Тёмный

MREMBO Tajiri mwenye miaka 20 aliyeacha Shule akiwa KIDATO cha Pili afunguka haya mazito - PART ONE 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 352 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

15 сен 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1 тыс.   
@stewartrichard1316
@stewartrichard1316 3 года назад
Embu acheni majungu huyo msichana ni selfmade millionare kuna watu wanawazazi wenye fedha na hawawezi kizitumia hizo fursa salute kwako dada
@benclassic6861
@benclassic6861 3 года назад
Hongera kwa office kali
@husseinwemmar6217
@husseinwemmar6217 3 года назад
I was not able to watch the whole interview cause the story does not inspire a poor child as it discourages education which is the only way for a poor child. Zainab had a very bright future ahead due to a concrete family background as she was working while at school that means there was a push behind her that encouraged her and had no fear to fail which everyone of us was missing. Kwa ufupi masikini tusome tusidanganyike na hawa watu wenye familia zenye uwezo.Unaacha shule kivipi.
@haanyalmsalmy6246
@haanyalmsalmy6246 3 года назад
U have said it all....yy tayar anatoka kwny familia yenye uwezo...
@munirahadrian9055
@munirahadrian9055 3 года назад
Exaactly
@raymeeray8884
@raymeeray8884 3 года назад
I second you👏👏 education is everything
@helenkambi3918
@helenkambi3918 3 года назад
Keeli kabisa
@munirahadrian9055
@munirahadrian9055 3 года назад
@@helenkambi3918 umeonaa eeh!
@vumipeter9404
@vumipeter9404 3 года назад
Jamani Mimi huwa napenda kusema hivi, hatupendi kujifunza wenzetu wanafanikiwaje. Hatusikilizi mazuri tunasikiliza makosa tu. Tujaribu kusikiliza na kujifunza. Huyu Dada yupo safi. Supper woman
@hassanhancha1413
@hassanhancha1413 3 года назад
nani aliesikia "nilipofanikiwa kuacha shule"😀😀 a gonge like hapa
@DuniayaHabari
@DuniayaHabari 3 года назад
subscribe, share, like, comment kwenye link yetu .. Angalia hizi uvunjike mbavu.. Usipocheka nakurudishia PESA yako ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-ye9pJCgjrQU.html
@trishtrish2349
@trishtrish2349 3 года назад
Nimesikia. Ana bahati familia yao ina uwezo . Wengi wetu tunangangana na masomo kwa sababu wazazi wetu walifikiri that was the only way to make it.
@mrsliverpool4235
@mrsliverpool4235 3 года назад
@@trishtrish2349 Ndio the only way unaweza kuajiriwa na hicho cheti
@trishtrish2349
@trishtrish2349 3 года назад
@@mrsliverpool4235 Cheti husaidia but not all the time . Many times uta realise masomo hai endani na kazi ambayo we end doing.
@mrsliverpool4235
@mrsliverpool4235 3 года назад
@@trishtrish2349 kina umuhimu wake Lakini, ni vizuri kua nacho kama I'd
@lenniefei6710
@lenniefei6710 3 года назад
Allah haangalii ukoo ama nasaba ya mtu cha Muhimu kwake Ucha Mungu(TAQWA)
@ugonjwanadawa5041
@ugonjwanadawa5041 3 года назад
Familia ya kitajiri kufanikiwa ni kwaida hahaaha , kingine kumbuka huyo ni ngozi ya yemeni
@user-cx4jc1wn2e
@user-cx4jc1wn2e 3 года назад
🤔🤔
@sashasasha9253
@sashasasha9253 3 года назад
Nasab ya mtume haipo Tena hapa duniani Hamna kujibasib na imefanywa hivyo kwasababu ilijulikana Kuna watu watakuja kujidai au kujitofautisha na wengine kwajifanya wao ni nasab ya mtume
@user-cx4jc1wn2e
@user-cx4jc1wn2e 3 года назад
@@sashasasha9253 wako NASAB wamtume wako
@ToneTone-ll3qb
@ToneTone-ll3qb 5 месяцев назад
​@@sashasasha9253haha huo niuongo bwana Nasabu ipo bibie ila wengi wajinasibisha kwakwe
@lareineminah1353
@lareineminah1353 3 года назад
Huu sasa pisi kaliii👌🏾👌🏾👌🏾 Ila mkono wa wazazi umechangiya ALLAAH azidi kuku endelezaaa
@sekymwasumbi1938
@sekymwasumbi1938 3 года назад
Guys Embu acheni roho za korosho bhana... Hajasema watoto zenu waache shule, wewe unayeamini in education well and good. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, sio wote watoto wa mboga Saba wana uwezo wa kufanya hicho alichokifanya! Keep up girl!
@yasirhassan7438
@yasirhassan7438 3 года назад
Sawa
@mdzainb3722
@mdzainb3722 3 года назад
Mmi nikajua kapambana mwanzo mwisho mwenyewe kumbe kwao pesa na viwanja vipo 😅😅😅
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 года назад
Jamani nothing is impossible..tuendeleze hustle..usikate tamaa.
@marthamanjale7067
@marthamanjale7067 3 года назад
nakubali vijan
@edishaa3108
@edishaa3108 3 года назад
Nasabu ya MTUME alafu unatuonyesha mkia wa farasi kichwan duu... Pole sis
@mirfatali6960
@mirfatali6960 3 года назад
Very true
@UserZ771
@UserZ771 3 года назад
nice words
@maryanshariph6778
@maryanshariph6778 3 года назад
I also belong there bt it doesn't min unajionyesha
@user-cx4jc1wn2e
@user-cx4jc1wn2e 3 года назад
We are bin hashim 🤷🏽‍♂️
@user-cx4jc1wn2e
@user-cx4jc1wn2e 3 года назад
@@maryanshariph6778 what is wrong with u guys
@ndengeyepatrick1108
@ndengeyepatrick1108 3 года назад
Hongera sana Sister kwa baba mzazi, ni neema laki pekee kumpata baba mwenye usikilivu kama yeye.🇨🇩
@emanigirls5444
@emanigirls5444 3 года назад
Mabrouk Alf Mabrouk ukhty. You are very inspiring girl at your tender age and being a muslim girl. Big up to your parents and entire family. Radhiya Qoyan commenting.
