Тёмный

JOEL LWAGA AFUNGUKA UKWELI KUHUSU MKE WAKE, 

Chumvi Ya Dunia
Подписаться 19 тыс.
Просмотров 80 тыс.
50% 1

Moja kati ya mahojiano matata kabisa ni haya,tumefanya na #JoelLwaga mtu mwenye mavoko yake .Joel amefunguka mengi kuhusu maisha nje na ndani ya huduma,ameweka wazi kuhusu shtuma nyingi zinazomkabili..hakika si ya kukosa.
The Sound of Gospel is a radio and Online Program brought by SirMbezi, Mfinanga In Association with Bethel Radio going live every Tuesday at 2PM On bethel Radio and later on In this You tube Channel.
Executive Producers - SirMbezi & Ignas Yonah (Bethel Radio)
Presenter - Gadielson Charles Mfinanga
Cameras - Edward Fanuel, SirMbezi
Studio Set Up - Ignas Yona/Bethel Radio
Photography - SirMbezi
Editing - Sirmbezi,

Опубликовано:

 

11 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 55   
@fridahmwathe3086
@fridahmwathe3086 3 года назад
Napenda nyimbo zako. Lakini apo penye unapewa Gari unauza weee haifurahishi. Mtu akikupa zawadi haimaanishi Hana haja nayo wala Hana mahali pa kuiweka, inamaanisha anakupa uitunze Ile zawadi. Always treasure every gift offered to you.
@maryupendo8706
@maryupendo8706 7 месяцев назад
Laki mbili sio mingi,,,Joel vaa hata ya milioni tano,,,Mungu unayetumikia ako na kila kitu,,,pesa,dhahabu nk,,,vaa Mtoto wetu,wacha waongee.
@user-bc8hg3vg2s
@user-bc8hg3vg2s 29 дней назад
Barikiwa mtumishi
@kabuabarnabas7791
@kabuabarnabas7791 3 года назад
Napenda sana unavoimba,kila point ya wimbo unayagusa maisha yang mwenyez mungu akuinue zaid
@PriscaMwasongela
@PriscaMwasongela 7 месяцев назад
Be blessed alot
@celline3148
@celline3148 3 года назад
Joel mdogo wangu siyo watu wote wana hekima hiyo kama wewe kwanza mtu mwingine kupata number yako anakuwa na kiwewe. yeye hapo aerewi yeye anachojua nikukupigia sm atakavyoongea kwake ni sawa lkn kwako unaona kakosea wasamehe tu sasa wataerewa jinsi yakuongea na wewe. Mungu akubariki sana nyimbo zako zinatubariki wengi.
@eddacharles6573
@eddacharles6573 3 года назад
Tatizo ni kwamba vijana wengi hawajui kujieleza, si kwa kuongea tu, hata kwa kuandika. Hilo ni janga la kitaifa, wanahitaji kusaidiwa sana kwenye hilo eneo. Tuwaelewe na tuwasaidie.
@dinaorio1852
@dinaorio1852 3 года назад
Point
@salomewilliam9457
@salomewilliam9457 3 года назад
Shida anataka kunyenyekewa
@chilaboytz3774
@chilaboytz3774 3 года назад
Oooh
@mcgoodluckeventz2175
@mcgoodluckeventz2175 3 года назад
Ni kweli Joel...bad approach huwa zinawagharimu wengi
@dadaester9270
@dadaester9270 3 года назад
Baba unajuwa kuni kufuraisha.dadiiiooo. I love all your songs. Ubarikiwe
@maryupendo8706
@maryupendo8706 7 месяцев назад
Baba anajua kunifurahisha,niliingia nayo kwa my wedding yangu,,,sasa Ni 5yrs,,,Glory to God
@womanoffaith2001
@womanoffaith2001 4 года назад
Big up sir Mbezi uko very good in interviews
@paulinajohn5911
@paulinajohn5911 3 года назад
Ubarikiwe sana mtumishi Joel.najifunza sana ,Mungu azidi kukuweka juu kwa utukufu wake
@kalingasarah538
@kalingasarah538 3 года назад
Unajisikia sanaa,nakwanini wakunyenyekee?? He mungu huyuuu
@olivervalentino9788
@olivervalentino9788 3 года назад
🤣🤣
@joem9569
@joem9569 3 года назад
😂😂😂 wanajikuta akina John Legend
@abelmbilinyi1262
@abelmbilinyi1262 3 года назад
Mwanangu weh fikiria tuh mchiz ana Mambo mengi pia ni msanii mkubwa alafu ww unakazana kusema Elisha Moto hapa
@gladnessshola2718
@gladnessshola2718 2 года назад
