Тёмный

Jinsi ya Kutengeneza Maandazi Laini ya iliki |You have flour,sugar and oil make African doughnuts 

Cooking With Tina
Подписаться 89 тыс.
Просмотров 264 тыс.
50% 1

Maandazi ya iliki kama ijulikanavyo ni kitafunwa bora kabisa wakati wa asubuhi, kitafunwa hiki pia kinaweza kutumika wakati wowote na chai ama na juisi. Maandazi ni maarufu sana katika nchi za Afrika Mashariki yaani Tanzania, Kenya, Ugand n.k. Maandazi hupendwa na watu wa rika zote hii ni katakana na ladha yake tamu, nzuri na isiyo kinaisha.
BOFYA HAPA KUTAZAMA JINI YA KUTENGENEZA SAMBUSA bit.ly/2Iyebaj
MAHITAJI
Unga wa ngano kikombe cha chai 5
Mafuta ya kupikia ya moto robo 1/4 kikombe
Hamira kijiko kikubwa 1
Baking powder kijiko kikubwa 1
Sukari robo 1/4 kikombe
Chumvi kijiko kidogo 1
Iliki kijiko kidogo 1
Maji na mafuta ya lita 1ya kupikia
kwa biashara au promotions - cookingwithtinabiz@gmailcom
Maandazi is a slightly sweet East African Fried doughnut. It can be made with yeast or baking powder but it can be also made with both baking powder and yeast at the same time with cardamom powder to give the best aroma!

Хобби

Опубликовано:

 

7 дек 2017

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 169   
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 6 лет назад
BOFYA HAPA KUTAZAMA JINI YA KUTENGENEZA SAMBUSA bit.ly/2Iyebaj
@hatamimnimempendabulejaman1596
Ohoo Tina wajina wa mtoto wa mam yangu mdogo. Napendaga Kupika mandaz chapat yani napendaga mambo ya upishi
@hatamimnimempendabulejaman1596
Ya uwaga wanapimaga hivyo wanatumbukiza kipande kidogo Kwanza kuona moto upo sawa
@swabrinamasagatu5643
@swabrinamasagatu5643 4 года назад
Cooking With Tina ahsnt sana jaman naomba niunge kama una group nakuomb Dada ang
@user-lq9ym8rc7n
@user-lq9ym8rc7n 4 месяца назад
Asantee dadaaa nimejifunza kupika maandaz ya iliki
@anithamsoke2329
@anithamsoke2329 2 месяца назад
I like how you teach hauna papara
@shirlettehuddha8218
@shirlettehuddha8218 6 лет назад
Lovely dear
@estherchamhene212
@estherchamhene212 6 лет назад
Jane hongera Yanaonekana malaini na matam. Haswaaa kwa chai ya maziwa au tangawizi
@joyceplospa3258
@joyceplospa3258 5 лет назад
Asante dada
@godyusuf3204
@godyusuf3204 2 года назад
Mungu anasaidia Dada Kwan nimeelewa sana
@aimeebanza9893
@aimeebanza9893 4 года назад
Asante dada napenda
@user-ju9hw1me7y
@user-ju9hw1me7y 7 месяцев назад
Ahsante nimejifunza
@sophiapaul6911
@sophiapaul6911 6 лет назад
uwa nakuelewa sanaa kip it up
@divinahogamba
@divinahogamba Год назад
Asante kwa kutufunza kupika
@abudebinabri1287
@abudebinabri1287 6 лет назад
thank you
@user-ht4jr1ci6n
@user-ht4jr1ci6n 4 месяца назад
Nice
@zuchuu8891
@zuchuu8891 Год назад
Nimeipenda
@user-rw6io9kh2l
@user-rw6io9kh2l 9 месяцев назад
Nice dear
@tatumabula6546
@tatumabula6546 Год назад
Asantee
@starnewstvtv1126
@starnewstvtv1126 6 лет назад
Asant dada Tina
@farajamusic9672
@farajamusic9672 Год назад
Good
@carolcarolmakesh8952
@carolcarolmakesh8952 6 лет назад
Wow yanavutia kweli asante sana kwa mafunzo hayo
@tatuzacharia4003
@tatuzacharia4003 6 лет назад
Carol carol makesh a kwel
@vumiliagunda416
@vumiliagunda416 4 года назад
Asante
@belinafinias9611
@belinafinias9611 5 лет назад
Asante unaelezea vzr nimekuelewa ubarikiwe.
