Тёмный

MKURUGENZI ALIVYOZIMIA BAADA YA KUSEMWA NA WAZIRI JAFO... 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 653 тыс.
50% 1

MKURUGENZI ALIVYOZIMIA BAADA YA KUSEMWA NA WAZIRI JAFO...
Katika hali isiyo ya kawaida Mkurugenzi wa Kampuni ya ujenzi wa barabara amejikuta akiishiwa nguvu na kupoteza fahamu akiwa saiti baada ya Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo, kufika na kukagua ujenzi wa barabara na kukuta madudu yaliyomfanya akasirike sana..
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY: www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:www.youtube.co....

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 610   
@magdalenajohn6564
@magdalenajohn6564 3 года назад
Mungu akawape hekima viongozi wetu wa Tanzania namna yakuongoza sawasawa na Mfalme suleiman
@magnusbugingo7471
@magnusbugingo7471 4 года назад
Jafo hiz kaz zipo uhai ukiondoka haurud tena na usiombe kuondoa uhai wa mtu kwa maneno musikilize vzr kwanza kuna maisha baada ya barabara hiyo
@imhotepheru436
@imhotepheru436 3 года назад
Nawapongeza sana Viongozi wa Tanzania,,, Kwanza kwa kuwapa Watanzania contracts izi... Serikalii nyingi Africa wanagawa contacts hizi kwa Wachina na wageni... Namshukuru waziri uyu kwa kuwa tough.... Apa kazi tu ♥️
@thelivingwordchannel9027
@thelivingwordchannel9027 4 года назад
Enyi viongozi wa awamu ya tano tafadhali sana mnapokwenda kukagua miradi au kutoa maagizo nendeni na gari ya ambulance.
@bintysaid7177
@bintysaid7177 4 года назад
Hahahahaaa aki wewe
@thelivingwordchannel9027
@thelivingwordchannel9027 4 года назад
@@bintysaid7177 hili wimbi la watu kuzimia limeshika kasi hii awamu.
@bintysaid7177
@bintysaid7177 4 года назад
@@thelivingwordchannel9027 hahahaa mafuta hayo yamejazana kwenye viungo
@thelivingwordchannel9027
@thelivingwordchannel9027 4 года назад
@@bintysaid7177 unajua hawa watu waliishi watakavyo awamu zilizopita sasa hii inawapa tabu.Imagine kama angekuwa magufuli si jamaa angezindukia mochwali.
@ukhtyalpha1344
@ukhtyalpha1344 4 года назад
Hawa Watawala wa viburi wana mwisho wao kwa huu uhuni wao mkumbuke kuna MMungu na nyie atawapindua hadharani mbele za watu hamna imani ni ustaarabu gani huo ujinga mloukuja nao hamumpendezseshi MMungu hivyo mnavyo wafanya waja wake viburi na ukali kwenda mbele ndio utawala wa kijunga na kishenzi kama nyie wenyewe
@shamsahabibu837
@shamsahabibu837 3 года назад
Tunaoangalia baada ya kifo Cha laic wetu tujuane
@ashuraumari1322
@ashuraumari1322 3 года назад
🖐️
@shamsahabibu837
@shamsahabibu837 3 года назад
@@ashuraumari1322 mungu ampunguzie azabu ya kabul
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 3 месяца назад
Inauma asikwambie mtu
@neemafatu7885
@neemafatu7885 4 года назад
😰😰😰😰hali hiyo kagombezwa na binaadamu mwenzake tu anazimia,sijui Siku tutasimama mbele ya mungu kuhukumiwa hali itakuwaje kwa madudu tunayoyafanya😱😱😱😱😱
@abdulkarimothmanabdalla1850
@abdulkarimothmanabdalla1850 4 года назад
😂😂😂😂😂😂
@70SIXER7
@70SIXER7 4 года назад
ahaaaaaaa!
