Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli anafanya ziara ya siku tatu Mkoani Rukwa ambapo anafungua na kukagua miradi ya Maendeleo pamoja na kuzungumza na Wananchi wa Maeneo mbalimbali ya Rukwa na Wilaya zake
Iweje machifu wa kikabila wamuombe MUNGU wa dini za kigeni badala ya kuwaomba MABABU ZETU NA MIZIMU YETU?AU NDIO TUMESHATEKWA NA DINI ZA KIGENI ZA KUJA NA KUWAPUUZA MABABU NA MIZIMU YETU???!!!