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 5 лет назад
Belina Finias Asante dear 🙏
@rizikikazungu1775
@rizikikazungu1775 4 года назад
Wooow ya vutia kweli.. Naya onyesha ni natamu hongera kwako
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 4 года назад
Riziki Kazungu thanks dear 🙏
@rosephilipo5970
@rosephilipo5970 6 лет назад
Uko vizuri.
@saidsaid9463
@saidsaid9463 6 лет назад
Asante mazuri
@edwinasina1655
@edwinasina1655 4 года назад
A good woman knows how to cook, hongera
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 4 года назад
Edwin Asina thanks for watching
@emilyashika861
@emilyashika861 2 года назад
I like your cooking keep up
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 2 года назад
Thank you so much
@zulfakhamis6849
@zulfakhamis6849 4 года назад
Mashallah
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 4 года назад
Zulfa Khamis thanks 😊
@hassankayah8814
@hassankayah8814 5 лет назад
Asante Sana mama mindo mgeni wa mambo ayo IRA REO nimejifunza jambo zuri sana kwako asnt
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 5 лет назад
hassan kayah Asante na karibu 🙏
@hassankayah8814
@hassankayah8814 5 лет назад
Naitaji kujifunza jinsi ya kupika half keki maitaji take
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 5 лет назад
Nitafanya video soon
@raysaraysa8186
@raysaraysa8186 6 лет назад
Hellow Maji umetia barid au?
@sadakalenga7411
@sadakalenga7411 6 лет назад
yaan we Da Tina ubarikiwe Sana... nilikua cfaham jinsi ya kutengeneza chapati lkn now nimeweza, nimerudisha heshm ya ndoa.. nilikua nadhalilika Sana Mama.. nasemwa na hubby mom Malia wallah.. baada ya kuangalia video ya upishi wa chapati zako.. nikafuata njia hizo . bas saiv mambo mazuri Al hamndulillah... Asante Sana dadaaaa... Sijui hata niseme Nini Mimi... love you more mamiii
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 6 лет назад
Sada Kalenga Shukran 🙏 Nafurahi kusikia hivyo
@bettymassanja881
@bettymassanja881 5 лет назад
Kwani hayo ni maandazi au chapati?. Nadhani nasinzia au sijui Kiswahili vizuri.
@bettymassanja881
@bettymassanja881 5 лет назад
Sada Kalenga, naomba namba yako ya simu.
@hollojumanne9924
@hollojumanne9924 3 года назад
Napenda sana kujifunza kupitia ww.
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 3 года назад
Karibu
@hollojumanne9924
@hollojumanne9924 3 года назад
@@cookingwithtina8186 ahsante, naomba uniandikie bidhaa na vipimo vyake samahan maandaz
@beatricebolger9824
@beatricebolger9824 5 лет назад
Asante sana kazi nzuri sana
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 5 лет назад
Beatrice Bolger thanks 🙏
@janemuthoni-ey8kq
@janemuthoni-ey8kq 5 месяцев назад
Nikitumia self raising flour itabidi niongeze baking powder? Tena iliki huitwa aje kwa kiingereza? Na mwisho what is the difference between yeast na baking powder na hutumika wapi/ vipi? Liking your delicious recipes 😉😉😉
@wuodogungo5484
@wuodogungo5484 6 лет назад
Ahsante sana Tina kwa maelezo ya mapishi mazuri sana. Ningependa ku shangaza mke wangu kwa kumpikia maandazi haya. Lakini kiswahili changu cha Nairobi sio kizuri sana. Natarajia kwamba utanielewa vizuri. Naomba unifanyie msaada (favor) tafadhali. Vikombe vya chai tunazo hapa jikoni ni tofauti sana kwa ukubwa. Na mpenzi wangu hua anatumia kikombe cha kipimo - yaani "measuring cup". Je, unaweza kuniandikia mapishi haya ukitumia kikombe ya kipimo ya kwaida? - "Using a standard measuring cup?". Shukran.