@fatimamamlo8041
@fatimamamlo8041 4 года назад
Neema fatu usichezee mkono kuingia kinywan kufukuzwa paha ulipokawa unalisha watoto mtihan
@neemafatu7885
@neemafatu7885 4 года назад
@@fatimamamlo8041 kilal jambo mtangulize alokuumba hasa unapokabiliwa na msukosuko kama huo.ukiwa na tawwaqul ktk moyo huwezi kupata pressure ktk maisha kwa kuwa si yeyote anaeruzuku bali ALLAH Pekee.tunatakiwa kutafuta sababu ya kuipatia hiyo rizqi,kisha unatawwaqal kwa Allah.atakupa tu biidhinih, tena huwenda zaidi ya hiyo.tuache kuziabudu kazi mwisho unakuwa dhalili kama hivyo.Allah atupe moyo wa kumtegemea yeye pekee!aamiin
@fatimamamlo8041
@fatimamamlo8041 4 года назад
@@neemafatu7885 nalijua hilo lakin kumbuka kaur ya Allah alipotuambia jisaidie nami nitawasaidia sasa hapo lazima ajisaidie kwamfano akinyimwa kazi kwenye kampun yake umr huosaiz atasimamia mngwegan hijambo weye itabeba gunia lambatata kuliko huyo
@thadeusbernard8656
@thadeusbernard8656 3 года назад
Rais mtarajiwa gonga like kam a unamwaminia
@masalujosephu430
@masalujosephu430 4 года назад
Aliye ona kiatu cha mkandalasi gong like twend sw.
@godfreynkondo1689
@godfreynkondo1689 4 года назад
Ilo buti uku kwetu tunaliita ngwasuma
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 4 года назад
Kweli msingi mzuri huleta Nyumba nzuri.Mawaziri mnafanya kazi kulinda ajira zenu msije kutumbuliwa na mh Rais magufuli
@bashirkambale4573
@bashirkambale4573 4 года назад
Magufuli amewafunza kazi 😂😂😂😂😂👏👏
@tausimwaluvalile6450
@tausimwaluvalile6450 4 года назад
Aliecheka kama Mimi agonge like baada ya jafo kusema eeebwanaee simama bwana afu mkurugenzi kaanguka kazuia mkono mfuko wenye hela hahahaaa jamani hiz presha !!!!!!!nimecheka sana
@forgenmahuve1741
@forgenmahuve1741 3 года назад
A
@duncankamasi9668
@duncankamasi9668 3 года назад
Na akatulia tuli
@bakamuubakamuu1556
@bakamuubakamuu1556 3 года назад
Nimecheka atariii😂😂😂😂😂😂
@shabankiwesi6727
@shabankiwesi6727 4 года назад
Hawa ndo mawaziri siyo wakuchekacheka hapa kaz tuu big up mh,jafo.
@michealndirie4687
@michealndirie4687 4 года назад
Watching fr Kenya Tanzania so funny 😅😅😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
@rasheedshaban2233
@rasheedshaban2233 4 года назад
Hakuna asie Fanya makosa tuangalieni utu kwanza dah inaumiza sana. Mambo mangapi hamiwatimizii wananchi lakini tupo kimya. Jueni kwamba sisi sote ni sawa mkubwa ni Allah tuu.
@nyavas41
@nyavas41 4 года назад
Maisha ya mtu nibora kuliko kitu chochote pamoja na huo uwaziri wako ulipaswa kuwa na ubinadamu mwenzako anaanguka haujuwi nini kimemsibu wewe kwa kibri chako unamwambiya nyanyuka? na hata haukujali kabisa ameanguka chini ya miguu yako wewe unaendeleya na porojo zako kama vile kanguka mdudu siyo binadamu mwenzako wacheni kujifanya waungu watu cheyo ulicho nacho ni zamana tuu leyo unacho kesho hauna kibri ni sifa ya mwenyezi mungu pekeyake siyo wewe.
@glumia920
@glumia920 4 года назад
Its Insane.. Mtu anapata Heart Attack halafu unamwambia Asimame badala ya kuita Awaishwe Hospitalin..
@ابنعثمن
@ابنعثمن 4 года назад
Amalize kazi ndipo apate ruhusa ya kukata roho!