@therealbriannoel7389
@therealbriannoel7389 3 года назад
She's really intelligent..elimu ya Tanzania haiwezi kuhandle akili kama ya huyu dada thank God she found her true calling. Congrats!!
@abukhaulatibrahim7521
@abukhaulatibrahim7521 3 года назад
Naamin hili hujaliona peke yako, angekua juu angekua NASA
@bosssoul2552
@bosssoul2552 11 месяцев назад
Bulshit
@zennakailo8106
@zennakailo8106 3 года назад
Zenna wajina jamani Etiii ulifanikiwa kuacha shule😜😅😅😅hongera zenna km zenna
@mordally
@mordally 3 года назад
Nakupa hongera kwa bidii ya muendelezo wa utajiri na kujituma, baba akiwa mwalimu, ila nakusihi ukasome vizuri uislam na historia kamili ya mtume, usije ukajinasibisha na ukoo wa Rasula Allah, kumbe unainganishwa na ukoo wa mjomba wake mtume Abuu Jahal.
@kudrajuma2576
@kudrajuma2576 3 года назад
Acha zako Dogo we inspire watu wasome ,we mtoto wa kixhua ndio maana imekuwa hivyo.my fellow students strive to excellent.
@fadhilaliussi7421
@fadhilaliussi7421 3 года назад
Haya sasa watoto wa kitanzania nanyinyi acheni shule mumeone mwisho weyu 🤣😃😂😂 jamani naombeni like hapa
@mwajumakassim6632
@mwajumakassim6632 3 года назад
hahahaaa
@saidmkilya8454
@saidmkilya8454 3 года назад
Mashallaah
@saidmkilya8454
@saidmkilya8454 3 года назад
Mtangazaji chukua Like yako Napenda sana unavyo chomeka maswali
@saidmkilya8454
@saidmkilya8454 3 года назад
Still you came from rich family
@abuubakar987
@abuubakar987 3 года назад
hahahaha
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 3 года назад
Nice sana kazuri nakupenda na pesa unazo mashallah
@feiz3180
@feiz3180 3 года назад
Yaani watz wengi wanachoyo mwenzao akifanikiwa. Nimepitia maoni ya wengi na nimeona yaani ROHO mbaya kweli. Poleni. Mungu atamlinda huyu dada na macho yenu ya UHASIDI poooo
@faudhiyahimidi2129
@faudhiyahimidi2129 3 года назад
Hajapondwa ila kapotosh mn yy yupo family ya kitajir then kajinasbish na mtume yaan mtum nasab yak iliishy njian iko hiv
@feiz3180
@feiz3180 3 года назад
@@faudhiyahimidi2129 choyo jitathmini.
@faudhiyahimidi2129
@faudhiyahimidi2129 3 года назад
Wal cn choyo upo mm maish yng ctoyatoa mitandaon wal ctojip nasab zilokuw cfanan naz hooi
@feiz3180
@feiz3180 3 года назад
@@faudhiyahimidi2129 kwani ungenyamaza ingejuwa nini?. Kila kitu museme. Mengine muyapishe.
@UmiMarya
@UmiMarya 6 дней назад
Kwani kaongea kipi kibaya jomn
@anuwar6113
@anuwar6113 3 года назад
MASHAA ALLAH. .zena binti Shariff .Allah akubariki nice job
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 года назад
Mnatakiwa muwe waelewa huyu binti hajsema muache shule yeye anatoa storia yake na la kujifunza ni kua kufanikiwa maisha sio lazma usome mpaka uwe na madigirii
@mgosimkome9242
@mgosimkome9242 3 года назад
Jamani lakini msidanganye watu waache kusoma eti kisa mtu flani aliacha shule na akafanikiwa, huyu anaonekana uwezo wake pia haukuwa mzuri darasani hivyo akaona anapoteza muda tu akiangalia kwao maisha ni mazuri maana amesema kwao kuna ma hardware, maviwanja mengi hivyo alikuwa na uhakika wa kupata mtaji, sikiliza anasema hakuwa na target yoyote kuhusu shule huko mbeleni, so ukiingia shule ukiwa huna malengo basi shule lazima uache, mm nimemsikiliza vizuri hadi mwisho kuwa hakuwa na uwezo. Hivyo ndugu zangu tusiige .
@moreenrespishazy29
@moreenrespishazy29 3 года назад
Watu wagumu kuelewa ila wepesi kunakili
@pendoshao9519
@pendoshao9519 3 года назад
Kabisa yani kila mtu anauelewa wake
@jawaadfahad4155
@jawaadfahad4155 3 года назад
Amesema sharifu nasaba ya mtume alaf nyele wazi dadangu waonesha picha gani hapo???
@abdallahamad4682
@abdallahamad4682 3 года назад
ndo hapo sasa sjui mtume gani uyoo ahahaha
@youngbreezy6615
@youngbreezy6615 3 года назад
Kwa sisi ambao tunafatalia successfull people in the world na kueleza wao wamefanikiwa vipi wengi wao mafanikio yao yameanza from zero to hero but huyu mdada inaonesha kwao kuna hela then baba ake amechangia asilimia kubwa katk kufanikiwa kwake lakn sio SELFMADE but all in all hongera
@akshaydavid159
@akshaydavid159 3 года назад
Amejitahidi ila utajiri wake sio wa kujivunia Sana kwa sababu ya background yake
@shaluissa3184
@shaluissa3184 3 года назад
Wa kwanza Leo jamani like bas
@DuniayaHabari
@DuniayaHabari 3 года назад
subscribe, share, like, comment kwenye link yetu .. Angalia hizi uvunjike mbavu.. Usipocheka nakurudishia PESA yako ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-ye9pJCgjrQU.html
@muniradaudi440
@muniradaudi440 3 года назад
Mashallah na atusaidiye sisi masikini mana twafaa njaaa.
@lil-masougee7388
@lil-masougee7388 3 года назад
Huyu dada nilisoma neye jaman duh mashaallah mungu akufungulie tena na tena
@abdullathabit7658
@abdullathabit7658 3 года назад
Ameolewa?
