Тёмный

ZIARA YA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI MKOANI RUKWA 

Ikulu Tanzania
Подписаться 286 тыс.
Просмотров 16 тыс.
50% 1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli anafanya ziara ya siku tatu Mkoani Rukwa ambapo anafungua na kukagua miradi ya Maendeleo pamoja na kuzungumza na Wananchi wa Maeneo mbalimbali ya Rukwa na Wilaya zake

Опубликовано:

 

12 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 7   
@madhuru2554
@madhuru2554 5 лет назад
Very nice choir.
@stevenlevocatus2072
@stevenlevocatus2072 5 лет назад
Saf baba mungu akurinde
@issackibrahim840
@issackibrahim840 5 лет назад
Magu oyeeee
@mamahustru
@mamahustru 5 лет назад
RPC alitakiwa amjibu Magu kuwa hao waliopewa dhamana ni watuhumiwa, hawajahukumiwa. Na kosa pekee lisilo na dhamana kwa mthumiwa ni jinai.
@mamahustru
@mamahustru 5 лет назад
Mzee wa Namanyere hatakagi mchezo.
@vince_vinson.2083
@vince_vinson.2083 5 лет назад
3:39:06 "Ulikua ufikika Dar es salaam, utadhani upo kiwandani". Kila mtu anatumia Generator. Miungurumo hiyo kakakaka Kekekeke...😂😂
@hamismamba7668
@hamismamba7668 5 лет назад
Iweje machifu wa kikabila wamuombe MUNGU wa dini za kigeni badala ya kuwaomba MABABU ZETU NA MIZIMU YETU?AU NDIO TUMESHATEKWA NA DINI ZA KIGENI ZA KUJA NA KUWAPUUZA MABABU NA MIZIMU YETU???!!!
Далее
RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA
32:41
HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013
13:38
Просмотров 286 тыс.
MAOMBI YA ASUBUHI by Innocent Morris
16:53
Просмотров 741 тыс.
JPM ALIVYOWAKA KUHUSU MAKONTENA KUCHELEWA
8:38
Просмотров 354 тыс.
Agizo la Rais Magufuli kuhusu Wamachinga
22:08
Просмотров 343 тыс.