Jamaa wahuni sana, yaani wanalisukuma linatikisika liko kwenye kizingiti na kudanya watu linacheza, nimefika Ukara mara 2 bahati mnbaya sikufika hapo, nitafika siku moja.
mbone hamjaweka hiyo pesa, na nyinyi mkasimama kando mkaliacha likacheza, mwalisukuma mkidanganya watu JIWE LACHEZA, nyinyi ndo mna mchezo na macho ya watu
Hata iringa sehemu moja inaitwa lupilo kuna jiwe Lina umbile LA binadam linaitwa mwanakatinga nendeni mkaone maajabu yake msishangae sana hizo zote ni rehmaza mungu
Jmn watu wengine mwafurahisha sasa kwa akili yakawaida wao wananguvu gani kusukuma jiwe kubwa hivyo hadi licheze? Usisimuliwe Fanya kufika tu uone mwenyewe pesa wameweka kdg liongeeje. Watu wanatengeneza biashara kimiujiza tu kama babu wa loliondo
Please pata vizuri angalia hii bwana simba.hapo kwanchini juwe ndogo so anaponyeza naguu moja hapo ethen jiwe iko yacheza...just look it kwavizuri ukikuwa naakili waona Hii ujanja tu😯😯😯
Jamaani hilo jiwe nimchezo tu we kimiujiza msilete ushirikina mkasema eti tumpata utalii onyesheni vitu vya msingi na sio hilo mnataka kutuletea mambo ya loliondo
yaani watu wasio wa kiroho utawaona tu.Kimsingi hiyo ni mizimu ya kabila/ukoo wa sehemu husika,mambo ya sayansi hayahusiani hapo.Cha kushangaza watu wanakuja kuliomba na kulitolea sadaka,Binadamu kuweni makini sana,hiyo ni kazi ya shetani na malkaika zake maana alipotupwa duniani,makao yake ni kuzimu na sehemu za ajabu kama mito mikubwa,bahari,miti mikubwa,majabali kama haya,milima mikubwa,
Nenda na Kijiji cha Bukungu kuna mti umeota karibu na ziwa lakn hata upepo upulizeje majani hayaendi majini nayakienda majini hayo majani yanageuka kuwa mamba huko kunavitu vingi kama nikutalii unaweza maliza hata mwaka chezea ukara wewe bado umizimu umejaa Tuwaombee tu kwa Mungu maana kunatisha
Nachojiuliza mm ni lazima huyo mzee kulisemesha au ni mtu yeyote akiliongelesha Linachacheza..? Nakama niyeye tu anauhusiano gani na hilo jiwe au alielekezwa na nani ukisema hayo maneno ndo linacheza?
Kama jiwe limekuwa kimila zaidi.. Je nini kitatokea endapo msemeshaji mteule wa ukoo atafariki dunia?.. Amakweli dunia na maajabu yake.. Tuupende na kuuenzi utalii wetu wa ndan..
Ni kweli haya ni mambo ya KUUTUKUZA ushirikina. Kuna watu hawajui kuwa mambo kama haya YANAILETEA NCHI LAANA KUBWA. Tuwaombee lakini tusiache kuwashauri pia. Asante kwa kuliona hilo
Huo ni uchawi kabisa hakuna majabu huo mkono wa mzee ndo kapakaa madawa yake yakichawi hata mv nyerere kupinduka kwenye kina kifupi kama kile na kisha kuua watu wote wale ndo uchawi kama huo mnaoutumia
Tatizo la watz wanaamini sana mambo ya wazungu, lakini yanayo wahusu kwenye nchi yao wanayapuuza, hapo angekuwa mzungu hata angesema walipie milioni hata wasinge sema lolote, huo ni utumwa...
Nilishafika kwenye hilo jiwe nililipia Tsh.30,000= ktk familia hiyo inayolimiliki jiwe hilo ila nilichogundua ni kama kuna kausanii fulani anakafanya ili kulichezesha.
Dr. Hamidu Ibrahim hahahahaha umetisha hata huyo nifurusa kwake yani ukienda lazima uache hela kama hivyo hata wenyeji was huko huwa wanatoa hela kwenda kuliona nakucheza