Тёмный

"WE DADA UNANITAFUTIA MATATIZO/ HII DUNIA UNAWEZA KUAMKA MZIMA NA UKAFA" | HIVI NI KWELI 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 82 тыс.
50% 1

"WE DADA UNANITAFUTIA MATATIZO/ HII DUNIA UNAWEZA KUAMKA MZIMA NA UKAFA" | HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
DOTTO ARUDISHA PENZI LA MOTOWN SANYA
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

6 июн 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 428   
@Bettingwinner1
@Bettingwinner1 2 года назад
Nilifika saa tatu na dakika 30. Nikawa nawasubiri tu hapa.. Na Leo Nimekuwa wakwanza tena. LIKE KWANGU ❤️🤣✍️
@sammynyao9082
@sammynyao9082 Год назад
Motown sanya zidi kubarikiwa sana u have made my day you have made the day of that guy ipo sikuu nitakam Tanzania 🇹🇿 pia nipatanae nawe mimi ni mkenya niko Dubai
@japhethmangaka3768
@japhethmangaka3768 2 года назад
Huyo Bro wa musoma Daah nimeumia Sana anaongea kwa hisia Sana, kazi nzuri sana mmeitendea haki Sanaa Mo town Sanya na huyo Dada 🔥🔥🔥
@sirleembmbambatz5502
@sirleembmbambatz5502 2 года назад
Dottto mnyamaa sanaa Mwana kinyongee sana lakin kasolvee Soo kibingwaa sanaaa💪🏾💪🏻💪🏾🙌🏼🙌🏼
@jacquelinesangu1521
@jacquelinesangu1521 2 года назад
😤😤umeniliza sana kaka unajiona ukahisi haufai kwa dunia unafaa sana alafu mo town sanya msiwatafute watu wenye maisha magumu mnatuliza
@kajugaa4537
@kajugaa4537 2 года назад
ofcoz hata mimi huyo doto kanipa simanzi
@janeongala6684
@janeongala6684 Год назад
Kwel kabisa yani
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Год назад
Ad mim
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 11 месяцев назад
Pamoja na hivyo tunataka vijana kama hawa wenye akili hawana tamaa
@bongoupdatestv9322
@bongoupdatestv9322 2 года назад
Mazingira yangu hayaruhusu bro. Ukinianiangalia Mazingira yangua naweza kuwa na mwanamke kama huyu. Kauli hii ina ujumbe mzito daah
@marlowmagohe5022
@marlowmagohe5022 2 года назад
Sana
@kajugaa4537
@kajugaa4537 2 года назад
na inatia uzuni sanaa
@nimrodmareges3131
@nimrodmareges3131 2 года назад
Safi sana kipindi kizuri mnafanya vizuri pia kuwapoza watu kwa chochote kwa kutumia muda wao big up sana
@husseinwemmar6217
@husseinwemmar6217 2 года назад
Safi sana Dotto nimeamini kwenye hii dunia kuna watu wapole ambao maisha yamewapiga mpaka wanachohitaji ni amani ya moyo tu wala hawataki kujua kama nchi ina mpango gani wao wanaishi maisha yao tu na familia zao wanamtegemea MUNGU na wanafanya bidii kwenye kazi zao.Kama wakoafanikiwa maishani sawa kama wakiondoka siku zimefika sawa wao wanajiona wapita njia tu hapa duniani kwamba hii dunia ina wenyewe wao sio wahusika.Kwa kweli inasikitisha.