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 6 лет назад
Wuod Ogungo unaweza tumia hiyo measuring cup ujazo wake ni 250 ml actually ndo ninatumia pia
@angelmoshi3654
@angelmoshi3654 5 лет назад
nmekuxoma da tina
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 5 лет назад
Angel Moshi Asante 🙏
@joyzarry4710
@joyzarry4710 4 года назад
Asante kwa mafundsho mazuri
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 4 года назад
Joy Zarry karibu dear. Asante kwa kushukuru
@joyzarry4710
@joyzarry4710 4 года назад
Nilikuwa naswali waweza kukanda usiku ukapka asubuhi,yatakuwa mazur kweli?
@joyzarry4710
@joyzarry4710 4 года назад
Naomba unijibu my dear yatapendeza kwelii au nikande tu asubuhi ndo nipike naomba ushauri plz
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 4 года назад
Joy Zarry Kanda tu asubuhi. Kwavile unaweka amira haitakuwa nzuri ukikanda unga ulale
@joyzarry4710
@joyzarry4710 4 года назад
Wow asante sana 🙏
@zuchuu8891
@zuchuu8891 Год назад
🎉🎉🎉🎉🙏
@chouchou673
@chouchou673 6 лет назад
Siku gani uta fanya sambusa??🙏🏾
@theodorasamweli1136
@theodorasamweli1136 6 лет назад
da Tina tengeneza bas group watsap
@user-ju9hw1me7y
@user-ju9hw1me7y 7 месяцев назад
❤ 7:17
@carinerina6105
@carinerina6105 4 года назад
Kama atusikiye sahuti yako weka hata musique
@chepsweetie
@chepsweetie 6 лет назад
No eggs?
@swidatyomary1380
@swidatyomary1380 6 лет назад
Undaa. Grop la wassp dad
@muhimajadot2604
@muhimajadot2604 5 лет назад
Mandaazi ni chakula bora na laini kwa mtu, kwani yanashika tumboni na kusukuma siku nzima. Jadot Muhima
@user-ud6yj3xh7h
@user-ud6yj3xh7h Год назад
Asante sana kwa kupitia wewe nimekua kupika mandazi vizuri leo maan zamani nilikuwa napika ila ukila yanakata ulimi😅😅😅
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 Год назад
Nafurahi kusikia hivyo 😊
@glorianduku4564
@glorianduku4564 6 лет назад
Is hamira baking powder
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 6 лет назад
Gloria Nduku It is not the same, hamira is yeast
@glorianduku4564
@glorianduku4564 6 лет назад
Thank you so much
@hilarybenedicto3621
@hilarybenedicto3621 6 лет назад
9c....
@rodagwishura5461
@rodagwishura5461 6 лет назад
nice
@christophersizya2574
@christophersizya2574 5 месяцев назад
Tina me nimepika mbona hayana nyama ndani na ngozi ya nje ngumu nifanyaje......
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 5 месяцев назад
Zingatia vipimo halafu usisukume nyembamba
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 6 лет назад
Habari! Napenda tu kuwajulisha kwamba sijaunda group la WhatsApp bado. Nimeona wengi mkipendekeza ila kwa sasa bado. Hivyo niombe tu na ni shauri kwa mnaotuma namba zenu humu muache zisije tumika vibaya. Endapo ntakuwa na group nitawajulisha ila kwa sasa bado.
