Maandazi ya iliki kama ijulikanavyo ni kitafunwa bora kabisa wakati wa asubuhi, kitafunwa hiki pia kinaweza kutumika wakati wowote na chai ama na juisi. Maandazi ni maarufu sana katika nchi za Afrika Mashariki yaani Tanzania, Kenya, Ugand n.k. Maandazi hupendwa na watu wa rika zote hii ni katakana na ladha yake tamu, nzuri na isiyo kinaisha.
BOFYA HAPA KUTAZAMA JINI YA KUTENGENEZA SAMBUSA bit.ly/2Iyebaj
MAHITAJI
Unga wa ngano kikombe cha chai 5
Mafuta ya kupikia ya moto robo 1/4 kikombe
Hamira kijiko kikubwa 1
Baking powder kijiko kikubwa 1
Sukari robo 1/4 kikombe
Chumvi kijiko kidogo 1
Iliki kijiko kidogo 1
Maji na mafuta ya lita 1ya kupikia
kwa biashara au promotions - cookingwithtinabiz@gmailcom
Maandazi is a slightly sweet East African Fried doughnut. It can be made with yeast or baking powder but it can be also made with both baking powder and yeast at the same time with cardamom powder to give the best aroma!
7 дек 2017