Boss usikatae mteja akitaka akupe pesa umjengee na hasa walio nje ya nchi maana wengi wamepigwa na ndugu zao,Ikitokea mteja wa hivyo mpokee jiaminishe,sifa atakupa yule aliyekuamini na atawaambia na wengine,kwahiyo utapata tenda nyingi zaidi,muhimu ni uaminifu, all in all hongera kwa unachotupatia