katika maisha wanao juwa kuwa maisha nini na hiki kipind kinatufunza nini jama tusome vizur tuwache tamaa penz lakufos kudharau mtu na uhuni Kama chakufunza Kama mmi plz nawaomba mujitokeze yoto kwa like 5 tu
Leo nimechelewa nawapa hi nyote tunaefatilia movie hii yenye kutufundisha mambo yaliomo humu duniani ❤movie za kiswahili ndio fahari ya mtanzani 👋kazi nzuri 💪anaeniunga mkono like kwa sama mideko😊
Nimefufuka sasa kuona house girl mwezangu ajafa congrats busati🎉🎉🎉🎉love from Kenya 🇰🇪 💖 pongezeni movie acheni kuomba likes mnapeleka wapy likes jamani
Imekuwa vema zuu kuwa mzima wa afya njema tena mzima wa afya hajafa natumai muda mfupi hali ya uchawi wake utaisha na ndoa itafungwa dhidi ya kai,like zenu jaman nimekuwa wa kwanza
Kilamba na mkeo nawapenda mno kwaukarimu wenu mbarikiwe sana hivyo ndo tapaswa kuishi kama binadam 😊😊😊furaha kwa kipenzi 🥰 changu zuu bado tuko naeeeee❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Baba ka i wanihurumisha kwkeli kai kakosa kuijuwa thamn y baba 😢 natamani kuita baba 😢 mungu amrehemu bbngu😢zuu pole san hatimae mizimu imkusaidia hukubakwa😢
Yaani huu mguu ni wako ww candy hatuachiki😂kilarihi leo itamwagika damu wakulungwa itikieni tawile mganga wenu nipo hapa ni mtibuu suu 🎉🎉 cheketu cheketu mahepe cheketu cheketu itikien tawile 🎉
Munao omba like ndio nyie munao sumbua mtaani kuomba omba ela watu kila kukicha 😝😝 unaanzaje kuomba like kwani muna za I like zina uzwa?? Huwo ushambaaaa
Hii Series Nimeipenda.Sana kiukweli...Nime download kutoka episode 1 mpaka Nikawafikia Nyote Sasa Ivi Nipo Nanyi kusubiri Episode 30.......wapi makofi ya Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