Тёмный

Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 1,2 млн
50% 1

HAYA HAPA MATUKIO MATANO YALIYOTIKISA KATIKA MKUTANO WA JPM NA WAFANYABIASHARA
June 7, 2019 ilikuwa ni siku ya tofauti sana kwa wafanyabiashara nchini ikiwa ni baada ya Rais Magufuli kuamua kukutana nao Iku,lu jijini DaR ES Salaam kwaajili yakufanya mazungumzo huku kipaumbele kikiwa ni kusikiliza kero zao.
Kama ilivyokuwa Ada mazungumzo hayo yalikwenda salama salmini ndani ya masaa 9 Rais Jpm na baadhi ya wafanyabiashara walioziwakilisha Halmashauri zao walikuwa na wakati mzuri kweli kweli kwaajili yakuhakikisha mambo yanakwenda sawa katika biashara zao pamoja na maslahi ya nchi kwa upande wa kodi.
MTAZAMAJI HAPA NIMEKUANDALIA MATUKIO MA5 YALIYOTIKISA KATIKA MKUTANO WA JPM NA WAFANYABIASHARA
Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter:
GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Опубликовано:

 

7 июн 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 404   
@Joseph-lu4yj
@Joseph-lu4yj 3 года назад
Like kwa tunao rudia kuangalia hotuba za JPM
@malimarobert8698
@malimarobert8698 3 года назад
Na Mimi pia nagalia mikutano ya jpm
@messihenry9431
@messihenry9431 3 года назад
Vlb
@milomohamed7201
@milomohamed7201 3 года назад
@@messihenry9431 magu mwendazake mjinga tu hao hao wanaishi kama malaika yeye atawashusha waishi kama mashetani. Sasa hapo anajiosha dikteta huyo marehemu.
@raymondjohn1876
@raymondjohn1876 2 года назад
Magufuli nilaisi wakipekeeeee🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@dianaelias517
@dianaelias517 2 года назад
Milo usituletee chuki zako za kibwege,uliku mwiz,au ulitumbuliwa au vyeti fake
@RuttaJames-kh5jx
@RuttaJames-kh5jx 6 месяцев назад
2024 wangapi tunaenderea kumucheki mzee
@ayishaayisha8053
@ayishaayisha8053 3 года назад
Sio siri nimpenda sana magu lakni allah amupenda zaidi😭😭
@smukelomkhize9775
@smukelomkhize9775 2 года назад
Mimi Rafiki Yangu Alinipigia Simu Usiku Kama saa 23:30 Ananiambia kwamba JPM wetu Mzalendo Amefariki dah roho iliniuma Sana to be Honest Nililia Sana , Durban Yaan Wacongoman na Waburudi wanatuheshimu Sana Kwa sababu Ya JPM Na vitu Vya Maendeleo anayoyafany a Hapa Nchini Kwetu Tanzania
@clinton3168
@clinton3168 2 года назад
Nani kasema Alla alimoenda zaid
@tiffahdangote7548
@tiffahdangote7548 2 года назад
Magufuli was a HEROO! Nimejifunza jambooo...kwa wale wanaotaka usawa...wa 50/50 wenzangu tunadanganyanya....mwanaume NI mwanaume TU....na hii inaoneshwa kwa haya yanayotendeka Sasa! Tuache kudai uhuru tusio na UWEZO nao wanawake wenzangu! Rest in peace magufuli!
