahali pema peponi.
@deusmauka9626
@deusmauka9626 5 лет назад
Mi machozi yanatoka tu, muoneeni huruma JPM, pigeni kazi jamani.
@thamu3133
@thamu3133 5 лет назад
mzee wape wape hahahahahaa,huo ndo ukwel,nakupenda bure magu
@lamecktheonest225
@lamecktheonest225 5 лет назад
Red Son 😁😁😁😁 yaanii
@hassanhamis6062
@hassanhamis6062 5 лет назад
Magu unstisha unatumia kipaji
@privamushi2512
@privamushi2512 Год назад
Leo naangalia hatuba ya kipenzi chetu tuliyependa gonga like kma ipo na Mimi
@juddykazoka3066
@juddykazoka3066 5 лет назад
Mungu akutenze mh raisi
@rweumbiza255ommy7
@rweumbiza255ommy7 5 лет назад
safi sana mkuu wa nchi Tunakuelewa sana...Allah akulinde na akupe afya njema
@lucyngoliga3822
@lucyngoliga3822 5 лет назад
Upo vzr magu Hongera sana
@shufaashabn1235
@shufaashabn1235 Год назад
Niliwa nakupenda kwa sababu ulikuwa hutumbui walk kuteua bila kufundisha l unataka nn kifanyike
@erickmmary4225
@erickmmary4225 Год назад
Kiukweli tuta kumiss ulikuwa mkweli daima so tuta kumbuka zaidi nazaid dady
@mangegervas9651
@mangegervas9651 5 лет назад
Pole jpm na hongera kwa maamuz magumu
@kabaranamaganga6646
@kabaranamaganga6646 5 лет назад
Nakutakia maisha marefu mh Rais hakika Mwenyezi Mungu ni mwaminifu
@nilagushaha1990
@nilagushaha1990 5 лет назад
Well noted,,,stay blessed our Honourable President JPM. We promise you as Country men, we shall not be, STIFF NECKED PEOPLE!! To implement what is right in accordance to your Outstanding views"
@rwenenahomechannel1634
@rwenenahomechannel1634 Год назад
Na ndio maana damu yako italeta laana kwa wengi na neema ya busara na hekima kisiasa,ki dini kwa wenye kuzitumia akili kwa weledi. Raha ya milele inakuatahili baba Magufuli. Utubee huko pema ulipo.
@celinaweber7024
@celinaweber7024 5 лет назад
Mh. John Pombe Joseph Magufuli, Tunashukuru sana kwa kazi yako nzuri sana sana Mungu akubariki akupe maisha marefu yenye baraka na afya tele! Barikiwa sana kiongozi wetu.
@angellarobert3892
@angellarobert3892 5 лет назад
Mungu akutangulie Rais wetu mpendwa JPM. LIVE LONG
@dyangwe
@dyangwe 5 лет назад
🙏🏾
@goodluckellyupfreshbrother7207
Dah aise
@mathayothomas3744
@mathayothomas3744 5 лет назад
Kitu hujakosea ni kumtumbua mkuu wa mkoa wa morogoro maana alishindwa kazi kabisa hafai
@godsonmasawe5163
@godsonmasawe5163 5 лет назад
THE BEST PRESIDENT EVER, I REALLY LIKE YOU MR PRESIDENT AM PROUD OF MY PRESIDENT JOHN POMBE MAGUFULI GOD BLESS AND PROTECT YOU.
@innocentmleli1196
@innocentmleli1196 Год назад
Mungu awe nawe daima
@omarykaita43
@omarykaita43 5 лет назад
Mheshimiwa Rais pole kwa kazi ngumu, hongera kwa nia njema, sisi wazalendo na tunaojua nia ya moyo wako kwa Tanzania na Africa kwa ujumla Tunaitafsiri nia hiyo kwa kufanya kazi kwa bidii na kujituma ili kuweza kukomboa uchumi wa nchi yetu toka katika makucha ya wakoloni wa kiuchumi. Mwenyezi Mungu aendelee kukupa maono zaidi katika kutuongoza kwenda kanaani ya maendeeo yetu kama Taifa.
