Тёмный

MUONEKANO WA NDANI NA NJE WA TRENI ZA MWENDOKASI "INTERNET NI BURE, SPEED NI KASI" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 77 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 фев 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 340   
@_born84
@_born84 5 месяцев назад
With this new railway Tz is set to be a serious logistics hub in Africa . Congratulations Watanzania!
@nzizajovinpaul4955
@nzizajovinpaul4955 5 месяцев назад
Tanzania nchi tajiri na Mama samia atasababisha wananchi wapate usafiri Mzuri. ❤❤❤ Keep Moving forward Tanzania.
@martinisadru9899
@martinisadru9899 5 месяцев назад
Dr, Samia yupo vizuri, na hatuna shaka nae, maana alikua pacha wa jpm, shida ni Yale mafisadi yalio chini yake.
@anoldjose7793
@anoldjose7793 5 месяцев назад
Tuyataje au tuyaache😂😂
@user-kk9jn8dp9m
@user-kk9jn8dp9m 5 месяцев назад
Yataje
@user-oz6zp8fr1c
@user-oz6zp8fr1c 5 месяцев назад
Maua maua ndugu yetu Hayati Magufuli. Pumzika kwa Amani Baba
@sultansallah8772
@sultansallah8772 5 месяцев назад
Ndio nn
@Tzflower
@Tzflower 5 месяцев назад
AMBACHO HUJAKIJUA NI KIPI@@sultansallah8772
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 Месяц назад
Machoko utayajua humu
@HassanMoha-rc8oq
@HassanMoha-rc8oq 5 месяцев назад
Hongera nchi ya Tanzania Hongera mama samia songa mbele kwa kujenga Tanzania 🇹🇿
@J4UPro
@J4UPro 5 месяцев назад
Hongera sana baba huko uliko
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 5 месяцев назад
MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI 💪💪💪🇹🇿 Hakika Raisi Dkt John MAGUFULI alitengeneza ALAMA icon ambayo haitasahaulika milele na Taifa 🇹🇿 na DUNIA 💪💪💪💪
@salimsaid9852
@salimsaid9852 5 месяцев назад
Hongera sana Mama Samiha.Treni zimependeza sana ila hofu yangu ni suala La usafi sijui tumejipangaje.na Walichofeli Waandishi wa habari kwenye hii dhiara ya majaribio hawakuwauliza wakurugenzi juu ya suala la USAFI.
@victormbagga1821
@victormbagga1821 5 месяцев назад
Usafi please na utunzani Sio mauchafu kutupwa ovyo
@davidluangisa4515
@davidluangisa4515 5 месяцев назад
Wahoooo am exceedingly humbled am profoundly honoured in My President 's leadership. Her Excellency Samia Suluhu Hassan...
@KomboHajj
@KomboHajj 5 месяцев назад
Ongea kiswahili wew
@vero57
@vero57 5 месяцев назад
Asante sana magufuli, ndiyo leo wamemaliza kazi ya train 🚉
@edwinmakingi3631
@edwinmakingi3631 5 месяцев назад
Bado hawajamaliza, bado sana
@halunimnenwa5224
@halunimnenwa5224 5 месяцев назад
Uyo dada anasema asane laisi samia kwa kulinda kibarua chake ionekane samia ndo anafanya kaz hii lakin kwenye comet ni magufuli2 we ka na uyo samia wako
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 5 месяцев назад
Hongera Mama Samia kwa kazi nzuri
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 5 месяцев назад
​@@halunimnenwa5224 Na wewe nenda chato kakae na huyo Magufuli wako
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 5 месяцев назад
Hongera Mama Samia kwa mwendelezo na Kupiga hatua mbele
@idrisadalluc4498
@idrisadalluc4498 5 месяцев назад
Kuna vingi vya kumuiga mzee wetu magufuli mungu amsamee baazi yamakosa yake🙏🙏
@J4UPro
@J4UPro 5 месяцев назад
Hakuna aliyekamilika mkuu.
@user-ir5mc7vk8b
@user-ir5mc7vk8b 5 месяцев назад
Asante Mungu kwa neema hii ya usafiri huu hii hakika ni hatua kubwa Sana
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 4 месяца назад
Rais SH.Kazi nzuri endelea hivi hivi kuipatia maendeleo makubwa nchi yako Tanzania ndo nyumbani tutazunguka huko tutarudi nyumbani Tanzania.Big up SH,My president.