@burtonsatshop2061
@burtonsatshop2061 4 года назад
Apige kazi kwanza kodi zetu
@prisscakalasa4996
@prisscakalasa4996 4 года назад
Yaan,utu umetoweka Tz
@LucyWillson-xo1ly
@LucyWillson-xo1ly 5 месяцев назад
Japo baba mungu akupe miaka mingi uishi sanaaa🥰🥰🥰
@yaqoubsalim99
@yaqoubsalim99 4 года назад
Oyaa WAZIRI Nazimia kidogo
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 4 года назад
😂😂😂😂hii kali ya kufunga mwaka hahahah
@maryammaram2612
@maryammaram2612 4 года назад
Kabisa January inanukia hiyoo😀😀😀
@godwindishon7033
@godwindishon7033 4 года назад
Duh pole sana mkurugenz ayo n maisha tyu
@suleimanhusseinmlinde4863
@suleimanhusseinmlinde4863 3 года назад
mashaallah nakupongeza sana waziri wetu piga kazi makufuli mdogo
@lonnie546
@lonnie546 4 года назад
Duh Nina wakati wangu mguumu ila jamaaa kazidiwa pole sana
@malakigerald8586
@malakigerald8586 4 года назад
Jinga sana eti kazi nzuri,huko ni kijificha kwenye kichaka cha karanga. Ana mradi alioupata kwa mlango wa nyuma Songosongo unamtafuna.
@godfreygood4748
@godfreygood4748 4 года назад
😂😂😂ama kweli mzaramo anaweza akakusuta mpk ukafa 😂😂😂😂😂😂hyu kazimia
@shabaazbikorwa2580
@shabaazbikorwa2580 4 года назад
Kama maigizo mana na presha imeshuka kweli hapa kazi tu mzee chali 😁😁😁😁😁😁
@kasendelukadi2047
@kasendelukadi2047 2 года назад
Africa tuna shida kwa kweli
@selemanimaneno9496
@selemanimaneno9496 4 года назад
Watu hawajala tangu asubuhi mheshimiwa unaingia mda wa lunch wanaahirisha kula wanasikiliza unavowagombeza basal metabolic rate inarud kwenye 0 wanazimia kwa kudata kweli hii hawamu usipojipanga utapangwa kama mkurugenzi alivopangwa
@khadejarajab8007
@khadejarajab8007 4 года назад
Hahahahaha eti we bwana simama hapa kazi 2😂😂😂😂
@hamidayusuph249
@hamidayusuph249 4 года назад
Jomon duuuh TZ SIHAMI😃😃😃😃😃😃😃Kuna Raha balaaaaa
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 5 месяцев назад
😂😂😂 tunaongalia 2024 gonga like hapa👇👇
@dianarosemassawe4824
@dianarosemassawe4824 4 года назад
Kinacho wafanya wengi wanaumwa wanazimia wana jifungia ndani wana kosa amani mbele za watu hofu hakuna adui mkubwa kama hofu ni kuishiwa nguvu pole baba
@mwitajohaness8816
@mwitajohaness8816 4 года назад
Dah kweli Mzee Wa watu hana hmu ikiwaza ana mkopo bank du anaona bora amwabgukie jafo
@sporamazua8942
@sporamazua8942 4 года назад
Duuh kwelii huu ndio uongoz sasa kazi iende speed safi sana wazur wataelewa
@jaham4481
@jaham4481 4 года назад
😄😄😄 Tunazimia kidigitali kwa step
@alwattanchinga
@alwattanchinga 4 года назад
Hahaaha
@rehemaramadhani1572
@rehemaramadhani1572 3 года назад
🤣🤣
@jubethraphael9909
@jubethraphael9909 4 года назад
Waziri Jafo ni kiongozi bora namkubari Sana
@zenobiakapere585
@zenobiakapere585 4 года назад
Haha kazi kweli kweli ! Hapa kazi tu hakuna ubabaishaji now days!!
