Dem kazingua hata kama ingekua kitochi huwez vunja kitu ulicho nunuliwa na mwanaume kisa iphone ya kupewa uo ni umalaya. Big up sana mwamba umeonesha uwanaume huyo sio mwanamke ambaye hakusikilizi.
Tamaa mbaya yani umpendae akwambia usivunje cm kakununulia ata kama kanunua elfu moja ungeeshimu maamuzi yake yani nduguyangu mapenzi nikusikilizana nakuoneana uruma izo zako ni dharau kutokunsikiliz
Mwanamke mwenzangu umetuangusha inaonesha ni jinsigani hupendeki wenzio hata kiswaswadu hawajawahi pewa hufahi kua mke wewe huna weza mvunja menzio kisa gari hufahiiiii ata akikusamehe ujue hutokua nanafasi kama ya mwanzo,eti ni ndoto ya kila mdada huna shukrani kabisa
Dada asilaumiwe huwez acha simu ya 3.5million kwa simu ya laki3 afu kwa simple reason tu eti kisa amenunua, sasa hapo kuna ubaya gani? Afu kiredio inajulikana kwamba ni mtu wa challenge 😂
Me mwenyew ningenuna yani angekua anajua jamaa kaitafutaje hiyo ele hadi kanunua mmh sio bure jamaa kanuna ase inauma sana ujui jamaa kajibana je hadi kanunua hiyo simu kudadeki😢 fac*
Yaan unavunja simu ulionunuliwa na mpenzi wako kwa sababu ya simu ya mtu mwingine daah akili ni nywele tamaa mbaya Mm sivunji hata ingekua ya tochi ni yangu kama ananipa anipe tu ila sio mpaka niharibu nilichonacho 😢😢😢
Uyu dada Hana akili Yan ajui jamaa kajichangaje mpaka kapata iyo simu😭 yaan usipo jali kidogo hata kikubwa huwez kukijali nimejiskia vibaya sana japo mm mwanamke wadada acheni tamaa
Dah hawa watu huwa wana badilika sana ivi unawezaje kuvunja zawadi uliopewa na m2 umpendae ten yeye mwanaume anatumia sim ya kawaida sana asee wadada wa hivi wanadharau san ipo siku ataridhika ata mpenz wak atolewe roho atasem saw tyu😢😢
Huyo kaka ni very selfish, acheni kumuhukumu huyo dada hana tamaa, nan ambaye hapendinkitunkizuri?? N mbinafsi alivyosema bora wavunje yake, halafu anakuvuta nywele mbele za watu, hiyo ni zawadi hajauza mwili wake, mdogo wangu huna tamaa nipo na shemeji yako hapa anasema angenambia hata mm nivunje hakuna ubaya, Huyo kaka inaonekana hataki uwe na kitu kizuri aache ushamba!
Jamaa Aache wivu.lakn dem Na yeye Hana adabu Kwa nn haskilizi maelekezo kutoka kWa mwanaume wake kwel wadada mnapenda vtu Na Sio MTU Yan yupo tayal Jamaa achukie akitaka amuache mradi apate iPhone 😂😂
Yani kanatamaa paka kamepitiliza kama kaswila kanyoka kanajivua gamba,kanasema na wewe kamekununulia tafuta hela acha malaya wa dar wadangaji wote kuwa makini 😂😂😂😂😂no love hapo
Kaka kuwa makini na ako kadangaji jichunge siku ukiwa nae mnatembea kwa miguu ikitokea lifti anakuacha hapo hapo hata kama ukimzua uyo ni nyoka tafuta demu mwingine 😂😂😂😂
Ajui jisi ya kutafuta pesa ndomana akawa na dharau nakutokumsikiliza mpenzi wake yani apo inaonesha akipata mwanaume mwenye pesa kushinda alonae anamsaliti mchana kweupee
Mimi ningemwambia vunja akishapewa tukiondoka naichukua SI kaipata kwasababu ya simu nliyonunua Mimi kwaiyo na hiyo ni yangu alafu napiga chini uyo demu