@seifwashule274
@seifwashule274 5 месяцев назад
big question is! je tutaweza kuendeleza na kutunza, au itakuwa kama mabasi ya mwendokasi☹
@Calex-the-Pilot
@Calex-the-Pilot 5 месяцев назад
Ningependekeza Rangi ya viti vya Bussiness ibadilishwe au ifanyiwe ubunifu ipendeze, rangi moja tu tena ya orange haiji kabisa! Viti vya Economy vina muonekano mzuri kuliko vya Bussiness!
@user-zy6vq6lz7z
@user-zy6vq6lz7z 5 месяцев назад
Jembe Magufuli aliona mbali , iko poa sana
@lameckmagunya7013
@lameckmagunya7013 5 месяцев назад
Hongera kwa serikari
@jkifutu7936
@jkifutu7936 5 месяцев назад
Baba magufuri tutakukumbuka 😢😢😢 daima
@TwoBrother-tc2cu
@TwoBrother-tc2cu 5 месяцев назад
Tusiwe wabinafsi,magufuli kweli alianzisha lkn si wapo walioendeleza!kwanini wote tusiwapongeze?
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 5 месяцев назад
Hakika Jembe letu baba upumzike kwa amani , amina🎉🎉🎉
@selemanisalum7685
@selemanisalum7685 5 месяцев назад
Hasante marehemu maghufuri kwa kuanzisha treni hii na hongera mama samia kwa kukamilisha treni kufanyakazi leo
@harounkiyungi7288
@harounkiyungi7288 5 месяцев назад
Hongera sana Tz hongera Mama yetu Samia hongera Watanzania wote kwa ushirikiano na mapokezi mazuri
@mwinyimatopa2283
@mwinyimatopa2283 5 месяцев назад
Hongera Sana Kwa serikali na za kipekee Kwa magufuli huko aliko
@patrickKitambo
@patrickKitambo 5 месяцев назад
Magufuli hayupo kimwili lakini bado anaendelea kufanya kazi
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 5 месяцев назад
Kama lengo ni kumpongeza hayati Magu basi na Mh SSH apewe maua walikua wote.Tusisahau hio plz😂😂👏👏👏
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 5 месяцев назад
Mimi nina wasiwasi mkubwa kwenye usafi wa ndani na nje ya treni,na ubora wa huduma zote,tukifeli hapo kwa muda mfupi treni itakuwa haitamaniki kabisa!
@evansokemwa6587
@evansokemwa6587 5 месяцев назад
kweli tanzania imendelea sana kuliko kenya pongezi wa bongo
@martinstarford6209
@martinstarford6209 5 месяцев назад
lazima mtaje Kenya
@user-yi8qv1lg5e
@user-yi8qv1lg5e 5 месяцев назад
KAZI IENDELEE 🎉🎉🎉🎉🎉
@jkomedikaduli
@jkomedikaduli 5 месяцев назад
Maguuu maua yake huko mbinguni amen
@letthedeadburythedead2148
@letthedeadburythedead2148 5 месяцев назад
Nani kakwambia yupo mbinguni
@dullahmmebela5624
@dullahmmebela5624 5 месяцев назад
Mimi nimesema!!!​@@letthedeadburythedead2148
@adkajisi4536
@adkajisi4536 5 месяцев назад
@@letthedeadburythedead2148 basi huko aliko
@piusgadau6328
@piusgadau6328 5 месяцев назад
Kila kitu magu, magu nyie mnazani hakuna mwingine angeweza kufanya hivo...
@radhiaomary5591
@radhiaomary5591 5 месяцев назад
@@piusgadau6328kumbuka yy ndo kaanzisha
@mamasalhat
@mamasalhat 5 месяцев назад
mashaAllah kama ndege❤
@outzone66
@outzone66 5 месяцев назад
Huyo alikwenda kunawa kwenye fountain tap itakuwa haijui matumizi yake. Hiyo ni kwa matumizi ya kunywa maji
@TwoBrother-tc2cu
@TwoBrother-tc2cu 5 месяцев назад
Mh!umemuona kumbe?
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 5 месяцев назад
Ndio wanatakiwa wawafundishe abiria jinsi yakutumia vitu vilivyomo humo ndani bila hivyo ni shida.