@floramlewa3129
@floramlewa3129 6 лет назад
Cooking With Tina Kwenye fb unapatikana?
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 6 лет назад
FLORA MLEWA hapana Only cookingwith_tina
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 6 лет назад
Instagram account ☝🏻
@lebahatiloibanguti5948
@lebahatiloibanguti5948 5 лет назад
Cooking With Tina mbona na pika maandazi mafuta ya na kuwa ndani mengi
@bonfacemuthui5212
@bonfacemuthui5212 5 лет назад
0712067110
@jackielynn7686
@jackielynn7686 5 лет назад
Baking powder na hamira pamoja sababu ni nini?
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 5 лет назад
Jackie Lynn sio lazima ila mimi napenda kutumia backing power na hamira kwani backing power inasaidia mandazi kujaa ndani.
@blandinajustine9702
@blandinajustine9702 6 лет назад
Kitu gani kinafanya maandazi yanakunywa mafuta yani yanakuwa na mafuta mengi
@abemapaul8547
@abemapaul8547 6 лет назад
Jibu BA's hill swali
@makynicky2970
@makynicky2970 5 лет назад
Moto ukiwa mdogo kwenye kuchoma mafuta yana ingia ndani,,,,,moto uwe saiz ya kati sio mdogo au mkubwa
@mosesmasanja3712
@mosesmasanja3712 5 лет назад
Mbna sauti haitoki una mimi na tuu
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 5 лет назад
Moses Masanja kunawakati naondoa sauti pale ambapo nakuwa nimemaliza kutoa maelekezo nafanya hivyo ili kufupisha video
@lindaelexaud4215
@lindaelexaud4215 6 лет назад
waoooooooo!!!! mapishi ndo kila kitu so kama kuna group la whatsap naomba ukonect no. 0684464474
@briannyamboki3243
@briannyamboki3243 6 лет назад
kuna viungo flani hapo umevitaja sijui mira na iliki vinaitwa vipi kwa kingereza..?
@helenongara1679
@helenongara1679 6 лет назад
brian nyamboki hamira = yeast Iliki = cardamon
@jumamahayu6077
@jumamahayu6077 6 лет назад
Waooo nice thank you so much sister
@lydiasigei6071
@lydiasigei6071 6 лет назад
Amila ni nini na ya nini? Mimi ni Mkenya siifahamu.
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 6 лет назад
lydia sigei ni Yeast
@magdalenashayo1256
@magdalenashayo1256 5 лет назад
Yeast
@kaishaemily196
@kaishaemily196 5 лет назад
Hey I love your cooking so much. But I do not know what iliki and amira are .kindly explain in English the two thank you 😊
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 5 лет назад
KEEPING UP WITH KEYSHA Iliki= cardamom Hamira=yeast
@rawalidrajabu5360
@rawalidrajabu5360 Год назад
Yeast mean iliki
@gabrielishmael5956
@gabrielishmael5956 5 лет назад
Unachanganya Sana kwenye video zako hasa kwenye vipimo ni kwa Nini husemi vipimo halisi badala yake huwa unatumia kusema vikombe,robo kikombe so ni vikombe vya ukubwa gani??? Unafundisha vizur but kuwa specific dadaa
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 5 лет назад
Gabriel Ishmael Nitakuwa na tumia vyote ila sio kila kila mtu anajua 250ml ni sawa na 1Cup.
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 5 лет назад
Gabriel Ishmael Au 500ml ni sawa na 1/2 kilo au ni sawa na 2cups
@apolinarymathew7091
@apolinarymathew7091 4 года назад
Ss jamani mbn mi nikipika kwa ndani hayaivi
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 4 года назад
Apolinary Mathew hakikisha unaacha unga wako uumuke vizuri ukishakanda kabla ya kuanza kupika
@apolinarymathew7091
@apolinarymathew7091 4 года назад
@@cookingwithtina8186 Asante nimekuelewa ss nitajaribu kwa mara nyi gine
@Crabtree1844
@Crabtree1844 2 года назад
Eh, nahama niwe jirani yake Tina nile mabakio.