@MoN_KaDO
@MoN_KaDO 2 года назад
Wangapi tumerudia kumuangalia Hayati magufuli? R.I.P BABA
@shinguhunge9177
@shinguhunge9177 Год назад
Selikar hii sichoki kuisikiliza yaani nahisi bado inaongoza
@user-ux3it4bh7b
@user-ux3it4bh7b Месяц назад
Sichokagi kumskiliza na kummombea. Mwenyezimungu akustirie mazambi yako huko ulipo🙏🏿 Na akulindie familia yako.🙏🏿
@emmabroy1209
@emmabroy1209 3 года назад
Ama kweli MUNGU atabaki kuitwa MUNGU milele na milele raisi wangu nilikupenda sana na ndani ya miaka niliopo duniani nilikua nikitamani kuwa na raisi Kama huyu ambae anaipenda nchi na watu wake wote ila hatuna la kusema maana upendo wetu kwako imedhihilika Ila MUNGU kakupenda zaidi pumzika salama Nam Kama mwanaichi wa kawaida nilioko duniani nahidi kufuata nyayo zako za kumtegemea MUNGU pumzika salama Baba
@rajabmahungu9493
@rajabmahungu9493 2 года назад
This is very fantastic ofcourse you was born to lead go baba is our daily song God paradise u
@DrFatmaKhanPanAfrikan
@DrFatmaKhanPanAfrikan 5 лет назад
@MagufuliJP. Hongera Sana Kazi unayoifanya Rais Magufuli hajawahi kufanya yeyote kabla yako. Kura kwa hakika 95%✓✓✓★★★★★★★♥️🇹🇿🌻👏🏽 Magufuli Daima Juu Daima Oyeee ♥️🇹🇿🌻👍🏽👏🏽 UBaarikiwe Kipenzi Chetu Rais wetu Mwema Mzalendo Mwadilifu Mkweli Jasiri Mwenye-Enzi-Mungu-Allah-Subhana-Mlezi AkuTangulie Daima na AkuLinde Daima na Milele ♥️
@uepbuburundi2288
@uepbuburundi2288 3 года назад
viswer
@milomohamed7201
@milomohamed7201 3 года назад
@@uepbuburundi2288 wacha akajibu mashtaka mbele ya Mungu huko ahera dikteta huyo.
@princessagy1552
@princessagy1552 3 года назад
I'm really going to miss JPM..mchapa kazi
@paulondiek1345
@paulondiek1345 3 года назад
I miss him already
@smukelomkhize9775
@smukelomkhize9775 2 года назад
@@paulondiek1345 Asante sana Ndugu Yangu comment Yako tuu lnaonyesha Tu wewe Mzalendo
@tinyaanosiatha1118
@tinyaanosiatha1118 5 лет назад
Huyu mzee kaniacha hoi. Eti wanagawana kama wamechanga wow! Hii kali.
@abdullahchabukila6686
@abdullahchabukila6686 3 года назад
😂😂😂
@heyumi2340
@heyumi2340 2 года назад
kanifurahisha sana
@godwin5884
@godwin5884 2 года назад
Still watching R I P FATHER
@margarethsaramaki1100
@margarethsaramaki1100 5 лет назад
Hongera Singida oyeee uko straight sana
@restitutalucia9009
@restitutalucia9009 2 года назад
Inaumiza sana kuangalia. President of my life eti.
@moshikilimanjaro5660
@moshikilimanjaro5660 5 лет назад
" Mungu akulinde baba, na kukutunza ukweli utabaki kuwa kweli, Mungu ibaraki Tanzania.
@sharifasaid4068
@sharifasaid4068 5 лет назад
Fatima. Karum
@merryjulius4098
@merryjulius4098 5 лет назад
Amen
@zahrasaleem4259
@zahrasaleem4259 3 года назад
Amin yarabi amin mungu atuekee mtetezi wetu
@barakawabuge5285
@barakawabuge5285 3 года назад
Inna lilahi wa inna ilahi rajiun.. Nlimpenda sanaa Magu toka kenya hadi wa leo sijarecover
@timothysamweli8808
@timothysamweli8808 3 года назад
Still watching in 2021 march, from U.K REST IN POWER JPM
@venantmatamba7302
@venantmatamba7302 2 года назад
Aisee mungu alitupa zawadi kubwa ambayo tumeshindwa kuitumia. Asante kwa uongoz uliotukuka, nitakukumbuka daima baba.
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 лет назад
Dada nimeisikiliza yote yaani umesummerize vizuri sanaa
@godfreymassawe388
@godfreymassawe388 5 лет назад
I love Jesus
@kabaiyukyasnider6797
@kabaiyukyasnider6797 4 года назад
Uyu mzee Mahenge yuko innocent sana, 😂😂😂😂😂 kutoa rushwa tunatoa😂😂😂
@Mrpromotiongroup
@Mrpromotiongroup 6 месяцев назад
2024 watching. Magufuli
@hamadnganzo7761
@hamadnganzo7761 5 лет назад
Tanzania ilichelewa sana kumpata Rais wa aina hii.Wafujaji watamkoma Msukuma huyu.
@charlesmlangwa4232
@charlesmlangwa4232 3 года назад
Kuapishwa maeaziri
@mudykisangi8926
@mudykisangi8926 5 лет назад
Raisi anajitahidi kuwa krb na wananchi/ wafanyabiashara lkn wasaidizi wake kenge KBS. Hongera mh. Lukuvi uko vzr
@edigamwagala7463
@edigamwagala7463 5 лет назад
Beautiful ones are born in Tz. Magufuli is beautful one
@reubenbusanji2904
@reubenbusanji2904 5 лет назад
Ediga Mwagala handsome not beautiful
@mawazomawazo959
@mawazomawazo959 5 лет назад
Wabunge hawana jipya,zaidi yavijembe. Wafanyabishara oyee.
