Тёмный

IPHONE 14 PRO MAX YAHARIBU PENZI | KAKA ATAKA KUMPIGA DADA | SITAKI KUONEKANA 

KIREDIO
Подписаться 153 тыс.
Просмотров 38 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

10 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 165   
@user-gb8dh2mr3l
@user-gb8dh2mr3l 22 дня назад
Huyo kaka anajua alivopata shida kuipata hiyo hela ndio maan anauchungu😂😂
@SanjerSiamon
@SanjerSiamon 26 дней назад
Huyu sio mwanamke kabisa anaweza kukuacha wakat wowote
@elizabethandrew8533
@elizabethandrew8533 26 дней назад
😂😂😂😂😂
@marcelinebyamungu3463
@marcelinebyamungu3463 25 дней назад
Kweli kabisa akuna mwana mke apo kabisa
@kelvinakyoo3737
@kelvinakyoo3737 24 дня назад
umenena hakka
@RayChausa
@RayChausa 22 дня назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@Boyhoodking
@Boyhoodking 7 дней назад
Hata kama hv kweli akose iphone 14 pro max kwa oppo😂
@joebinarysignals
@joebinarysignals 24 дня назад
Dem kazingua hata kama ingekua kitochi huwez vunja kitu ulicho nunuliwa na mwanaume kisa iphone ya kupewa uo ni umalaya. Big up sana mwamba umeonesha uwanaume huyo sio mwanamke ambaye hakusikilizi.
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 26 дней назад
Uyu sio mwanamke wa kuoa kaka kuwa makini anauwezo wa kukuacha kisa gari au kitu kingenine chchote be careful
@JaneroseWarren
@JaneroseWarren 17 дней назад
😂😂😂😂😂 dada nyoko sana wengne hawajawah ata kununuliwa kitochi ww smart kabsaa
@user-km6eh2tf9c
@user-km6eh2tf9c 15 дней назад
Huyu dada hana heshima kwa mwenzie na akiri hana kbsa na hajui uchungu wa hela anatamaa cy mwanamke mzuri kbsa😢
@user-xd7qi2lk5f
@user-xd7qi2lk5f 7 дней назад
Eni ni ndoto ya kila mdadaa kama senge vile watu wana kuwa na ndoto na vitu vya maana yeye ana doto ya simu kunduchi kweli hili demu fyuuuuuu
@tagx_boe
@tagx_boe 26 дней назад
Sema demu anatamaa uyo
@KINGTZMOVIEr3o
@KINGTZMOVIEr3o 15 дней назад
huyo dada hana akili kabisa anashindwa kusamini na kumsikiliza mpenzi wake🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@christophermsekena616
@christophermsekena616 26 дней назад
Hii manake akitokea mwanaume mwenye uwezo zaidi ya bwanake....demu anamuacha mshkaji..... zingatia neno 'simu hii ni ndoto ya kila mdada'😂😂😂
@marcelinebyamungu3463
@marcelinebyamungu3463 25 дней назад
Uyo dada Ana tamaa mbaya sana
@happynkya9770
@happynkya9770 26 дней назад
Sema dem anaonekana anamdharau jamaa hata mm ningekasirika walahi, yaan kitu nimenunua mm kma zawd afu uje upasue tuu inamaana uliidharau
@TreasureMagumba
@TreasureMagumba 26 дней назад
Yani iphone 14promax TU umuonyeshe daharau mwanaume wako kweli kha ujinga ni mwingi
@SosthenesseA.
