SUBSCRIBE NOW KWA KUPATA HABARI PAMOJA NA MAKALA BONYEZA LINK HII bit.ly/3waxCzh KARIBUNI SANA KWA HABARI ZA BURUDANI NJE NA NDANI YA TANZANIA PAMOJA NA KUJUA HISTORIA MBALI MBALI ZA WATU MAARUFU DUNIANI #@FutureMediatz
Mashaallah hongera maalim juma Allah azidi kukuweka Zaid na Zaid uzid kufanya vizuri hakika Allah amekutunuku sifa nzur na maadili mazuri endelea kutunza hongera Kaka 👏👏👏👏💓💓
( وَمِنَ النَّاسِ مَن يَشْتَرِي لَهْوَ الْحَدِيثِ لِيُضِلَّ عَن سَبِيلِ اللَّهِ بِغَيْرِ عِلْمٍ وَيَتَّخِذَهَا هُزُوًا ۚ أُولَٰئِكَ لَهُمْ عَذَابٌ مُّهِينٌ ) لقمان (6) Luqman Na miongoni mwa watu wapo wanao nunua maneno ya upuuzi, ili wawapoteze watu na njia ya Mwenyezi Mungu pasipo kujua, na wanaichukulia ni maskhara. Hao watapata adhabu ya kuwafedhehesha.
ukitaka kujua kama qadiria wameachwa mbali ni ahli madina sikiliza hii na ile alioisoma tanzania one sheikh hafidhi kumsomea huyu jamaa lepa yaani kawaacha mbali sana tena sana