Wana ume wote wange fata hivi, wallahi nsizani wange kuwepo wana waku dai talaka... Pale hambapo kiongozi kinapo geuka mashariti ndio inapo ingia shida... 😢
Bahati mbaya sana wanawake wanaona makosa ya waume zao na waume wanaona makosa ya wake zao hakuna ambaye anaona makosa ya nafsi yake... Je wewe unamtii mumeo ?
Mimi hurauka Sasa kumi na nusu Nika mwacha mume wangu akiwa kitandani na nikirurudi kutoka soko hata hawezi niambie au kunipokea na ninapofua nguo zake huniuliza watafuta Pepo au thawabu Sasa Mimi hushangaa kwanini mume wangu huniambia hivyo
Asalamu aleikum warahmatullah wabarakatu. Shukran kwa darsa lako Allah barik. Sheikh naomba jawabu lako kma mumeo haezi kanya dadake anapokosea na siku zote anaambia mke kuwa astahamili maudhi yote ya dadake . Jee ni sawa yeye kama kiongozi wa familia kuyanyamazia kisa anaogopa familia yake na kupuuzia anachopitia mke . Na jee hapo inaezekana patikana vp furaha ndani ya ndoa hii
Sio kwa wanaume wa sasa mwanaume wa sasa ni gubu kero kwanza anataka pesa zako umlishe wanahitaji mwanamke uende kutafuta yeye analala unaludi hoi utatimiza majukumu ya ndani kweli wanaume mubadilike
Yani kweli kbsa wanaume walio wengi sasaiv anatafuta mwanamke alie na kazi au biashara,wao wamekaa tu vibomu sasa khaaa 😂😂 haya hawana wanaomba haoooo balaaa yani mtihani,tena wakishajua upo ughaibun mamaaaaaaa weeeee na ndoa utatangaziwa,ili upigwe vibomu vzr,me ntafunga tu jmn maana kila nikiwawaza hawa jamaa wasasa asilimia kubwa wapigaji😢
MashaaAllah sheikh zama hizi mpk wanaume awajitabuwi tunapo toa darsa kw wanawake lawama nyingi ni kwamba wanaume awajui majukum yao sjui hao nao tuwambie nn
Mtwambie nn na nyie ndio viongozi??? Wengi wenu siku hzi mnapenda mteremko. Utamkuta janadume zima kwenye tick-tock mkewe anafanya upuuzi nayy linabururwa km pumbavu hata haya halioni.
Bahati mbaya sana wanawake wanaona makosa ya waume zao na waume wanaona makosa ya wake zao hakuna ambaye anaona makosa ya nafsi yake... Je wewe unamtii mumeo ?
Kwani hamuoni majumba siku hizi yana hudumia na wanawake wanaume wapo bze na TV au games unaingia fb utako tiktok uningia insta siku imepita na bado anataka mwanamke huyohuyo ampe pesa leo mnataka kuolewa na mama zenu kwasbabu ndio wanaweza wapa pesa na wala hamuwi nao kwa mapenzi bali kwasbabu hamtaki kazi mnakubali kuwa nao lwasbabu ya pesa
Mashaallah shekh ila wanaume wetu hawa niwazito Hata Katka ibada pia unamuambia mume wangu swali anakuambia nitaswal kesho kila siku kesho jee hayo Mengine atayaweza?
Mwanaume akiwa mchamungu hapo anapaswa kumpata mwanamke mchamungu na mambo yataenda vizuri ama mwanaume akiwa wa hovyo akitaka mwanamke mwema i asije kumhatibu ni bora kwa mwanamke mchamungu kumkataa mwanaume huyo , mana mwanaume ananguvu ktk familia koliko mwanamke, nafasi ya kuchagua mwanamke mwema ni kwa mwanaume mwema tu si haki kwa yule asiekua mchamungu. Ama maswala kupokeleana vitu ni jambo la kujituma na kuzidisha mapenzi si lazima mpaka kusumbuana mambo mengine ukiashikilia mno yanleta hitilafu bora utafute lenye ukaribu wa kuleta mapenzi zaid.
Ametoa darsa kwa watu wote wake kwa waume ,,, Bahati mbaya sana wanawake wanaona makosa ya waume zao na waume wanaona makosa ya wake zao hakuna ambaye anaona makosa ya nafsi yake... Je wewe unamtii mumeo ?
Walhamdulillah! Shekhe Othmani Allah akulipe kwa kutukumbusha. Pia Allah SW atujaalie imaan, inshallah. Maana kwa dunia ya leo, mitihani na hali ngumu za maisha zinatupeleka mahala sipo.
