Mimi sijaingia kwa uislamu lakini kweli sala yao inanipendeza sana kwanini inanipendeza kwa kuwa kila siku wanaonekana wana sali lakini nam pia nitaongoza kwani ninaye Mwabudu ni Mungu mwenyezi yoye
A alaikum mimi nina swali je? baada ya shahada hii dua ya mwisho ya kumtaja rasulullah (swa )pmj na nabii Ibrahim (as)nk ni faradhi /lazima au ni sunna tu nauliza hivyo kwa sababu wakati nasoma madras hatukufunishw hivyo nimekuja kujifunza kwenye mitandao wabillahi taufiq
Mimi naomba ile dua ambayo umeingia chooni umejisaidia dua unayosoma kuna mda tunaitahitaji kujua vitu vingi lakini ubize wa maisha tunakosa mda wakukaa chini na mtu kujifunza
Asalam aleykum, mimi nimeingia kwenye uislam lakini sijui kuswali na kinachoniumizaa nimiezi 3 sasa nipo kwenye uislam bila kuswali kila nikiangalia videos sielewi chochote
Allahu Akbar!Allahu Akbar!Allahu Akbar!Masha Allah tabarakalah,mimi nilikuwa hivo basi Alihamdulillah nikajiunga na madrasa iliyokuwa karibu,Nashukuru Allah maana hata mwezi mmoja haukuisha,nikajua hatua hadi nyingine,Takbir!mpaka Salah.Tia bidii Kaka,Allah akufanyie wepesi InshaAllah.Mimi najivunia kuwa muislam.