@kajugaa4537
@kajugaa4537 2 года назад
😢
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 2 года назад
Jamaa Anzukwa na Tumbo" la Muharo🤣🤣🤣🤣🤣 Utansababishia matatizo mm mwenyewe sina maisha,Maisha yangu yakuunga🤣🤣🤣🤣🤣
@ashaally6993
@ashaally6993 2 года назад
Duh! machozi yamenitoka juu ya huyo kaka wa Musoma anasema maisha yenyewe ya kuunga unga😥 duh anasubira sana
@edwardmassawe5116
@edwardmassawe5116 2 года назад
Nionee huruma 🤣🤣🤣
@aitharyally5948
@aitharyally5948 2 года назад
Sanya umependeza mashallah
@aronnyboy_tz7785
@aronnyboy_tz7785 2 года назад
Kiki kipindi unaweza kujuwa kinachekesha kumbe kinafundisha jinsi ya kuishi✊
@tabomusic3625
@tabomusic3625 Год назад
Point mzee Kwenye hiki kipindi unaona uhalisia wa hali za watanzania hasa walioko jijini dar yaani ni halisia na si maigizo tena na ndo utaelewa watu wanamaisha magumu sana uwezi jua kwa kuwaona wanapita au wamekaa tu ila hiki kipindi kinawafanya waziseme tu hali zao …DOTTO…
@shebydebely1751
@shebydebely1751 2 года назад
🤣🤣🤣🤣dah muuza ice cream kiukweli kanichekesha saaana kiukweli duh
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 2 года назад
Dotto kaupiga mwing SANA licha ya kuwa mgeni kweny huu mji,wakurya waogope wakiwa wanaongea wako calm. Hapo angetaka kubadilika damu ingetapakaa.
@thomashudson1083
@thomashudson1083 2 года назад
Huyu shabiki mwenzangu wa simba cjamuelewa kisa kavaa jezi ya simba ndo ashindwe kuyaamin mazingira yake...! Ahaaaah
@bongoupdatestv9322
@bongoupdatestv9322 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@kelvinraphael7634
@kelvinraphael7634 2 года назад
🤣🤣🤣Kaka leo umeua saaf sana, unatakiwa uwape presha hvyo, umeona hadi katoa tiketi daaaaaaaah Mamae🙌🏽, Ila next time kama anaweza kukubali umpige hata kibao huyo dada(AS PART OF ACTING SCENE) af usiingie kwa utulivu kabisa uingie kwa shari ili yeye akutulize!! But KAZI NZURI KAKA🙌🏽😅😅😅
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 2 года назад
Kweli kabisa mzee 😃😃😃atoe action ivi.
@stellah3844
@stellah3844 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jaman kumbe mdogoake Said,,,,,,,,Muuza ice cream sasa🤣🤣🤣🤣
@neemasawe7016
@neemasawe7016 2 года назад
Alivokuwa ananyoosha mkono mara ya kwanza apokee simu🤣😂😂
@michaelhwago1499
@michaelhwago1499 2 года назад
Aliona fursa imejileta kumbe matatizo
@deus8629
@deus8629 2 года назад
Alidhan kazi rahis 😂😂
@paulmartin2316
@paulmartin2316 2 года назад
Watu musoma tukijaga kwenye mikoa yenu tunakuwaga wapole 😭😭😭
@donkaloza6985
@donkaloza6985 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🙌
@maligeltabatholomeo8128
@maligeltabatholomeo8128 2 года назад
Lafiki yangu unaniletea matatizo rafiki yangu dah😂😂😂😂😂😂
@rodgerushindi85
@rodgerushindi85 2 года назад
Wanaume wanaongea kiume sio watu wa shari ... wanavutana Pembeni kuongea mambo yaishe
@nobodyog9512
@nobodyog9512 2 года назад
kuniangalia mazingira yangu naeza kuwa na huyu mtu?😂😂
@fatmaomar4838
@fatmaomar4838 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣maskni ajui mapnzy upofuuu sjui mbona yuajishusha ati mazingira ayaruhusu
@nobodyog9512
@nobodyog9512 2 года назад