Khs wakti kuwa na mitihan ktk maisha"Sisi ndo wassbabishaji baada ya kuacha majukumu yetu na kuwatwisha wanawake lkn kubwa zaidi ucha Mungu dhaifu vipi Allaah ataturidhia?
MWANAMKE ANATAKIWA KUONGOZWA SIO KUIONGOZA NI AMRI YA MWENYE ZI MUNGU.AKIPATA NAFASI YA KUIONGOZA LAZIMA KUWE NA MATATIZO KWA SABABU SIO HITAJI LA MWENYE ZI MUNGU.
Allahu Akbar, wanawake Mungu aliwapendelea sana yaani kumtii tu mume anapata pepo... kwa kweli wanawake walio wengi hawataona pepo. wanawake wana usheutena mkubwa sana sababu ya tamaa.
TabbarkkAllah! Mafundisho mazuri Sana ila kwenye kizazi hiki hupati hata mmoja,maana hao wake wamegeuka vibaka tu,waenda mbio kumbe nyuma yako Kuna mwingine aandaliwa meza.
Mwanamke akishapenda kapenda ila akupende na usimjali na madharau pengine na watu wa mume wa karibu wanyanyase heeee siku akiota mabawa si rahisi kumrudisha
Maashaallah Tabarakaallah sheikh Allah atuhifadh sote lakini samahani km nitakuwa nimekwaza mtu sauti yako ina panda na kushuka maneno mengine hayasikiki vizuri .tafadhali sauti iwe vizuri sheikh Shukran kwa Mawaidha mazuri
Shee mm nimemfukuza mime WG kwa kunifosi mid nikakope blaki ili pesa akafanyie mambo take na deni ya ribs nilipe mile tena ananiamrisha nikope boda nikichelewa ktk biashara na pesa zangu zatumika ktk kila kazi pesa zake anaficha na chakula Hanna tens tabligh na kitambulisho anacho nilichoka kwakweli anachezea dini tuu mmmh mmmmh hapana
tatizo kubwa lina wanawake . wana tamaa sana. wanaona ndugu zake ndo muhimu kuliko kujenga nyumba yake na mumewe kwanza. hawana subra ya kweli wanawake
@@daud405. Ttzo ni w’me waliowengi siku hzi hawataki wake wasionakazi. Anavyotaka awakisanye mpaka wa4 kila mmoja ajitegmee mwenyewe halafu yy awe anazunguruka na kipesa chake cha mabamia tu na tungule basi! Ama utasikia wanachosema w’ke wanajiweza Ila wanachokihitaji ni tendo la ndoa tu. Masikini hawajijui km wao ni viongozi na wachunga wa wake na vizazi vyao. Wao wanaona kazi Yao ni kupita akilala tu.
Abdullah Ndolo. Allah amekuamrisha kumuhudumikq mkeo na kizazi chako na sio kujiachia ukamtegemea mkeo avumilie shida…. W’ke waliowengi wanavumilia sana lkn matokeo yake unakuta m’me akianza kupata hajui km kuna kueka ili kiwafae mbele. Yy akipata tu anakwenda kutafuta mke mwengine anaongeza. Ssa hii peke yake inafanya w’ke wakate tamaa.
