Mchungaji Boniface Mwamposa maarufu kama #Buludoza, live akiwa na timu ya #maishamseto ijue historia ya huduma na vitu vingi kutoka kwake Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Tatizo ni ufahamu Mdogo, kuna nabii fulani, aliwasema sana watumishi wenzake, anawaita majini, hawafai,yeye ndiyo mtumishi, akawa anawombea wafe, akafa yeye, siohekima kuwaambia watumishi Wa bwana wadini zozote, kuwasema vibaya, kamahujuikitu nyamaza, mbona ndiyo manahutamsikia akiwajibu, mafarisayo wamejaaa. Ufahamutu ni Mdogo, endeleakumsema, labdakama mungu kakakuonyesha, lakini kama unahisi!!!!!!
we love you so much man of God unafanya kazi ya Bwana bila ulegevu na Mungu anakutumia sana na anakufurahia maana hulali man of God kwa ajili ya Bwana amen.
Tunakuombea baba yetu MUNGU akuvushe katika jaribu unalo pitia Kila jaribu lina mlango wa kutokea hakuna mwanadamu ambae hapitii kwenye jaribu Nabarikiwa sana na nahubiri yako
Apostle am listening to you for the first time am humbled to hear God through your voice may the God that lifted you the father of our Lord Jesus Christ remember me and the Calling of His son Jesus in my life
Fanya kazi ya MUNGU mtumishi usikatishwe tamaa na maneno kifo tumepangiwa sote wadamu na kama umetoa kafara kama wanavodai hata wewe pia udongoni utaludi hukumu yako utaikuwa kwa MUNGU mwenyewe hakuna mwanadamu anaeluhusiwa kuhukumu isipokuwa MUNGU mwenyewe kila MTU aliumbiwa imani yake wee imani yako watu wakikanyaga mafuta wanapona na MUNGU ndivyo alivyokupa neema hiyo ubarikiwe na uifanye kaz yake kwa uaminifu
Hakika Mungu alikuumba, alikujua, akakujaza hekima heshima na maarifa, unyenyekevu wa kuifanya kazi ya Mungu, tunabarikiwa kufunguliwa kukombolewa na mipenyo ya ajabu, barikiwa
Watu wanahukumu Kwa mihemuko ya ajali iliyotokea..ifahamike hiyo ni ajali kama ajali zingine..dereva akisababisha ajali haimaanishi yeye siye dereva.hizo ni ajali tu..binafsi naamini utumishi na mungu anaweza kutenda makuu kupitia mikono ya watu
Huu ujinga sinaga natafuta maisha na ninaomba Mungu na Mungu hajawahi kuniacha situmii mafuta wala ushuzi wowote wa mtu hao wanaoenda huko hawana kazi za kufanya
@@mwammyahmedy4296 fala mjinga wewe ipo siku atawaambia mbong'oe awapake mafuta unyeoni amka kumekucha na ulaaniwe ww na kizazi chako maana mm Mungu kishanibariki ndyo maana sihangahiki na ujinga huo
ndo naelewa kua watu ni wanafki namepitia comenti waliokomenti kabla y'a tukio lakuuwawa watu wanamsifu tukio limetokea sasa ndo kila mtu anaponda acheni unafki kikubwa badilikeni
Yaliyotokea yamesha pita.ukweli ni kwamba amesaidi watu wengi watu wamepona kupitia mchungaji huyu ko watu wasiseme sana mabaya yake hakuna alie mwema wote tu dhaifu mbele ya Mungu
Kabisa na katika wachungaji ninaowakubal Ni Mwakasege,hizi ibada za kukanyaga mafuta ufongo Mara vitambaaa zote Ni ibada feki,huyu Ni mwiz wa sadaka za watu
Weacha waseme wasemayo Mimi nimepona sii kilema Tena mnaokataa endeleeni kukata wapo wengi waliokataa baada ya kupona wameamini na wametoa ushuhuda piga Kazi baba upako uendelee Sina magongo Tena nipo huru
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Watu wa Mungu simameni kwenye misingi ya imani zenu na makanisa yenu Mungu yupo kila mahali tatizo lenu mnapenda miujiza na sio kupenda kumjua Mungu na kazi anazozifanya. SOMENI SANA BIBLIA MSIPENDE MIUJIZA FANYA KAZI KWA BIDII NA KWA MALENGO UTAFANIKIWA. Siku za mwisho watatokea manabii wengi wa uongo wote wakilitaja jina la bwana. ZIJARIBUNI KILA ROHO SI ZOTE ZITOKAZO KWA MUNGU. Mungu awasaidie sana mnaacha makanisa yenu mnakimbilia miujiza hata hapo ulipo muujiza upo kikubwa na kumjua Mungu, Kumtii na Kumwamini kila kitu kinawezekana kwake yeye.
😭😭baada ya tukiola moshi ngoja nikujuwe buludoza .daaaah kweli kiama kimefika nanabii wa ukweli na uongo ndio hawa sasa. Haya wafufuwe sasa wewe si mungu mtu