Jumamosi ya October 26, serikali kupitia wizara ya TAMISEMI, ilitoa tuzo kwa wanafunzi wa Kidato cha Sita na Darasa la saba waliofanya vizuri zaidi kwenye mtihani wa taifa. Tumezungumza na Faith Matei wa St. Marys Mazinde Juu (Tanga), ameongoza kitaifa kwa masomo ya Sayansi
6 окт 2024