@khadijaabdulqadir1662
@khadijaabdulqadir1662 3 года назад
SubhanaAllah Allah atuhidii yaraab. MWANANGU jistirii kisharia nyele haifai kuonekana ☹️
@halimaabasi1031
@halimaabasi1031 3 года назад
👍
@yusuphmwalunu2307
@yusuphmwalunu2307 3 года назад
Khadija Abdulqadir nyie msio na pesa ndio inatakiwa mfuate sheria zote
@jumanasoro8903
@jumanasoro8903 3 года назад
Yusuph kumbuka kwamba wewe ni muislaam acha kejeli,kukejeli sheria za dini humtoa mtu kwenye uislaam. Chunga ulimi wako ndugu yangu
@jumanasoro8903
@jumanasoro8903 3 года назад
Khadija Mashallah uko sahihi kujisitiri sio lazima usiwe na hela, wangapi wanamiliki mabilioni ya mapesa lakini wanajisitiri kisheria
@wilfredelimeleki4543
@wilfredelimeleki4543 3 года назад
@@yusuphmwalunu2307 🤣🤣
@maestrojayysule5660
@maestrojayysule5660 3 года назад
Uyo hajatafuta pesa kwao zipo. Ache ni kupotosha masikini
@kubrymtutala1736
@kubrymtutala1736 3 года назад
Kweli kabisa, hawa watu sio wakuwaiga kabisa....yaani huo utajiri sio wakwake ni support kutoka kwenye Famili yake... Angalia shule aliyekua anasoma ni UPANGA hii sehemu wanasomaga watoto wa kishua sana..asitudanganye hapa
@aisha-ro5fr
@aisha-ro5fr 3 года назад
Kweli kabsaaa
@mct2227
@mct2227 3 года назад
Mm namjua sana babaake sio maskini
@shadyajecha1870
@shadyajecha1870 3 года назад
Kweli
@yunyun799
@yunyun799 3 года назад
@@kubrymtutala1736 😂😂
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 года назад
Hustle kama hustle👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@rahmahassan3206
@rahmahassan3206 3 года назад
Jamani umeshindwa kujistiri vzr hicho kichwa dada? Mbona mnautupa uisilamu hivi ndiyo kwenda na wakat sindio, Allah anakuona
@salmamohammad5614
@salmamohammad5614 3 года назад
Lol ww sharifu kisha wasema uko na nasaba ya mtume then shungi wazi huna hata haya jiheshimu
@aminamohamed1828
@aminamohamed1828 3 года назад
Hawa waarabu koko wanapenda kujishaua sana nahawana lolote wamepotea kweli Allah atunusur
@milermiler1504
@milermiler1504 3 года назад
@@aminamohamed1828 Kabisaa
@halimaamini8015
@halimaamini8015 3 года назад
Usisubutu kuacha shale kufata huyu dada huyu ni wakishuwa 😂😂😂 katoka shule naingia kwenye campun ya mdingi zingatieni ilo
@azizially781
@azizially781 3 года назад
Mamb
@footballprayers132
@footballprayers132 3 года назад
Ety ana unasaba na mtume mmmh naomb npte kdg mm........ half we kapuku mwezng acha shule thn uone na ufala wako
@ashaally6662
@ashaally6662 3 года назад
😂hajafunika hata kichwa vizur
@abubakaryalmas7673
@abubakaryalmas7673 3 года назад
😂😂😂 Apo akili kichwani mwako, ukimfatisha huyu utapotea. Ina maana uo umbali alikua yeye tu anasoma kutoka mbali? Alafu kuna school buss sasa kama mukichelewa kosa si la dereva iweje adhabu apewe mwanafunzi? Uyu alikua hapendi shule tu ila asiongope umbali
@am_fashabi3888
@am_fashabi3888 3 года назад
Congrats sister ni Mimi kakako all the way from lamu kenya njoo unichukue Allah barik lakum
@JKQGAME
@JKQGAME 3 года назад
Aliye sikia mshua kanipiga kampani like zangu jamani kwa wale kapuku Kama mm tunaozidi kuasi kila jua likichomoza hakuna Cha mshua kampani au Cha boss kampani wewe Kama wewe ndo nawataka hapa
@davidboniphace8159
@davidboniphace8159 3 года назад
Hao waarabu in nature huw hawapend shule Wana vichwa vigumu San kuelew darsna
@muniradaudi440
@muniradaudi440 3 года назад
Mungu wang jaman
@muskanabdulrazak6515
@muskanabdulrazak6515 3 года назад
Kweli
@davidboniphace8159
@davidboniphace8159 3 года назад
@Warda Ahmed muongo warda Ahmed nd nature yen bhna
@davidboniphace8159
@davidboniphace8159 3 года назад
@Warda Ahmed 👍🤞
@akshaydavid159
@akshaydavid159 3 года назад
We mtangazaji acha ufala, tunahitaji utuletee tajiri ambae ni self-made sio Hawa mboga saba wanaopata mitaji kirahisi na sapoti ya nguvu kutoka kwa wazazi au ndugu.
@feiz3180
@feiz3180 3 года назад
umemsikiliza vizuri. Huyu dada ni amejitahidi. Pengine wewe ungekuwa katika nafasi yake ungelifeli tu. Anacho kipaji na wazee wake wamesimama na yeye na kufanikiwa kwake anasaidia ambao hawana uwezo. Very creative.
@faridakidoti6734
@faridakidoti6734 3 года назад
Ishu sio kutoka kwenye ushua ishu ni akiri yake tu ipo vizuri Kuna watu wametoka familia tajiri ila hawana chochote kile
@maryamomary9596
@maryamomary9596 3 года назад
Naam
@aishahamoud2832
@aishahamoud2832 3 года назад
Kabisa👋👏👋
@abubakarmahad3101
@abubakarmahad3101 3 года назад
Mm naona anaongeza pesa kwao tu maana zipo
@mohabatkhanmalak1161
@mohabatkhanmalak1161 3 года назад
I am of the opinion that education is more vital now, in todays world. This is my advice to our youngsters - if you have to make a break from your studies do it, but later on finish your diplomas and degrees. For Africa, education is the key.