@SosthenesseA. 22 дня назад
Wew uwezo wa kuinunua unao?😂😂😂😂
@TreasureMagumba
@TreasureMagumba 22 дня назад
@@SosthenesseA. Sina lkn hata hainishtui, na siwezi kuvunja kitu ameninunulia mpenzi wangu kwa upendo wake eti kisa iphone 14promax huo ni ujinga
@Aishatheboss117
@Aishatheboss117 24 дня назад
Uyu dada ni mjinga sana ila uyu kaka ni mpole sana mwanamke unakua mbishi mbele ya mwanaume wako dhuuu🤣🤣🤣
@NoorAli-gk8bj
@NoorAli-gk8bj 18 дней назад
Tamaa mbaya yani umpendae akwambia usivunje cm kakununulia ata kama kanunua elfu moja ungeeshimu maamuzi yake yani nduguyangu mapenzi nikusikilizana nakuoneana uruma izo zako ni dharau kutokunsikiliz
@AzizaHamad-j2t
@AzizaHamad-j2t 5 дней назад
Hey kiredio nakukubali sana natokea pemba❤❤❤
@josephinamichael2374
@josephinamichael2374 20 дней назад
siyo vizuri umeumiza moyo uyo kaka. Mimi kitu nilichopewa na mpenzi wangu nakiheshimu sana sasa huyo dada amedharau hakupenda ndo mana amevuja cm
@jacklinelenatus712
@jacklinelenatus712 26 дней назад
Daaa jmn hiyo challenge ya kuvunja simu yangu nipate I phone 14 si ingenikuta na mm jmn
@AzizaMussa-n6v
@AzizaMussa-n6v 20 дней назад
Yan mtu kama hajaweza kuthamini kitu alichonunuliwa na mpenzi wake kwa tamaa t basi huyo si mwanamke kwekwelii
@BarakaGorad
@BarakaGorad 6 дней назад
Mwanamke mwenzangu umetuangusha inaonesha ni jinsigani hupendeki wenzio hata kiswaswadu hawajawahi pewa hufahi kua mke wewe huna weza mvunja menzio kisa gari hufahiiiii ata akikusamehe ujue hutokua nanafasi kama ya mwanzo,eti ni ndoto ya kila mdada huna shukrani kabisa
@Boyhoodking
@Boyhoodking 7 дней назад
Dada asilaumiwe huwez acha simu ya 3.5million kwa simu ya laki3 afu kwa simple reason tu eti kisa amenunua, sasa hapo kuna ubaya gani? Afu kiredio inajulikana kwamba ni mtu wa challenge 😂
@cosmasthomas9164
@cosmasthomas9164 2 дня назад
Yaani huyu dada anaonekana ni mwanamke mwenye tamaa.pumbavu🙄🙄😏😏😏
@tagx_boe
@tagx_boe 26 дней назад
Sema mwanangu demu ako anatamaa
@user-mx1uz1zb8s
@user-mx1uz1zb8s 12 дней назад
😂😂😂kiredio unanikera sana unapoingilia mtu akianza kupigwa huwa naumia inabd uache wapigww😂😂
@Nnietechnology
@Nnietechnology 8 дней назад
Same here😂😂😂
@user-iv8wt5oq8r
@user-iv8wt5oq8r 26 дней назад
Uyo bola mwanamke siyo wakuishinae uyo
@user-gz2sr2xf9w
@user-gz2sr2xf9w 11 дней назад
😢😢 hajui thamani ya hayo mahusiano 😢 tamaa tu akimuoa huyo niko paleee wanaume wanapenda kuheshimiwa kusikilizwa na kuthaminiwa hujui amejitafut vp hadi kumpa huyo dada hio simu hlf anamdharau kisa 14pro 😅
@TreasureMagumba
@TreasureMagumba 26 дней назад
Uyu dada ana dharau sana dah😢😢
@Officialrockzompa
@Officialrockzompa 25 дней назад
Huyu nae sio dem😂😂
@ErnestMalima
@ErnestMalima 26 дней назад
Mwanamke mpumbavu ndo huyu kwa ambao walikua hawamjui🤔
@oscarclaine5878
@oscarclaine5878 26 дней назад
Huyu dada anazalilisha wadada aiseeh!!!😢
@jacklinekaaya1967
@jacklinekaaya1967 26 дней назад
Dada ana imani ya kuhamisha milima eti tutaelewana nyumbani 😂