@robertmkude8234
@robertmkude8234 5 месяцев назад
Thanks JPM & SSH
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 5 месяцев назад
Msingemuua mwamba mpaka Leo tungekuwa mbali sana ... Rip malume Magu walikuua ili wanifanye wao ndio walioleta maendeleo
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 5 месяцев назад
Pole😅
@robertphilip385
@robertphilip385 5 месяцев назад
Yule mjinga na yeye aliua wengi anaeua Kwa upanga nayeye atauwawa Kwa upanga kwahiyo utetee ujinga
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 5 месяцев назад
@@robertphilip385 alimuua nani Kwa ujinga acha kusifia wapumbavu wanaojiita viongoz wakat wanakula rushwa tu ... Hayo maendeleo unayoyaona Leo ni mipango ya magufuri yote ... Mnasifia kiongoz anaueshindwa kubalance bei ya sukari na miunodombinu ya umeme nchi gani hiyo
@robertphilip385
@robertphilip385 5 месяцев назад
@@mancholotrasco8350 Ben sanane nawengine wengi alijaribu kumua Lisu mungu akakataa likafa yeye jinga kabisa
@robertphilip385
@robertphilip385 5 месяцев назад
@@mancholotrasco8350 Ben sanane nawengine wengi alijaribu kumua Lisu mungu akakataa likafa yeye jinga kabisa
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 5 месяцев назад
PONGEZI kubwa kwa Raisi Dkt John pombe MAGUFULI
@susanmauno8207
@susanmauno8207 5 месяцев назад
Congratulation tanzanian thats a big step
@evancymassawekenya7521
@evancymassawekenya7521 5 месяцев назад
Tanzania congratulations and I hope magufuli alifanya makubwa walio achiwa wanatekeleza vizuri kazi iliyo bakia kongole Mama samia
@rasjamal9854
@rasjamal9854 5 месяцев назад
R I P Magufukuli uliyo achaa bado na endelea Kwa wa Tanzania Allah akupe Nuru uko uliko Sleep well still remember you comred
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 5 месяцев назад
hili ni wazo la jakaya ndie alieanzisha maqufuli akarithi rejeeni historia
@user-fl3fb5gh6b
@user-fl3fb5gh6b 5 месяцев назад
Atii wazo la kikwete,mbona alishindwa
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 5 месяцев назад
@@user-fl3fb5gh6b alishindwa wapi wewe wafadhili wakwanza katika ujenzi huu wa reli ni nani aliewashauri au ulikua bado unanyoya?
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 5 месяцев назад
​@@user-fl3fb5gh6bna huyo magu wenu pia kashinda. Bisamia oyee. Magu kazi yake alikuwa ni kufilisi watu tu
@MursalLusinde
@MursalLusinde 5 месяцев назад
Lazma ujue kwamba sio kila mpango mkakati unapo pangwa na serikali ni lazma ufanyike kwa wakati huo huo hasa ktk miradi mikubwa ya kimkakati inahitaji umakini wa hali ya juu ikiwezekana yanakusanywa maoni juu ya kilicho wasilishwa hivyo basi wala usikatae hii miradi mikubwa ya nchi inakuwepo ila utekelezaji wake ndo huchua muda wazo linakuja awamu ya 6 ila utekelezaji unakuja awamu hata ya 8​@@user-fl3fb5gh6b
@user-xk8nc2ii2u
@user-xk8nc2ii2u 5 месяцев назад
Hongera sana kazi inaendelea
@ABUBAKAROMAR-vz7jl
@ABUBAKAROMAR-vz7jl 5 месяцев назад
Kusema kweli mumetushinda yetu ya kenya
@abdallahkihanza482
@abdallahkihanza482 5 месяцев назад
Ubinadamu KAZI, tayari mmeshamsahau muanzilishi wa huo mradi hazungumziwi magufuli kabisa sifa zote mnapa mtu mwingine, msiwe waizi wa fadhili, mpeni Maua yake hatakama hayupo duniani
@adkajisi4536
@adkajisi4536 5 месяцев назад
Yani Kuna mpuuzi mwingine huko juu eti Jakaya ndo alitoa wazo
@tonotvonline3070
@tonotvonline3070 5 месяцев назад
...R.I.P MAGUFULIII🙌
@ZawadianaMwangosi-is2jm
