*JE UPENDI CHAT ILA UNATAMANI KUPATA LINKS KWA GROUP?* Usijali sasa tumekusaidia njia Mbadala ya Wewe kupata Links kwa wakati bila kupata usumbufu wa Chat 1. Tuna Group maalum la links. Group hili la Links tumelifunga ni admin pekee ndio utuma links za episode mpya hivyo hata ukiwa hauupo online unaipata link kwa wakati. Bonyeza maandishi ya blue kujiunga group letu la Links pekee. Pia tunatuma na links zetu za movie nyingine 👇🏻👇🏻 chat.whatsapp.com/Jf3PLbJkKbTLEiNFD1aJ3o Lakini pia tuna WhatsApp Channel... Hii itakusaidia zaidi kupata habari zetu zoote bila usumbufu wa aina yoyote. Na hakuna Mtu ambaye anaweza kukuona kama ume follow WhatsApp channel yetu 👇🏻👇🏻 whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c *KARIBU BUSATI TV BURUDANI BILA KIKOMO*
Nan anakumbuka episode ya 1 candy alimwambia zuu kuwa hatokuja kuionja ndoa maixhani mwake... Alafu leo anaangaika yeye maana anakalibia kuionja ndoa alaf yeye anakalibia kuitema😂😂
Niko dani mm watatu kwa comments plz team zuu naomba like plz apa ndo nilifika karibu nifunjike migu nikitorokea vifaranga za waiguru 😅😅😅😅😅😅team single ma am proud to be single ma mapezi shikamoooo
Huyu bibi wangapi tulimwona kwa boss mchawi,tena kwa wrong house alionekana na sahii hapa kwa house girl bibi mzuri kazi yake nzuri I really love you guys ❤❤ keep it up