@nahventure1717
@nahventure1717 26 дней назад
Tamaa ya iphone kha😅😅😅😅😅😅😅 Mungu atusaidie
@SarafiaPetro
@SarafiaPetro 2 дня назад
Dada haki hakili huna kabisaa
@GwantwaSamson
@GwantwaSamson 26 дней назад
😂😂yan uyu dada mm nimempenda 😂😂 mambo ya kuskiliza wanaume weeeeeh!!!!😅😅
@christophermsekena616
@christophermsekena616 26 дней назад
Ndo maana hamuolewi😂😂 mnachapwa tu
@AkissaBecky
@AkissaBecky 26 дней назад
😅😅
@LINETHMUNUO
@LINETHMUNUO 26 дней назад
😂 kweli kabisa
@SofiaMasawe
@SofiaMasawe 25 дней назад
Hata mkioa mbona hameshim wake Zenu Kila mtu aangalie fulaha yake
@IsayaTarakwa
@IsayaTarakwa 26 дней назад
Me mwenyew ningenuna yani angekua anajua jamaa kaitafutaje hiyo ele hadi kanunua mmh sio bure jamaa kanuna ase inauma sana ujui jamaa kajibana je hadi kanunua hiyo simu kudadeki😢 fac*
@auntmakochela4202
@auntmakochela4202 13 дней назад
Yaan unavunja simu ulionunuliwa na mpenzi wako kwa sababu ya simu ya mtu mwingine daah akili ni nywele tamaa mbaya Mm sivunji hata ingekua ya tochi ni yangu kama ananipa anipe tu ila sio mpaka niharibu nilichonacho 😢😢😢
@verynice7879
@verynice7879 26 дней назад
Uyu dada Hana akili Yan ajui jamaa kajichangaje mpaka kapata iyo simu😭 yaan usipo jali kidogo hata kikubwa huwez kukijali nimejiskia vibaya sana japo mm mwanamke wadada acheni tamaa
@Official83640
@Official83640 25 дней назад
Huyu kweli sio demu wala mke wa kuoa kaka kuwa makini na hayo mapenzi siku utavunjwa na ww vipande vipande😂😂
@user-zq1bn8zs2v
@user-zq1bn8zs2v 13 дней назад
Wewe dada auna eshima kabisa uwezi kumdhalilisha mpenziwako namna iyo
@DM_15
@DM_15 9 дней назад
Unaweza toa jasho lako kughalamikia but akitokea mtu akamsev kitu kimojatuu jasholako lakilasiku halina thamani
@festohaule9716
@festohaule9716 26 дней назад
Manzi anatamaaa sana .
@misstee102
@misstee102 25 дней назад
Hata kama ni mimi ningevunja tu😂😂😂😂😂niache iPhone 14 milion ngapi izo aiiii😂😂siweziii kuachaa
@farajaMezza-qn4be
@farajaMezza-qn4be 15 дней назад
Kabisa yani kaka ndo mbinafsi
@idrisajuma-fi9hh
@idrisajuma-fi9hh 26 дней назад
Dah hawa watu huwa wana badilika sana ivi unawezaje kuvunja zawadi uliopewa na m2 umpendae ten yeye mwanaume anatumia sim ya kawaida sana asee wadada wa hivi wanadharau san ipo siku ataridhika ata mpenz wak atolewe roho atasem saw tyu😢😢
@user-lg9sx7fk1b
@user-lg9sx7fk1b 26 дней назад
Kweli amekosea😢
@HudhaimaYussuf
@HudhaimaYussuf 26 дней назад
Wanawake tuna tamaa sana dah!
@user-bb1np6ln9l
@user-bb1np6ln9l 26 дней назад
Uwosio mwanamke wakupendana nae
@farajaMezza-qn4be
@farajaMezza-qn4be 15 дней назад
Huyo kaka ni very selfish, acheni kumuhukumu huyo dada hana tamaa, nan ambaye hapendinkitunkizuri?? N mbinafsi alivyosema bora wavunje yake, halafu anakuvuta nywele mbele za watu, hiyo ni zawadi hajauza mwili wake, mdogo wangu huna tamaa nipo na shemeji yako hapa anasema angenambia hata mm nivunje hakuna ubaya, Huyo kaka inaonekana hataki uwe na kitu kizuri aache ushamba!