@fredchuwa8445
@fredchuwa8445 2 года назад
TUTA KUKUMBUKA SANA JPM
@mbwanaomary7537
@mbwanaomary7537 5 лет назад
Mh Raisi bora ukutane na hawa wafanya biashara mara kwa Mara, hii ni zaidi ya bunge hawa wanatoa ya moyoni
@angelthomas7290
@angelthomas7290 5 лет назад
Mungu akulinde Rais wetu
@Mr_Ben255
@Mr_Ben255 5 лет назад
Vijana wa mejieza vizuri mheshimiwa lazama kuna kitu nazan ameji funza kitu na Tanzania inaweza ikabadilika Sana hongera
@rosemongi5273
@rosemongi5273 3 года назад
Kwa kweli kila ninapo isikia sauti ya mwamba wetu jpm machozi yananitoka tu hadi leo hii amejaa kwenye ufaham wangu haaaa RIp baba nitakukumbuka daima.
@dickaugustino2214
@dickaugustino2214 5 лет назад
Huyu rais the best in world!!
@olemollel5565
@olemollel5565 5 лет назад
Umefanya kazi nzuri yakufupisha endelea utafikambali
@sadickathuman8068
@sadickathuman8068 3 года назад
Kama unangali 2021 sema r l p
@pauloregina2878
@pauloregina2878 2 года назад
R.I.P mtetez wa wanyonge
@mr.remedy2128
@mr.remedy2128 5 лет назад
JPM RESPECT
@emmanuelbonifas2804
@emmanuelbonifas2804 2 года назад
Mungu akusamehe sana magufuri history yako ni vigumu sana kufutika ulikuwa rais wa mfano africa nzima na hata tokea wa aina yako
@athumanomary1438
@athumanomary1438 5 лет назад
Asante san raisi wetu raisi wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
@sheikhasalim9124
@sheikhasalim9124 5 лет назад
Ameen Ameen Ameen yarab
@lameckkamana122
@lameckkamana122 5 лет назад
Mwadishi taarifa yako umeipanga vizuri sana.
@ernestsaguti6690
@ernestsaguti6690 5 лет назад
Hapa ndio nimesikia ukweli kutoka moyoni. Tukienda hivi nchi hii itaenda.
@felicianluvanda9672
@felicianluvanda9672 5 лет назад
Lukuvi hakika ni mtu mmoja afanyaye kazi nzuri mno....wengine baadhi nishida kwa mzee wetu.....msukuma ni balaaa nawenzio hao wanajikanyaga kanyaga tu hoja hazipo na mzee anataka changamoto wao ni hoi daaaaaaaaa! Kwakweli mzee pressure lazima aje apate
@lindameibaku939
@lindameibaku939 9 месяцев назад
Naumia Sana mpaka Sasa. Jpm ulikuwa mtetezi wa watanzani. Mungu akulaze mahali pema peponi
@tinyaanosiatha1118
@tinyaanosiatha1118 5 лет назад
Jamani watanzania mlipata rais kwa hili 2020 jpm hana mpinzani . Watanzania tutamuchagua asilimia 100. We mungu mbaliki rais wetu.
@mutalemwagabriel2277
@mutalemwagabriel2277 5 лет назад
Koti limetoboka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamani Magufuli huyu jamani, natamani ungetuongoza mpaka mwisho wa uhai wako babaa🔥🔥🔥🔥🔥
@ramaccr7525
@ramaccr7525 4 года назад
Mutalemwa Gabriel 😂😂😂
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 года назад
Tena mm naomba awepo mpk uzeeni
@meshackamos9854
@meshackamos9854 3 года назад
Katuongoza hadi mwisho wa uhai kweli😢
@clementbabuu4811
@clementbabuu4811 3 года назад
😭😭😭maneno yanaish jaman
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 2 года назад
The true leader of Africa, R.I.P JPM 😪😭
@mosesedwardmagembe9657
@mosesedwardmagembe9657 3 года назад
Baba! Tutakukumbuka daima.