@@fatmaomar4838 Jamaa cjui anaferi wap😅😅
@asiacruiz5165
@asiacruiz5165 2 года назад
Wanaume wa msoma ngangari ,mbona saidi hakuwa muoga 😂😂😂😂
@christopherdiu7851
@christopherdiu7851 2 года назад
Mkurya FALA KWELI .,,Aaaahahaaa mpaka tiketi katoa kwamba yeye WAKUJA.Yaani mimi hapo huyo Dem ningeanza kumbinyabinya kama embe wenyewe wangeona hapa sio
@magrethgeorge9253
@magrethgeorge9253 2 года назад
Wee mkorof
@mamananga2849
@mamananga2849 2 года назад
Khaaaa 🤣🤣🤣
@abdibilali4186
@abdibilali4186 2 года назад
huyo sio mshamba ni mkalimu
@yekinyamataga7929
@yekinyamataga7929 2 года назад
Binafsi niko pamoja na homeboy Dotto maana huwezi kuja mjini siku chache then ukawavimbia wenye mji ikiwa hujapata ramani,ko yupo sahihi kabisa na ameenda vile script inataka 👍👍👏👏
@shomarkhamis8006
@shomarkhamis8006 2 года назад
Oya mwenetu wa Simba katuangusha huku😂😂😂😂😂
@donkaloza6985
@donkaloza6985 2 года назад
Kazingua uyo🤣🤣🤣🙌
@gudimahaz9928
@gudimahaz9928 2 года назад
oaaah..weee Nembo yaMtaa metish xan mor creativity mzee💪✌
@mwasa_tv
@mwasa_tv 2 года назад
maisha yangu ni ya kuunga tena ni ya kuunga munooo
@daroumouayadi1378
@daroumouayadi1378 2 года назад
😭😭
@japhetbarton8268
@japhetbarton8268 2 года назад
hii kauli inasikitisha sana
@daroumouayadi1378
@daroumouayadi1378 2 года назад
@@japhetbarton8268 kwa kweli
@abdibilali4186
@abdibilali4186 2 года назад
@@japhetbarton8268 kabisa ila Mungu ata bariki tuuu
@amiriramadhan7753
@amiriramadhan7753 2 года назад
Duah mwanangu sema kinyonge sana ila mambo ya tajipa kwa mwanetu doto
@jumarajab5316
@jumarajab5316 2 года назад
nimejisikia huruma jamaa anasema unavyoangalia mazingira yangu hivi naweza kuwa na mwanamke kama huyu naomba namba nimtumie laki masikini
@chaxpeter5789
@chaxpeter5789 2 года назад
Mpee kazi kama kweli wataka msaidia
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 2 года назад
🤣🤣🤣🤣
@aloycembener6530
@aloycembener6530 2 года назад
Ishu pa kumkuta uyo jamaa af umpe iyo laki ni kipengele
@barakamachard1944
@barakamachard1944 2 года назад
Kwani Ni maskini huyo 🤣🤣🤣🤣
@maligeltabatholomeo8128
@maligeltabatholomeo8128 2 года назад
Wangapi awanamaishi jamani wametoka musoma
@thomashudson1083
@thomashudson1083 2 года назад
Ahaaah huyu mwamba katuangusha sana
@sunnamickdady5383
@sunnamickdady5383 2 года назад
😂😂😂😂Napendaa hii kitu 😂😂
@omarylukindo5306
@omarylukindo5306 2 года назад
Jamaa wa msimbazi alijifanya mkauzu kuongea ktk cm.baada ya kumuona bishoo mwenyew kapoa
@Mimy_keys
@Mimy_keys 2 года назад
Maskini uyo Jamaa wa Musoma anatia hadi huruma, Maskini ya Mungu mpole sana 😢😢😢
@jimmymagaita2947
@jimmymagaita2947 Год назад
😂
@emmanuelnzaligo6262
@emmanuelnzaligo6262 2 года назад
Dotto amerudisha penzi dotto nimecheka Sana
@tumahmifashion9200
@tumahmifashion9200 2 года назад
Hana maisha jmn ni yakuungaaaa🤣🤣🤣
@psnawana3794
@psnawana3794 2 года назад
Daah sema jamaa wa musoma roho safi sana
@danielmkama24
@danielmkama24 2 года назад
Mo town haunipiti hata kwa dkk 💥💥💪
@valeflolian5869
@valeflolian5869 2 года назад
Nimecheka mpaka basi bwana Dotto na muuza ukwaju daaa bonge la hivi ni kweli.