@user-xw8om1qd1g
@user-xw8om1qd1g 2 дня назад
Kwelii
@AbdulMagembe
@AbdulMagembe 25 дней назад
Ataekuja kumuoa huyo mwanamke ajipange tu.😂,asipokaa vizur mwanamke ndo ata take over kwenye maamuzi ya familia
@esthermakelemo2864
@esthermakelemo2864 15 дней назад
Big up mrembo,Hawa Wanaume niwakwenda nao mputamputa, sometimes yes,sometimes no
@AkyooMamad
@AkyooMamad 26 дней назад
Na kwanini simu zivunjwe Sasa??hiyo haijakaa sawa tafuta mbinu nyingne tofauti na kuvunja simu huko ni kuharibu pesa.😢
@salmasliman9865
@salmasliman9865 3 дня назад
Mm hatakama nisim ya Nokia ya tochi nisengesubutu kuivunja wakati naninunulia mpenzi wangu na hajataka niivunje
@InnocentAutoRace-my9jr
@InnocentAutoRace-my9jr 26 дней назад
Huyo jamaa akiendelea na huyu demu Bax Hana akili timamu Hamna mapenzi hapo demu hathamin hata k2 chake
@VERONICA-o7n
@VERONICA-o7n 15 дней назад
Nmemwonea huruma huyu kaka😢
@fauzishabani2622
@fauzishabani2622 14 дней назад
Huyu ni mtihani
@HamiduMrisho-ck1ft
@HamiduMrisho-ck1ft 26 дней назад
Jamaa Aache wivu.lakn dem Na yeye Hana adabu Kwa nn haskilizi maelekezo kutoka kWa mwanaume wake kwel wadada mnapenda vtu Na Sio MTU Yan yupo tayal Jamaa achukie akitaka amuache mradi apate iPhone 😂😂
@user-mf2jf6dp7z
@user-mf2jf6dp7z 26 дней назад
Yani kanatamaa paka kamepitiliza kama kaswila kanyoka kanajivua gamba,kanasema na wewe kamekununulia tafuta hela acha malaya wa dar wadangaji wote kuwa makini 😂😂😂😂😂no love hapo
@enockmaige8936
@enockmaige8936 25 дней назад
Dada tamaa😢😢
@Louizps30
@Louizps30 26 дней назад
Huyu demu anaonekana mtu ukiwa na Hela tu unampeleka
@user-mf2jf6dp7z
@user-mf2jf6dp7z 26 дней назад
Kaka kuwa makini na ako kadangaji jichunge siku ukiwa nae mnatembea kwa miguu ikitokea lifti anakuacha hapo hapo hata kama ukimzua uyo ni nyoka tafuta demu mwingine 😂😂😂😂
@keifatuke99
@keifatuke99 16 дней назад
HUYU. DADA. NI YUDA. HAFAI. HATA KIDOGO
@janethdavidsanga5999
@janethdavidsanga5999 24 дня назад
😅😅😅wanawake na macho ma3
@tagx_boe
@tagx_boe 26 дней назад
Yani Apo demu kasahau kabisa kama bwana ake kakasiri ku.....m.....ke
@user-zq1bn8zs2v
@user-zq1bn8zs2v 13 дней назад
Ila wewe dada una tamaa sana.kwanini umemuaibisha mpenziwako. Ujafanya poa kama mwanamje mwenzangu sijapenda
@NoorAli-gk8bj
@NoorAli-gk8bj 18 дней назад
Ajui jisi ya kutafuta pesa ndomana akawa na dharau nakutokumsikiliza mpenzi wake yani apo inaonesha akipata mwanaume mwenye pesa kushinda alonae anamsaliti mchana kweupee
@rahmaninoh7434
@rahmaninoh7434 26 дней назад
Jaman Naomba kuuliza hizo. IPhone original or ndo zile za akina mimi
@rachelkaminyoge1046
@rachelkaminyoge1046 26 дней назад
😂🎉 ni ujasiri
@user-il8wx3eq8i
@user-il8wx3eq8i 26 дней назад
Ila kiledio tatizo unacheka cheka sana
@shabanisalimu7391
@shabanisalimu7391 15 дней назад
Mimi ningemwambia vunja akishapewa tukiondoka naichukua SI kaipata kwasababu ya simu nliyonunua Mimi kwaiyo na hiyo ni yangu alafu napiga chini uyo demu
@JoyceLKisha
@JoyceLKisha 15 дней назад
Hafai kuwa mke
@abaismailhatibu
@abaismailhatibu 26 дней назад
Hiii sixon mzur😅😅😅
@user-ix5wp9yu7b
@user-ix5wp9yu7b 23 дня назад
Huyu mwanamke akili hana
@HidayaTwitunge
@HidayaTwitunge 26 дней назад
Jamani iyo challenge naitamanii mapema sana nabreak
@neemakaisile3913
@neemakaisile3913 22 дня назад
Huyo jamaa anaweza ipasua hiyo iPhone
@user-rm9iz3yi5c
@user-rm9iz3yi5c 24 дня назад
Kwahiyo SIM inasamani kuliko Penzi maana uliyovunja umenunuliwa bado unatamaa tena na chakupewa eheeee🙄🤣
@tariqdasulley
@tariqdasulley 13 дней назад
HANA AKILI HUYO MALAYA
@user-ny4ig2ii8b
@user-ny4ig2ii8b 24 дня назад
jaman wee dada iyo sm sii ungenipa mm jamn et
@kaboyitz
@kaboyitz 23 дня назад
Hapa hakuna mwanamke hapa
@prosperiamani
@prosperiamani 25 дней назад
kiredio anatuzingu sio kweli
@eliambowe2576
@eliambowe2576 22 дня назад
Yan kiredio amani haaaa😂
@albanomkoka5577
@albanomkoka5577 26 дней назад
Hizi challenge hiz nyie jaman
@husnaahmada3224
@husnaahmada3224 25 дней назад
Dada acha tamaa😂
@GraceMwasambili
@GraceMwasambili 19 дней назад
Ndoo wanawake w siku
@maryamwilly8689
@maryamwilly8689 23 дня назад
Shda iwapi na anpta iphne jmni 😂😂😂😂tamaa ata angkua ni huyu mwanmume angvunja bana asjifnye
@AminaHussein-n6m
@AminaHussein-n6m 26 дней назад
kitedio namm naombaaa
@AkuBoe
@AkuBoe 26 дней назад
Ila kiredioo😂😂
@mlimbila9942
@mlimbila9942 26 дней назад
Dem hanaakili kudadeki zake
@seneu.2128
@seneu.2128 25 дней назад
Mwanamke ambaye hawezi kukutii tena mbele za watu huyo hakufai hata kidogo ukimsikiliza huyo dada ni tamaa mwanzo mwisho.
