Honestly nilikuwa natizama hii igizi but nimeshindwa kumaliza kwa sababu ya uchungu. Napenda kusema you all deserve to make his film. Munaweza sana na mnajua kuzingatia itifaki na maadili ya fikra zake. I'm ready to support your film by whatever way. You're so amazing guys.
Hongera sana kijana, kazi unaweza tena sana. Mungu amlaze mahali pema peponi. Inauma na inafariji we really lost the man. Mungu akubariki Upande zaidi ya hapo. Songa mbele usirudi nyuma.
Big up boy ,,Sauti kama ya aliyekuwa Baba na Raisi wetu wa awamu ya TANO😢..PUMZIKA KWA AMANI KIPENZI CHA WENGI pamoja na wanafamilia wenzetu waliotangu mbele za Mungu.
Ahsante kwa Hilo Mungu akubariki Sana kijana. Late Magufuli tutamkumbuka Daima. Tumwombee apumzike Salama. Ingawa ameondoka Lakini kiroho bado Yupo nasi. Tizama vijana wanavyoweza kuiga Sauti yake ni Kama Bado Yupo nasi. Ahsanteni Sana Mungu kwa Maisha ya Dr JPM. Ahsante kwa JPM kwa kuliongoza Taifa hili masikini. Ahsante kwa kujitolea na Ku- sacrifice your Life for our Land Called Tanzania. Ni Bahati KUBWA Sana Kwetu watanzania.
Tec wako vizuri sanaaaa tafadhalini sana sambazeni jamani hii filamu pesa mtapata sana hayati Magufuli yuko mioyoni mwa watanzania ssna huyo ni sawa na Nwalimu Nyerere hawatasauliwa kabisa
Daaaaaaah pumzika kwa Amani baba wa wanyonge. Watanzania bado 2likuwa 2nakuhitaj lakin MUNGU kakuhitaj zaid. Ubarikiwe sana kijana kwa kumuenz baba wa wanyonge piaa hongera sana kwa kipaj chako MUNGU azid kukuina zaid na zaid. R.I.P 😢😢😢😢Magufuli
Mimi ni mkongomani , nili hishi Tanzania ukimbizini , naipenda sana Magufuli ali kuwa rais nilie mpenda sana kwa utendaji kazi wake , nita endelea kumuenzi , Mungu aendelee kumpumzisha mahali pema ❤❤❤❤❤❤❤
Kipenzi Cha watu wanyonge. Mtu mnyenyekevu 😭, I fill to cry but kijana ameweza kutukumbusha yote mazur mema aliyokuwa anatenda rais wetu Kwa Upendo wa dhati
Yaan nimejikuta nalia tu 😭😭😭😭 pumzika kwa aman JPM tutakukumbuka kwa mengi sana acha vijana wakuenzi na kukumbuka mambo uliyoyafanya enzi za uhai wako🙏🙏🙏🙏
Magufuli dah💔 sijui Tanzania itakuja kupata Rais tena wa aina hii.. M/mungu tuinulie Magufuli mwingine Please tunataka Magufuli day Ana haki na kila sifa ya kupewa siku maalum ya kumkumbuka na kuenzi kazi yake njema
Lo! Nawashukuru sana vijana Hawa kwa wazo hili zuri la kumbukizi ya Hayati Rais wetu John PombeJoseph Magufuli. Mungu Awaongezee vipaji zaidi na Awezeshe kupatikana kwa Uzinduzi wa Filamu hiyo ya Mpendwa wetu . APUMZIKE KWA AMANI. Tutamkumbuka daima kwa Utendaji Kazi wake na Falsafa nzuri za Uongozi na Uzalendo wa Hali ya Juu! AMINA.
Kijana, umefanya vizuri. Ila jambo moja ninakuomba uweke number ya simu yako ili watu waweze kukusuport. Tutaendelea kukukumbuka mgalme Magufuli. Rest in power King.