@momalisandimbo1280
@momalisandimbo1280 4 года назад
Duuu
@jawadena2294
@jawadena2294 4 года назад
Barabara mbovu sana ya kwenda maramba raisi
@joevang4685
@joevang4685 4 года назад
duuu pole sana sana , japo aliyoyasema jafo yupo sawa
@antonyedward7295
@antonyedward7295 4 года назад
Umemwuonya vya kutosha mheshimiwa naamini atajifunza na umsamehe maana hata mungu huwa anamwuonya mtu aspobadirika ndo anachukua hatua ya kumwadhibu
@LucyWillson-xo1ly
@LucyWillson-xo1ly 5 месяцев назад
Jafo mungu akupe miaka mingi uishi ukweli umeuongea 🥰🥰
@jacobmsiganga4121
@jacobmsiganga4121 4 года назад
Pole sana Mkurugenzi...
@nataemsuya
@nataemsuya 4 года назад
Hehee🤣......*Eeeee bwana eeeh simama bwana*wakat mwenzio kaanguka 🤣🤣🤣.. halafu comedians ni wengi Tz,huyu mkurugenzi jinsi alivojidondosha ni km aliangalia kulia na kushoto halafu anajilaza pembeni ya miguu ya Mh.Jaffo🤣🤣
@hamidayusuph249
@hamidayusuph249 4 года назад
😃😃😃😃😃😃😃😃😃
@kidawanavutaisiakaliilison2178
@kidawanavutaisiakaliilison2178 4 года назад
@@hamidayusuph249 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mcutanorsonvanwillson2991
@mcutanorsonvanwillson2991 4 года назад
Hahahaaaa. We jamaa umejua kunifurahisha
@farahanafarer7588
@farahanafarer7588 4 года назад
Ameanguka itakuwa ni pressure mungu masimamie
@bongemenene2043
@bongemenene2043 4 года назад
ET Hebwana sima bwana
@mohamediyusuph4290
@mohamediyusuph4290 3 года назад
maisha haya bhana,huyu ni boss kabisa pole sana mzee vicent.
@separatebetres5315
@separatebetres5315 3 года назад
Maisha tu ya mpito haya
@mrsochu-hv7bm
@mrsochu-hv7bm 4 года назад
😥😥😥inatia huruma lakn kama vile baba yangu .....
@ignaspius
@ignaspius 2 года назад
Safi sana kufa kabisa.
@fidelndege1317
@fidelndege1317 3 года назад
Rafiki yangu S. Jafo umeona mambo ya mkurugenzi hayo! ni full pressure
@nehaan5054
@nehaan5054 4 года назад
Kmaa munguuu kaa mumbaa maumbile yaleyale ya munguu mtu ainaa hyo Hua hakujaaliwaa changanmkaaa yy mwenywee time hamnaa musidhani kmaa nataka wenzake laaah badaaa asharikiwaaa ki uchumii atakaa gorse no away road close ckufichii ckuttakii bakii uchoreee story maqtooob molaaa kkamjalia
@daudirajabu6798
@daudirajabu6798 4 года назад
Mbona wakati mnakula hela hamzimii mh jafo piga kazi nakukubali sana
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 4 года назад
Jafo bwana😆😆😆😆 eti WE BWANA SIMAMA😆😆😆😆 mtu kazima huyo boss!
@marthakambona4809
@marthakambona4809 4 года назад
Kanichekesha kweri jafo
@hawasalum7218
@hawasalum7218 4 года назад
umenichekesha
@bakarimohamedi5814
@bakarimohamedi5814 4 года назад
Mnaithamini sana Dodoma kwa miundombinu sawa ila njooni na huku chanika Dar es salaam mtusaidie barabara na sisi pia tunapata tabu
@khamisijuma3167
@khamisijuma3167 4 года назад
Mtauwa watu Sasa, mnajifanya Kama ndio mwatoa riziki zawatu, Mwenyezi Mungu ndiye aruzukuye
@jonasshija6542
@jonasshija6542 4 года назад
😃😃😃😃😃😃😃daaah mkurugenzi comedy
@sitellamatni6878
@sitellamatni6878 3 года назад
Chapeni kazi tumkumbuke baba zaidi💪
@edrickniwamanya9968
@edrickniwamanya9968 4 года назад
😂😂😂😂😂et mchaga na hela kazimia mkono upo kwa mfuko
@bintysaid7177
@bintysaid7177 4 года назад
Hataki mfuko uguswe amezimia zimia au amezimia
@husseinhassan4241
@husseinhassan4241 4 года назад
Edrick Niwamanya ahahaahaba imenifanya nicheeeke mchaga bhana
@jonassume7514
@jonassume7514 4 года назад
Hahahaaaa jamani sijaona mtu kuua kwa sauti...hiyo ya mwisho "simama kwanza" sijaisikia vizuri hebu mniongezee vol.