@StellaMuhibu-po3ec
@StellaMuhibu-po3ec 24 дня назад
Dada kazingua
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 8 дней назад
Na hiyo ikavinjwe ndio uone sasa tamaa ilivo
@emmanuelmchomvu2676
@emmanuelmchomvu2676 25 дней назад
Ndoto y kila mdada y nyokoooo, hyu demu ukiwa n hela tu unapiga yaan hta aibu tamaa mbele mauti nyuma....
@ZuwenaZuwena-tz4xi
@ZuwenaZuwena-tz4xi 25 дней назад
Jaman zingatia iPhone ni ndoto ya kila mwanamke wa mjini😂😂😂😂😂😂😂
@kevinmary7129
@kevinmary7129 23 дня назад
That's a rabish hapo hakuna mkenwala MCHumba hapo
@giftyeliasy8112
@giftyeliasy8112 26 дней назад
Mwanaume hana haya yaan kaitaka yeye hyo cm hasira zakuikosa likaondoka mnxeew yaan huyo ndo wale ukimzdi maendeleo ndan anakuua
@farajaMezza-qn4be
@farajaMezza-qn4be 15 дней назад
Very true mwanaume ni selfish
@happynkya9770
@happynkya9770 26 дней назад
Si ununue camera nzuri na ww picha iwe quality
@user-sn6dc9gh8k
@user-sn6dc9gh8k 26 дней назад
Sema bora ata ww video zako za ukweli mr uk mswahili2😮
@hildachiboti6080
@hildachiboti6080 26 дней назад
Saiv simuangalii muongo muongo Mr uk
@user-fn1iv1hk6h
@user-fn1iv1hk6h 25 дней назад
Me niliangaliaga moja2 nikajua ni kaongo nikamtema
@elizabethandrew8533
@elizabethandrew8533 26 дней назад
Eti ndoto ya kila mwanamke 😂😂 mseng kwel uyo
@makulazomorice4772
@makulazomorice4772 18 дней назад
Hakuna mwanamke hapo
@eliambowe2576
@eliambowe2576 22 дня назад
Ili dada akili ziko chin kwel
@MiliamenockEnock
@MiliamenockEnock 22 дня назад
Kwasababu hajanunuwa yeye ndo maana haikumuuma
@DM.2200
@DM.2200 26 дней назад
Hatimay kiredio account ipo active
@user-xy9ze1od3w
@user-xy9ze1od3w 21 день назад
Huyo kaka yupo sahihi kabisa
@theophilwhiteheart1997
@theophilwhiteheart1997 24 дня назад
hakuna mwanamke hapo brother
@kyannickk2be
@kyannickk2be 25 дней назад
kizazi hiki dah...so.....
@eggysulle7988
@eggysulle7988 24 дня назад
Kitu ulicholetewa n mpnz wako ni bora zaid hajui kajimake vip mpka kununua cm iyo ni huzun sana
Далее
KIREDIO APIGWA
10:41
Просмотров 60 тыс.
MPENZI KADANGANYA ANA SAFIRI
10:02
Просмотров 61 тыс.
PORTAL SPAMMER🤬🤬🤬| Doge Gaming
00:19
Просмотров 1,7 млн
NAMPENDA SHEMEJI YANGU 😳😳.
4:55
Просмотров 693
BIBI HARUSI MATATANI KUACHIKA KABLA YA HARUSI
11:32
Просмотров 150 тыс.
Вы так любезны
0:16
Просмотров 3,8 млн