Тёмный
No video :(

Je, Wairaqw wa Tanzania wana asili ya Kiarabu? | GUMZO NA WALIMU WETU 

Gumzo la Ghassani
Подписаться 18 тыс.
Просмотров 3,1 тыс.
50% 1

Mwalimu Lightness Isojick anafundisha Skuli ya Msingi ya Blue Rhino International iliyoko kaskazini mwa Tanzania. Yeye ni mwenyeji wa Karatu kutoka kabila la Iraqw. Anasimulia hapa kuhusu lugha na fasihi ya watu wake.

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 27   
@aladinynur7915
@aladinynur7915 Месяц назад
From Iraq to Ethiopia before Suez canal built following great rift wall to South Africa
@veronicasafari600
@veronicasafari600 Месяц назад
Hatimaye wairaqw tumefka Majuu
@d15355
@d15355 Месяц назад
Hawa wairaq kwa ufahamu wangu na jinsi nilivyokaa nao asli yao ni ethiopia na wanafanana na wale Amhara wa wa kule, ila sio waarabu wa iraq ni neno tu linafanana nalo, ila sio, bali ni jami ya semitic kama wale amhara na waeritrea ndio jamii yao,ila eleweni kuwa maeneo yoote ya centra Tz kwenda juu asli yake ni maeneo ya makabila ya kiethiopia na yale yenye asli ya kisomali na yale ya kinilotics na bushmen wabantu waishio sasa wameamia miaka ya karibuni tu kama 300-350 nyuma, hao ndio wenyeji asli wa maeneo hayo
@sulebaajun6015
@sulebaajun6015 Месяц назад
Unajua wa Amhara na waarabu ni walewale?
@d15355
@d15355 Месяц назад
@@sulebaajun6015 ni race moja hiyo tunakubali ila ishu hapa ni je walitoka iraq kama wanavyodai? jibu hapana hili ni muendelezo wa makabila ya kiethiopia sio waarabu wa iraq,sababu semitic people hawapo waarabu peke yao kuna waarabu,wayahudi,amhara,copts,tigrinya,wasyria wa kale etc hivyo point itabaki palepale kuwa hawa wana relate more na waethiopia.
@sulebaajun6015
@sulebaajun6015 Месяц назад
@@d15355 If you look at the map, it is a stretch if they claim they came from Iraq. Kama unavyosema, Ethiopia itakuwa ni sehemu ya karibu zaidi.
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 Месяц назад
Asante dada historia nzuri kujua❤
@samwelpanga2404
@samwelpanga2404 Месяц назад
Wairaqw wenzangu weka like hapa tu enjoy
@faisaloaljabry6400
@faisaloaljabry6400 Месяц назад
Nimependa sana kumsikia Muirak akijibu na kujielezea kwa ufasaha lakini pia nimestuka kusikia wairak wana misamiati ambayo haiko katika kiswahili lakini iko katika misamiati ya kiarabu. Hii inaisharia pia kua kulikua na mahusiano halisi baina ya waarabu na wairak au ni watu wa asili moja
@zaneco
@zaneco Месяц назад
Interesting, endelea kuwahoji watu kama hawa wanaoelezea history bila ya kuingiza siasa
@Yayouselim
@Yayouselim 18 дней назад
Ghassan wew kiboko
@abuualiyuu2435
@abuualiyuu2435 Месяц назад
Assalamu aleyku, Sheikh Mohammed hiyo ni Lugha inayoshabihiyana sana na Lugha za kiarabu. na kama Taasisi ya lugha za kigeni Zanzibar inaweza kuunganisha Lahaja kaama hizi kwa kweli Lugha ya kiswahili ingeweza kuongeza Msaamiati wake kwa kiasi kikubwa
@DAMIANOPETRO-n8l
@DAMIANOPETRO-n8l Месяц назад
Loa a amen Bara khuaka
@Hassannur-oe5tx
@Hassannur-oe5tx 11 дней назад
Wairaqw Wana ukaribu na rendile na wasomali
@Hassannur-oe5tx
@Hassannur-oe5tx 11 дней назад
Wairaqw ni wasomali wetu tulippteleana we need to claim
@DAMIANOPETRO-n8l
@DAMIANOPETRO-n8l Месяц назад
Loa a amen aga akhasika
@Abdullatifkilupy-tn6ii
@Abdullatifkilupy-tn6ii Месяц назад
Hahaha nimefurahi sana. Ila nilikua nacheka sheikh Mohammed ulivokua unashangaaa. 😂😂 Hongereni sana. Kiswahili ni urithi unaopaswa kudumishwa kwa hali na mali.
@Grataaaaa
@Grataaaaa Месяц назад
Mungu wao juwa hatr xnaa
@yohanayusuf4713
@yohanayusuf4713 Месяц назад
Duh! mungu mke Jua
@lumage
@lumage Месяц назад
Desi Laway
@smallscaleminingsupplies9670
@smallscaleminingsupplies9670 Месяц назад
We badala ya kusema waarabu wana asili ya waairaq we unasema waairaq ndio wana asili ya waarabu
@salyali7807
@salyali7807 Месяц назад
Subhanallah
@DAMIANOPETRO-n8l
@DAMIANOPETRO-n8l Месяц назад
Kuna nn
@saidnoumani7244
@saidnoumani7244 Месяц назад
Dada mnafanana na sura za kiarabu you look beautiful
@elimukwanza4657
@elimukwanza4657 Месяц назад
Kwanini anasema Luga na anaweza kusema Lugha
@mrafm7285
@mrafm7285 Месяц назад
60% ya kiswahili ni kiarabu sio 40%
Далее
VITUKO VYA KWENYE DALADALA STEVE KIMEMLAMBA NDARO
8:00
When I met the most famous Cristiano
01:03
Просмотров 25 млн
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
MAMBO 4 YANAYOATHIRI NGUVU ZA KIUME | Deo Sukambi
46:36
Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo
14:14
When I met the most famous Cristiano
01:03
Просмотров 25 млн