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 3 года назад
Sijui watoa comment za matusi na lawama kwa huyu mtoto sijui zinatoka wapi .huyu mtoto yuko real anasemesha ukweli wake kuwa shule ilimshinda niwangapi shule iliwashinda na hawana hata akili ya kujiongeza? Hata wazazi wakiwa maskini kuna umuhimu wakujiongeza huyu mtoto mpeni hongera zake .
@yusuphmbugi8594
@yusuphmbugi8594 3 года назад
kama alikua ana uwezo wa kulipiwa school bus kwa nn asihamie boarding
@amourflamin2092
@amourflamin2092 3 года назад
Apewe hongera zanini au kwakuufanikiwa kuwachashule upumbavu huyu kazaliwa kazikuta helazipo kwao alicho kufanya yeye kipi kigumu
@halimamohamed2146
@halimamohamed2146 3 года назад
Shule si kila kitu kinachokufanya ufanikiwe maishani ni uwe na mwelekeo maishani na ujue unataka nini big up Zena sharif would like to meet you one day am from kenya a lady like you 🤣🤣🤣
@mgosimkome9242
@mgosimkome9242 3 года назад
Wee uliesema shule si kila kitu pia kumbuka unaweza kosa shule na ukakosa vyote pia maisha na shule kuna wanaokosa vyote, hapa inategemeana mfano kwa mtoto anaetoka familia ya kimasikini ama hali duni Kwake shule ni mkombozi msimdanganye, lakni kwa ambao kwao uwezo upo shule sio lazima kwani hata akiacha anaweza Pewa mtaji kirahisi na akafanya mambo makubwa lakni mtoto wa masikini akiacha aseme apambane aisee mtoko wake ni mgumu na inachukua muda mrefu Sana na pengine asipate kabisa ndugu zangu watu wengi mnaosikia oh sijui nilianza na nn leo niko hapa sijui saivi ni tajiri sio Kweli, angalia akina MO utajiri ni wa baba zao, Alihaji Aliko Dangote babu yake alikuwa ni tajiri mkubwa Nigeria akamwachia mwanae ambae ndo baba wa Aliko Dangote leo huyo hapo tunamsikia, lakni alisoma na ana Bachelor degree of business administration hivyo alienda kusoma ili aje kusimamia biashara na Kama ni mtaji alipewa mtaji sio wa kitoto, hivyo sio kila anaeonyeshwa mtandaoni anajinadi oh mm tusiige, ni dada mmoja eti nilianza kupika Makande na leo nina ofisi kubwa ya kuuza Makande ukiangalia amesoma Marekani ndo akaja Tanzania hivi mtu Aliesoma Marekani unadhani wazazi wake walikuwa kapuku na hakuwa na Scholarship, Kaja kapewa mtaji lkni anakuambia oh niwashauri wasomi wasikae tu, wabuni vitu vya kufanya hivi Nani asie penda kufanya kitu shida atatoa wapi mtaji wa kufanya hicho kitu ndugu zangu.
@BigZhumbe
@BigZhumbe 3 года назад
Shule mara nyingi ni tumaini la maskini kupata kazi nzuri kama wazazi wanahela Shule ni waste of time
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 3 года назад
Huu ndio upumbavu wetu wa Africa kusoma sio lazima uajiriwe, kusoma ni kufuta ujinga,hata ukiwa na biashara yako mwenyewe ukisoma huibiwi kirahisi
@nanaleetz
@nanaleetz 3 года назад
Umeongea utopolo majinaa mpk unatia hurima walai
@BigZhumbe
@BigZhumbe 3 года назад
@@NR-ll4sr Hakuna mwenye hela mjinga.... Na kusoma si mpaka uende shule..... kuna home schooling na matajiri wengi watoto wao wanasomea nyumbani na wanafanya vizuri.... Shule ni ujinga hata alieanzisha Shule hakusoma
@BigZhumbe
@BigZhumbe 3 года назад
@@nanaleetz Umesemaje? Kiswahili chako si cha nchi hii 🤣🤣
@itshaluastyle
@itshaluastyle 3 года назад
Mishonoya vitenge MAHARUSI nk bonyeza link pia usisahau kusubscribe ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Et2V-nqV7CI.html
@tphj2913
@tphj2913 3 года назад
Kumbe pesa toka mwanzo ipo umepewa mtaji wa kutosha 😂😂😂
@nuruyusuf650
@nuruyusuf650 3 года назад
Nasaba ya mtume nywele ziko wazi subhana Allah
@omarsharifa5606
@omarsharifa5606 3 года назад
Mikono iko nje
@omarsharifa5606
@omarsharifa5606 3 года назад
Swag hio mtajuaje ana singaa
@khadijaaliy9263
@khadijaaliy9263 3 года назад
Mtihani kwa kweli nasabu ya Mtume (SAW) hawako hvo aseme2 ni muarabu lkn so ktk nasabu hyo
@shufaakhamis4548
@shufaakhamis4548 3 года назад
Mwambie huyoo
@dasilvajunior3016
@dasilvajunior3016 3 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@jokarotv
@jokarotv 10 месяцев назад
Hatutaki mtuletee watu kama hawa ,,sisi tunataka watu walioanzia chini ,,hawa hawawezi tufundisha kitu sisi,,tunataka wale ambao hawakupewa support kutoka kwa baba wala ndugu,,,,hawa sio Akina sisi
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 3 года назад
Sawa kwao zipo vizuri ndio mana akaacha shule PESA IPO HATA MIMI ZINGEKUWEPO NIHANGAIKE NA MADAFTARI YA NINI
@tamemahmad9902
@tamemahmad9902 3 года назад
Apo sasa
@milermiler1504
@milermiler1504 3 года назад
HAHAHAHHAHAHAHA
@benjamininyambaso5041
@benjamininyambaso5041 3 года назад
Tuliofanikiwaa kuachaa xhulee kama dada,ila kwasisi homee kunaukapuku tujuanee hapaa😂😂😂
@zalhayahya2413
@zalhayahya2413 3 года назад
Umenichekesha
@Munirahamisi53
@Munirahamisi53 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@zuhuraimran3659
@zuhuraimran3659 3 года назад
😂😂😂
@kubrymtutala1736
@kubrymtutala1736 3 года назад
😂😂😂😂😂😂😂
@nancyg8664
@nancyg8664 3 года назад
🤣🤣🤣
@victorwhitte
@victorwhitte 3 года назад
🤣🤣😂😂🤣🤣, kama kwenu baba yako na mama yako (familia yenu kiujumla) hakuna mchele "umate mate" usijaribu hyo upuuzi
@ashrafkaniki5805
@ashrafkaniki5805 3 года назад
Kbsaa😂
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 3 года назад
Hahahaha
@jamilaathumani9004
@jamilaathumani9004 3 года назад
Nasibu ya mtume sasa usiweke kichwa waz nywele izo zinaonekana wewe umebeba jina kubwa la mtume wetu sw ,,mana wewe nishalifu
@sherin3171
@sherin3171 3 года назад
Sasa huyu kwao walikua na pesa ... aseme tu ataka kujulikana sana
@kabyjxjrd9874
@kabyjxjrd9874 3 года назад
Huyu ni kiki tu hkuna kizazi chochot kilobkia kwenye nasabu ya mtume
@abdulazizijuma226
@abdulazizijuma226 3 года назад
@jamila athumani na wewe umedanganywa umeamini ukoo wa mtume!!!!!
