Nampongeza sana Rais wangu, anatufanya tuipende nchi yetu. Ni kweli kabisa vibeberu huku ughaibuni havipendi kabisa kusikia yanayoendelea Tanzania na baadhi ya majirani zetu pia waliokua wananufaika. Vita vya kiuchumi ni vigumu sana hasa vikipiganwa na viongozi wenyewe bila kuwajulisha na wananchi maana silaha watakayotumia vibeberu ni kama kawaida yao wataingia kwa mlango wa demokrasia hasa vyama pinzani na kwasababu wananchi hawajui watafwata mkumbo na kusaidia wezi kuivuruga nchi. Nipo ughaibuni lakini natembea kifua mbele kweli kweli.
Huyu ndie mteure wetu wa mwenyez MUNGU kwetu sisi watanzania ewe mwenyez MUNGU enderea kumuongoza kumsimami kumrinda na enderea kuimarisha afya yake raisi wetu na majeshi yetu mwenyez MUNGU yupo pamoja na raisi wetu mwenyez MUMGU mkuu
Zamani nilikua sitaki hata kuisikia serikali wala siasa kwa sababu ya uozo uliokuwepo serikalini na kazi nilikataa serikalini kwa sababu hizo hizo lkn kwa kazi hizi za mheshimiwa rais Magufuli kila siku nafuatilia kinachoendelea katika nchi yangu na nasikia raha sana kuona mambo yanakwenda. Mungu ibariki Tanzania.
president magufuli keep it up never give up use challenges as an oppotunity we trust in you with all our faith hatunamashaka na wewe we know that no sweets without sweat.
ee mungu mulinde Rais wetu huyu ndiye chaguo letu Raisi Wa Wa nyonge Rais magufuli kaza hapo hapo wewe umeletwa na mungu kuikomboa Tanzania watanzania wengi tumekuelewa usikatishwe tamaa na majungu ya wezi Hawa You are the best president I have ever seen nakuomba Rais usirudi nyuma ili na sisi tujivunie na Tanzania yetu
umenifanya niendelee kubaki Tanzania wito wangu kwa watanzania naomba tusidanywe na maneno ya upotoshaji Rais magufuli ni mzalendo na tusipo mupa ushirikiano tutamkumbuka sana kila MTU akeshe akiomba tuweze kukombolewa maana tumeibiwa na kunyanyaswa vya kutosha!.
mwaka 1929-1930 kiongozi Wa USSR /Soviet unioni(muungano Wa URUSI) Comrade Joseph Stalin alitangaza vita uchumi na akatangaza kuwa Anataka kubadili USSR from peasant economy to industriezed economy na akasema ndani ya miaka kumi nataka URUSI iwe inaweza kutengeneza nuclear na kuwa super power Wa dunia .Watu wengi wakiwemo viongozi Wa serikari pamoja viongozi mbali mbali Wa dini walimpinga vikali na hata wakawa wanafanya mipango ya kumpindua, lakini Stalin hakubadili msimamo wake Na kweli ndoto yake ikatimia baada ya miaka kumi kama alivyokuwa amepanga mwaka 1940 USSR (muungano Wa URUSI) ikwa industriezed country and world superpower. SASA naomba tumuamini anachokisema Raisi wetu magufuli kinawezekana kabisa tena kwa 100% sisi kuwa na uchumi Wa kati na viwanda inawezekana tusidanganywe na watu wenye hila na wabinafsi!
HADI TUNATOKA MACHOZI UNAVYYOTUPA RAHA WATANZANIA. MUNGU AKUPE UHAI MIAKA KIBAO NA UENDELEE KUTULETEA MAENDELEO. KWELI KABISA MAJESHI YETU NDIO YALINDE RASILIMALI ZETU KILA MAHALI
president magufuli keep it up never give up use challenges as an oppotunity we trust in you with all our faith hatunamashaka na wewe we know that no sweets without sweat.