@kibiritikisuj228
@kibiritikisuj228 5 лет назад
Mungu Akubariki Mh.JPM
@gracegaspal1167
@gracegaspal1167 2 года назад
Samia hakia ya Mungu mikutano yake sijui km atapata watu wengi hivi.
@heyumi2340
@heyumi2340 2 года назад
subutu
@athumanomary1438
@athumanomary1438 5 лет назад
Watanzania wenzangu tuzidi kuwaombea viongozi wetu wote kwa mwenyez MUNGU kwa imani zetu
@nshomamayungu2326
@nshomamayungu2326 5 лет назад
Jamani mungu akupe maisha marefu sana baba yetu magufuri
@ashamwandu3781
@ashamwandu3781 5 лет назад
huyu wa mbeya kiboko. asante kwaukweli wako wote. barikiwa
@priscajoseph7178
@priscajoseph7178 5 лет назад
Jamani Naskia alitoa no zake mwenye nazo Naomba plz
@edwardmdee5669
@edwardmdee5669 3 года назад
I love you Daddy mh John Joseph pombe magufuri
@bjzee1981
@bjzee1981 5 лет назад
Hahaha. Huyu magu wakati mwingine huniacha hoi
@olosokwaniolosokwani4800
@olosokwaniolosokwani4800 4 года назад
Mungu akubariki sana rais wetu wa jamuhuri wa muungano wa tanzania mungu akubariki udumu miaka 300 nakupenda sana unapo simamia haki ya wanainchi wako ubarikiwe sana
@olosokwaniolosokwani4800
@olosokwaniolosokwani4800 4 года назад
L
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 года назад
Yaani mimi ananimalizaga utadhani comedian 🤣🤣🤣🤣
@jumamaganga5064
@jumamaganga5064 5 лет назад
ety kwa miez minne viwanda 10 😁😁😁hata kama sijui viwanda ila niache2 bora tu hata ulinyimwa
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 года назад
Yaani baba wa mbea alinimaliza ni msema kweli zaidi ya masai 🤣🤣🤣
@tinyaanosiatha1118
@tinyaanosiatha1118 5 лет назад
Napenda hoja za msukuma . Akitoa hoja hadi raha. Yuko vizuri yani hoja zake ziko nkoki.
@raymondjohn1876
@raymondjohn1876 2 года назад
Nikama yukohai daaaaaa inauma saana😭😭😭😭😭😭
@bakarihassankassim413
@bakarihassankassim413 4 месяца назад
4yrs ago and am still here.. RIP mzee
@raziambwana2145
@raziambwana2145 5 лет назад
Safi Rais wangu MTU akiamuwa kuleta wawekezaji akapiga chake nakodi ikalipa kunaubaya gn sinipesa za wachina hizo wairudishe Tu hati hiyo .
@heraldloshi1864
@heraldloshi1864 5 лет назад
Safi sana Mheshimiwa Rais.
@tinyaanosiatha1118
@tinyaanosiatha1118 5 лет назад
Napenda jpm hadi raha.jpm majariwa ni kiboko yao. Hawana mchezo . Wako siliasi . Watanzania tuwaombee waishi milele.
@masawemilton2558
@masawemilton2558 3 года назад
R. I. P Jembe umelala pumzika kwa amani Sauti yako bado tunaisikia masikioni mwetu,we ni mwambaaaa
@muebraniamuebrania145
@muebraniamuebrania145 3 года назад
Du rais anavaa kitu limechanika Mungu akutunze na kukuhifadhi.
@robertjunior9916
@robertjunior9916 5 лет назад
Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bofu
@kdpretoria780
@kdpretoria780 3 года назад
Hatutokuja kupata raisi kama huyu jamani
@agneserasto9806
@agneserasto9806 5 лет назад
Mh rais tre Wametufiris reo wafanya Biashara tunarubaruba tu mhe rais
@alexanderpius1992
@alexanderpius1992 3 года назад
R.I.P JPM hakika tutakukumbuka
@vedastusukovzrmrnaykiyoger5978
utasikia mengi sana, yapo mengi huku chini
@emiryfaida2437
@emiryfaida2437 3 года назад
We miss you president
@kilimanjaro255
@kilimanjaro255 3 года назад
More and more
@salehejongo2799
@salehejongo2799 4 года назад
Jpm noma yupo vzr sana god bless always and Ccm hoyeeeeee.
@euniceoguri1284
@euniceoguri1284 3 года назад
The great leader he was,rip JPM the best leader I have ever come across....hope others will follow your footsteps.Uongozi wako ulikuwa ni wa kipekee I have not come across like you.