@atfyahabdulfatah3197
@atfyahabdulfatah3197 3 года назад
Hhhhhhh ety kuwa sharifu ndo kizazi cha mtume bc tupo weng maana hata mm ni sharifu na nasabu yng inatokea YEMENI pia
@ibnismail8831
@ibnismail8831 3 года назад
@@atfyahabdulfatah3197😁
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
@yahyamajidyahyahilalal-har8762 3 года назад
Hongera Sana... Mungu hawezi kukunyima yote.
@ickymirigo9743
@ickymirigo9743 3 года назад
Na pesa zinachangia 😁Asa we kapuk acha shule uone 😋
@happygibson8517
@happygibson8517 3 года назад
😂😂😂😂😂😂wakishua huyu
@JKQGAME
@JKQGAME 3 года назад
Mtoto wa kifaru siuangarie hata rangi ya kinyaturu hiyo
@mrsliverpool4235
@mrsliverpool4235 3 года назад
Acha shule utakula msoto hadi njaa ikuzoee
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 3 года назад
Yaani acha shule uone uwe punda wa mtaani
@theatushafamily4977
@theatushafamily4977 3 года назад
U can have the money. To invest but if you don’t have a great connection everything is zero😂😂.
@tztanzania2262
@tztanzania2262 3 года назад
What connection you mean??
@baga4670
@baga4670 3 года назад
Money means connections
@aminajuma6352
@aminajuma6352 3 года назад
😂😂😂😂😂
@owlbig
@owlbig 3 года назад
I love her ♥️🔥🇧🇮
@colinmlay3756
@colinmlay3756 3 года назад
Daah! Awesome..👍
@saudatkiuta5060
@saudatkiuta5060 3 года назад
Ishikilie Sana elimu usimwache aende zake 🤔🤔🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️
@danieltuya3089
@danieltuya3089 3 года назад
Haaaaa umetxha
@nanaleetz
@nanaleetz 3 года назад
Oya uyo sio tajiri kwanza familia yake ndo tajiri kwhy ikambeba ila angeanzia chini ndo ungesema tajir Alafu kavivu😂😂😂kusoma hahahhahhaa
@aminsalimali793
@aminsalimali793 3 года назад
ZENA NA KUFUATILIA SANA NA KUKUBALI SANA ILA HILI LA UKO WA UTUME HUUU NI UWONGO UTUPU MUNGU ALIUONDOA UKOOO WA MTUME
@mshalewasumu3121
@mshalewasumu3121 3 года назад
Kabla sjamaliza kuangalia hauwezi shindana kibiashara na mwarabu Kwanza mtoto anazoeshwa biashara bado mdogo hata asiposoma biashara itamuinua
@badrubadran7663
@badrubadran7663 3 года назад
Mm sijaelewa lkn uyu mdada apa nikama aalisaidiwa na familia yake ndo akawa tajiri sasa anatufunza tuache shule tufate dream mm dream yangu yanpotosha heri nisome kwanza kwetu ukiacha shule naa wazazi wanakuacha sasa ndio utajiunga na vikosi vinavopotosha hapo hujaongea dada heri tusome. Umefanikiwa ju kwenu kuna hela banaa uko na zaree.....usituharibu ety tuache shule kama sishiki heri niendde ivo ivo kuliko kukaa nyumbani....
@SGL_tz
@SGL_tz 3 года назад
What is really the meaning of Hijab? Kajielezea vzur but hio hijab imekua kofia kwa kichwa au ni kitu chakuheshimiwa katika dini.......coz why aivae nusu!!!!!! WAISLAM MPOOO!!!! Sawa Ni tajiri, but sio matajiri wote wana hojiwa why #SIMULIZINASAUTI. Nyie fanyeni ivo TRA WAMUONE.
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 года назад
☝️ sioni amevaa hijab na amesema ni familia ya mtume, watu wanacheza na dini 🤔
@barakaohani5438
@barakaohani5438 3 года назад
Maelezo mazur , ILA YAMEJAA CHUKI , TAFUTA PESA KIJANA
@SGL_tz
@SGL_tz 3 года назад
@@barakaohani5438I was jus curious nothing more... sina chuki coz life n mzunguko wenda ataniajir apo mbelen
@zainabzainab9724
@zainabzainab9724 3 года назад
Mwenyewe hananishtua..sasa inamaan ngani kwa kichwa.onyesha nywele zote dah but ujui unywele umoja dhambi.njee ziko ngapi kwa kichwa.
@Ahmed-fm5fr
@Ahmed-fm5fr 3 года назад
Lazima aonyeshe hzo pasta
@salehsaleh548
@salehsaleh548 3 года назад
Mtangazaji unazinguwa umeganda hapo kwenye shule tu itatusaidia nini uliza mawsali mengine bana...peole wanataka alifanikiwa vipi ktk maisha yake....
