Тёмный

Jerry Silaa Kuhusu Wenyekiti Wa Mitaa Kuuza Ardhi | Aeleza Mwenye Haki ya Kurithi Ardhi | Clouds360 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 6 тыс.
50% 1

Waziri wa Ardhi Jerry Silaa kwenye #Clouds360 kuzungumzia mambo mbalimbali yanayohusu umiliki na migogo ya ardhi

Опубликовано:

 

9 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 15   
@joelyngomuo7441
@joelyngomuo7441 Месяц назад
Ni kweli kabisa Kesi za Ardhi zinatakiwa kuundiwa mahakama yake maalum tofauti kabisa na mahakama za kawaida na ziundwe kwa mfumo ambao hauwezi kutumika kwa hizo janja janja za kisheria. Mabaraza mengi ni chanzo cha migogoro yamejaa watu wasiojua sheria hongera sana kaka Jerry .Mungu akulinde daima
@johnluis35
@johnluis35 27 дней назад
Mama akistaafu upewe Kijiti uendeleze kazi.. Uko vizuri jamaa Mh waziri chapa kazi 👍
@mohamedkitemwe3569
@mohamedkitemwe3569 Месяц назад
Asante Sana Mh Jerry Silaa kwa kazi mzuri unayo fanya
@user-vt9pl1bz6x
@user-vt9pl1bz6x Месяц назад
Balua azijibiwi katika ofisi Yako waziri kwa wakati shugulikia ilotatizo watuwengi wanalalamika sana
@MisMona-oo6zk
@MisMona-oo6zk Месяц назад
Msg nzuri sana😊
@user-qd1fc4mq6o
@user-qd1fc4mq6o Месяц назад
Mh waziri MUNGU hame kufunulia hili mawaziri wengi wa ardhi wali feli kujua hili sababu hawakuwa wafutiliaji migogoro ya ardhi kuhipeleka mahakamani sio kutatua tatizo Bali kuhongeza matatizo maana wao Wana hangalia vie lelezo bila hata ya kufika site vielelezo vinagushiwa mashahidi wa kununuliwa. Humeshindwa kujieleza hata kama haki ni Yako hunakosa. Mahakama zipe kipa humbele mashahidi wanao zunguka eneo la mgogoro Kwa kwenda. Kuliko hushahidi wa makaratasi watu wanagushi. Hayo mahoni yangu
@awazioga1823
@awazioga1823 Месяц назад
Nikirudi bongo yule mzee wa kichaga lazima abomoe nyumba yake kwani amejenga kwe kiwanja chetu .
@josephjohn2114
@josephjohn2114 Месяц назад
Nashauri utengezwe mfumo unaosimamiwa na wizara ya ardhi wa maauziano ya ardhi rasmi na isiyo rasmi ili kuondoa double sales. Nadhan itaondoa kabisa hili tatizo.
@patricialiveti3520
@patricialiveti3520 Месяц назад
Nimekuelewa.
@romastasenterprises4447
@romastasenterprises4447 Месяц назад
Ardhi Temeke ni wasumbufu haijawahi kutokea. Ukifuatilia hatipale utajua hujui. Kwa ujumla watendaji wa Ardhi hasa mkoa wa Dar es salaam ni Miungu watu.
@msebishimwinyi4121
@msebishimwinyi4121 Месяц назад
Mchapa kazi
@suhaadhamed7084
@suhaadhamed7084 Месяц назад
Yote unayo ongea mbona hukutenda haki km ulivyo kula kiapo kwa mh Raic na Wana nchi kuwatendea haki Ila pale MTAA WA manyema no4 kariakoo kwenye nyumba ya wasia na waqfu kile ndio kiapo chako, watu kudhulumiwa naww hufanyi kitu, ss serikali na mwenye pesa nguvu anayo Nani, fanya kazi yko kwa uadilifu ili mama wa nchi ajivunie ww insh
@zainab8251
@zainab8251 Месяц назад
Kwani wewe una mgogoro wa halisi jamani mbona mbona anafanya kazi nzuri
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 Месяц назад
Jerry nakuombea dua mama asikuondoe ardhi
@msebishimwinyi4121
@msebishimwinyi4121 Месяц назад
Mchapa kazi
Далее
Муж на час 😂
00:37
Просмотров 1,1 млн
Sentro Interview
23:56
Просмотров 10
Муж на час 😂
00:37
Просмотров 1,1 млн