@rogathengowo1099
@rogathengowo1099 5 лет назад
Wanawake tupige kazi jaman naona suti na mabichwa makubwa tuu hapo
@mohdsalum3832
@mohdsalum3832 5 лет назад
Huyu ndii rais kudadeki mtanyooka tu
@paulkanyelele1254
@paulkanyelele1254 4 года назад
Kuliko Lukuvi
@gerardyoung1707
@gerardyoung1707 4 года назад
Magu nampenda sana
@mwilesimbeye9486
@mwilesimbeye9486 5 лет назад
T. R. A wafanyakazi wengi ni wachaga na kama unavyojua wachaga wanavyopenda hela wao wanapata nyingi na serikali inapata kidogo. Mh Rais atumbue wakubwa wa T. R. A kodi ikiwa halali inalipika ila kodi ikiwa nusu ya mtaji ni ngumu kulipa.
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 5 лет назад
Nakumbuka wakati tumaliza chuo,ile harakati za kutafuta kazi....kuna baadhi ya sehem ukiomba kazi unaambiwa kabisa km we sio mchaga usipoteze muda! Tra,crdb bank nk.... Tena kuna mdada alikuwa na certificate anatuambia kuanzia babu yake wote wapo tra
@reubenbusanji2904
@reubenbusanji2904 5 лет назад
her jamani
@wannaproducts
@wannaproducts 5 лет назад
Ubaguzi plus wivu
@wannaproducts
@wannaproducts 5 лет назад
@@christinewomanoffaith5479 kweli?
@santrumlay3952
@santrumlay3952 5 лет назад
Wivu tuu
@King_186
@King_186 5 лет назад
safi sana
@nicklassshaypanga8794
@nicklassshaypanga8794 2 года назад
Rais wanguuuuu wa nguvuuuuu💪💪💪💪
@bakarimlagilo5060
@bakarimlagilo5060 5 лет назад
Nampenda sana rais Wangu Magufuri
@Ramadhanimsingwa
@Ramadhanimsingwa 3 года назад
Raisi huyu nilimpenda sana heshima ilirudi katika taasisi za serikali na tulilipwa stahiki Mungu akupe kila la kheri
@user-hn4ut5tw2b
@user-hn4ut5tw2b 4 месяца назад
2024 bado naangalia, R.I.P my president
@gmavoice1893
@gmavoice1893 3 года назад
Mweshimiwa Rais napia Baba yetu ,Tuna amini unachofanya, Ila pia ili swala la mkuwa wilaya kuchapa raia naomba ulifuatilie atakama mtukakosa Sheria ichukuliwe,nasiyo Raia aliye pewa madaraka kuanza kuadhibu wananchi na hii inaleta udhalilishaji wawana nchi atakama kakosea nidhahiri sana kumchukulia sheria zilizo wekwa,naomba Muheshimiwa uangalie ili.watu wachukuliwe sheria zilizowekwa siyo kuchapa watu na KU Post mitandaoni Tuna kuamini Sana Rais wetu,Mungu akulinde.
@solanuskomba82
@solanuskomba82 5 лет назад
global tv very nice👊
@dastansimpanzye5558
@dastansimpanzye5558 4 года назад
Daa kazi kweli
@salehemkomwa4400
@salehemkomwa4400 5 лет назад
tuongoze miaka 30 mambo yatanyooka
@DrFatmaKhanPanAfrikan
@DrFatmaKhanPanAfrikan 5 лет назад
Pamoja sana!!!👍🏽👍🏽👍🏽 Magufuli Daima Oyeee ♥️🇹🇿🌻
@elimishanyamoga1301
@elimishanyamoga1301 5 лет назад
Kapimwe akili ww unayeshinikiza mtu kuvunja katiba
@machaineomahe6697
@machaineomahe6697 5 лет назад
kwa sheria ipi we kuku???
@stellapeter1261
@stellapeter1261 5 лет назад
Bora rais wetu uendelee kuwaita na kuongea na wananchi wako kuliko kuendelea kutengemea bunge letu ambalo ki ukweli unajionea yanayoendelea!!!!
