Chagua lugha ya kutumia kama ni kiswahili tu tumia kiswahili tu na kama ni English tumia English tu katika sentesi usipoelewa neno moja inaweka ikakutoa kwenye kuelewa sentesi nzima na unajua Tanzania wengine English haipandi sana kivile...
Kuna wadau wana lalamika kwamba Edmund anatumia kingereza sana! mjue kwamba watanzania bado tuna shida na kiswahili na pia kuna maneno ya kingereza kiswahili chake ni kigumu na watz wengi hawayajui hayo maneno ya kiswahili maana yake ata wakiyasikia.
Nimeweza kusave 8000/day kutoka kutumia gari na kutumia public transport.. 5000/day kwa kutumia wifi.. 13,000/day *30 =390,000 Now napambana kufuta madeni.