@ayubumwakamisa1979
@ayubumwakamisa1979 4 года назад
Safi sana waziri endelea kuwanyosha
@fadhilmohamoud
@fadhilmohamoud 4 года назад
Kama umemsikia mkurugenzi akiambiwa "Simama kwanza" gonga like😂😂
@geofreymhina1821
@geofreymhina1821 4 года назад
Hahahaaaaa simama kwanza ujibu maswali yako ndio ufe
@bintysaid7177
@bintysaid7177 4 года назад
Hahahaaaa
@ابنعثمن
@ابنعثمن 4 года назад
Acha ugomvi!
@retstyuternchimbi6379
@retstyuternchimbi6379 4 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@zaharahabibu7929
@zaharahabibu7929 4 года назад
Ana presha duu anaeza afe afanye kazi tuu
@allykutenga2862
@allykutenga2862 4 года назад
Kazi kwa sifaaa..
@poshney1204
@poshney1204 4 года назад
😂😂😂😂😂jamani baba mkwe wangu amkaaaaaa uwiiii
@elicykatole6019
@elicykatole6019 4 года назад
Umenivunja mbavu
@doreenmnyite2343
@doreenmnyite2343 4 года назад
Hakufanya vizuri😏😏😏😏
@happymsaki1720
@happymsaki1720 4 года назад
Jamani msicheke hali ni ngumu watu wana madeni uwiiii sipati picha ila mkurugenzi staafu waachie vijana kazi MOYO wako hauna uwezo wa speed hii ya 2020 walioona mkurugenzi kaishiwa NGUVU wanipe like
@barromapenziking3967
@barromapenziking3967 4 года назад
Jaman Mungu kosa moja unaweza kusamehe wala hutupelek kibabe dah
@rogersraymond2809
@rogersraymond2809 4 года назад
hahahahaha mchaga nomaa sanaa jamaa kazimaa uku mkono upo kwenye mfuko wa nyuma analinda wallet 🤣🤣😆😆🙌🏽🙌🏽🙌🏽Nani mwinginee kaona iyo?
@esaumahundi5076
@esaumahundi5076 4 года назад
Achakujiangusha mnafanya kazi kwa kujuana mtu hufanya kazi atakavyo mtu cc tz tunajuana ukicheka utavuna mabua uko vizuri waziri
@abasiwaiva7812
@abasiwaiva7812 4 года назад
Hahahahahha binadamu mwenzako2 wazimia cjajua cku hiyo mbele ya Allah itakuaje asee Jafo usiwe hivo asee
@ابنعثمن
@ابنعثمن 4 года назад
Inafaa kabla ya viongozi kwenda kukagua miradi watangulizwe madaktari kuwafanyia wanaoenda kukaguliwa medical checkup siku nne kabla,bila hivyo wataanguka wengi. Jamaa haruhusiwi kufa mpaka akabidhi kazi ya Jamhuri.