@richardmuhina1284
@richardmuhina1284 5 лет назад
Ukweli mh rais tunaumia sana na hawa jamaa wa tra
@gablielmuhenya3325
@gablielmuhenya3325 5 лет назад
Huyu ndie Rais tulie muomba kwa Mungu ongoza miaka 40 Baba ili tupate Tanzania mpya
@zakiarashed144
@zakiarashed144 3 года назад
Inauma sana😭😭😭😭
@milomohamed7201
@milomohamed7201 3 года назад
@@zakiarashed144 iume nini wewe kwa huyo dikteta mkuu sukuma gang? Mwache moto wa milele umuangazie
@eliyawilliammagesamarwa8413
@eliyawilliammagesamarwa8413 5 лет назад
Hongera tata jpm
@user-wr6lc3jz6g
@user-wr6lc3jz6g 3 года назад
Mungu amlaze mahali pema peponi😭😭
@zakiarashed144
@zakiarashed144 3 года назад
Allah amrehemu shujaa wetu
@dickmlawa8843
@dickmlawa8843 3 года назад
Amina
@dickmlawa8843
@dickmlawa8843 3 года назад
Amina
@dicksonchauganga5325
@dicksonchauganga5325 3 года назад
Amina
@Saintman1966
@Saintman1966 5 лет назад
Dada umetishaaaaa san
@alexmafuvyi3337
@alexmafuvyi3337 5 лет назад
Kwamia 30 mimipia nakubali nimaoniyangu niaupendo na enji yangu huyu nikama mau the tum (china)
@florashauri9228
@florashauri9228 3 года назад
Yaaaani Rais wetu mpendwa Dr.JPM tutakukumbuka daima utendaji wako ulikuwa very unique, Pumzika kwa Amani baba yetu
@margarethsaramaki1100
@margarethsaramaki1100 5 лет назад
Magufuli Oyeeeee
@frankhaule3021
@frankhaule3021 4 года назад
Ila Mambo yanaonekana na Ila sisi wengine tunakipato chini ya tsh 500 kwa siku je unatusaidiaje nafikiri tuwe na tasmini halisi ya Mali tunazo zimiliki ndipo tuweze kupewa Kama tuna sifa ya kulipa.
@nabiimwanjela3960
@nabiimwanjela3960 2 года назад
Maisha ndani ya Yesu
@gabrielmbunda5731
@gabrielmbunda5731 5 лет назад
Nakupongeza sana mh.Raisi unajenga Tanzania mpya tuliyo ingoja kwa muda mrefu sana
@martiniphilipo5229
@martiniphilipo5229 3 месяца назад
Am really interested with your spearch
@ashamwandu3781
@ashamwandu3781 5 лет назад
Haki yanani watu wanatililika.
@kevinpelomgeni1445
@kevinpelomgeni1445 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🔥🔥Magu hoyeeee❤️🔥🔥🔥👌👌✌️✌️
@halimasatara2667
@halimasatara2667 4 месяца назад
You were born to be an excellent leader,
@devothafilbert2347
@devothafilbert2347 3 года назад
Kweli TRA waangaliwe.. Yani unaanzisha biashara ndogo unaambiwa kodi ambayo hailipiki.. Na hawaangalii biashara wanajikadiria tu kodi mezani bila kuon biashara na kufuatilia muenendo wa biashara..
@kalidushimathias7236
@kalidushimathias7236 5 лет назад
Nice
@user-gr9kx8hz6t
@user-gr9kx8hz6t 4 месяца назад
Chema hakidumu mwenyez mungu mlaze mahali pema mtetez wetu
@halimushabani9480
@halimushabani9480 3 года назад
Huyu ndiye mzalendo baba mungu ilaze mahala pema
@sonymusa5333
@sonymusa5333 5 лет назад
Nampenda raisi
@bahatimnanka1778
@bahatimnanka1778 2 года назад
Tutakukumbuka milele M/MUNGU atusamehee watanzania
@hassankurwa464
@hassankurwa464 6 месяцев назад
Mungu anajua alicho tutendea TANZANIA kuhusu huyu Baba. Best President in Tanzania watake wasitake JPM ndio Rais Bora kupata kutokea Tanzania
@joharihessen1143
@joharihessen1143 5 лет назад
Hahahaaaaaaaa ety mnagawana km vile ulichanga nao.
@jumaabdalah5705
@jumaabdalah5705 5 лет назад
Good good huyu ndiye Rais
Далее
НОВАЯ ПАСХАЛКА В ЯНДЕКСЕ
00:20
Просмотров 72 тыс.
Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa
16:08
Просмотров 104 тыс.
BREAKING: JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere
13:30
Просмотров 237 тыс.
НОВАЯ ПАСХАЛКА В ЯНДЕКСЕ
00:20
Просмотров 72 тыс.