Uchawi upo kila Taifa kila kabila sio dini, Kuna Uchawi wa Kinyamwezi, kinyakyusa, Kimalawi , Ki Botswana, kila kabila hapa duniani, Sema watu wakikosa hoja hushambulia dini za wengine kwa hoja za Kichawi, Wameru na hata uchagani kuna uchawi je wamefundishwa na Waislam? Hapana
Sheikh shafim mi Nina swali na nimkaazi wa msumbiji Nauliza hivi ktk zama za zamani kuna baazi ya wazee walikua na uwezo WA kuchuma nazi hata uwe mrefu VIP Kwa kutumia kuinamisha Swali namna hii walikuwa wanatumia mashetani Au majini au walikua wanatumia uwezo WA qur ani?
Shehe shafi .kama hujaumwa na Hawa majini mtu hubishia ww mzima. Hujaumwa na Hawa ..wengine ss wagonjwa miaka 40 tunaumwa mnatusaidiaje au ss sibinaadamu tuachwe ..wapo watu wanawatuma majini kututesa na hutupanda husema hawatoki jee huyu jini hajatumika au katumwa mm naamini Kuna binaadaam wengine wanatumia viumbe Hawa kututesa mm naumwa na jini miaka 40 sasa