Тёмный

MADEREVA WA TRENI KICHWA MCHONGOKO WAIVA 

TRC RELI TV
Подписаться 80 тыс.
Просмотров 24 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 58   
@bekabakari7394
@bekabakari7394 4 месяца назад
Kwa mambo haya Yanayo onekana ktk macho Yetu watanzania inabidi Tumuombee tusichoke ktk Maombi yetu Dr Magufuli Vile vile Dr samia tusimsahau Kwa kazi alizo achiwa
@abelg2488
@abelg2488 4 месяца назад
All the best madereva. Uadilifu ubora na bidii viwe ngao na nguzo katika utendaji wenu
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 4 месяца назад
Mdogomdogo Tanzania inaanza kung'aa kwenye miundombinu🎉🎉🎉🎉
@usamaahmed2624
@usamaahmed2624 4 месяца назад
Hii ni sawa na ndege ni umakini wa hali ya juu unapaswa kuzingatiwa, safety first na kuondoa kabisa mazoea (complacent') ili hivi vyombo vidumu na kuepusha ajali zembe, report every unusual incident before, during and even after, and cleanness and inspection ya chombo ni muhimu sana.. All the best Driver.. VIVA TANZANIA VIVA!!!
@zawadix9574
@zawadix9574 4 месяца назад
Tatizo hatu tunzi vitu angalia mgr hovyo,,, angalia mwendokasi bus,,,,hovyo,,,,, tuna weza tuza....bora Management iwe wa turkey aw wa Korea hatuwezi.....wata iba fencing wata iba chuma angalia miaka 2 from now
@usamaahmed2624
@usamaahmed2624 4 месяца назад
​@@zawadix9574very true..
@gervasally6979
@gervasally6979 2 месяца назад
Tena ikibidi Kila station kue na Ma ispector wa hivyo vyombo vya usafiri Ikifika tu waje wakague wamuhoji Captain hali ya chombo Yaani Sjui nsemeje
@ibraton4071
@ibraton4071 4 месяца назад
Hvi Hakuna bajeti ya kusafisha hilo jengo la zaman la reli ya zaman maana jengo zuri hila hapo pembeni pachafu sana
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 4 месяца назад
Mko sawa maana President Magufuri alifanya kazi kubwa sana
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 4 месяца назад
Jamani huu mchongoko wetu mbona hapo mbele Pako wazi au ndo mchongoko wa kitanzania ulivyo, unakuwa wazi hapo mbele😂😂
@jelasnkoma4240
@jelasnkoma4240 4 месяца назад
Pako wazi sababu ya "Railway Coupling" Yaani kuunganisha Kuna kofia yake ipo ndani haijavishwa ila wakivisha inachongoka.
@chrispinrafael3831
@chrispinrafael3831 2 месяца назад
Asante sana kManda
@HaulSidney
@HaulSidney 4 месяца назад
Ni uwongo tu,miradi inasusua tu, RIP JPM
@abdallahselemani6423
@abdallahselemani6423 4 месяца назад
Nenda wewe kainasue mbwa wewe umekaa hutembei ukaona
@inchallah6382
@inchallah6382 4 месяца назад
Congrats TZ .. That's a big achievement and I wanna say Bravo.... But..but..but.. I'm more concerned about it's passengers capacity.. 450 to 500 passengers at 150KPH is relatively small compared to Kenyan Diesel power SGR with a passenger capacity of between 1678 to 2300 passengers one way, cruising at 120KM/Hour... "I think something is not adding up for TZ SGR" .It's inversely proportional to the hype created about it .... I think Kenyan SGR is making sense..
