I was not able to watch the whole interview cause the story does not inspire a poor child as it discourages education which is the only way for a poor child. Zainab had a very bright future ahead due to a concrete family background as she was working while at school that means there was a push behind her that encouraged her and had no fear to fail which everyone of us was missing. Kwa ufupi masikini tusome tusidanganyike na hawa watu wenye familia zenye uwezo.Unaacha shule kivipi.
subscribe, share, like, comment kwenye link yetu .. Angalia hizi uvunjike mbavu.. Usipocheka nakurudishia PESA yako ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-ye9pJCgjrQU.html
Nasab ya mtume haipo Tena hapa duniani Hamna kujibasib na imefanywa hivyo kwasababu ilijulikana Kuna watu watakuja kujidai au kujitofautisha na wengine kwajifanya wao ni nasab ya mtume
Guys Embu acheni roho za korosho bhana... Hajasema watoto zenu waache shule, wewe unayeamini in education well and good. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, sio wote watoto wa mboga Saba wana uwezo wa kufanya hicho alichokifanya! Keep up girl!
Mabrouk Alf Mabrouk ukhty. You are very inspiring girl at your tender age and being a muslim girl. Big up to your parents and entire family. Radhiya Qoyan commenting.
Nakupa hongera kwa bidii ya muendelezo wa utajiri na kujituma, baba akiwa mwalimu, ila nakusihi ukasome vizuri uislam na historia kamili ya mtume, usije ukajinasibisha na ukoo wa Rasula Allah, kumbe unainganishwa na ukoo wa mjomba wake mtume Abuu Jahal.
Yaani watz wengi wanachoyo mwenzao akifanikiwa. Nimepitia maoni ya wengi na nimeona yaani ROHO mbaya kweli. Poleni. Mungu atamlinda huyu dada na macho yenu ya UHASIDI poooo
Mnatakiwa muwe waelewa huyu binti hajsema muache shule yeye anatoa storia yake na la kujifunza ni kua kufanikiwa maisha sio lazma usome mpaka uwe na madigirii
Jamani lakini msidanganye watu waache kusoma eti kisa mtu flani aliacha shule na akafanikiwa, huyu anaonekana uwezo wake pia haukuwa mzuri darasani hivyo akaona anapoteza muda tu akiangalia kwao maisha ni mazuri maana amesema kwao kuna ma hardware, maviwanja mengi hivyo alikuwa na uhakika wa kupata mtaji, sikiliza anasema hakuwa na target yoyote kuhusu shule huko mbeleni, so ukiingia shule ukiwa huna malengo basi shule lazima uache, mm nimemsikiliza vizuri hadi mwisho kuwa hakuwa na uwezo. Hivyo ndugu zangu tusiige .
Kwa sisi ambao tunafatalia successfull people in the world na kueleza wao wamefanikiwa vipi wengi wao mafanikio yao yameanza from zero to hero but huyu mdada inaonesha kwao kuna hela then baba ake amechangia asilimia kubwa katk kufanikiwa kwake lakn sio SELFMADE but all in all hongera
subscribe, share, like, comment kwenye link yetu .. Angalia hizi uvunjike mbavu.. Usipocheka nakurudishia PESA yako ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-ye9pJCgjrQU.html
Kweli kabisa, hawa watu sio wakuwaiga kabisa....yaani huo utajiri sio wakwake ni support kutoka kwenye Famili yake... Angalia shule aliyekua anasoma ni UPANGA hii sehemu wanasomaga watoto wa kishua sana..asitudanganye hapa
😂😂😂 Apo akili kichwani mwako, ukimfatisha huyu utapotea. Ina maana uo umbali alikua yeye tu anasoma kutoka mbali? Alafu kuna school buss sasa kama mukichelewa kosa si la dereva iweje adhabu apewe mwanafunzi? Uyu alikua hapendi shule tu ila asiongope umbali
Aliye sikia mshua kanipiga kampani like zangu jamani kwa wale kapuku Kama mm tunaozidi kuasi kila jua likichomoza hakuna Cha mshua kampani au Cha boss kampani wewe Kama wewe ndo nawataka hapa
We mtangazaji acha ufala, tunahitaji utuletee tajiri ambae ni self-made sio Hawa mboga saba wanaopata mitaji kirahisi na sapoti ya nguvu kutoka kwa wazazi au ndugu.
umemsikiliza vizuri. Huyu dada ni amejitahidi. Pengine wewe ungekuwa katika nafasi yake ungelifeli tu. Anacho kipaji na wazee wake wamesimama na yeye na kufanikiwa kwake anasaidia ambao hawana uwezo. Very creative.