@neytoboy4925
@neytoboy4925 5 лет назад
mh tunaomba uje na songwe utusalimie
@omarimkuya
@omarimkuya 5 лет назад
mh raisi hakika nafurahi kwa hili la mahabusu kwan wengi wanatamani hata msamaha wako mkuu, tunashukuru ila tukumbuke kwenye ajira sisi vijana hasa wa IT & Data Science bado soko letu la Technology lipo chini na vijana ni wengi wenye utaalam wa TEHAMA! asante sana mh raisi na mungu akupe afya tele kwa kazi unayoifanya maana wengi hawaelewi ila wataelewa tu!
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf Год назад
Jiwe hili sijuwi lilikanyangwa na nini hadi kuvurugika?..
@SuperKibwana
@SuperKibwana 5 лет назад
Mr President.
@franceslenis4512
@franceslenis4512 5 лет назад
I have been understanding your language since then
@imamuhemedi4387
@imamuhemedi4387 5 лет назад
Frances Lenis .
@franceslenis4512
@franceslenis4512 5 лет назад
@@imamuhemedi4387 yes Imamu
@frenkisaya1280
@frenkisaya1280 5 лет назад
Jpm wewe ni zaidi ya Rais
@furahamwajeka7463
@furahamwajeka7463 Год назад
Barikiwa Sana baba na mungu amurehemu
@dorakiyao4509
@dorakiyao4509 Год назад
Mungu wangu,pumzika babaaa pumzika ,tunakukumbuka mnooo ,tunapata wapi MTU kama huyu
@thomasmagoti9040
@thomasmagoti9040 Год назад
Lala mzee wetu
@mamachris6811
@mamachris6811 5 лет назад
Mungu akusimamie Raisi wetu,kazi ni ngumu kwa sababu nchi ilishaoza, Siasa nyingi kuliko utaalam Wanaokuelewa ni wachache. Mungu asaidie upate akina Majaliwa na Jaffo japo 10 tu
@violetn.finnvik373
@violetn.finnvik373 Год назад
Tutakukumbuka milele Baba yetu 😭🇹🇿🙏❣️
@kpatrick8468
@kpatrick8468 5 лет назад
hakuna kumtoa Mh Makonda Dar, mengi kafanya mazuri ,hakuna mwanadamu hasiye kuwa na kasoro, bado anayo sifa ya kuongoza jiji la Dar,bado anayo nafasi ya kujirekebisha
@ismailkhalid6186
@ismailkhalid6186 5 лет назад
Mipango ya watendaji wa dar kumwangusha makonda inakarbia
@ismailkhalid6186
@ismailkhalid6186 5 лет назад
Makonda watendaji wako karbia wanafanikiwa kukwangusha kua mkali sana wanasubir kushangilia kW udhindi wao
@user-my9hc6uf9l
@user-my9hc6uf9l 5 лет назад
Si mkazi wa Dar, lakini Mh.Makonda amefanya mengi mazuri. Angalizo kwa Mh.Makonda,awe mkali, akicheka na.... atavuna mabua, alafu watamcheka, mazuri aliyofanya tumeyaona,ni binadamu ,hakamiliki
@stevenmeshack467
@stevenmeshack467 Год назад
🙏🙏 Rest easy baba yetuu
@jumaigoti8676
@jumaigoti8676 5 лет назад
Magu uko sawa
@jerumayamwasomola1065
@jerumayamwasomola1065 5 лет назад
Pole Kebwe. Ndio maisha.Kuna mazuri ulifanya,lkn dunia huwa inaangalia mabaya tu.
@edibertevarist1044
@edibertevarist1044 5 лет назад
Kabisakabisa, upo sahihi mzee wetu wa nchi!,chapa kazi tupo nawewe
@nicolauswandao8988
@nicolauswandao8988 5 лет назад
Macho ya bashite sasa duuuuu imepenya iyo mjomba, wape vidonge vyao ☠☠☠⚠⚠⚠
@fanbullalukasa486
@fanbullalukasa486 5 лет назад
kweli JPM ni mti wa mpingo,asante kwa sindano imeingia!!!
@AbdulMajid-kj5bi
@AbdulMajid-kj5bi 8 месяцев назад
My father President we were miss u. Good give you amon
@SuperKibwana
@SuperKibwana 5 лет назад
Kazi nzuri sana kwa kweli.