@ashuraabby9544
@ashuraabby9544 3 года назад
Siliza mpaka mwisho kwanza hii ni sehemu ya kwanza hivyo bila shaka Kuna vitu vingi huko mbeleni
@divinebernard2624
@divinebernard2624 3 года назад
Mhhh Saleh ilo tu njo unataka?ao unataka aulizwe kama huko single ao kipi ili upenye😲😲😄😄🏃🏃nakimbiya mimi
@smknaturalorganic5287
@smknaturalorganic5287 3 года назад
👏
@zeyanamrope8943
@zeyanamrope8943 3 года назад
Mhhh. unajinasibisha na Mtume wakat Hassan na Hussein wajukuu wa mtume hawakuendeleza familia. wewe umetokea wapi??
@safiaabubakar1120
@safiaabubakar1120 3 года назад
Unafi
@khadijaaliy9263
@khadijaaliy9263 3 года назад
Muongo2 hyo kua na nasabu ya Mtume so masihara ni muarabu2 asitudanganye
@saidasaid5855
@saidasaid5855 3 года назад
Apo sasa
@qayyalove2506
@qayyalove2506 3 года назад
Nmependa
@athumanimvula3718
@athumanimvula3718 3 года назад
Sio kweli Huseni alikuwa na watoto na waliendelea kuzaliwa.
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 3 года назад
From 🇧🇮 Saudia ila jameni mwarabu awana akili 🤣🤣ya Shula ata kidog🤣
@shaimaaaheresi8165
@shaimaaaheresi8165 3 года назад
😂😂😂😂
@dasilvajunior3016
@dasilvajunior3016 3 года назад
😁😁😁
@laylahasshim827
@laylahasshim827 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@chidyboytz48
@chidyboytz48 3 года назад
🤣🤣
@jumanasoro8903
@jumanasoro8903 3 года назад
Uko saudia sehem gani
@Queen-be1uf
@Queen-be1uf 3 года назад
Umeacha shule kwa sababu nyumbani hela ipo na bussiness umeanzishwa nyumbani. Msije mukaacha shule mukaona mtatajirika kirahisi kama huyu. Huyu kwao tajiri kutoka asubuhi. Kajua ataanzishiwa mradi tuu
@pilihamis9657
@pilihamis9657 3 года назад
Alaf mm huwa c hamasishwiii na hawaa wanaokuta magar nyumban kwaooo napendaaa inspiration anaetoa toa stor had unahc kweeeel pagumuuuu......sas huyuuu ad alkua anapelekwa na school bus shule🤣🤣🤣🤣
@OmanOman-lr4of
@OmanOman-lr4of 3 года назад
Kabisa, hata huo mkopo aliamini akishindwa kulipa baba atalipa .
@rayshikeli1577
@rayshikeli1577 3 года назад
😂😂😂😂😂😂Hapo sasa
@rayshikeli1577
@rayshikeli1577 3 года назад
@@pilihamis9657 kweli kabisaaaaa,mtu kwao kuna kila kitu,hajui kuteseka kabisa.Twataka wale ambao wamekula msoto mkali.Huyu hakuwa na interest ya masomo kabisa.....😂😂😂😂
@itshaluastyle
@itshaluastyle 3 года назад
Mishonoya vitenge MAHARUSI nk bonyeza link pia usisahau kusubscribe ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Et2V-nqV7CI.html
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 3 года назад
Mmm wengine nao waache shule waone moto wake! Uyu dada ukimuona anaonekana mpole, akianza tu kuongea mtu unashtuka kweli sijui kwanini🙉
@mishibabu8946
@mishibabu8946 3 года назад
Hahaa pia mm nilijua anasautinyororo
@mrsliverpool4235
@mrsliverpool4235 3 года назад
🤣😅😅😂Ana asili ya kiarabu mumesahau, ya kuongea sana
@shanishosho911
@shanishosho911 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 года назад
Exerctly hutarajii, ni muongeaji sana na atakaye muoa ajiandae 😉😁
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 3 года назад
@@aminanamoyo83 yani ajipange kuwa msikilizaji tu
@sweetyjanne255
@sweetyjanne255 3 года назад
Mfyuuu Wengine Wanawapaga Hela Muwafanyie Interview Kupata Kiki Mtu Anaonekana Alipewa Mtaji Katoka Ushuani Alafu Mnataka Danganya Watu Waache Shule Jamani Jamani 😃😃😃😃😃😃
@sophiajoseph1461
@sophiajoseph1461 3 года назад
Asante kwa ukwel bhana kama kichwa hakina kitu bora ujisemee tu😹😹✍
@johnwilliam5677
@johnwilliam5677 3 года назад
Huyo ni Mtt wa marehem babu yangu mzaa rafiki yangu wa classmate wangu niliesoma nae kabla cjapata rafik mwingne
@bableekhatibu209
@bableekhatibu209 3 года назад
Exactly, my sister . Msimamo ni kitu muhimu
@allyteacher7358
@allyteacher7358 3 года назад
nikweli umzuri masha allha ilajitandevizuri mm kusema kweli nimekupenda kweli
@ELVIRAPRODUCT
@ELVIRAPRODUCT 3 года назад
Warab huwa hawapendi kusoma siku zote.... Kinacho wasaidia ni biasharaa zao
@luifdls6217
@luifdls6217 3 года назад
nimemfatilia her story and big up to her maana yea even tho anaeza kua ametokea from a family ambayo wanazo but shes a hardworking gal as well,,,ila dada elimu ndo kila kitu yes inaeza isiwe ya maana kwako leo cuz unahela but mali bila daftar hupotea bila habari,,this advice haiapply kwa wote maana inawezapotosha watu wengine kua shule haina umuhimu which is not true 100%,,,afu kuhusu swala la kujiajiri ni mtu tu kua na mtaji na kua na akili ya maisha na ubunifu ila haimaanishi uache shule cuz unaweza kua unasoma na pia unakabiashara chako na kuhusu distance isiwe reason watu wanatembea kutoka vijijin kwenda mjin shule kwa miguu na hata km inachosha but ni kupambana tu maana fursa mtu anazopata akiwa ameelika ni nyingi sana ukiachana na kuajiriwa au kufata routine, mtu anaweza kujisimamia binafsi na kupanga maisha yake bila kuwa dependent kwa watu wengine na inakufanya uheshimike sana,,, kwahiyo hapo nakataa na ushauri unaotoa hapo,,wewe upo different na asilimia ya watu wengi sana ambayo elimu ndo ufunguo wa maisha na pia a good degree will make you so respectable hata ukiwa na hela kiasi tu,,,stay at school!