I am of the opinion that education is more vital now, in todays world. This is my advice to our youngsters - if you have to make a break from your studies do it, but later on finish your diplomas and degrees. For Africa, education is the key.
Sijui watoa comment za matusi na lawama kwa huyu mtoto sijui zinatoka wapi .huyu mtoto yuko real anasemesha ukweli wake kuwa shule ilimshinda niwangapi shule iliwashinda na hawana hata akili ya kujiongeza? Hata wazazi wakiwa maskini kuna umuhimu wakujiongeza huyu mtoto mpeni hongera zake .
Shule si kila kitu kinachokufanya ufanikiwe maishani ni uwe na mwelekeo maishani na ujue unataka nini big up Zena sharif would like to meet you one day am from kenya a lady like you 🤣🤣🤣
Wee uliesema shule si kila kitu pia kumbuka unaweza kosa shule na ukakosa vyote pia maisha na shule kuna wanaokosa vyote, hapa inategemeana mfano kwa mtoto anaetoka familia ya kimasikini ama hali duni Kwake shule ni mkombozi msimdanganye, lakni kwa ambao kwao uwezo upo shule sio lazima kwani hata akiacha anaweza Pewa mtaji kirahisi na akafanya mambo makubwa lakni mtoto wa masikini akiacha aseme apambane aisee mtoko wake ni mgumu na inachukua muda mrefu Sana na pengine asipate kabisa ndugu zangu watu wengi mnaosikia oh sijui nilianza na nn leo niko hapa sijui saivi ni tajiri sio Kweli, angalia akina MO utajiri ni wa baba zao, Alihaji Aliko Dangote babu yake alikuwa ni tajiri mkubwa Nigeria akamwachia mwanae ambae ndo baba wa Aliko Dangote leo huyo hapo tunamsikia, lakni alisoma na ana Bachelor degree of business administration hivyo alienda kusoma ili aje kusimamia biashara na Kama ni mtaji alipewa mtaji sio wa kitoto, hivyo sio kila anaeonyeshwa mtandaoni anajinadi oh mm tusiige, ni dada mmoja eti nilianza kupika Makande na leo nina ofisi kubwa ya kuuza Makande ukiangalia amesoma Marekani ndo akaja Tanzania hivi mtu Aliesoma Marekani unadhani wazazi wake walikuwa kapuku na hakuwa na Scholarship, Kaja kapewa mtaji lkni anakuambia oh niwashauri wasomi wasikae tu, wabuni vitu vya kufanya hivi Nani asie penda kufanya kitu shida atatoa wapi mtaji wa kufanya hicho kitu ndugu zangu.
@@NR-ll4sr Hakuna mwenye hela mjinga.... Na kusoma si mpaka uende shule..... kuna home schooling na matajiri wengi watoto wao wanasomea nyumbani na wanafanya vizuri.... Shule ni ujinga hata alieanzisha Shule hakusoma
Hatutaki mtuletee watu kama hawa ,,sisi tunataka watu walioanzia chini ,,hawa hawawezi tufundisha kitu sisi,,tunataka wale ambao hawakupewa support kutoka kwa baba wala ndugu,,,,hawa sio Akina sisi
Mm sijaelewa lkn uyu mdada apa nikama aalisaidiwa na familia yake ndo akawa tajiri sasa anatufunza tuache shule tufate dream mm dream yangu yanpotosha heri nisome kwanza kwetu ukiacha shule naa wazazi wanakuacha sasa ndio utajiunga na vikosi vinavopotosha hapo hujaongea dada heri tusome. Umefanikiwa ju kwenu kuna hela banaa uko na zaree.....usituharibu ety tuache shule kama sishiki heri niendde ivo ivo kuliko kukaa nyumbani....
What is really the meaning of Hijab? Kajielezea vzur but hio hijab imekua kofia kwa kichwa au ni kitu chakuheshimiwa katika dini.......coz why aivae nusu!!!!!! WAISLAM MPOOO!!!! Sawa Ni tajiri, but sio matajiri wote wana hojiwa why #SIMULIZINASAUTI. Nyie fanyeni ivo TRA WAMUONE.