@emilbocco5895
@emilbocco5895 4 месяца назад
What is the cost of electricity compared to diesel, and where do we pay the money for electricity and where do you pay for diesel, Tanzania sgr is something African countries need to learn
@alexissangali8650
@alexissangali8650 4 месяца назад
450 -500 passengers is EMU train, express short distance train,every hour they will be departing to and fro Morogoro or Dodoma,1600 -2000 passengers trains are long distance one,from Daresalaam to Tabora up to Mwanza and Kigoma,these are the ones the same like yours
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 4 месяца назад
Hivi ,Hakuna mpango WA Hao Wakolea kufungua kiwanda cha kujenga na ubunifu WA Train? Sio bei sana kufungua kiwanda na Technology tunanuna kwao.wataraam wetu amukeni basi
@zawadix9574
@zawadix9574 4 месяца назад
Kwanza kutunza hizi treni hatu wezi kabisa ata line ya sgr uta skia matatizo...
@herodiduma9906
@herodiduma9906 4 месяца назад
​@@zawadix9574kwa hiyo kulikuwa hakuna haja ya kutengeneza
@zawadix9574
@zawadix9574 4 месяца назад
Hongera trc hongera sana lakini MTA weza tunza hizo ..... Jamani tu maintenance vizuri sio tu furahi mpya miakia miwili Ina kuja hovya kama reli ya mgr ..... Na ma basi mwendokasi....... Maintenance jamani Ina tu shindwa
@Kabwela776
@Kabwela776 4 месяца назад
Wabaguzi hao hawajawapa kazi wanawake ina maana Tanzania nzima hamna wanawake wangeweza kujifunza kuendesha treni mbona kuna marubani wanawake ATC ???? Hii ni bogus kabisa lazima ipigiwe kelele Na hata ajira zao Wale wahudumu wanawake inaonekana kama almost ni kabila moja au baadhi ya mikoa tu.
@imanuelnguya9277
@imanuelnguya9277 3 месяца назад
Safi sana
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 4 месяца назад
Mwambieni mbarawa hiyo ndio Treni tunausubiri kwa hamu sana.
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 4 месяца назад
Kichwa gani hicjo buana! Magufuli alichoagiza na kilichokuja no tofauti
@benjaminyohana5581
@benjaminyohana5581 4 месяца назад
kuna Marubani wa Ndege , Manahondha wa Meli Madereva wa Magari na Hao wa Treni wanaitwaje au ndio Madereva kama wa Magari ya kawaida, wataalam tafadhalini naomba mnijuze hili
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 месяца назад
Anaitwa loco pilot au train driver
@Kivuruge255
@Kivuruge255 4 месяца назад
Station ni nzuri ila sas hiyo station ya mgr ndo kipenger mabati yamechakaa hakuna mandhali nzuri. Pafanyien maintenens bas nap papendeze
@mussamussa8181
@mussamussa8181 4 месяца назад
Zaid ya 150 ndo lugha gan si useme tu speed 160 basi
@hassanmpwepwe3826
@hassanmpwepwe3826 4 месяца назад
Mbana hao manahoza wenyewe waupande mmoja 2 duuu acha inyeshe 2one panavuja
@kwisa4899
@kwisa4899 4 месяца назад
Unapnda Traine kwa masaa 2 toka morogoro unafika uendako kwa masaa 2 sehemu ya 30km
@Kabwela776
@Kabwela776 4 месяца назад
Kwa hiyo hicho kichwa huko mbele kitakuwa wazi ?
@IbrahimMohamed-c3c
@IbrahimMohamed-c3c 3 месяца назад
R.I.P JPM 😢
@Peterkamgisha
@Peterkamgisha 3 месяца назад
Safi sana ila kadogosa atukumbuke sisi tuliojitolea kujenga sgr mpaka hapo tunaomba atupe ticket na sisi tunufaikw
@yasiniSwedi-qg5oc
@yasiniSwedi-qg5oc 4 месяца назад
Mmechakachua c zile alizonunua jpm
@modenasayi
@modenasayi 4 месяца назад
Lini mnaanza test ???
@Kabwela776
@Kabwela776 4 месяца назад
Wabaguzi hao hawajawapa kazi wanawake ina maana Tanzania nzima hamna wanawake wangeweza kujifunza kuendesha treni mbona kuna marubani wanawake ATC ???? Hii ni bogus kabisa lazima ipigiwe kelele Na hata ajira zao Wale wahudumu wanawake inaonekana kama almost ni kabila moja au baadhi ya mikoa tu.