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 2 года назад
Karibu 😊
@beverlynebivin282
@beverlynebivin282 4 года назад
What's amira n iliki in English plz
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 4 года назад
Beverlyne Bivin amira =Yeast and Iliki = Cardamom
@beverlynebivin282
@beverlynebivin282 4 года назад
God bless..
@jescaramadhani1280
@jescaramadhani1280 5 лет назад
Maximum 1kg inabd itoe mandazi mangap
@jescaramadhani1280
@jescaramadhani1280 5 лет назад
Saiz hyo ya kwako
@qadrahabdulrahmanhassan9243
@qadrahabdulrahmanhassan9243 4 года назад
40
@fadhilasaid432
@fadhilasaid432 5 лет назад
Ukiweka mayai inafaa
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 5 лет назад
Fadhila Said itafaa. unga wa ngano na mayai ni vitu vinakwenda pamoja
@fadhilasaid432
@fadhilasaid432 5 лет назад
@@cookingwithtina8186 shukran
@aishajumaaisha2769
@aishajumaaisha2769 6 лет назад
Jgddj
@esthermuronji439
@esthermuronji439 2 года назад
Iliki naeza ponda au blend
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 2 года назад
Blend! Ya unga ni nzuri zaidi
@shirukamau68
@shirukamau68 5 лет назад
Mbona baada ya 10min unga wangu haujaumuka?!
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 5 лет назад
eunice kamau angalia hamira yako yaweza kuwa imekaa muda pia usiache wazi hamira yako ikaingia hewa haita umua unga vizuri.
@shirukamau68
@shirukamau68 5 лет назад
Asante
@theresiakibona2666
@theresiakibona2666 6 лет назад
Nimependa mapishi yako hiv kwa kawaida Unga kilo moja unatoa maandaz mangapi?
@hamisially651
@hamisially651 6 лет назад
Theresia Kibona
@mapishinarose2415
@mapishinarose2415 5 лет назад
kwa recipe hiyo unatoa maandazi mangapi?
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 5 лет назад
mapishi na rose inategemea na utakavyo kata wewe
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 5 лет назад
mapishi na rose utakavyokata madogo ndo utakavyo pata mengi na ukikata kubwa kubwa utapata chache
@peninawangui1787
@peninawangui1787 6 лет назад
iliki ninini?
@helenongara1679
@helenongara1679 6 лет назад
Penina Wangui Iliki = cardamon
@peninawangui1787
@peninawangui1787 6 лет назад
Helen Ongara Thanks.
@leahboniface2163
@leahboniface2163 5 лет назад
Penina Wangui Hiliki - cardamom
@Crabtree1844
@Crabtree1844 2 года назад
Samahani, Tina. Kuna tofauti gani kati ya Mahamri na Maandazi? Asante kwa nijibu.
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 2 года назад
Mahamri yanaumuliwa sana na ndani yanakuwa na uwazi wakati mandazi yanakuwa yamejaa ndani vizuri. Hamira inayotumika kwa mandazi ni kidogo ukilinganisha na mahamri.
