Тёмный

KAZI IMEPAMBA MOTO SGR MWANZA - ISAKA, RELI YAPITISHA KIBERENGE SHINYANGA - SIMIYU 

TRC RELI TV
Подписаться 80 тыс.
Просмотров 29 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

2 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 48   
@explorewithbertin
@explorewithbertin 6 месяцев назад
Can't wait to travel with electric train from Dar to mwanza
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 6 месяцев назад
Why ?😂 it seems you will not be alive by next year 😂
@Africa_Yetu
@Africa_Yetu 6 месяцев назад
@Bertin... I am eager to get there too! Thanks for your channel which help us tonget up dates...! Pamoja!😂
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 6 месяцев назад
Hakuna kusifia kwani snalipwa pesa defu haya ya kusifia ndio wanasababisha kuharibu KAZI nchi za wenzitu wanasema amefanya nyanayostahili hizi za blabla sio Kazi hao wachina wanafanya KAZI hawana maneno maneno
@kambamazig02024
@kambamazig02024 6 месяцев назад
Siyo kama Waturuki, Dr-Morogoro mpaka sasa kila siku tunaambiwa mara asilimia 90 mara 98 mara 96 sasa tunashindwa kelewa ni nini maana yake ama ndiyo fuzzy maths?
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 6 месяцев назад
SAF SANA N KWEL MAPUNGUFU HAYAKOS ILA MNAJITAHID GOD BLESS
@kambamazig02024
@kambamazig02024 6 месяцев назад
Wangepewa mradi mzima hawa jamaa, maana Waturuki imebakia ni bla bla tuu. Dar-Moro imekuwa ni kizungumkuti!
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 6 месяцев назад
Noti mushkila
@DICKSONDickson-ru8yx
@DICKSONDickson-ru8yx 6 месяцев назад
Lot3...😂😢
@starjay3052
@starjay3052 6 месяцев назад
mchina arembagi kazi kaka
@Nedjadist
@Nedjadist 2 месяца назад
Mapungufu ya JPM sijui alikuwa na beef gani na Wachina! Angewapa mradi huu mzima Wachina, kwanza gharama ingekuwa ndogo, ubora maradufu na ungeifungulia Tanzania kuwa preferred state kwa China. Hata bwawa la Nyerere. Wachina wamewapita Wazungu mbali sana katika uhandisi. Taabu ya elimu ya Tanzania haitoi upeo wa dunia, maana hilo linataka kujua lugha.
@birianination7097
@birianination7097 6 месяцев назад
Hii nikubwa sana
@sabinaluyego4408
@sabinaluyego4408 2 месяца назад
KAZI iendelee
@MgasaEmanoeli
@MgasaEmanoeli 6 месяцев назад
Wachina wako fasta kuliko hao waturuki
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 5 месяцев назад
Hao waturuki kutoka moro kwenda makutopora wamejenga haraka kuliko kutoka dar kwenda moro
@magorymara5515
@magorymara5515 3 месяца назад
Ni kweli kule Moro ni milima kuchonga miamba kazi ilikuwa kubwa​@@elinamilyatuu7337
@noelngowitechnicalsolution
@noelngowitechnicalsolution 4 месяца назад
Hongereni sana kwa kazi nzuri
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 6 месяцев назад
Hawa Wachina wako fasta sana aisee
@salvatorybakilana2378
@salvatorybakilana2378 6 месяцев назад
Hiii reli inaisha lini mazee
@karimmkejina980
@karimmkejina980 6 месяцев назад
Miradi mikubwa hiyo huwa aishi mapema kwa sababu kila siku inaanza tena
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 6 месяцев назад
Huyu mkandarasi ana uwezo apewe reli yote
@donaldmartin-ps2ig
@donaldmartin-ps2ig 6 месяцев назад
Ameshamwaga wino tabora kigoma
@msafirisaimoni9561
@msafirisaimoni9561 6 месяцев назад
Watz wasomi wajifunze kupitia mradi huu
@donaldmartin-ps2ig
@donaldmartin-ps2ig 6 месяцев назад
Sait kwangu kabisa hapo
@ProfAkili
@ProfAkili 6 месяцев назад
Tuwache kuzungumza bila vitendo.... Hii reli bado haibebi abiria...kujeni kenya muone reli ya kisasa
@mkutamajuto1549
@mkutamajuto1549 6 месяцев назад
Ili itusaidie Nini? Nyinyi bakini na reli yenu na sisi hii ndy yetu
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 6 месяцев назад
Reli yenu ya diesel au! Pereka ushubwada wako huko
@abuubilal2646
@abuubilal2646 6 месяцев назад
Hatuna cha kujifunza kwenye hiyo treni yenu ya zilipendwa😂
@marcominja8850
@marcominja8850 6 месяцев назад
Sasa si bado ipo kwenye ujenzi, wanaanzaje kubeba abiria?
@harounzuberi8179
@harounzuberi8179 6 месяцев назад
Nyie na hiyo SGR au Gari moshi halafu kumbuka urefu wa hii SGR ya Tz ni ndefu mara tano ya hicho kimstari chenu kisichotumia umeme weeee Kenge Mkenya
@zawadix9574
@zawadix9574 6 месяцев назад
Hiyo treni miakia 4 Sasa kipande Cha Moro dar teyari mbona hatu pandi
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 6 месяцев назад
Sehemu ni fupi mpaka pakamilike Dodoma 😂
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 6 месяцев назад
MBONA ISAKA HAIPITI TENA RELI HII YA SGR????? WACHINA WAMEKATAA KUPITIA ISAKA KWA AJILI MKUNJO WA NJIA YA ISAKA.
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 2 месяца назад
Kwa hyo wanapita wap
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 6 месяцев назад
Kazi nzuri katika kipande hiki kina chonachojengwa na Wachina lakini kwa kipande no 3 na no4 vinavyojengwa na Waturuki kazi siyo nzuri kabisa na Serikali inabidi ifuatilie kwa karibu sana.
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 6 месяцев назад
Lot 3&4 maokoto ya kulipa shida
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 6 месяцев назад
Mnachuki na waturuki... tunajua sababu
@255kwetu8
@255kwetu8 6 месяцев назад
Mturuki kampuni yake mwenyewe inashindwa kujiendesha baada ya mmiliki kuaga Dunia(Kuna mgogoro)Ila serikali inatoa fedha kama inavyofanya kwa CCECC
@255kwetu8
@255kwetu8 6 месяцев назад
Na habari njema ni kuwa hicho kipande Cha 4 kipo mbioni kupewa mchina
@dickchambilo9138
@dickchambilo9138 6 месяцев назад
Majaribio hoeeee🤣🤣
Далее
Iran launches wave of missiles at Israel
00:43
Просмотров 1,2 млн
TRENDNI BOMBASI💣🔥 LADA
00:28
Просмотров 370 тыс.
MAENDELEO UJENZI WA FLYOVER
4:04
Просмотров 5 тыс.
MADEREVA WA TRENI KICHWA MCHONGOKO WAIVA
6:44
Просмотров 24 тыс.
Iran launches wave of missiles at Israel
00:43
Просмотров 1,2 млн