@pascojm6816
@pascojm6816 4 месяца назад
Sasa kama hao wanawake hawajitokezi au hawana sifa unawalaumu nini? ​@@Kabwela776
@dennismacha9941
@dennismacha9941 4 месяца назад
Ndugu mwandishi tafadhali.hawaitwi madereva.wanaitwa manahodha.kiswahili fasaha kizingatiwe
@deven.oauditx7547
@deven.oauditx7547 4 месяца назад
Siyo manahodha ni madereva. Manahodha ni wa meli.
@ototek8037
@ototek8037 4 месяца назад
Jikaguwe kwanza, nahodha baharini huko! mitumbwi boti na meri. Kwa nchi kavu dereva, angani ni rubani. cheki kwanza
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 месяца назад
Ungeuliza mpendwa mbona unafanya kila siku tuendelee kuchekwa na majirani wanaitwa loco pilot au train driver
@Kabwela776
@Kabwela776 4 месяца назад
Madereva mbona hamna wanawake???? 🙄🙄🙄🙄😳😳😳😕😕😕😕😡😡😡😡😡 hii sikuipenda kabisa ni mambo ya primitive Na kutoa ajira kwa kuangalia jinsia , waseme wanawake ni wangapi wamewaajili ambao ni madereva???? Tanzania haiwezekani hii we have to boycot kupanda hii treni ni ubaguzi wanawake wa Tanzania wametengwa kutoajiliwa wako wanawake mahiri
@moawallashabbir1762
@moawallashabbir1762 4 месяца назад
LITAANZA LINI???
@Kabwela776
@Kabwela776 4 месяца назад
Wabaguzi hao hawajawapa kazi wanawake ina maana Tanzania nzima hamna wanawake wangeweza kujifunza kuendesha treni mbona kuna marubani wanawake ATC ???? Hii ni bogus kabisa lazima ipigiwe kelele Na hata ajira zao Wale wahudumu wanawake inaonekana kama almost ni kabila moja au baadhi ya mikoa tu.
@Kabwela776
@Kabwela776 4 месяца назад
Mbona asilimia kubwa hao madereva ni wazee ???? Kwanini msiajiri vijana wanaume Na wanawake , wazee baada ya muda afya ni mgogoro mara sight ya macho mbovu hivi hili shirika mbona kama halina vision nzuri hamna mshauri ???? Hii nchi ya ovyo sana yaani hamuwezi kuona siku za baadaye huwezi kuwapa mafunzo wazee ambao wengi wagumu hata kuadapt kwenye technologia mpya au mnataka kuua watu Na kwa Nini wanawake hamkuajiri this is very bias ????
@MgasaEmanoeli
@MgasaEmanoeli 4 месяца назад
Why madereva ni wazee Wapeni vijana bana wazee wa nn au ndo mjuano
@wilhardtarimo386
@wilhardtarimo386 4 месяца назад
Vijana jau sana
@amosibilingi4299
@amosibilingi4299 4 месяца назад
Vijana sio, utajikuta umefika mwanza bila taarifa, maana hiyo spidi sio ya kawaida
@issajuma7372
@issajuma7372 4 месяца назад
Sio kweli, Vijana wapewe nafasi
@deven.oauditx7547
@deven.oauditx7547 4 месяца назад
Uzoefu na maadili ni muhimu kwa madereva wa reli.
@gideonmwanjila8616
@gideonmwanjila8616 4 месяца назад
Wazee ndio hujua kuendesha treni vizuri. Kuondoa na kusimamisha sio kwa haraka kama vijana
Далее
ВЫЖИЛ В ДРЕВНЕМ ЕГИПТЕ!
13:09
Просмотров 130 тыс.
Living life on the edge 😳 #wrc
00:17
Просмотров 6 млн
This mother's baby is too unreliable.
00:13
Просмотров 11 млн
TRENI YA MCHONGOKO ITAENDESHWA NA MADEREVA WAZAWA
6:58