hizo zilikuwa enz za mitume nakama wapo basi niwewe shekhe ila hawa waume tulonao mtoto utabebelea mgongoni na kichwani beseni la mboga unapita mtaani mbogambogaaa ukirudi jiko limenuna upike vitoto vile nae akirudi ale na kuoga alale anasema hela hana
ndio maana tukaambiwa tuchaguane kwa usahihi, mwanaume anaejua dini hawezi kumfanya mkewe kijakazi wake na mwanamke mwenye dini hawezi mkasirisha mume wake pia hivyo tuoane wenye dini
Jamani haya yote naona yanani husu Mimi hivi toka juzi nadai talaka yangu hataki kunipa.. maana kila kitu najijali mwenyewe yy mwisho wake akisha toa hela ya shule na ya chakula basi yaani Hana mawazo ya maendeleo hata kidogo mpka sasa tuna miaka 16 kwenye ndoa hatuna hata kiwanja kinacho niumiza yeye hata hajali ndio maana mm nadai taraka yangu na hataki kutoa sijui nimfanyeje mwenzenu
Kwanini udai talaka? talaka ni kitu chengine mfahamishe mumeo na usijaribu kumlazimisha majukumu ambayo yako nje ya uwezo wake ni kharam pia mwanamke kudai mambo ambayo anajuwa dhati mumewe hana uwezo., jitafakari
Miaka 16 ishi na mumeo huyo ni wako mumestahamiliana mpaka kufikia kuwa na watoto wakubwa Alhamdullillah zidisha upendo utamuona anabadilika nampe nasaha mume wangu watoto wetu washakuwa tuwatafutie kiwanja (kama hukupata kwa mume watoto watakutaftia kwa uwezo wa Allah
Kumbe unahudumiwa chakula watt shule shukuru dadang kuna watu hata kula awahudumiwi wanahudumia wanawak wenyew kwahy tulia kidgo hyo wak anajitambua mamb na kiwanj pengn hana uwez akiwa na uwez sidhan kam yy ataki kuwa na nyumba yakwake binafsi
siyo wa sasa hivi wamekuwa wanaume suruali ila hawapendi kutafuta wanazurura kwenda kucheza bao au vijiweni anangoja mkewe akimbizane na biashara alete chochote mke anatoka yeye anabaki amelala kitandani na ndiyo maana wanawake nao wamewabadilikia akatafute chochote bora alete chakula hajui km mwanamke kafanya ukahaba akalete chakula haya yote chanzo ni wanaume na mwanamke akishajua njia za hella tuu ataaanza kumdharau mwanaume yaani akishanogewa nje sahau ndo imetoka hivyo hatakuheshimu tena mjue hilo tabia mbaya zote wananzofanya wanawake wengi wa sasa zimesababishwa na wanaume kutokujishughulisha na kazi yoyote
Bahati mbaya sana wanawake wanaona makosa ya waume zao na waume wanaona makosa ya wake zao hakuna ambaye anaona makosa ya nafsi yake... Je wewe unamtii mumeo ?
Swadakta, umesema Kweli, Allaah lkariim akuhufadhi, wengi ktk wanaume wapo hivyo,basi jutahidini msimuasi Allaah kwa ajili ya kutulilisha pia kutuvisha, Allaah akulipeni kheir na akusameheni madhambi yenu...
@@aishasaidi1182 siyo dhambi bali mke atoe kwa ikhlasw na asimseme kwa alichotoa mume wake amsubirie mume wake juu ya hali yake na amstiri kwa kila hali maisha ya ushirikiano ktk ndoa na kumcha Allah Mtukufu ndio yataleta furaha na mafanikio wengi walikuwa kama nyinyi na leo wapo ktk mafanikio makubwa sababu ya subra juu ya waume zao ambao hawakuwa na kitu
Wanaume wa sasa hv sasa anakwambia nataka mwanamke mpambanaji yaan ukiwa mkaa nyumban wanasema we sio wife material 😅na ndio maana asa hv tunafanya hadi kaz ngumu wanawake na ndio maana hamu ya ndoa inapotea ukirid hoi😅😅
tamaa za wanawake ni shida. tena imani ya magharibi ya kugawana mali nusu kwa nusu imeleta shida.hamna haja ya kuharibu hela kwa ajili ya Katiba. Katiba kipo tayar '' Quran ''. lakin washenzi america na washirika wamechafua dunia
Kwanini ! unazavyodhani wanaume wamekamilika hapana na wao pia wapo wanaume ukouko nnchi za kimagharibi wanaolelewa kama wao ndio wanawake hawataki kufanya lolote😮 unalijuwa? ILO! basi usitia mabaya yote kwenye kapu moja
Ttzo nyie w’me. W’me wengi siku hzi wavivu na hawataki kusoma. Wao wakishaambiwa na masheikh oeni mpaka wanne wanaoa hata km hawana uezo nao. Ww unategemea maisha ya ssa ukusanye wake bila ya uwezo na wtto wanahitaji kusoma, matibabu na mambo mengine na m’ke anamahitaji ni m’ke gani atakayevumilia ujinga wako??? Oa kwa mujibu wa uwezo wako ili utimize majukumu yako na mkeo apate utulivu nyumbani akulee ww na watto wako. Ww pesa ikibaki baada ya kuekq akiba unakimbilia kuoa bila ya kufikiria km unajizidishia mizigo.
Isitoshe wanaume wengi siku hzi wanatafuta wake wenye kazi zao wawakusanye mpaka wanne halafu wao wawe kazi Yao kupita wakilala tu. Ati wanasema w’ke haja zao ni kustiriwa tu?