@rashidikanyama7227
@rashidikanyama7227 2 года назад
Nimekuelewa saana sana
@elikanakadinda9281
@elikanakadinda9281 Год назад
xzz
@elikanakadinda9281
@elikanakadinda9281 Год назад
.
@elikanakadinda9281
@elikanakadinda9281 Год назад
0qq
@abdullahseif4984
@abdullahseif4984 3 года назад
Kisharifat huo ni Mtandio au nywele ziko wazi
@naaababy6426
@naaababy6426 3 года назад
Uyu bdo hajaolewa au
@helpers92
@helpers92 3 года назад
Lean to learn succes is ahead you
@abdusaalim5228
@abdusaalim5228 3 года назад
Maashaallaah nimependa stara yako ungekua mkewangu ningesikia raha sana aisee
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 3 года назад
Nasaba ya mtumee umeacha nyewele wazi inalilah wainailahi rajiuun
@busta_malik5971
@busta_malik5971 3 года назад
Yani kaacha nywele wazi alaf anajisifia et nasaba ya mtume
@samirahmfanga465
@samirahmfanga465 3 года назад
Innalillah
@abdallahamad4682
@abdallahamad4682 3 года назад
msiba
@azaniaammad3771
@azaniaammad3771 3 года назад
Sasa mtu ana jifunza nini hapa next tm mje na vitu vyakueleweka ,kwamba watoto wakishua ndio wana toboa au watu waache shule, sns hapa mme feli
@chamandaayolaiza1535
@chamandaayolaiza1535 Месяц назад
MTUME 😳 HAPO UMEKOSEA SNA TUBIA UPESI NAUBADILI MANENO YKO MTUME KWELI KAKUFUNZA UNYESHE NYWELE ZAKO MBONA UNAUKOSEA UISILAMU 😭😭 UNAPO MSINGIZIA MTUME BC UMEMSINGIZIA ALLAH. NYWELE UMEZIACHIA NAUNALIJUA HILO ILA UMEAMUA TU 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭UMEIZALILISHA DINI 😭😭😭😭
@joharlijuma9445
@joharlijuma9445 3 года назад
Masha allah allah akuzidishie dada ufanikiwe zaidi
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 3 года назад
Acha kuji mwambafai kua na nasabu ya mtume sio sababu ya kujiona "Allah" haangalii nasabu anaangalia Taqwa ndani ya moyo
@user-lt5hc4re2f
@user-lt5hc4re2f 3 года назад
بارك الله فيك وجزاك الله خير يا أخي
@khajumkhamis7910
@khajumkhamis7910 3 года назад
Uhakika
@shufaakhamis4548
@shufaakhamis4548 3 года назад
Kweli kabisaa
@saidasaid5855
@saidasaid5855 3 года назад
Watu Kama hawa huwa wanatabia moja mbaya Sana na mtu wa hivi ukiish nae uwe mtumwa cos anajikweza Sana
@sophiajoseph1461
@sophiajoseph1461 3 года назад
Kujimwambafai🙆‍♀️😹😹😹😹✍
@Best_wolframmusichub
@Best_wolframmusichub 3 года назад
Familia wamewekeza hapo asitudanganye.Scaba scuba inajulikana wameshafanikiwa so asituingize mkenge shule muhimu....
@dotosalim5090
@dotosalim5090 3 года назад
Namm namjuwa uyo mzee ckaba mwenye pesa zake
@subirajohn728
@subirajohn728 3 года назад
ni kweli asitudanganye shule muhimu!
@aishahela1735
@aishahela1735 3 года назад
Ksbisa asitudanganye tupike keki kazi hizo tumuachie shilole
@kelvinclesh8792
@kelvinclesh8792 3 года назад
Ebu fikili angekuwa mtoto wa mkulima huyu, Baba na mama washika jembe Bush hivi angeongea upuuzi wake huo, angeweza acha shule kwelo akamsaidie babayake kazi ya shamba. Huyu alijua hana chakupoteza coz alijua familia anayotoka ni loyal family.
@kangabell16
@kangabell16 3 года назад
She go lakin anasupport ya familia pia yaaan kwao wako vizuri sio kwamba ametoka shimon afu anachozunguzia ni mafanikio ya kawaida kwa watoto wa kishua story za kusisimua za maisha kama erick shigogo ivi jaman ametumia nguvu zake Lyke 90%
@emilyibraimo5032
@emilyibraimo5032 3 года назад
Sasa huyu kashikwa mkono na wazee wake pesa kwao ipo kinachotekea kitu gani mafanikio tuu ata dada zetu mboga moja wanajituma kinoma ila bado wana yumba na kila biashara wanafanya ngoma ngumu maisha hadi ushikwe na watu ndo wende tena wenye navya maisha ni kma pakacha ukitia maji yanavuja maisha hadi uchenguke huyu ata shida hajapata mtoto hana ata wasi huyu wakati wajota anakoga wakati wa baridi anakoga wakati sisi huku wakati wa baridi tujipija mafuta ya nazi
@magrethjohn4929
@magrethjohn4929 3 года назад
🤣🤣🤣
@middleplatnumz3629
@middleplatnumz3629 3 года назад
Mtume mpya kutoka Yemeni😂😂😂 Nilipofanikiwa kuacha shule😂😂😂 Mwarabu na shule wapi na wapi😂😂😂😂
@hamonyyusto9907
@hamonyyusto9907 3 года назад
Du!
