Technology yenu bado sana wakat ungekuwa na limashine flan yaan gari linaingizwa humo halafu mashine hyo inalisican lote na inatoa taarifa zote za gari km kuna kifa kimekosekana
Ningeshauri mpunguze milolongo..process zimekua nyingi mno..hata kama nia nikuongeza ufanisi lkn naamini mnawezafanya mambo kwa ufupi nakuokoa muda mrefu mno mnaotumia kwa ajili ya hizo documentation.
Mimi napongeza jitihada za raisi wangu John Pombe Maguri kwa kuifufua bandari ya dar na kuongeza kina cha bahari. Maombi yangu kwa wafanya kaz wa hapo bandarin, iweni na moyo Wa uzalendo ili tuinue pato la taifa kupitia bandari hizo
Aaah...Hapo Ndio kwenye KINDUMBWENDUMBWE.....gharama za ulipaji haueleweki....! Magari mbelembele bei Rahisi Lkn ikifika hapo ni danadana zisizo na sababu...! INABIDI WABADILIKE’
Wahusika TPA, Majibu bado hayajajitosheleza. Itapendeza mkitoa jibu sahihi kwamba endapo gari halina tatizo na nyaraka zote zipo sawa, Je, gari litatoka baada ya muda gani? Kwa uelewa wangu ni kwamba processes zote hizo TPA kwa kushirikiana na wadau wengine ilifanya utafiti na hatimae kuidhinisha utaratibu mliotuhabarisha kwenye video hii. Ni muhimu kujibu maswali kwa ufanisi kwani gharama za kutayarisha na kurusha video hii zioane na malengo yaliyokusudiwa. Nitashukuru kupata mrejesho ndani ya wakati.
Yaani ndugu yangu magari mbelembele Sio INSHU kabisaaaaa....! Tatizo likifika BANDARINI Yaani utafikiri unakomboa DEGE au unakomboa mzigo wa haramu...! HAPO BANDARINI BADO KUNA MAMBO YA KITOTO SANA...!
Nimependa sana utaratibu huu, na vipindi kama hivi kutujuza habari za kazi na majukumu ya TPA sisi kama raia wa kawaida, zamani tulikuwa hatuyapati haya.
Tatizo hamwashikishi wateja mnatumia madalali ambao waongeza garama kama mteja ni kama analipa mapato garama ni nyigi sana kwa madali utafikiri unalipa ushuru