@bullychandy6509
@bullychandy6509 2 года назад
Wanaume tunavutana pembeni 💪💪 very impressive
@muckymaccode134
@muckymaccode134 2 года назад
Mo Town Sanya Nembo Ya Mtaa kijana wa Ovyo🙌🙌😂😂😂
@davismontana6228
@davismontana6228 2 года назад
😂 😂 😂 jamaaa anatia sana huruma
@omarelhabibi4071
@omarelhabibi4071 2 года назад
Mpaka anaonyesha na ticket waone kama nimgeni asimuletee matatizo😀😀😀😀
@nurdinikilapo4264
@nurdinikilapo4264 2 года назад
😂😂😂😂
@ibrahimelisha6842
@ibrahimelisha6842 Год назад
Jamaa kutikisa miguu aliingiza baridi kinoma😄😄😄😄😄
@zebidahlawrence9419
@zebidahlawrence9419 2 года назад
Maskn 😔 eti huyo sio type yangu mimi, kwa mazingira yangu mm unaona unaona kabisa hafu anajiangalia viatu 😔😔 roho imeniuma mi cwez kuangalia hv vitu
@neemazee1864
@neemazee1864 2 года назад
Nachekaga mo town anavyokujaga na bodaboda🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@asmaathmani440
@asmaathmani440 2 года назад
Yule mwenye jezi ya simba amenitoa machoz maskin
@angolina1768
@angolina1768 2 года назад
Alooo weee hahahaaaaa siyo poa makolo wanakuaga waoga sana nyieee anajielezea masikin
@paulwilliam6053
@paulwilliam6053 2 года назад
Nakubali sana kazi zako ASANTENI
@abdalahnyahenge896
@abdalahnyahenge896 2 года назад
Et kwenye maisha yako kwani unapata furaha?
@godfreyally7787
@godfreyally7787 2 года назад
Sanya umeua Sana mwamba maubunifu full🔥🔥🔥
@nobodyog9512
@nobodyog9512 2 года назад
Eti namba hyo FUTA.. ooh nitamchamba kumbe kelele tuh😂😂😂
@allyramadhani6114
@allyramadhani6114 2 года назад
😂😂😂
@amanimanase3122
@amanimanase3122 2 года назад
Hahahaa maneno ni rahisi sana kuyatamka
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 года назад
Dotto ana moyo sana. Ni mpatanishi mzuri wa jamii
@paulomaona2466
@paulomaona2466 2 года назад
Mwamba anabusala kinoma moyo saf leo mmeuaaa
@mariasixmund7964
@mariasixmund7964 2 года назад
😁😁😁😁me ningekimbia
@johnkyara8061
@johnkyara8061 2 года назад
Jamaa.anasema mazingira yake hawezi kuwa na pic kali 😆 🤣 😂
@musason1680
@musason1680 2 года назад
😂😂😂
@emidisadikisaididenchi8210
@emidisadikisaididenchi8210 2 года назад
Umetisha saana bro mavazi kazi nzuri saana
@dulax2457
@dulax2457 2 года назад
001 we were watching dulax wavaniler big up kazi kubwa sana mungu sana sanya
@starmoonofficial9829
@starmoonofficial9829 2 года назад
Sanyaaa fireee
@yassinmuhode7182
@yassinmuhode7182 2 года назад
Mwanaume akikwambia anaunga bac anaunga kwelii🙆
@ayoubkassimu5637
@ayoubkassimu5637 2 года назад
Dah Doto mpaka nimemuonea huruma😂
@yassinmuhode7182
@yassinmuhode7182 2 года назад
@@ayoubkassimu5637 dah atalii anatia huluma bhn doto
@kipulizechuga7276
@kipulizechuga7276 2 года назад
unamjua kumbe haaaaha anasikitisha
@donkaloza6985
@donkaloza6985 2 года назад
@@ayoubkassimu5637 🤣🤣🤣🤣🤣
@saidizuberiissa7286
@saidizuberiissa7286 2 года назад