Ww umeyaona ya kugawana tu? Mbona hamusemi ya mke kumlazimisha kufanya kazi akabeba majukumu ya ndani yote na ww ukajifanya unajenga baadae ukamgeukq na nyumba ikawa kwa jina lako??? W’me wengi mnaishi mnawafanyia udhalimu w’ke ni matapeli, mnapenda bure na kusaidiwa na mkishafika malengo mnayoyataka mnaacha wake na kutafuta wengine. Hamuishi kwa kufuata uisilam lkn wkt wa kuachana ndio mnaukumbuka uisilam.
@@kassimmanaramalika8592. Hao wanaume wavivu hawapo magharibi tu hata hapo Tnz wamejazana tele. Nikukusanya wake tu na kila mke anajitegemea/anakazi yake. Yy kazi yake huona kupita akilala tu. Ukiwauliza wanakwambia w’ke wapo wengi tuwahifadhi. Mana wanavyoona wao au wanavyofundishwa na masheikh ubwabwa kua mke wajibu wake kwake ni tendo la ndoa tu na huduma wala kumlinda na kumtunza.
Muoe sheikh kama hazai uislamu umekuruhusu kuongeza mke hadi 4, lakini haimaanishi umdharau na kumdhalilisha uyo ambae hazai, kumbuka kwamba Allah ndio hujaalia kizazi kwa mwadamu
Wanaume wengine anataka wewe mwanmke umlishe na kazi anafanya lakini pesa yake hawisikii hata mlio wake ni wanyonyaji hatari hasa wanaume baadhi wakiislam
Huo ni imwengu wa kizamani, ulimwengu wa Leo mwanamke ni mchapa KAZI kama wanaume. Kwani hujasikia habari za mawaziri au maraisi wanawake?. * Kuna baadhi ya maandiko hayana nafasi katika ulimwengu wa Sasa wanawake wanaweza na pengine wanaweza kuliko wanaume*
hiyo ni imani potofu . ndo chanzo cha matatizo. sababu wanawake wanaenda kinyume na sheria za Mungu. ndo maana inakuja kugawana 50/50 mwanamke anaona anamzidi mwanamke. mbona ndoa siku hizi hamna sababu ya imani hiyo unayosema ya kisasa.tunaangaka na katiba mpya wakati katiba ya Mungu ipo '' Quran'' . mwanamke hafai kuwa rais lakin tamaa za kifedha dunia tunaishi maisha mafupi ataulizwa siku ya kiyama hata kama avae ushungi mara ngapi
Kila siku mi nasema mke si mfanyakazi leo wanaume wanaoa wafanyakazi na sio wake zao mume anataka umpikie umfulie umsafishie nyimba na ukisema usifanye hayo bac ni kosa huna sifa ya kuwa mke unaone si mke kabisa na haya yote ni Africa tu lkn nchi zingine zote huwezi kuona mke ni mtumwa km Africa hasa Tanzania mtihani huu tena sasa hivi ndio kabisa mambo yamebadilika kila siku waume wengi hawataki kazi wanataka fanyiwa kila kitu na wake zao na pesa wewe mke ndio uwape
Ssa mke kw km punda kwa mizigo anayobebeshwa. Yy na mume wote wanachokq Tena yy anachoka zaidi mana pengine anabeba majukumu na huku anabeba na mizigo ya ujauzito/tumbo akitua. W’ke jamani ni dhaifu si punda wenu km abebe mtto miezi tisa atue, abbe mwengine na mwengine, afanye kazi, akuhudumikie ww! Ndio mana hua mkali km moto, anachoka ati? Ww ukirudi kazini umechoka na miguvu yako yote hio, unataka mtu wakukukqndq na kukuliwaza na yy akirudi kazini kachokq. Ndio inqpofika usiku mnajitupa tu km mijoka upepo tu unakutokeni.
Uislamu unamthamini saaana mwanamke na laiti kama wangejua thamani yao wangeishi kama peponi lakini tatizo wamekosa elimu ya dini ndio maanawengi wao wanadhalilika kila uchaoo
@@hussenmlimbila372. Nyinyi wanaume mliowengi mnaijua thamani ya m’ke? Na km mnazijua watu wangefikia hapa tulipofikq leo? Kila m’me anatafuta m’ke mwenye kazi hakuna anaetaka goalkeeper! Isitoshe ukishamuonq kazeeka tu unajifanyq mtto unakwenda kutafuta wari unaoa yy unamtreat km mfanyakazi. Hayo ndio yaliopelekea w’ke kuchanjaruka.