Wala sio swala la kunyenyekewa, ukiwa muhitaji siku zote lazima ujifunze kujishusha na kunyenyea kama unataka kujifunza na kufanikiwa lkn ukijifanya mjuaji huwezi pata nafasi lazima tujifunze hilo
@allyabeid4188
@allyabeid4188 3 года назад
Nakupenda xana joelly mungu akusaidie ktk maixha yako
@jtheophil5499
@jtheophil5499 3 года назад
Point noted.Vijana wengi wanakwama sana.Godbless you Joel.
@stephanojoseph804
@stephanojoseph804 3 года назад
UBARIKIWE JOEL LWAGA...
@danielbihuzu2365
@danielbihuzu2365 4 года назад
Joel I like your honesty God bless you
@matwigaofficial9920
@matwigaofficial9920 4 года назад
Thanks sana bro kwa hekima kubwa ambayo bwana amekupa.
@kilivalleychristianministries
@kilivalleychristianministries 2 года назад
Nimependa sana. Mungu akubariki sana.
@metridamihama3087
@metridamihama3087 3 года назад
Ni kwel Watu weng wanafeli hapo kweny kuaproch mwenyez Mungu aendeelee kukuinua
@joycembondo2046
@joycembondo2046 3 года назад
Watu wanatofautiana Joel hasa jinsi ya kufikisha ujumbe so waelewe tu na uwasaidie.
@donathanovath2959
@donathanovath2959 3 года назад
Ushauri mzur kuchukuliana nako ni kuzur
@macrinnamuganyizi7760
@macrinnamuganyizi7760 3 года назад
Big point ...And strong to be streigthfoward
@beckynanyaro1911
@beckynanyaro1911 2 года назад
Joel asijisikie mchezo! 🙌
@mbojekitalima8601
@mbojekitalima8601 3 года назад
Uko vizurii brooo
@lynelee5846
@lynelee5846 3 года назад
Yani kwa kweli waweza ukiwa na point nzuri ila jinsi unaiwakilisha
@SofiaKirenga
@SofiaKirenga 3 года назад
Mtumishi unakuja kutufuraisha
@salmaluhombero8466
@salmaluhombero8466 3 года назад
Heshima na adabu kweli
@lucyemmanuel2410
@lucyemmanuel2410 3 года назад
Joe is so smart👏
@millymack1370
@millymack1370 3 года назад
Wise man.
@eliudiezekieli6293
@eliudiezekieli6293 2 года назад
Huna nkuerewaa saana
@womanoffaith2001
@womanoffaith2001 4 года назад
Well said
@joycelaura4611
@joycelaura4611 Год назад
kichunusi nataman nikitoe dah
@tinnapaulo3675
@tinnapaulo3675 3 года назад
Hongera
@ellenmkeko7438
@ellenmkeko7438 3 года назад
Nimejifunza kitu kikubwa kaka kumbe watu hawajui namna ya kukutafuta na ni kivip muweze kushere
@lumuliasibwene886
@lumuliasibwene886 4 года назад
Point Joel umeongea
@mamawadudu48
@mamawadudu48 3 года назад
I saw wisdom in you
@eneliakisindakisinda7089
@eneliakisindakisinda7089 3 года назад
On point bro
@hudsonkhasiani5251
@hudsonkhasiani5251 3 года назад
Hve nothing to say but God bless you and your family
@palokuthereza2555
@palokuthereza2555 3 года назад
Iko kipele nimetamani nimtumbue na katokaje home ajakiona
@vj8313
@vj8313 3 года назад
😅😅😅😅
@shedrackngaila383
@shedrackngaila383 3 года назад
Acha kiburi hujakamilika wewe bado mchanga sana nyenyekea
@siamoye4549
@siamoye4549 3 года назад
Jaman mtu kasema tu mm Sion Kama Ana kibur tusihukumu
@aliceinnocent9976
@aliceinnocent9976 3 года назад
@@siamoye4549 ameyufundisha tuwe wanyenyekevu,kaongea vizur tu mtumishi joel
@octavianfranc1384
@octavianfranc1384 3 года назад
Nc
@joycelaura4611
@joycelaura4611 Год назад
Joel ana akili sana
@mariamyoyote8172
@mariamyoyote8172 3 года назад
♥️♥️♥️♥️♥️
@macrinnamuganyizi7760
@macrinnamuganyizi7760 3 года назад
Mimi naomba kufanya mazungumuz naweza pata nafsi .....0788063115 .... kweny tv yenu .....
Далее
Вопрос Ребром - Булкин
59:32
Просмотров 1 млн
To mahh too🫰🍅 #abirzkitchen #tomato
01:00
Просмотров 4,4 млн
JOEL LWAGA NA MSIMAMO KUHUSU VIINGILIO
3:20
JOEL LWAGA  -  MAFANIKIO KUTOKANA NA AGANO JIPYA
1:04:34
Вопрос Ребром - Булкин
59:32
Просмотров 1 млн