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 3 года назад
From 🇧🇮 Saudia 🤣 🤣 nimesheka san kama mazim🤣🤣🤣kazi Kaz
@mafingaboreshaafya6414
@mafingaboreshaafya6414 4 года назад
Asante
@babamildatmkdsm5234
@babamildatmkdsm5234 4 года назад
Imeniuma utasema ndugu yangu... Toka muda nilikuwa namuona moyo unamuenda mbio.. ana presha ya kushuka jamaa
@allyahmed4014
@allyahmed4014 4 года назад
Mkurugenzi kazimia lakini mkono upo kwenye mfuko wa nyuma anaogopa wazee wa kuchomoa betri wasije jiongeza 😂😂😂
@januaryyotham8652
@januaryyotham8652 4 года назад
Hongera waziri
@allymwanga5662
@allymwanga5662 4 года назад
Ukisikia mzaramo ndio huyu anakusema mpaka unazimia😂
@shabanimohammed986
@shabanimohammed986 4 года назад
Ally Mwanga 😂😂😂
@liliansukhe3386
@liliansukhe3386 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@hanceibrah8700
@hanceibrah8700 4 года назад
😂😂😂
@jarifbugumba9539
@jarifbugumba9539 4 года назад
Nilikuwa nasikia tu,ila nimeshuhudia aisee
@wahidashabaz5982
@wahidashabaz5982 4 года назад
😁😁
@fredyjack6323
@fredyjack6323 4 года назад
Hapa kazi tu
@barakamwakapoma2702
@barakamwakapoma2702 4 года назад
Safi sana wazir Wangu walishazoea vya mteremko hahahaha awamu ya tano hapa kazi tu
@clementgerald2988
@clementgerald2988 4 года назад
Daaah noma Sana hapa ndo kaz Tu kweli
@stanydizzy480
@stanydizzy480 4 года назад
eeh bwana eeh simama bwana🤣 daaah kma mzry
@retstyuternchimbi6379
@retstyuternchimbi6379 4 года назад
😂😂😂😂😂😂
@nehaan5054
@nehaan5054 4 года назад
Hakunaa loves hpaaa uwongooo kurukaaaa😜😜😜😛😛😛👋🤣🤣
@kesheymichael5354
@kesheymichael5354 4 года назад
Oo pole bwana
@mpesmail1834
@mpesmail1834 2 года назад
Huyo mpiga video mbona anamkata mkandarasi kwenye frem ya picha.? Tunamona waziri tu..
@worldtechnology492
@worldtechnology492 4 года назад
Tanzania tumeshaozea uzembe maengineer awana msimamo hawana passion ya kazi yaaan bora mueke wakorea au wachina tyuu wabongo wavivu mno
@mariamabdullah489
@mariamabdullah489 4 года назад
Sisi Ndiyo Wazaramo Original Tunamsuta mtu mpaka anazima kedadadeki, mchaga kazimia mbele ya mzaramo
@kassimkassim6386
@kassimkassim6386 4 года назад
Nimecheka kwa sautii
@kinjeketilengwale1141
@kinjeketilengwale1141 4 года назад
Mariam Abdullah 😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂 mbavu zangu wazaramo noma😂😂😂😂😆😂
@kassimkassim6386
@kassimkassim6386 4 года назад
Ni shida
@kabaiyukyasnider6797
@kabaiyukyasnider6797 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 4 года назад
Jaman mnatuonea wachaga hatujuwi kuongea😁😂😂
@ramadhansagutangu5145
@ramadhansagutangu5145 4 года назад
Mutakoma tu hapa kazi tu
@corneliashawa335
@corneliashawa335 4 года назад
Mmmmh hapana hizi kazi siziwezi👐
@josephatkichanilo3802
@josephatkichanilo3802 4 года назад
msichukuwe kz awamu hii kama amziwez mtaishia jela jaman hii awam hatar
@juliasdiyagu6585
@juliasdiyagu6585 3 года назад
Dah unapewa kazi alafuwakiona nyingi wnakata daaaaah inatosha sasa
@najmarushda4390
@najmarushda4390 4 года назад
Da huyu mzee kanichekesha duuu maana hiyo anguka yake tu miee hoi hahahaha duu hii awamu nomaa
@kingfrenk5230
@kingfrenk5230 4 года назад
Mnajuana msituzingue hapa
@hamismasoud8306
@hamismasoud8306 4 года назад
Pumabaavuu walizoea kupiga sana pesa za serikali lkn sasahivi ukipiga ujue unapiga roho yako 😂😂😂
@aminaomary908
@aminaomary908 4 года назад
😂😂
@johnlaoz1416
@johnlaoz1416 4 года назад
Mi naona siyo mpigaji mana hajasema upungufu wake uko wapi
@BontamLee
@BontamLee 4 года назад
Hatari kweli kweli,,mjomba KIKWETE,tunakufa huku wapiga dili.