Mackin dah!! ety sina maisha mimi
@samirysharifu8649
@samirysharifu8649 Год назад
Dahhh Nimetoa machozi jamaa alivyo kuwa anaisemaa mazingira yake kwa unyongee sana nimeumia sana
@UdakuOnline
@UdakuOnline 2 года назад
Unanipenda hunipendi hapo Ndo #kipengere😁😁😁😁😁
@pdwanakaza2411
@pdwanakaza2411 2 года назад
Haahhahhaa huyu jamaa wa jez ya simba kanichekesha snaaa
@kajugaa4537
@kajugaa4537 2 года назад
etii Dotto baada ya kuambiwa anaonekanaga kwenye tv Ndo akakumbuka salam etii aah mambo vipi kwemaaa 😅😅😅😅
@roi2553
@roi2553 Год назад
😂😂
@dvjkelly8449
@dvjkelly8449 2 года назад
Sema huyu mtu wa simba yuko sawa kabisa katika kujitetea, make unaweza kaza uje uingizwe dudu takoni kisa mambo ambayo hayakusaidii
@jamesjunior8641
@jamesjunior8641 2 года назад
Hhahahahhahaha😄😄😄😄😄
@magrethgeorge9253
@magrethgeorge9253 2 года назад
😄😄😄😄
@mweusiasili8345
@mweusiasili8345 2 года назад
🤣🤣🤣
@lamjumtz9981
@lamjumtz9981 2 года назад
🤣🤣🤣🤣
@saumuimeda5181
@saumuimeda5181 2 года назад
🤣🤣😅😅😅
@Puxladen
@Puxladen 2 года назад
Uyooo Sio typ yangu mm embu niangalie mazingira yangu
@mathiaslyamunda2526
@mathiaslyamunda2526 2 года назад
Dah! jamaa amenunua kesi kieahisi sana
@juniorsonofgod5675
@juniorsonofgod5675 2 года назад
😂😂😂😂eti naongea Kama mwanaume wenzako. Pili Mimi ndo natoka nae huyu mwanamke 😂😂😂 Tanzania hii haina watu
@barakamachard1944
@barakamachard1944 2 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mohamedjaffer7478
@mohamedjaffer7478 2 года назад
Background sound inasumbua, hatuskii voice vizuri
@joejux1380
@joejux1380 2 года назад
Kuna Kolo Huku Kadakwa Na Sanya😂
@fabiandanielkatikiro1478
@fabiandanielkatikiro1478 2 года назад
😂😂🤣🤣🤣
@hgery2666
@hgery2666 2 года назад
Kwan mwenyewe yuko wapi jamaa kaanza kuogopa🤣🤣
@lovenoor988
@lovenoor988 2 года назад
Nakukubali bro 👊
@psnawana3794
@psnawana3794 2 года назад
Sanya unaezaje kufinya uso kwe izi situation😆😆😆😆mm ningeshamcheka
@listerlujiso6009
@listerlujiso6009 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣mi mwenyewe ningecheka hyo Crip ingebuma
@robinhomesuza8906
@robinhomesuza8906 2 года назад
Nasema ivi nitamalizana nae vzl nitamchamba
@djpatruick
@djpatruick 2 года назад
Daah.! Hapo mm utajikuta nilisha rusha ngumi hapa mchezo.
@stambyser8305
@stambyser8305 2 года назад
😂😂😂mwanaume hapotezagi fulsa ya demu “bora nimkanyagie mwana ili nichukue dem”
@twentyacresfarms3464
@twentyacresfarms3464 2 года назад
Tukibanwa tunatia huruma hahaha 😂😂
@edwinclement233
@edwinclement233 10 месяцев назад
doto ameniumiza sanaaa sana masikini jaman
@issahassani9293
@issahassani9293 Год назад
Hugo bwana mdogo amekuja kutafuta maishaa mnamleteya ukonjwa wa moyo
@hadijalivigha9781
@hadijalivigha9781 2 года назад
Unajua dadaangu
@shadyawaziri9605
@shadyawaziri9605 2 года назад
😂😂😂😂😂 Hii Dunia Unaweza Ukaamka Salama Alafu ................