@ZawadianaMwangosi-is2jm 3 месяца назад
Hongera mama samia
@user-kg2fe7dd2v
@user-kg2fe7dd2v 5 месяцев назад
Nampongesa rais wetu samia , hakika hajatuangusha , huyu ni kiongoz kwelikwel
@jbmaru96
@jbmaru96 5 месяцев назад
Much better than Kenya big up wooooohoooooo
@trophywilson7211
@trophywilson7211 5 месяцев назад
is Coming
@BakariIssa-nx3yf
@BakariIssa-nx3yf 5 месяцев назад
Magu hooooyeeee mungu akupunguzie adhabu uko ulipo wameaanza kujaribu miladiyako baba ila wameiijumusana Sina uakika Kama watamaliza Kama ulivyotaka iwe baba watu wanaujumusana miladiyako
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 5 месяцев назад
Naomba kazi
@ismailisungura3491
@ismailisungura3491 5 месяцев назад
Tuta kukumbuka daima JPM congratulations jembe
@salimshuba5804
@salimshuba5804 5 месяцев назад
160kph ni ndogo sana kwa tren ya umeme...inabid iwe kuanzia 200kph na zaid
@twalebleboss9687
@twalebleboss9687 5 месяцев назад
VERY COOL..Lakini nimeshangaa kuona katika VIDEO HII kwenye dakika ya 3:32 ....UTAONA TRENI IKIWA NJIANI KWENYE MWENDO HUKU BAADHI YA MILANGO IKIWA WAZI.....Huku EUROPE HAKUNA TRENI YA UMEME INAYOWEZA KUFANYA KITUKO KAMA HICHO...#USALAMA KWANZA ... NI KOSA KUBWA HATA IKIWA NI MAJARIBIO...HAIRUHUSIWI....
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 4 месяца назад
Ndio Bongo hii mzazi acha tu
@nassrabarwani1548
@nassrabarwani1548 5 месяцев назад
Tuitunze jamani tuwache Uswahili na tuwe na nidhamu big up Tanzania!
@kevoowade2794
@kevoowade2794 5 месяцев назад
Nice one
@salmanmagwe2612
@salmanmagwe2612 5 месяцев назад
Kwa namna ya usafi wa wa Tz na kutokujali mambo nina wasiwasi wa kujaa kunguni humo. Tukijengewa hata masoko mazuri ghafla utaona wengine wanauza bidhaa chini na kujipikia hovyo hovyo ktk mazingira machafu, Kwa kifupi hatupendi kulinda usafi
@piusjaphet2760
@piusjaphet2760 5 месяцев назад
Msifieni basi na JPMagufuli huyo ndio mwamba aliye tufumbua macho na kuweka kifua mbele
@youngrich6661
@youngrich6661 5 месяцев назад
Tanzania on top
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 5 месяцев назад
PONGEZI kubwa Ziende kwa Raisi wetu DKT John pombe MAGUFULI 💪💪🇹🇿🫡
@QueenMushi
@QueenMushi 5 месяцев назад
Tunaomba ifike na kilimanjaro arusha jamani 😊
@timotheeciza1592
@timotheeciza1592 5 месяцев назад
Hongera sana président Samia na heshima kubwa sana kwa malehemu Magufuli
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 5 месяцев назад
Mama Samia namba one tz. Hana ubaguzi yy ni kazi kazi. Wenye roho nyeusi wabakinazo tu.
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 5 месяцев назад
Samia kafanya Nini wew boya!
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 5 месяцев назад
@@miltonjohn9779 boya mwenyewe mkundu mweusi kama nyani. Ww huwezi kuona kafanya nini kwani roho yako inachuki binafsi. Chuki zinamfanya mtu awe kipofu.
@user-mz2wx5dt9v
@user-mz2wx5dt9v 5 месяцев назад
Magufur mungu akutunze pastor
@jactonmoris3034
@jactonmoris3034 5 месяцев назад
Bale kigamboni Ile Panton Kuna TV sijui Ile TV inafanya kazi gani hiii miaz kumi na Moja napita na mv hapa kazi tv Ile sijui wausika wapo kaburini😊
@amospotievents960
@amospotievents960 5 месяцев назад
Itawaka kipindi cha kampen kuwa mtulivu😂😂😂😂
@khadujifuad9360
@khadujifuad9360 5 месяцев назад
Nawaza huo mgao wa umeme sasa?
@andrewmashika3756
@andrewmashika3756 5 месяцев назад
Hongera TRC. Hio full a/c ikipata hitilafu madirisha yanaweza kushushwa?