@imanbrettyjohn379
@imanbrettyjohn379 5 лет назад
Kura yangu 2020 kwako mhe.Raisi maan kazi yako ni nzuri sisi wananchi wako tunafurahi sana
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 Год назад
😭😭😭
@williamhalinga3584
@williamhalinga3584 5 лет назад
Ongera rais wetu speed hiyo hiyo ndo tunapenda hivo
@mpilimieston9982
@mpilimieston9982 5 лет назад
Kwenye hilo nipesa tu lipa pesa utoke rupango
@abuusufian6506
@abuusufian6506 5 лет назад
Mume wangu Kazana 😂😂😂😂😂😂
@lamecktheonest225
@lamecktheonest225 5 лет назад
Abuu sufian he! Mume tena😁😁
@wamalaibrahim1844
@wamalaibrahim1844 5 лет назад
Mwenyezi Mungu akulinde Mzee mweshimia Laisi Magufuli mimi ni mu Tanzania niliozalia uganda rakini naomba Mwenyezi Mungu aniwezeshe nikuoni ila niongeye nawewe jina rangu Ibrahim
@EAGTmbagala
@EAGTmbagala 5 лет назад
Huyu ni nabii wa mungu
@imanbrettyjohn379
@imanbrettyjohn379 5 лет назад
Watulivu kwakweli
@wanderaothumani4919
@wanderaothumani4919 5 лет назад
Allah akulinde
@stivejayngoga1403
@stivejayngoga1403 5 лет назад
Kuna PSSSPF pia ni janga mkuu!
@sudiyahya9276
@sudiyahya9276 5 лет назад
Upo sawa mze baba.mi nakuelewaga sana,
@salimzaidi9203
@salimzaidi9203 5 лет назад
Mungu akulinde milele baba etu wa taifa wewe kweli ni mungu alikuteua kuitumikia Tanzania
@deusmauka9626
@deusmauka9626 5 лет назад
Mh. Makonda nakupenda sana, wewe ni mchapa kazi, usimwangushe Rais wetu kipenzi JPM, piga kazi bhana, achana na mambo ya kubembelezana.
@mudikomba7437
@mudikomba7437 5 лет назад
Mungu akulinde rais wetu mpendwa
@rockzenamtui6296
@rockzenamtui6296 5 лет назад
Daah rais umenifurahisha sana mungu aendelee kukusimamia una kumbukumbu hatari hausomi mahali popote ila ni martial matupu na pia hongera kwa kumwambia DPP awatoe hao wahujumuuchumi walipe miradi iiendelee hongera sana raisi wangu
@emmanuelnyanda5283
@emmanuelnyanda5283 Год назад
Speech hii inanikumbusha mbali. Pumzika salama baba
@obbybenitho5803
@obbybenitho5803 6 месяцев назад
R, I p jpm 😢😢😢
@J4UPro
@J4UPro 5 лет назад
Safi sana rais wangu
@SafeHaven_TV
@SafeHaven_TV 5 лет назад
Nakupenda mno rais wangu,hata sijui nikupendeje zaidi...nahisi haijatosheleza.
@georgegeorge9688
@georgegeorge9688 Год назад
Uwa naona raha sana kukusiliza japo umelala, pumzika kwa amani ya MUNGU
@mtangombayaya7000
@mtangombayaya7000 4 года назад
Hakika mungu atakusimamia daima raisi wangu kwa nia njema kwa taifa letu.
@bullychandy6509
@bullychandy6509 7 месяцев назад
Rest easy Champ
@gideonmarco8043
@gideonmarco8043 Год назад
Daaa hatatokea ka magufuri RIP JPM kipenzi cha wengi
@georgewarioba9769
@georgewarioba9769 5 лет назад
Napata shida sana kuona jinsi gani baadhi ya viongozi wa Serikali wanavyoshindwa kumuelewa Mh. Rais! Unajiuliza hivi hawa watu kusoma hawajui hata kuangalia picha wameshindwa! Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu.
@mamadevidevi2565
@mamadevidevi2565 Год назад
Atakumbukwa milele, mungu ampumzishe, na mazuri mengi ametuachia, sijaona wa kuvaa kiatu chake, tumepoteza, Ila safari ni moja.
@chamapatrickp.b581
@chamapatrickp.b581 5 лет назад
1.Makonda Ajiandae kuondoka. 2 . Mungu AKUBARIKI
@juddykazoka3066
@juddykazoka3066 5 лет назад
Mheshimiwa raisi ukienda hospitali una miaka 60 Kama wanakuona unajiweza dawa zingine wanakuambia ukanunue
Далее
Sigma Girl Pizza #funny #memes #comedy
00:14
Просмотров 1,6 млн
Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015
1:38:02