@ZainabAtuli
@ZainabAtuli 3 года назад
Nnaboss wang mwarab hajui kusoma vooh, si wa kingereza wala kiswahili, yy ajua kuongea Arabic tu, na jamaa zake huja kutoka Oman naona wote si wa kusoma wala kuandika ni mtihani tu
@buusaadia6449
@buusaadia6449 3 года назад
Njoo inchi za kiarabu utaona elimu vip kwa mwarab... unaonekana hujawai kusafiri hahahahah
@allyteacher7358
@allyteacher7358 3 года назад
masha allha mrembo mzuru sana ilafunikanywelezao
@ayoubsuleiman3675
@ayoubsuleiman3675 3 года назад
Jmn Mtoto mzr na ametoboa maisha kiukwel wasichana wenzake naona wanavyo chukia nakumponda huyu mrembo jmn Shariifu au Saydah komaaa zaidi wanao kuhusudu washiiiiti
@achawanunetv1167
@achawanunetv1167 3 года назад
We dada acha kutudanganya kwa nini usipelekwe karibu na shule sema tu ulitaka kuacha shule
@rayshikeli1577
@rayshikeli1577 3 года назад
😂😂😂😂😂Umeonaeee
@abubakaryalmas7673
@abubakaryalmas7673 3 года назад
Kabisa alikua sio msomaji lakini asisingizie umbali watu wanasoma kwa tabu na mbali lakini wanawah shule
@moureenanyango4591
@moureenanyango4591 3 года назад
😀😀😀😀😀
@jumayahya2661
@jumayahya2661 3 года назад
Izo nywe nibiashara nazo?
@allyrashid1770
@allyrashid1770 3 года назад
Unavinasab vya mtume kwa sifa ipi nywele was unaongea macho yot ju ju mh Mimi naoka
@ndossiadventurestz.6796
@ndossiadventurestz.6796 3 года назад
Kwenye interview Kama iyo muwe mnampa mtu Mike akae nayo mwenyewe
@salahmbarouk3526
@salahmbarouk3526 3 года назад
Jistir kwnza halafu utajtangazia nasabu ya mtume na mafanikio ya dunia ni muhim kwa binadam lkn usisahau na ya huko akhera izo nywele zihifaz mdogo wangu 🙋
@liibaanlugcad8839
@liibaanlugcad8839 3 года назад
Keep going bro
@maatumkadhi1760
@maatumkadhi1760 3 года назад
Hakuna shareef anaeacha kujistiri tena tunaomba usijinasibishe na mtume wetu muhamad s w.a halafu ukiwa huwez kujistir ni kher ujinasbishe na beyonce
@ziadasalim1459
@ziadasalim1459 3 года назад
Kabisaa asituchafue bana ye aendelee kukaa uchi tu,
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 3 года назад
Msijidanganye,,,hakuna mashariff dunia ya leo,,ukijifunika au usijifunike hakunaaa
@dianaferdinand7546
@dianaferdinand7546 3 года назад
Dini yenu ya kuhukumiana. Ishini maisha yenu, kama pepo mtaiona nyie ila sii kwa kuhukumu wengine.
@eliassabbath2480
@eliassabbath2480 3 года назад
tangu lin mwarabu awe na akili ya kusoma😂😂😂
@patricknduwimana2840
@patricknduwimana2840 3 года назад
Si ndo nashangaa
@eliassabbath2480
@eliassabbath2480 3 года назад
@@patricknduwimana2840 🤣🤣🤣
@zinbormdan9813
@zinbormdan9813 3 года назад
Umeon eee
@angelzighe4254
@angelzighe4254 3 года назад
🤣🤣🤣🤣
@ghanimaali4507
@ghanimaali4507 3 года назад
aongea kma cherahani
@neemainabikorwa5570
@neemainabikorwa5570 3 года назад
Allah ayibariki kazi ya mikono yako
@aishaissa2249
@aishaissa2249 3 года назад
Hii hainuhusu baba mwenyewe anadaiwa kwa mangi halafu anichukulie mkopo benk😂😂😂😂😂😂Mungu akubariki kila mtu na rizki yake.
@yusuphmbugi8594
@yusuphmbugi8594 3 года назад
hicho kiswahili anachoongea huyo dada sio Cha form two kwakeli, 😜😜🤣
@salumbabesh8828
@salumbabesh8828 3 года назад
labda sharif majini
@yusuphmbugi8594
@yusuphmbugi8594 3 года назад
Acha watu wafuate mkondo
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 года назад
Woyoooooooooo👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏hongera sana binti
@mussanassoro790
@mussanassoro790 3 года назад
Watoto wa masikini someni aiseee huyu kwao tayari walishantengenezea mazingira ohooo kama unahustle usimkatishe tamaa anaesoma na kama unasoma usimkatishe tamaa anaehustle kila mtu na njia zake
@muniradaudi440
@muniradaudi440 3 года назад
Tena mtanga mwezangu jaman nina bahati miyee dah nisaidiye angalau pesa ya mtaji
@abubakaryalmas7673
@abubakaryalmas7673 3 года назад
😂😂😂 Account ipi hiyo isiyo na hesabu? Hahaha Umesikia wap eti
@marthamatheo3471
@marthamatheo3471 3 года назад
image alikuwa anakwenda shule kwa gari 🤔🤔lkn analalamika umbali ulimchosha je wale wanaoenda kwa miguu shule na shule zipo mbali kweli wakishua huyu
@aminasoma8840
@aminasoma8840 3 года назад
💃💃🙄🙄🙄🙄 jamani hahaha AstakafiriAllah nasaba ya mtume duh bora salama nywele ziko wazi basi hongera habithy
@adbashtv6701
@adbashtv6701 3 года назад
Ila huyu dem anaongea mnooo😂😂😂😂😂 Au ndokameza memort yangu
@winfridagama2042
@winfridagama2042 3 года назад
Memort
Далее
Send this to an artist… 😉 #shortsart
00:19
Просмотров 6 млн
Frank Now VS Then Edit 🥵| #brawlstars #shorts
00:18
🔴#LIVE:GOOD MORNING  NDANI YA WASAFI FM 09-07-2024
2:43:30
HOUSE GIRL  EP 36 || love story💞💕
20:15
Просмотров 79 тыс.
NILIACHA BIASHARA ZOTE NA KUFUNGUA SALOON YA KIKE!!
11:07
Send this to an artist… 😉 #shortsart
00:19
Просмотров 6 млн