@jumashedafa
@jumashedafa 5 месяцев назад
Mama fanyen kwel tok dar to arusha kabla ya afcon itakuw mmechez...watu watatak kutalii zaid kupitia tren
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 5 месяцев назад
👏👏👏👏👏👏👏👏
@boazmvellah6286
@boazmvellah6286 5 месяцев назад
Mbona za wenzetu hazipo hv au zile ni za Gesi😂😂😂😂
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 5 месяцев назад
mtumba huu 🤣🤣🤣 ulikuwa ushatupwa wao wameenda kuununua
@adkajisi4536
@adkajisi4536 5 месяцев назад
Samahani mwenzako yupi 😂
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 5 месяцев назад
Mwenzako yupi? Hatuwezi kua grade moja hapa duniani labda mbinguni😂😂😂
@adkajisi4536
@adkajisi4536 5 месяцев назад
@@KiongoziMwandamizi hata mbinguni hawezi kalia kiti cha Musa,
@KapuliMkayala
@KapuliMkayala 3 месяца назад
Ongeleni sana
@saidsalum6101
@saidsalum6101 3 месяца назад
Magu kwanini mnashindwa kumtaja mnatufanya sisi niwajinga hatujui amewakosea nini magu jamani toka aondoke magu mambo yamekuwa nimagum sana magu aliacha kuonganishiwa umeme elfu ishirini tu toka aondoke imekuwa nizaidi yalaki tatu hamuoni utofauti nimkubwa sana
@gazzomaster9462
@gazzomaster9462 5 месяцев назад
Magu angekuepo Hadi leo bongo ingekua inakalibia kufanana na South Africa
@jonijomk3107
@jonijomk3107 5 месяцев назад
🤪🤪🤪🤪🤪🤪
@khadujifuad9360
@khadujifuad9360 5 месяцев назад
Amka ukakojoe ulale naona bado umelala
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 4 месяца назад
Yeah! Tanzania kila la heri na maendeleo.
@franssmoses6791
@franssmoses6791 5 месяцев назад
Amna treni hapa temepigwa kwa wenzetu izo ni treni za kubeba mizigo muonekano wa nje kama semi trela
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 5 месяцев назад
Nakupenda Tanzania
@clememallya4257
@clememallya4257 5 месяцев назад
MAGUFULI ❤R.I.P
@user-py9sr5zx4v
@user-py9sr5zx4v 5 месяцев назад
Abilia wssije wakang"oa viti!
@exprodigitaltechtv5571
@exprodigitaltechtv5571 5 месяцев назад
ziitwe JPM rail ways hilo jina la mwendokasi limekaa kishamba sana
@Keytv254
@Keytv254 5 месяцев назад
Tanesco naye ni nani😂😂😂
@anoldjose7793
@anoldjose7793 5 месяцев назад
Hawamjui vzr.. Ye yuko pale anawazoom tu😂😂
@ContentSmartphone-rq6po
@ContentSmartphone-rq6po 5 месяцев назад
Dada unaongea points tupu😊😊😊
@adamuselemani6173
@adamuselemani6173 5 месяцев назад
Hamna treni treni wamesha ichakachua ilitakiwa ije ya kufanana na ndege Hiyo ndio mwendo Kasi,,,Sasa hii Kama ya kwenda kigoma 😮😮😮😮😅
@lupamwakyusa1582
@lupamwakyusa1582 5 месяцев назад
R I P Magufuli 💪, japo sidhan kama ndo ilikua aina ya mabehewa uliyoyakusudia na mda ulioupanga kuanza kufanyakazikwa trenii
@IreneMwanaa-zo2wz
@IreneMwanaa-zo2wz 5 месяцев назад
Waooo
@isaacmusa2977
@isaacmusa2977 5 месяцев назад
😂😂😂ata hawa wamegongwa pia...
@gabrielzakaria2810
@gabrielzakaria2810 5 месяцев назад
Bayaaa! Eti kutoka dar to moro masaa matano!! C bora Nipande abood
@abdallahomary515
@abdallahomary515 5 месяцев назад
Mnajitoa ufahamu mwanzilishi hatajwi kabisa,
@ArcadoBaliseka-yt5ox
@ArcadoBaliseka-yt5ox 5 месяцев назад
Tren yenyewe yamwaka 70 tunataka treni ya mchongoko sio hiyo
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 5 месяцев назад
tumba hilo la kizamani
@adkajisi4536
@adkajisi4536 5 месяцев назад
@@whatisthetruth.8793 lakini hili tumba pia hatukuwa nalo
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 5 месяцев назад
I si ya mtumba ya mtumba mabeewa yamefika yale ya gorofa bado vichwa
@user-il5rk1ul4f
@user-il5rk1ul4f 5 месяцев назад
Safi sana ila naomba nauli isiwe kubwa sana
@thedaveiknow.