@isaacsimon3580
@isaacsimon3580 4 года назад
Mzaramo anaweza akamsuta mtu mpaka akazimia. Jafo amedhihirisha hilo. Engineer kazimia! Hahahahaha!
@rajabmsinzia7921
@rajabmsinzia7921 4 года назад
😂😂😂😂😂😂duh noma yaani hii serikali ya mzee Magu ni balaa 😂😂😂nimecheka hadi nimehisiwa ni kichaa wallahi duh
@njombehcboreshaafya6450
@njombehcboreshaafya6450 4 года назад
Mh eshimiwa unasema mwenzako asimame huku anatengeneza niagieni.?
@leonardchazy2070
@leonardchazy2070 4 года назад
Jamani inauma sana sana mtu ana kusema mpaka unaanguka..daa Mungu shuka walimwengu tunakuliliaa pole sana mkurugenzi.
@mamajoel4522
@mamajoel4522 Год назад
Mungu alisikia maombi akashuka
@barakaalmas3399
@barakaalmas3399 4 года назад
Bora ukalime kuliko kuomba kaz kwa utawala huu🙆🙆🙆🙆🙆
@pastorbonnyphillip8945
@pastorbonnyphillip8945 4 года назад
Wewe AMKA bwana......😂🤣😂🤣😂
@yustajoakim4879
@yustajoakim4879 4 года назад
Pastor Bonny Phillip
@bintysaid7177
@bintysaid7177 4 года назад
Hahahaaa
@FatmaFatma-hu4cr
@FatmaFatma-hu4cr 4 года назад
😂😂😂😂😂😂
@khadijagundumu6210
@khadijagundumu6210 4 года назад
🔥🤣🤣🤣🔥🤣🤣🤣
@djohn5621
@djohn5621 4 года назад
Kari ya mwaka 2019. Mara ya kwanza kotokea. Awamu ya tano ni kiboko
@kingjulius8264
@kingjulius8264 4 года назад
Jamaa alitakiwa kuwa honest yasingefika mbali ukweli ni mkombozi
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 4 года назад
Nasikia wazaramo wanakusema mpaka unafariki nimeamini kwa hili
@khadeejaabdullah7083
@khadeejaabdullah7083 4 года назад
Hahahaaaa
@ernestmateo6967
@ernestmateo6967 4 года назад
Hahahhahahah wazaramooo noma
@babaonyinye6889
@babaonyinye6889 4 года назад
Hahaha nimecheka sana
@kinjeketilengwale1141
@kinjeketilengwale1141 4 года назад
Ramadhan Masiku 😂😂😂😂😂
@dr.arthurnkalango3540
@dr.arthurnkalango3540 4 года назад
😂😂😂
@jacklinemoshi8487
@jacklinemoshi8487 4 года назад
Ee bwana ee simama kwanza,kama umesikia hiyo gonga like
@victorleopard1340
@victorleopard1340 4 года назад
Kasutwa hadi kazimia😀😀😀 Usicheze na wazaramu. Ila Masawe kwa kuzuga😀😀😀 Eti kazimia hapo
@bintysaid7177
@bintysaid7177 4 года назад
Bila kasutwa bila maturumbeta yuazimia je akufuatwa na maturumbeta utakuaje hahaaa
@abuuashyam8417
@abuuashyam8417 4 года назад
5:55 ndo kaanguka usimalize mb wapendwa
@subiraomar8043
@subiraomar8043 4 года назад
Asante
@dorotheajoseph2038
@dorotheajoseph2038 4 года назад
😁😁😁
@KHAIRIYYAONLINETV
@KHAIRIYYAONLINETV 4 года назад
@@subiraomar8043 ok
Далее
Пришёл к другу на ночёвку 😂
01:00
ДОКАЗАЛ ЧТО НЕ КАБЛУК #shorts
00:30
Bike vs Super Bike Fast Challenge
00:30
Просмотров 21 млн
Cheki msafara wa Rais Magufuli ulivyoingia Chato
1:55
Просмотров 409 тыс.