Hakuna kusifia kwani snalipwa pesa defu haya ya kusifia ndio wanasababisha kuharibu KAZI nchi za wenzitu wanasema amefanya nyanayostahili hizi za blabla sio Kazi hao wachina wanafanya KAZI hawana maneno maneno
Siyo kama Waturuki, Dr-Morogoro mpaka sasa kila siku tunaambiwa mara asilimia 90 mara 98 mara 96 sasa tunashindwa kelewa ni nini maana yake ama ndiyo fuzzy maths?
Mapungufu ya JPM sijui alikuwa na beef gani na Wachina! Angewapa mradi huu mzima Wachina, kwanza gharama ingekuwa ndogo, ubora maradufu na ungeifungulia Tanzania kuwa preferred state kwa China. Hata bwawa la Nyerere. Wachina wamewapita Wazungu mbali sana katika uhandisi. Taabu ya elimu ya Tanzania haitoi upeo wa dunia, maana hilo linataka kujua lugha.
Kazi nzuri katika kipande hiki kina chonachojengwa na Wachina lakini kwa kipande no 3 na no4 vinavyojengwa na Waturuki kazi siyo nzuri kabisa na Serikali inabidi ifuatilie kwa karibu sana.