Umeacha shule kwa sababu nyumbani hela ipo na bussiness umeanzishwa nyumbani. Msije mukaacha shule mukaona mtatajirika kirahisi kama huyu. Huyu kwao tajiri kutoka asubuhi. Kajua ataanzishiwa mradi tuu
Alaf mm huwa c hamasishwiii na hawaa wanaokuta magar nyumban kwaooo napendaaa inspiration anaetoa toa stor had unahc kweeeel pagumuuuu......sas huyuuu ad alkua anapelekwa na school bus shule🤣🤣🤣🤣
@@pilihamis9657 kweli kabisaaaaa,mtu kwao kuna kila kitu,hajui kuteseka kabisa.Twataka wale ambao wamekula msoto mkali.Huyu hakuwa na interest ya masomo kabisa.....😂😂😂😂
Mfyuuu Wengine Wanawapaga Hela Muwafanyie Interview Kupata Kiki Mtu Anaonekana Alipewa Mtaji Katoka Ushuani Alafu Mnataka Danganya Watu Waache Shule Jamani Jamani 😃😃😃😃😃😃
nimemfatilia her story and big up to her maana yea even tho anaeza kua ametokea from a family ambayo wanazo but shes a hardworking gal as well,,,ila dada elimu ndo kila kitu yes inaeza isiwe ya maana kwako leo cuz unahela but mali bila daftar hupotea bila habari,,this advice haiapply kwa wote maana inawezapotosha watu wengine kua shule haina umuhimu which is not true 100%,,,afu kuhusu swala la kujiajiri ni mtu tu kua na mtaji na kua na akili ya maisha na ubunifu ila haimaanishi uache shule cuz unaweza kua unasoma na pia unakabiashara chako na kuhusu distance isiwe reason watu wanatembea kutoka vijijin kwenda mjin shule kwa miguu na hata km inachosha but ni kupambana tu maana fursa mtu anazopata akiwa ameelika ni nyingi sana ukiachana na kuajiriwa au kufata routine, mtu anaweza kujisimamia binafsi na kupanga maisha yake bila kuwa dependent kwa watu wengine na inakufanya uheshimike sana,,, kwahiyo hapo nakataa na ushauri unaotoa hapo,,wewe upo different na asilimia ya watu wengi sana ambayo elimu ndo ufunguo wa maisha na pia a good degree will make you so respectable hata ukiwa na hela kiasi tu,,,stay at school!
Ebu fikili angekuwa mtoto wa mkulima huyu, Baba na mama washika jembe Bush hivi angeongea upuuzi wake huo, angeweza acha shule kwelo akamsaidie babayake kazi ya shamba. Huyu alijua hana chakupoteza coz alijua familia anayotoka ni loyal family.
She go lakin anasupport ya familia pia yaaan kwao wako vizuri sio kwamba ametoka shimon afu anachozunguzia ni mafanikio ya kawaida kwa watoto wa kishua story za kusisimua za maisha kama erick shigogo ivi jaman ametumia nguvu zake Lyke 90%
Sasa huyu kashikwa mkono na wazee wake pesa kwao ipo kinachotekea kitu gani mafanikio tuu ata dada zetu mboga moja wanajituma kinoma ila bado wana yumba na kila biashara wanafanya ngoma ngumu maisha hadi ushikwe na watu ndo wende tena wenye navya maisha ni kma pakacha ukitia maji yanavuja maisha hadi uchenguke huyu ata shida hajapata mtoto hana ata wasi huyu wakati wajota anakoga wakati wa baridi anakoga wakati sisi huku wakati wa baridi tujipija mafuta ya nazi
Nnaboss wang mwarab hajui kusoma vooh, si wa kingereza wala kiswahili, yy ajua kuongea Arabic tu, na jamaa zake huja kutoka Oman naona wote si wa kusoma wala kuandika ni mtihani tu
Jmn Mtoto mzr na ametoboa maisha kiukwel wasichana wenzake naona wanavyo chukia nakumponda huyu mrembo jmn Shariifu au Saydah komaaa zaidi wanao kuhusudu washiiiiti
Jistir kwnza halafu utajtangazia nasabu ya mtume na mafanikio ya dunia ni muhim kwa binadam lkn usisahau na ya huko akhera izo nywele zihifaz mdogo wangu 🙋
Watoto wa masikini someni aiseee huyu kwao tayari walishantengenezea mazingira ohooo kama unahustle usimkatishe tamaa anaesoma na kama unasoma usimkatishe tamaa anaehustle kila mtu na njia zake