@thedaveiknow. 5 месяцев назад
This is way better than the kenyan SGR..and for way cheap..Uhunye alituosha manze😢
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 5 месяцев назад
Kama Uhuru aliwaosha,Ruto atawakatakata Kama kitunguu.
@godfreynoya6670
@godfreynoya6670 5 месяцев назад
👏👏👏👏
@Iam_mgahivevo
@Iam_mgahivevo 5 месяцев назад
Ishu ni yatadumu au ndio wahusika watachukua Salio la wamiliki wa mabasi ili wayauwe ili wapate wateja kwenye mabasi
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 5 месяцев назад
Hilo nalo neno na mafundi wanaojua kuyarekebisha wanao au mpaka watoke nje.
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 4 месяца назад
Hizo siti za Watu watatu hapana aisee.... sijui watakuwa wanapima watu kg.....
@edwinmakingi3631
@edwinmakingi3631 5 месяцев назад
Daima tutakukumbuka Magu, wala sikwa mabaya.
@MenelusCzar
@MenelusCzar 3 месяца назад
@HamisiMsami-ol3zk
@HamisiMsami-ol3zk 5 месяцев назад
JPM❤
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 5 месяцев назад
M'mungu ailinde Tran hii amen🙏
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 5 месяцев назад
Mungu harindi train bari ninyi msiharibu train hiyo. Kwakua mungu hatokushika mkono usiharibu kama unataka kuharibu.
@fortidaskashaigili7496
@fortidaskashaigili7496 5 месяцев назад
Mfundishe watu ustaarabu Sasa, na ninyi pia muwe wastaarabu, lkn keep nyume na hilo jata hizo meza zitakiwa viti au stand za mizigo
@trophywilson7211
@trophywilson7211 5 месяцев назад
watakufa Bila kugundua Hahaha
@user-mw3pc5vm9k
@user-mw3pc5vm9k 4 месяца назад
Hakika yapendeza sana
@anordmwesiga8717
@anordmwesiga8717 5 месяцев назад
Mbona muda ni mrefu sana..dar to moro dk 90 ni nyingi sana..
@adkajisi4536
@adkajisi4536 5 месяцев назад
Ilibidi iwe 90mn
@ngulathfundikira4205
@ngulathfundikira4205 5 месяцев назад
Bas tutafanya dakika 9
@betyjoseph6812
@betyjoseph6812 5 месяцев назад
​@@adkajisi4536😂😂 ilibidi iwe 90 mn badala ya dk 90
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 5 месяцев назад
Magu❤❤😢
@SilaMinanda
@SilaMinanda 5 месяцев назад
Wifi kwa mabehewa yte, muhimu sana hyo kitu, lakn polini huko bado kuna shida ya internet labda kama mmeptisha mkongo
@Kabwela776
@Kabwela776 5 месяцев назад
Hongera sana Mama Samia , yeyote leo atakayekutukana Mama Samia Mimi ninaye 😊
@khamissaleh921
@khamissaleh921 5 месяцев назад
Zitsenda mpaka Nsirobi?
@FloraIkwabe-qy3yb
@FloraIkwabe-qy3yb 5 месяцев назад
Manno ya Magufuri haya
@Kabwela776
@Kabwela776 5 месяцев назад
Tatizo watanzania wengi sio wastaarabu na wachafu wape mwezi tu treni itakuwa kama choo
@haggaiandagile6232
@haggaiandagile6232 5 месяцев назад
Hapa ndio shida inapoanza ukawaida, kuchukulia vitu poa, kuharibu vitu...natamani wachapwe viboko hawa wachafuzi
Далее
PORTAL SPAMMER🤬🤬🤬| Doge Gaming
00:19
Просмотров 1,7 млн
Это реально работает?!
00:33
Просмотров 3 млн
Schoolboy - Часть 2
00:12
Просмотров 5 млн
MADEREVA WA TRENI KICHWA MCHONGOKO WAIVA
6:44
Просмотров 22 тыс.
PORTAL SPAMMER🤬🤬🤬| Doge Gaming
00:19
Просмотров 1,7 млн