@kirajlovely8115
@kirajlovely8115 2 года назад
Mda sio mrefu ukaitwa marehemu
@yashinchembo5424
@yashinchembo5424 2 года назад
Nimecheka mpaka nimelia
@sulebless8575
@sulebless8575 2 года назад
Uyo demu kalia nini maneno mazito kaongea dotto
@kajugaa4537
@kajugaa4537 2 года назад
ofcoz mchizi kaongea kwa hisia sana (haya maisha unaweza kuamka mzimaaa ila ukarudi nyumbani marehemu tu kwa sababu ya binadamu tu)
@hassaniothmani8549
@hassaniothmani8549 2 года назад
Huyu jamaa fala sana 😂😂😂
@kibeginiblue7188
@kibeginiblue7188 2 года назад
Hii Inaonyesha wanaume wengi wabongo Ni Malaya awataki wapitwe na jambo
@traptizpubgnoob1811
@traptizpubgnoob1811 2 года назад
Hapana wa bongo tunapenda kutoa msaada
@Donrugi
@Donrugi 2 года назад
Dah bonge Moja la content 😂😂💪💪
@mwambarock2562
@mwambarock2562 2 года назад
😂😂😂😂😂😂daaa et hivi ukiniangalia kwa mazingila yangu na weza kuwa nademu Kama huyuu 😂😂😂halafu kinyongee daaaa et mama yangu mzazi ...#monsanya#hivinikweli..
@allymachejo2996
@allymachejo2996 2 года назад
Kuna Mashabik wa Man U, wik iliyopit Man cty Na leo hii Simba waoga kinoma 🤣🤣🤣
@bethedifference7007
@bethedifference7007 2 года назад
hahahaha siku nyengine nenda na bastola wana lazma wapige goti 😂😂😂😂😂😂😂😂
@lameckmihayo4669
@lameckmihayo4669 2 года назад
Duh hik kipind hatar Sana jaman Kuna mda kama hujui unaweza panic sana eboo
@mwajumamazoba1065
@mwajumamazoba1065 2 года назад
Hahah sio kwa kunifanya nicheke Huku😂😂Eti nitamchamba kaja anangaya
@kisalaTV
@kisalaTV 2 года назад
😄😄😄😄kumchamba kumeisha siurijitia utakuja kumchamba😂😂😂
@chanchubasammy4562
@chanchubasammy4562 2 года назад
Nmechela kifala sana leo
@tiffanyakramJr822
@tiffanyakramJr822 2 года назад
😂😂 kweli mwanangu umecheka kifala hebu rudia ulichoandika
@yassinmuhode7182
@yassinmuhode7182 2 года назад
Naqubalii🙌
@dariuskasitu5594
@dariuskasitu5594 2 года назад
Et unaweza amka mzima mda sio mrefu ukaitwa marehemu
@saidimbinga6543
@saidimbinga6543 2 года назад
Hahahahaha nmecheka san
@Gibson360kibabi
@Gibson360kibabi Год назад
Daaar mwanang umetisha snaaaa
@bizabishakaanifa586
@bizabishakaanifa586 2 года назад
Sanya umetisha 🔥🔥🔥
@mmassadieudonnengomoya8607
@mmassadieudonnengomoya8607 2 года назад
Anae shoot anashoot akiwa mbali San sometimes sura azionekan vzr afu fujo za magara na pikipiki izo atuelew
@sevenhenrystephano6337
@sevenhenrystephano6337 2 года назад
haaa niatari kweli
@frankdanford8245
@frankdanford8245 Год назад
Mo town hii clip kali sana ila ungeongeza na kamkwara ka bastola hivi kwa huyo mwamba ingekuwa poa sana😂😂😂😂😂😂
@UdakuOnline
@UdakuOnline 2 года назад
NAONGEA KAMA MWANAUME MWENZAKO😁😁😁😁😁🌝
@sadatisabihi3818
@sadatisabihi3818 2 года назад
Brother tusogee pembeni ahahahaha daaah!!!!! Anaongea uku anatetemeka ahahahahha
@rizikiissa5914
@rizikiissa5914 2 года назад
Jamani🤣🤣🤣
Далее
Я ПОКУПАЮ НОВУЮ ТАЧКУ - МЕЧТУ!
39:05
А где Ахмат?
1:00
Просмотров 1,4 млн
Пранк пошел не по плану…🥲
0:59
Всегда проверяйте зеркала
0:19