@shamilamtamwa9654
@shamilamtamwa9654 2 года назад
Dada nimejalibu kupika maandazi lkn nashangaa ndan hayana chakula yaan hayajaa wapi nimekosea
@shamilamtamwa9654
@shamilamtamwa9654 2 года назад
@@cookingwithtina8186 dada tina nimejalibu kupika maandaz lkn ndan hayana chakila wapi nimekosea
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 2 года назад
Utakuwa umezidisha hamira my dear
@shamilamtamwa9654
@shamilamtamwa9654 2 года назад
@@cookingwithtina8186 sawa my nitajalibu teena
@missshapwata8742
@missshapwata8742 6 лет назад
nimevutiwa na mapish yako dada kama una group la whatsap niaad 0755357366
@fidesmassoyi9174
@fidesmassoyi9174 6 лет назад
Mtu ni afya unakandaje maandazi wakati umepaka kucha rangi.?kiafya hapo ikoje na je inaruhusiwa
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 6 лет назад
Fides Massoyi for your information hiyo ni hina! I hope unaelewa tofauti yake na rangi
@rashmaissac1152
@rashmaissac1152 6 лет назад
Fides Massoyi ni hinna hyo
@rashmaissac1152
@rashmaissac1152 6 лет назад
Fides Massoyi ni hinna hyo
@elizabethsimon4121
@elizabethsimon4121 6 лет назад
+Rashma Issac mwenye anapika ni mchafu uezi kanda uga na kucha umepaka rangi , yak!
@rufinatairo3279
@rufinatairo3279 5 лет назад
Hiyo ni hana sio rangi
@estherwayua9919
@estherwayua9919 6 лет назад
Wow napenda sana kupika plz in add kwa watsap group yko +254791794668
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 6 лет назад
Esther Wayua sina group la wasap kwa sasa. Nikiwa nalo nitawajulisha 🙏
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 6 лет назад
kwa biashara au promotions - cookingwithtinabiz@gmail.com
@aishajumaaisha2769
@aishajumaaisha2769 6 лет назад
....
@tanzanianchef8647
@tanzanianchef8647 6 лет назад
Wooooow nimekuelewa saaaaanaaaa Kama una group la whatsapp la mapishi ni add +255767592042 napenda mapishi sana......
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 6 лет назад
devi saria Asante! Ila sina group la WhatsApp
@weremamwita9740
@weremamwita9740 6 лет назад
Asante kwa utaalamu kunifundisha napenda mapishi..
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 6 лет назад
devi saria nipo na account ya Instagram cookingwith _tina
@karensupeet5230
@karensupeet5230 6 лет назад
Asante wifi wa mimi kwa elimu hiyo.nifoadie mawili tu.
@yohanajuma1133
@yohanajuma1133 6 лет назад
Na mm naomba mniadi 0765300365
@victoriamichael9663
@victoriamichael9663 5 лет назад
Hayo maji ni ya uvuguvugu au?
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 5 лет назад
victoria michael ni maji ya kawaida sio vuguvugu!
@victoriamichael9663
@victoriamichael9663 5 лет назад
Cooking With Tina asante sana mamii
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 5 лет назад
victoria michael karibu sana my dear
@paulmihayo4206
@paulmihayo4206 3 года назад
Nice
@lenguleyian8111
@lenguleyian8111 5 лет назад
Good
@hyasintapeter204
@hyasintapeter204 4 года назад
Asante
@user-bn8xu7qg1k
@user-bn8xu7qg1k 9 месяцев назад
Asante Kwa kutufunza kupika
@cookingwithtina8186
@cookingwithtina8186 9 месяцев назад
🙏
@princessmunii2530
@princessmunii2530 4 года назад
Good
Далее
MAANDAZI YA NAZI
11:18
Просмотров 96 тыс.
NJIA MPYA KABISA YA KUPIKA KEKI KWENYE JIKO LA GESI
9:09
ТЫ С ДРУГОМ В ДЕТСТВЕ😂#shorts
01:00
BIASHARA YA CHAPATI LAINI SANAA KILO 2(2KG) #chapati
8:02
JINSI YA KUPIKA CRIPS ZA NDIZI TAMU NA KAVU
5:43
Просмотров 2,3 тыс.
My Favourite Butter Cookie Recipe
6:53
Просмотров 11 млн
dog jumping in pool #funnyanimals #comedy #funny
0:21
Bizda +50☀️ Subscribe❤️
0:14
Просмотров 3,9 млн