Kwa mambo haya Yanayo onekana ktk macho Yetu watanzania inabidi Tumuombee tusichoke ktk Maombi yetu Dr Magufuli Vile vile Dr samia tusimsahau Kwa kazi alizo achiwa
Hii ni sawa na ndege ni umakini wa hali ya juu unapaswa kuzingatiwa, safety first na kuondoa kabisa mazoea (complacent') ili hivi vyombo vidumu na kuepusha ajali zembe, report every unusual incident before, during and even after, and cleanness and inspection ya chombo ni muhimu sana.. All the best Driver.. VIVA TANZANIA VIVA!!!
Tatizo hatu tunzi vitu angalia mgr hovyo,,, angalia mwendokasi bus,,,,hovyo,,,,, tuna weza tuza....bora Management iwe wa turkey aw wa Korea hatuwezi.....wata iba fencing wata iba chuma angalia miaka 2 from now
Congrats TZ .. That's a big achievement and I wanna say Bravo.... But..but..but.. I'm more concerned about it's passengers capacity.. 450 to 500 passengers at 150KPH is relatively small compared to Kenyan Diesel power SGR with a passenger capacity of between 1678 to 2300 passengers one way, cruising at 120KM/Hour... "I think something is not adding up for TZ SGR" .It's inversely proportional to the hype created about it .... I think Kenyan SGR is making sense..
What is the cost of electricity compared to diesel, and where do we pay the money for electricity and where do you pay for diesel, Tanzania sgr is something African countries need to learn
450 -500 passengers is EMU train, express short distance train,every hour they will be departing to and fro Morogoro or Dodoma,1600 -2000 passengers trains are long distance one,from Daresalaam to Tabora up to Mwanza and Kigoma,these are the ones the same like yours
Hivi ,Hakuna mpango WA Hao Wakolea kufungua kiwanda cha kujenga na ubunifu WA Train? Sio bei sana kufungua kiwanda na Technology tunanuna kwao.wataraam wetu amukeni basi
Hongera trc hongera sana lakini MTA weza tunza hizo ..... Jamani tu maintenance vizuri sio tu furahi mpya miakia miwili Ina kuja hovya kama reli ya mgr ..... Na ma basi mwendokasi....... Maintenance jamani Ina tu shindwa
Wabaguzi hao hawajawapa kazi wanawake ina maana Tanzania nzima hamna wanawake wangeweza kujifunza kuendesha treni mbona kuna marubani wanawake ATC ???? Hii ni bogus kabisa lazima ipigiwe kelele Na hata ajira zao Wale wahudumu wanawake inaonekana kama almost ni kabila moja au baadhi ya mikoa tu.
kuna Marubani wa Ndege , Manahondha wa Meli Madereva wa Magari na Hao wa Treni wanaitwaje au ndio Madereva kama wa Magari ya kawaida, wataalam tafadhalini naomba mnijuze hili
Wabaguzi hao hawajawapa kazi wanawake ina maana Tanzania nzima hamna wanawake wangeweza kujifunza kuendesha treni mbona kuna marubani wanawake ATC ???? Hii ni bogus kabisa lazima ipigiwe kelele Na hata ajira zao Wale wahudumu wanawake inaonekana kama almost ni kabila moja au baadhi ya mikoa tu.
Madereva mbona hamna wanawake???? 🙄🙄🙄🙄😳😳😳😕😕😕😕😡😡😡😡😡 hii sikuipenda kabisa ni mambo ya primitive Na kutoa ajira kwa kuangalia jinsia , waseme wanawake ni wangapi wamewaajili ambao ni madereva???? Tanzania haiwezekani hii we have to boycot kupanda hii treni ni ubaguzi wanawake wa Tanzania wametengwa kutoajiliwa wako wanawake mahiri
Wabaguzi hao hawajawapa kazi wanawake ina maana Tanzania nzima hamna wanawake wangeweza kujifunza kuendesha treni mbona kuna marubani wanawake ATC ???? Hii ni bogus kabisa lazima ipigiwe kelele Na hata ajira zao Wale wahudumu wanawake inaonekana kama almost ni kabila moja au baadhi ya mikoa tu.
Mbona asilimia kubwa hao madereva ni wazee ???? Kwanini msiajiri vijana wanaume Na wanawake , wazee baada ya muda afya ni mgogoro mara sight ya macho mbovu hivi hili shirika mbona kama halina vision nzuri hamna mshauri ???? Hii nchi ya ovyo sana yaani hamuwezi kuona siku za baadaye huwezi kuwapa mafunzo wazee ambao wengi wagumu hata kuadapt kwenye technologia mpya au mnataka kuua watu Na kwa Nini wanawake hamkuajiri this is very bias ????